afyaplus
USHAURI WA AFYA YA UZAZI
USHAURI WA VIRUTUBISHO TIBA NA KUTIBU MWENYE CHANGAMOTO YA NGUVU ZA KIUME
MWANAUME kumbuka kutumia vinavyoboresha sifa ya kuitwa kamili
HII PACKAGE INAMALIZA ZIFUATAZO
-MWANAUME KUA NA UWEZO VIZURI
-KUONGEZA IDADI YA
-KUSIMAMISHA VIZURI
- MZUNGUKO WA
-KUIMALISHA
-KUPATA YAKUFANYA
-KUTOFIKA MAPEMA
KWA WANAWAKE
- UTE UTE WAKUTOSHA NA KUWA NA MWINGI
-KUKUPATIA YA TENDO
- HORMONE KWENYE
-KUONDOA WAKATI WA
NB: KUMBUKA HIZI SIO NI
call/WhatsApp
+255747928286
22/10/2022
Nipo tayari kutumika kwa Watanzania wenzangu kwenye kutatua Changamoto ya Upungufu wa Nguvu za Kiume
Ni Maombi yangu kwa Mungu wangu, Anipe Kutumika, Anipe Hekima na Busara ya Kuzungumza nanyi kila Mmoja kwa Nafasi yake ili, Tunapokutana katika Huduma hizo basi mwisho wa yote iwe ni kwa Sifa na Utukufu wake Muumba wetu...Amen π
Kwa Huduma
Nipigie: 0747928286
Upate Huduma Unayohitaji kwa Haraka zaidi..!!
Karibu Sana
21/10/2022
K**A UNA UUME MDOGO INABIDI UFAHAM HAYA
Kuwa na Uume mdogo ni jambo linalotia Aibu na fedheha! Hususani Wakati wa kushiriki Tendo la ndoa.
ila kuna Baadhi ya mambo yanayo sababisha kuwa na KIBAMIA bila wewe kujua!
Yafuatayo ni chanzo Cha kuwa na KIBAMIA;
UNENE AU KITAMBI; unene hufanya mafuta mengi kuongezeka tumboni na maeneo mengine ya uume, hii hufanya uume uonekane mdogo kuliko mwanzo hata ukiwa unaingia ukeni huzuiliwa na mafuta yaliyojaa mwisho wa uume.
UMRI; umri wa mwanaume unavyozidi kua mkubwa uume pia huzidi kua mdogo hii husababishwa na kupungua kwa homoni ya Testosterone ambapo homoni hii ndio huufanya uume kua mkubwa kipindi mwanaume anabalehe kwa mara ya kwanza.
KUTOSHIRIKI TENDO LA NDOA MARA KWA MARA; uume ni k**a misuli mingine ya mwili, misuli inayofanya kazi mara kwa mara hua mikubwa na minene k**a watu wanaofanya mazoezi ya kubeba chuma au watu wanaofanya kazi ngumu lakini misuli ikiwa haifanyishwi kazi hupungua ukubwa, hivyo kushiriki tendo la ndoa angalau mara nne kwa wiki husaidia.
UKOO; baadhi ya koo fulani unakuta familia nzima ina uume mdogo, hii husababishwa na homoni ya testesterone kwenye miili yao kushindwa kufanya kazi vizuri lakini pia baaadhi ya koo wamebarikiwa na maumbile makubwa.
UPASUAJI WA TEZI DUME; tafiti zimeonyesha kwamba upasuaji wa kuondoa tezi dume husababisha uume kuingia ndani kidogo, utafiti huu ulifanyika nchini marekani kwa wanaume 126 ambao miezi kadhaa baada ya upasuaji huu walikiri kupungua kwa ukubwa wa uume.
KUPIGA PUNYETO AU KUJICHUA; unapotumia mikono yako kujichua unaumiza mishipa ya juu ya uume inayoingiza na kutoa damu lakini pia unaweza kusababisha makovu ya ndani ya misuli na kuzuia damu kufika kwa uhakika, hiki ni chanzo kikubwa cha kupungua ukubwa na nguvu za kiume.
KUVUTA SIGARA; kemikali ya ni****ne iliyoko kwenye sigara huziba mishipa ya damu inayopeleka damu kwenye uume, hii husababisha uume kukosa virutubisho na damu ya kutosha na kupungua ukubwa pamoja na nguvu zake
NOTE;
Hakikisha unajizuia na vitu vilivyo orodheshwa hapo JUU
K**a unapenda kuwa na Uume imara! Tuma Ujumbe WhatsApp Afya au Piga Moja kwa moja 0747928286
21/10/2022
INASIMAMA VIZURI, NAPIGA BAO 3 BILA WASI: Soma..π
Bado Naendelea Kushea na Wewe Shuhuda ambazo zinabadilisha Maisha ya Wanaume wengi waliokata Tamaa kutokana na Changamoto ya Upungufu wa Nguvu za Kiume
Huyu ni Mmoja kati ya Wanaume wengi waliokuwa wakiteseka lakini alipotembelea Ukurasa wetu wa na Kujifunza, Alichukua Hatua na Leo hii anatushuhidia kuwa Muheshimiwa Anasimama vizuri na Anapiga Bao 3 bila wasi
K**a wewe ni mmoja kati ya Wanaume wanaohangaika kupata Ufumbuzi wa Changamoto ya Upungufu wa Nguvu za Kiume, Nikukaribishe uweze Kujifunza Chanzo cha Tatizo lako pamoja na Kuweka Mkakati wa Namna ya Kuondokana na Changamoto yako
Kwa Maelezo zaidi na Ushauri
Tupigie: 0747 928 286
Upate Huduma kwa Haraka Zaidi
18/10/2022
TIBA YA VIDONDA VYA TUMBO NI HII: Swipe Right kisha Soma..π
Leo Nakuletea ile Package Maalum kwa Wewe mwenye Changamoto ya Vidonda vya Tumbo
Kutana na "Stomach Ulcers Pack"
Hii ni Package ambayo ina Bidhaa 4 Ndani yake ambazo ni
β Aloe Vera Gel
β Bee Propolis
β Lycium Plus pamoja na
β Supergreens
Bidhaa zote hizi zinakwenda kupambana na Changamoto yako ya Vidonda vya Tumbo na Kukupa Matokeo Chanya, Ya Haraka na ya Uhakika
Kwa Maelezo zaidi na Ushauri
Tupigie: 0747 928 286
Ili Upate Huduma kwa Haraka Zaidi
18/10/2022
*Fanya mazoezi haya mara 4 kwa wiki ama kila siku utafurahia kua na anfya njema na wakati unatumja virutubisho vyetu nitakuongoza kufanya haya mazoezi mpaka unamaliza program yetu ya siku 15 karibu sana*
17/10/2022
HUSAIDIA KUONGEZA UFANISI WA KAZI KWENYE TENDO LA NDOA.
Kati ya manufaa saba ya utumiaji wa ARGI+; Argi husaidia kuboresha msukumo wa damu vizuri mwilini na kwenye mishipa midogo ya damu, ambayo ni muhimu sana kwenye AFYA YA TENDO LA NDOA.
FAIDA NYINGINE NI:
=> AFYA YA MOYO
=> KUSAIDIA KINGA YA MWILI
=> UKUAJI WA MISULI
=> INABORESHA MIFUPA & TISSUE
=> UMETABOLI WA MAFUTA & SUKARI MWILINI
=> UZALISHAJI WA HOMONI ZA KUPUNGUZA KASI YA UZEE.
Wasiliana nasi kwa namba +255 747 928 286
15/10/2022
USICHOKIFAHAMU KUHUSU SUMU: Soma..π
Watu wengi hasa Wanaume wanapozungumzia tatizo la Upungufu wa Nguvu za
Kiume wanasahau kuhusisha mahusiano yaliyopo kati ya Nguvu za Kiume na Mazingira
Wanaume wengi huathiriwa na mambi mbalimbali ambayo hufanya kiasi cha Sumu Mwilini kuongezeka na kupelekea Mfumo wa Uzazi kuharibika bila ya kujua
Sasa Mwili unapataje hizi Sumu?
β Ulaji usiofuata Utaratibu na Kiasi wa Vyakula vya Sukari na Mafuta kwa kiwango kikubwa huchangia kupata Sumu aina ya Free Radicals, Aldehydes na Peroxides ambazo huua Seli Nzuri Mwilini
β Matumizi ya Pombe na Sigara kupita Kiasi
β Matumizi ya Madawa Makali au kutumia Dawa bila Muongozo wa Wataalam wa Afya
β Uchafuzi wa Mazingira hasa Hewa, Udongo na Vyanzo vya Maji
β Kutopata Muda wa kutosha wa Kupumzika
β Kutumia Vipodozi vyenye Kemikali Hatarishi
Nini Kinatokea baada ya Sumu hizi Kuingia Mwilini..??
Sumu zinapokiwa kwa Kiwango kikubwa Mwilini hupelekea Mwili kuwa na Msongo wa Sumu (OXIDATIVE STRESS) ambao Husababisha Ongezeko la Magonjwa au Matatizo yasiyoambukizwa k**a;
β Magonjwa ya Moyo
β Figo
β Kisukari
β Magonjwa ya Ini
β Saratani Aina zote
β Vimbe katika Vizazi na Ugumba
β Matatizo ya Pressure ya Kupanda au Kushuka
β Upungufu wa Nguvu za Kiume na Matatizo ya Tezi ya Kiume n.k
Utajuaje k**a Mwili wako una Sumu..??
Zipo Dalili ambazo zinaashiria kuwa Una Sumu nyingi Mwilini. Dalili hizo ni pamoja na;
- Mwili kuchoka
- Kukosa Usingizi
- Uzito Uliopitiliza
- Maumivu ya Kichwa ya Mara kwa Mara
- Kupumua kwa Shida
- Maumivu ya Viungo hususani katika Magoti na Mgongo
- Tumbo kujaa Gesi mara kwa mara
- Kuwa na Hasira na Mwili kukosa Utulivu
- Kukosa Choo kwa Siku kadhaa
- Matatizo ya Ngozi k**a Chunusi, Vipele na Muwashi
Sumu hizi zinapokuwa Mwilini kwa mda Mrefu hupelekea Mbali na Matatizo mengine, Mfumo wa Uzazi kudhoofika na kuleta Changamoto ya Upungufu wa Nguvu za Kiume
Nini cha Kufanya.??
Wahi upate "Bedroom Pack", Bidhaa ambayo...Mbali na Kukutatulia Changamoto yako, itakusaidia pia katika Kusafisha Mwili wako (Cleansing) kwa Kuindoa Aina Zote za Sumu
Call/Sms/WhatsApp: 0747928286
15/10/2022
FAHAMU MATATIZO YA TEZI DUME: Soma...π
K**a tulivyosema hapo awali, Tezi dume ni Tezi ya ziada ya Mfumo wa Uzazi wa Kiume inayofanya kazi ya kuendesha misuli wakati wa kukojoa na kumwaga manii
Tezi hii hupatikana chini ya Kibofu cha Mkojo, na Urethra inapita ndani yake. Imezungukwa na kapsuli ya elastic, fibromuscular na ina tishu za tezi na tishu zinazounganishwa pamoja
Tezi hii huzalisha Umajimaji
ambao huunda sehemu ya Shahawa ambazo hutoka wakati wa kumwaga k**a sehemu ya mwitikio wa kijinsia wa kiume. Kioevu hiki cha Tezi hii kina alkali kidogo, maziwa au nyeupe kwa kuonekana ambayo husaidia kupunguza asidi ya njia ya uke pamoja na kuongeza muda wa maisha ya manii
Kumbe basi, Kutokana na Maelezo hayo, Tezi Dume sio ugonjwa wala jambo la Kuogopa bali ni Kiungo muhimu ambacho kila Mwanaume unacho
Tunachotakiwa Kuelewa ni kwamba, Tezi hii inapopata Shida ndipo Matatizo hujitokeza. Matatizo ya Tezi Dume yanatokea pale ambapo kunahusishwa na Kuvimba, Maambukizi na Saratani
Zifuatazo ni Dalili zitakazokujulisha kuwa Tezi Dume ina Kasoro au Matatizo:
β Unapata Tatizo la Haja Ndogo Mara kwa Mara na kushindwa kuzuia haja hasa pale unapopata kwa Ghafla
β Unapata Maumivu chini ya Kinena Wakati wa Haja Ndogo au Baada ya Haja Ndogo
β Unatumia Nguvu Kubwa Kusukuma Haja Ndogo itoke
β Unashindwa kumudu Tendo la Ndoa, Kupoteza Hamu, Kushindwa Kurudia pamoja na Kupoteza Nguvu na Stamina wakati wa Tendo
β Kutoa Haja Ndogo iliyoambatana na Damu au Kutoa Mbegu zilizoambatana na Damu Baada ya Tendo la Ndoa
K**a Una Changamoto kadhaa kati ya Hizi, Wasiliana Nami kupata Muongozo na Namna ya Kuondokana na Changamoto yako
Call/Sms/WhatsApp: 0747928286
14/10/2022
PATA SULUHISHO LA KUDUMU UJIAMINI: Soma..π
Mwanaume, Umeshawahi Kujiuliza ni Kitu gani kinakufanya wewe k**a Mwanaume Ujiamini na kujiona Umekamilika..??
Nipo hapa Kushea na Wewe leo Hii, K**a ulikuwa hufahamu basi upate Kufahamu
Kujiamini (Confidence) ni ile hali ya Akili kuwa na Uhakika wa Kufanya Jambo fulani kwa Ufanisi unaotakiwa
Mwanaume Kamili huwa na Hali ya Kujiamini 100% anapokuwa na
β Pesa
β Nguvu za Kiume
Mara Nyingi, Mwanaume anapoishiwa na Pesa...huhangaika Huku na Kule na Mwisho wa Siku huzipata na Mambo yakawa Vizuri, Lakini Mwanaume Huyo huyo akipoteza Nguvu za Kiume huwa ni Fedheha kwani hawezi Kuzitafuta na Kuzipata k**a anavyotafuta Pesa
Upungufu wa Nguvu za Kiume limekuwa na Suala ambalo linawatesa Wanaume wengi na hata kuwafanya wasiwe na Imani tena na hata wengine kukata Tamaa ya Maisha na kujiona Wamepungukiwa kwani wanashindwa kuwaridhisha Wapenzi wao Kihisia mbali na kuwa na Pesa
Tumekuja kuwasaidia Wanaume ambao wana Changamoto ya Upungufu wa Nguvu za Kiume itokanayo na Kujichua, Uzito Uliopitiliza pamoja ma Mitindo ya Maisha (Lifestyles) ili kuwarudishia Confidence yao iliyopotea
Je, Wewe U miongoni mwa Wanaume wanaokosa Kujiamini kwasababu ya kutokuwa na Nguvu za Kiume..??
Karibu Nikusaidie kurudisha Confidence yako na Heshima Pia..!!
Call/Sms/WhatsApp: 0747928286
11/10/2022
Ni Damu ndiyo inaingia ndani ya uume na kuufanya usimame ! K**a mishipa ni imara uume utasimama Kwa muda mrefu bila kusinyaa! πKusinyaa ni damu imetoka kwenye uume na kupelekwa sehemu nyingine za mwili !
K**a mishipa ina shida uume utasimama ukiwa lege lege ,ni ishara damu haingii ya kutosha ikajaza uume vizuri .Kwa sababu uume ni k**a bomba la maji ! Husinyaa na kutanuka! .
πMwanaume akitazama sana Picha za ngono kwa muda mrefu ubongo unashindwa kutuma taarifa kwenye uume ili moyo upampu Damu ya kutosha kwenda kwenye uume ! Ndiyo maana wengi wanashindwa kusimamisha kabisa ! Mfano Mwanaume akimuona Mwanamke akiwa uchi ,ni macho yameona ubongo ukatafsiri taarifa zinatumwa kwenye uume hatimaye ngoma inadinda !
Sasa akili ya mwanaume ikizoea Picha za x inaathirika ! .
πKujichua ,Mishipa inakosa kipenyo cha kubeba damu ya kutosha ,pia mishipa ya Vein Inakufa valvu ,Valvu zikifa Damu inaingia na kutoka kwenye uume muda huo huo ! Ni k**a valvu ya Tairi la Baiskeli ambalo Valvu yake ni mbovu ,ukijaza upepo unatoka muda huo huo !
Kumbuka:Mishipa ya vein Ina valvu Ila Ateri Hazina valvu na ndiyo zinatoa damu kwenye moyo na kusambaza sehemu mbalimba mwilini ! Alafu Vein Zinarudisha Damu kwenye mapafu inapashwa joto then inapelekwa kwenye moyo, moyo unapampu Artery zinasambaza mwili mzima ! .
πKitu kingine kinachoharibu mishipa ya Damu ni Unene ambayo unajaza mafuta kwenye mishipa hatimaye Damu inashindwa kupita !
Kupata huduma
Call/WhatsApp
+255747928286
Karibu sana
Click here to claim your Sponsored Listing.
Category
Contact the business
Telephone
Website
Address
Dar Es Salaam
