brenbo98

brenbo98

Share

page inahusu urembo wa ngozi na urembo wa mwili ,tunauza na kutoa ushauri kuhusu urembo asili

24/10/2023

Hili neni kila siku nasema mimi halafu mnaniona mbaya 😄😄😄😄😄 unaweza ukawa mzuri tena mzur sana lakin ngozi imejaa ukurutu 😄😄😄

Kiukwel pambana sana na ngozi yako , asikuongopee mtu shape majaliwa lakin ukurutu ni kujitakia

23/10/2023

SCRUB ZA KAHAWA NA UMAARUFU WAKE

📍📍📍📍📍📍📍📍📍📍📍📍😷😷
KUNA SCRUB NYING SANA ZA KAHAWA KIPINDI HIKI ZIMEZUKA , PIA WATU WENGINE WANAJISUGUA NA KAHAWA NA FUTA LA N**I ,SIO MBAYA LAKIN UKWELI BREMBO COFFEE SCRUB IKO KITOFAUT SANA

❣KWANZA BREMBO COFFEE SCRUB IMECHANGABYWA NA VITU VUTAKAVYOILAINISHA SCRUB YAKO NA KUIFANYA ISIKUUMIZE

❣COFFEE SCRUB INA MCHANGANYIKO UNAOWEZA KUONDOA WEUSI ,MICHIRIZ , NA INAKUNGARISHA BILA KUTIA VIAMBATA SUMU

❣BREMBO COFFEE SCRUB INASAIDIA KUKAZISHA NGOZI , WALE WANAOTUMIA BREMBO WANAJUA ,BREMBO INAKUPA UJANA NA SIO KUCHOSHA NGOZI

BREMBO COFFEE SCRUN NI TOFAUT NA COFFEE SCRUB NYINGINE ,

BREMBO COFFEE SCRUN NI 18000 TU

17/10/2023

Hakuna ngozi nzuri bila kuwa na mafuta mazuri ya kulainisha ngozi 🥰🥰🥰🥰

Hakuna ngozi nzur bila kuwa na scrub nzur inayoondoa dead skin na inayokupa ngozi mngao au k**a tulivyozoea glow skin

Nasisitiza hata utumie lotion ya ma laki k**a hutokuwa na routin yako nzur ya ngozi ya mwilin basi umefel

Scrub 18000
Mosturizer 10000
Tupo tandika plaza
Del tunafanya

21/09/2023

Wamama wengi hili tatizo tunalo

Ukizingatia tuna majukumu kibao , lakin maden kibao , jitahid sana katika kupata muda wa kulala sababu ni tiba kubwa ya ngoz
🌷 unaweza tumia product nzuri lakin zisikubal kumbe sababu hulali vizur

🌷kila siku nasema uso huwa unaongea ,kabla hujaulumu basi utunze nao ukutunze

🌷tuko tandika plaza

🌷tunadanya del

Piga simu 0688847443

20/09/2023

Vitamin C serum OG kabisa kutoka korea kusin zipp duka.

60000 tu

Piga 0688847443

20/09/2023

😀😀😀😀😀😀😀
Haya njoon niwape skin care routine nzur yenye matokeoa chanya kutokana na aina ya ngozi yako

Piga 0688847443

31/08/2023

Mirejesho k**a yoteeeee

30/08/2023

*✋🏻BREMBO MOASTURISER*

✋🏻brembo tuna.moaturiser aina 2 za liquid izi kila moja inakazi na faida zake tuqnze na brembo moasturiser nyeupe👇🏼

-hii usaidia kulainisha ngozi na kuifanya ngozi muda wote kuwa laini na yenye unyevu

-ndani yaie ina👇🏼
-n**i
-mafuta ya ubani

-mazuri kwa watoto wadogo pia.

*(INAPATIKANA KWA TSH.10,000*

*✋🏻BREMBO MOASTURISER YA NJANO*

-Usaidia kung'arisha na kulainisha ngozi

-usaidia kuondoa weusi kwapani na mapajani (NK)

-HII INA👇🏼
-mafuta ya ubuyu
-carrot
-n**i
-manjano mbichi

*(INAPATIKANA KWA TSH.15,000)*

Kwa maelezo zaid piga simy 0688847443

30/08/2023

Hiv mnaona ninavyopost au 😆😆😆😆😆😆😆😆😆😆

Nyie chai tamuuu hii kitu.

28/08/2023

*🪵MATUMIZI YA BREMBO COFFEE SCRUB*

🪵Scrub usoni week mara1 mwilini week mara3

🪵Nawa mikono vizuri kabla kutumia brembo coffee scrub

🪵Tikisa brembo coffee scrub kabla ya matumizi

🪵Mimina kwenye vidole vyako na uanze kujisugua usoni taratibu kwa dk3-10(sio lazima zitimie DK10)

🪵Osha uso wako kwa maji tiririka(usikae na scrub usoni hata dk1)

🪵Jisugue mwilini taratibu kwa dk3-10(sio lazima zitimie DK10)

🪵ukimaliza kufanya scrubbing tumia brembo toner kubalance ph ya ngozi ya uso(usipake lotion yeyote usoni siku unayofanya scrubbing)

🪵mwilini ukimaliza scrubbing ruksa kupaka lotion na mafuta

🪵Brembo coffee scrub TSH.18,000.

❌USIKAE NA SCRUB USONI HATA DK1(MARUFUKU)❌

06/07/2023

🍒Huyu mama alikuwa anatumia sunscreen uson lakin hapak shingon , alipofika miaka 50 mambo yakawa hayo unayoyaona

🍒Sasa jiulize wewe usiyepaka hata uson sun screen utakuwa na hali hag ukifika miaka 50

🍒Hebu jiulize wewe usiyepala sun screen unaikosea kias gan ngozi yako kitu muhim

🍒Hebu jiulize wewe usiyepaka sun screen tutakavyokuamkia ukifika miaka 50 , yaan full shikamoo bibi na kupishwa kwenye siti ukipanda daladala

🍒Tuna sun screen za kila aina ya ngoz tupigie 0688847443

Tupo tandika plaza

Del pia ipo

14/06/2023

Kiukwel huwa nashangaa sana kwa sababu tiba ya kwanza ni sun screen , kiufup sun screen ni lszima kwa kila mtu lakin mwenye pigmentation my dia kwako ni xaid ya lazima ,narudia ni zaid ya lazima

Kwa ushaur piga 0688847443
Tupo tandika plaza

Want your business to be the top-listed Beauty Salon in Dar es Salaam?
Click here to claim your Sponsored Listing.

Category

Telephone

Website

Address


Temeke
Dar Es Salaam