AFYA BORA
Afya Ni Mtaji Jali Afya Yako Kwa Ajili Ya Maendeleo Yako. Karibuni Wateja Mpate Bidhaa Bora Kwa Changamoto Mbali Mbali Za Afya.
15/08/2022
05/08/2022
-Bidhaa zetu ni nzuri na zimethibitishwa na viwango vya kimataifa , karibuni tuwahudumie .
-Piga 0676 580 550
03/08/2022
-Karibuni Tuwahudumie Bidhaa zenye Lishe Bora na Zilizokidhi Viwango Vya Kimataifa Ksa Ubora.
-Kwa mawasiliano
Piga 0676 580 550
30/07/2022
-Tezi kibofu au tezi dume k**a ilivyozoeleka kutamka, ni kiungo ambacho ni sehemu ya mfumo wa uzazi vya mwanamme kinachouzunguka mrija wa mkojo.
- Tezi dume ipo katikati ya kibofu cha mkojo na dhakari na ipo mbele kidogo tu ya rektamu. Mrija wa mkojo unapita katikati ya tezi dume ukitokea kwenye kibofu na kuelekea kwenye uume, na kutoa mkojo nje ya mwili.
Kwa Mawasiliano piga 0676 580 550
29/07/2022
MADHARA YA PUNYETO AU KUJICHUA NA TIBA YAKE
1. punyeto humfanya uume kua lege lege na kuonekana mdogo/kibamia na usio jaza yaani mwembamba kabla ya awali ❤
2. Husababisha mwanamume kutoa mbegu haraka kipindi cha tendo la ndoa na mwanamke na kushindwa kumfikisha mwanamke kileleni.... (Premature ej*******on) anaweza akajikuta akigusa tu nanii ndani ya dakika cha he mheshimiwa anatapika. ❤
3. Ni moja ya chanzo Kikuu cha kupoteza nguvu za kiume, uume kusinyaa na kukosa nguvu kwa sababu ya kuharibu mishipa ya fahamu wakati MTU akijisugua katika kulitafuta bao ❤
4. Hupunguza idadi ya mbegu za kiume (low s***m count) hivyo ni mbaya sana kwa watu wanaotafuta mtoto na huleta infection na kusababisha,manii kuwa nyepesi na unapofanya jimai manii kutoka kwa mkewe badala ya kuingia ukeni na huweza kuwa sababu ya kutopata mtoto ❤
5. Husababisha mtu kusahau sahau sana na kushindwa kufanya vitu kwa makini zaidi ❤
6. Huleta utumwa wa kifikra kwani ukishaanza huwezi kuacha kirahisi (addiction) ❤
7. Punyeto husababisha mwanamke au mwanamume kukosa hamu kabisa na mwenza wake hivyo kuleta usumbufu kwenye mahusiano. ❤
8. Punyeto ni chanzo kikuu cha ngono za jinsia moja shuleni na vyuoni ambazo huambukiza magonjwa ya Zinaa k**a Gono, kaswende na Ukimwi kirahisi sana. ❤
9. Husababisha msongo mkubwa wa mawazo kwani mara nyingi kila umalizapo tendo hilo unajuta sana na kuapa kwamba hutorudia tena lakini ikifika mida Fulani sabuni k**a kawa ❤
10. Kijana kuondokwa na haja ya kuoa au kuolewa kwani anachokitaka anahisi anakipata na kupelekea kushindwa kuandaa familia yake . ❤️
11.Husababisha maumivu ya mgongo, kiuno, makende na kusinyaa kwa nywele ❤️
12.Hudhoofisha mwili na kuufanya uwe jalala la mardhi na stress zisizo isha ❤️
13.Huondoa nuru ya macho ❤️
14.Hufubaza ngozi na kufanya ionekane k**a ya mzee ❤️15.Huzidisha mapigo ya moyo kwa mhanga wa presha ❤️16.Husababisha ndoa nyingi kuvunjika ❤️
17.Kufanya mtu apende kutazama na kuwaza sana wanawake au picha za ngono au wanawake walio uchi ❤️18.maumivu ya kichwa mara kwa mara ❤️
19.kukosa nguvu kwenye joent za viungu ❤️
20.kuathiri mishipa ya fahamu na uti wa mgongo ❤️21.Hukosa utulivu wa nafsi kutokana na kuathirika na punyeto kwani miongoni mwa faida za ndoa ni utulivu wa nafsi! Na wako watu wameoa ila bado punyeto hawaachi hivyo wamekuwa mateja wa janga hili
Karibuni Mpate Tiba Lishe Ya Kuongeza Nguvu Za Kiume
Piga 0676 580 550 kwa maelezo zaidi
29/07/2022
Karibu tukupe Tina sahihi ya nguvu za kiume .
Ili urudishe heshima kwenye ndoa yako .
-Piga 0676 580 550
27/07/2022
Mazingira Na Sababu Hatarishi Zinaongeza Uwezekano Wa Kupata Maambukizi Kwenye Njia Ya Uzazi (PID)
-Kundi la wanawake wenye umri kati ya miaka 25 mpaka 35
-Kufanya ngono bila kinga
-Wanawake waliowahi kuugua PID huko nyuma ama kupata maambukizi mengine ya bacteria kwenye njia ya uzazi.
-Kusafishwa kizazi mara kwa mara na matumizi ya kemikali kujisafisha ukeni, kitendo ambacho kinaharibu bacteria wazuri na kusababisha ukuaji wa bacteria wabaya na fangus
-Matumizi ya kitanzi kwa ajili ya kupanga uzazi
-Kuugua UTI mara kwa mara, na wanawake waliwahi kutoa mimba wapo kwenye hatari zaidi ya kupata PID
-Uvutaji wa sigara na madawa ya kulevya.
《Karibuni Tuna Bidhaa Lishe Zinazotibu Kabisa Ugonjwa Huu 》
Kwa mawasiliano
0676 580 550 au 0628 755 400.
27/07/2022
TIBA YA TATIZO LA UPUNGUFU WA NGUVU ZA KIUME
-Hili ni tatizo ambalo huwanyima raha watu wengi kwasababu linaashiria upungufu flani wa kimwili, tunawashauri watu wengi wafanye mazoezi, kula chakula bora hasa asilia na pia wanywe maji mengi ili kuimarisha afya zao.
-Tatizo la upungufu wa nguvu za kiume linaondolewa japo ni kwa mda mrefu kidogo, wengi hudanganywa na kupewa dawa za kuongeza nguvu pale unapoenda kujamiiana na sio dawa ya kutibu.
Tunavyo virutubisho visivyo na kemikali vitakavyoondoa tatizo lako
-Piga 0676 580 550
26/07/2022
Je, Dalili Za Bawasiri Ya Ndani Zinakuwaje?
Wakati bawasiri ya ndani inapopanuka kwa kawaida huwa haina maumivu na huambatana na kushuka kwa njia ya haja kubwa na kutokwa na damu kidogo kidogo. Hali ya kushuka hutokea pale tishu ya bawasiri inapotokeza nje ya njia ya haja kubwa wakati wa kutoa kinyesi. Ni kawaida kujihisi tishu ya ndani ya njia ya haja kubwa kutoka nje na inachanganuliwa kwa hatua nne. Hatua hizi ni k**a hivi ifuatavyo;
Hakuna kutokeza kwa tishu
Tishu ya ndani ya njia ya haja kubwa inapotokeza hurudi ndani yenyewe
Tishu ya njia ya haja kubwa unalazimika kuirudisha ndani mwenyewe
Tishu ya ndani ya njia ya haja kubwa huwezi kuisukuma mwenyewe
-Karibu tukuhudumie piga 0676 580 550
26/07/2022
VYANZO VYA SUMU
Miili yetu imekuwa ikipokea sumu na uchafu kila siku kutokana ;
1. Matumizi ya dawa mara kwa mara
2. Matumizi ya pombe (Alcohol) na sigara
3. Mazingira na athari kutokana na maendeleo ya sayansi na teknolojia
4. Ukosekanaji wa lishe sahihi na diet nzuri
5.Matumizi ya madawa makali
6.Uzito mkubwa
7.Mitindo ya maisha
8.Njia za uzazi wa mpango za kisasa
-Piga 0676 580 550
26/07/2022
Dalili za kawaida za watu walio na digestion duni ni pamoja na:
1. Kukosa chakula:
Dalili za kutokusaga chakula k**a vile kulegea kwa tumbo na kujikunja kunaweza kusababishwa na kudhoofika kwa utendaji wa njia ya utumbo na kupungua kwa uchujaji wa tumbo; kwa kuongezea, kutokana na kupungua kwa ugavi wa juisi ya mmeng'enyo wa chakula, usawa wa mimea ya utumbo unaweza kusababisha kuchacha kusiko kwa kawaida na kusababisha kumeza chakula.
2. Maumivu ya tumbo na usumbufu:
Inahusiana zaidi na lishe. Inapendeza zaidi kwenye tumbo tupu, na usumbufu wa tumbo huongezeka baada ya mlo.Dalili mara nyingi husababishwa au kuchochewa na kula vyakula baridi, ngumu au viungo.Wagonjwa wengine wanahusiana na hali ya hewa ya baridi.
3. Kuhara au kuvimbiwa: mara nyingi sugu, lakini pia mbadilishano wa kawaida wa kuhara na kuvimbiwa.Kinyesi mara nyingi huwa mushy au kinyesi kilicholegea wakati wa kuhara.
4. Dalili nyingine: kichefuchefu, kutapika, asidi reflux, kiungulia, kupoteza hamu ya kula, uchovu, nk.
Piga 0676 580 550 kwa maelezo na matibabu zaidi
Click here to claim your Sponsored Listing.
Category
Contact the business
Telephone
Website
Address
Makumbusho
Dar Es Salaam
