Jay Jay
Contact information, map and directions, contact form, opening hours, services, ratings, photos, videos and announcements from Jay Jay, Health/Beauty, Stakishari, Dar es Salaam.
06/02/2023
MORNING PRESENTATION NA WANACHUO LEO
Wanafunzi hasa wa chuo msichanganye kati ya ELIMU na SHULE hivi ni vitu viwili tofauti nawashauri kujifunza kujenga network mapema kabla ya kumaliza chuo kwa sababu ni rahisi sana kufanya ukiwa chuo kuliko ukisubiri mpaka umalize!
Degree peke yake haitoshi kukufikisha mahali ndoto yako ilipo inakupasa kuwa na ujuzi wa tofauti utakaokutofautisha wewe na maelfu ya wahitimu wengine.
Ndoto zako zinaweza kuwa kweli k**a utaziamini na utaruhusu maono yako yakuongoze bila kukata tamaa ili kufika pale unapopaona.
"Earn money with your mind, not with your time" Anonymous.
Kwa mwanafunzi wa chuo mwenye nia ya dhati na uchu wa kutimiza ndoto na malengo yake makubwa kupitia biashara, wasiliana na mimi moja kwa moja sasahivi tuzungumze mambo ya msingi sana wiki hii hapa ofisini kwangu!
Nitumie sms "BIASHARA" hapa 👉 wa.me/713195474
Au sms ya kawaida kwa namba 0688438710
Hungry for success ðŸ˜
16/05/2022
Karibu kwenye group la afya ya uzazi kwa mwanamke kupata utatuzi wa matatizo yote ya uzazi, wanaosumbuliwa na fungus, P.I.D, Mimba zinazotoka mara kwa mara, uchafu ukeni, U.T.I, matatizo wakati wa hedhi, saratani ya kizazi, hormone imbalance, mikunjo kwenye kizazi, michubuko ukeni na maumivu wakati wa tendo la ndoa.
https://chat.whatsapp.com/J7ejAKWhJcs6cclbOT5dGZ
Bado unasumbuliwa na pumu na mfumo wako wa upumuaji una shida na labda umejaribu kutibu na imeshindikana basi hilo sio tatizo tena! Pumu(Asthma) isikusumbue tena!
Gingko Herbal Tea
Dawa hii imetengenezwa kwa mfumo wa chai
Gingko hutibu maradhi yanayoshambulia mfumo wa upumuaji,maradhi yanayohusiana na uzazi pamoja na maradhi mengine sugu.
Majani ya mmea huu hutibu maradhi ya ubongo, moyo na mishipa ya damu
Matumizi sahihi ya mmea huu husaidia kuupa ubongo uwezo mzuri wa kufanya kazi, kuimarisha kumbukumbu na kuzuia ugonjwa wa kutetemeka mwili kwa watu wazee sana inasaidia pia mwili kutozeeka na kushindwa kufanya kazi haraka
Mmea huu wa Gingko Biloba unaviambata visivyopungua 20 na viasilia vingine muhimu K**a Gingko lactone, Flavonoids n.k. ambavyo kwa pamoja husaidia mwili kuweza kudhibiti kiwango cha sukari hivyo basi kutibu na kuwapa nafuu wagonjwa wa kisukari, pumu na matatizo ya moyo.
WATUMIAJI.
Dawa hii inaweza kutumiwa na wale wanaosumbuliwa na matatizo ya ubongo na moyo
Ni nzuri kwa kwa watu wenye matatizo ya mafuta mengi katika damu na viungo K**a ini, figo na mapafu
Ni nzuri sana ikitumiwa na watu wanaosumbuliwa na mfumo wa upumuaji k**a pumu yaani 'Asthma"
Njoo uonane na madaktari bingwa
Pia ofa ya kipimo cha mwili mzima kwa tshs 20,000/= bado inaendelea
Tuko Ukonga-Banana (Dar es Salaam).
Wasiliana na sisi kwa namba 0713195474 na 0744660345
Whatsapp 0620516206
TUNALINDA UNACHOKITHAMINI
Click here to claim your Sponsored Listing.
Category
Contact the business
Telephone
Address
Stakishari
Dar Es Salaam
