Rahel wellness
taking good care of your health is your responsibility
NIMEPATA NGUVU, NAENDA MUDA MREFU NA SICHOKI HARAKA.
IJUE SIRI YA MACA
Ina Proteini nyingi katika mfumo wa Amino Acids (L-arginine),na Virutubisho muhimu vinavyosaidia Sana ktk kuupa mwili nguvu stamina na kuboresha Hamu ya TENDO*
Pia kirutubisho hiki husaidia:
kuuupa mwili nguvu, stamina (ustahimilivu na usichoke choke) na kuweza kurudia tendo.
kuupa mwili kiwango chakutosha cha madini ya chuma, zinki na selenium ambayo ni muhimu mno kwa ajili ya afya ya tezi na tendo.
kuboresha hamu ya tendo kwa wanaokosa hisia.
kubalance homoni mwilini
hiki kinasaidia sana kuboresha mfumo wa mzunguko wa damu na kusaidia Askari kulegea
uwezo wa mwili kutumia sukari kukupa nguvu na siyo kugeuzwa kuwa mafuta.
uzarishwaji wa mbegu hivyo huwasaidia wenye mbegu chache (low s***m count)
# husaidia kuondokana na msongo wa mawazo na kukupa utulivu wakati wa tendo.
kuboresha afya ya Tezi dume .
TUMIA MULTI MACA kwa afya ya TENDO na kuifanya afya ya TEZI iwe imara.
HII ni bidhaa maalum kwa ajili ya kuboresha na kurudisha HESHIMA yako na tendo kwa ujumla, zilizo Thibitishwa kuwa za asili zisizo na kemikali.
Inapatikana kwa Tsh 73000/= kwa kikopo kimoja.
Kwa mahitaji ya hii bidhaa tuwasiliane kwa namba hii 0626739537
Au fungua link hapo chini itakuleta WhatsApp moja kwa moja andika nataka Multi maca utahudumiwa kwa haraka zaidi.
https://wa.me/255626739537
Popote ulipo zitakufikia.
BORESHA HESHIMA YA YAKO KWA VIRUTUBISHO LISHE ARGI+ & MACA
ARGI+ & MACA ni virutubisho vyenye ubora wa hali ya juu, vilivyo saidia watu wengi sana Africa na Duniani kwa ujumla.
Asilimia kubwa ya Wanaume ambao waliwahi au wanaojihusisha na hukumbana na tatizo la upungufu wa nguvu za ambapo huwa mdogo k**a wa mtoto mdogo, kusimama lege lege na kuwahi kufika ndani sekunde au dakika chache na pia kushindwa kuendelea na tendo la . hii hutokana na mishipa kuwa dhaifu na kupungua kwa hisia
Kutoa mbegu k**a maji, zisizokua na uwezo wa kurutubisha yai la mama
Pia kunasababu nyingi zinazosababisha tatizo k**a magonjwa k**a Presha, Kisukari, Ngiri, na pia Msongo wa Mawazo ,Uzito mkubwa, migogoro ya ndani ,kutokufanya mazoezi, kukaa kwa muda mrefu sehemu moja zaidi ya Masaa 6+
Uvutaji wa sigara, unywaji pombe kupita kiasi, matumizi ya dawa za maumivu bila ushauri wa doctor, matumizi ya dawa za Ku boost, k**a za vumbi la Congo,za kimasai, Vi**ra n.k
Asilimia kubwa vyakula tunavyokula havina virutubisho vya kutosha na hupelekea mishipa ya damu kujaa mafuta na kushindwa kupitisha damu vzr sehemu muhimu hasa kwenye viungo vya uzazi ambapo vinahitaji damu kwa wingi Sana'a
Tumia Argi+ & maca vitakusaidia kuondokana na mattz yote ya mfumo wa wa mwanamke / mwanaume
FAIDA ZA ARGI+ & MACA
1- Inaongeza hamu ya tendo kwa jinsia zote akina mama na akina baba, STAMINA, na NGUVU wakati wa tendo.
2- Inasaidia kuongeza idadi ya mbegu na uwezo kuogelea vizuri (mobility)
3- Inasaidia kubalance kiwango cha sukari mwilini, hivyo huboresha hamu ya tendo kwa wenye changamoto ya kisukari.
4- Husaidia kwa wenye changamoto ya kuwahi kufika kileleni, na kushindwa kurudia. Husaidia kufanya misuri iwe vizuri zaidi
5- Husaidia ufanisi wa kazi za moyo.
6- Husaidia mishipa ya damu kufunguka na kutoa uchafu ulio ganda, hivyo kuweka standard preKWA re.,sukar
7- Inasaidia misuli kuwa imara na yenye nguvu, hivyo ni nzuri sana pia kwa watu wanaofanya mazoezi, n.k
8- Husaidia ku control mood na kukusaidia kua vzr kwenye Ubongo kwa kusaidia hewa ya Oxygen kusafiri vzr ,kukusaidia kurudisha kumbukumbu
9-Husaidia kukupa nguvu na kua Active mda wote kazini / husaidia kukuondolea uchovu uchovu mda wote
10-Husaidia kuimarisha mifupa /meno na kukuondolea maumivu ya mifupa/mgongo
-Husadia kwenye mfumo wa kinga mwilini/ husaidia uzalishaji wa Cell za ngozi
11-Bidhaa hizi zitakupa vitamin,Zinc, Calcium C,D3,K2,B6,B12 ,Folic acid,Carbohydrates, sugar, ambazo ni muhimu snaaa katika uzalishaji wa mbegu za kiume na kuzifanya kua na Afya ,pia kuimalisha Afya kwa ujumla
12- maca husaidia mwanamke kumuondolea ukavu kwa kuongeza Ute Ute na kufurahia tendo la ndoa vzr zaidi
NI PRODUCT SALAMA KABISA KWA MTUMIAJI, IMETHIBITISHWA NA MASHIRIKA MAKUBWA YA AFYA NA CHAKULA DUNIANI.
Kwa walio serious kupata package
PIGA/ WhatsApp
0626739537
CLICK LINKI HII 👇👇👇HAPA CHINI ITAKULETA MOJA KWA MOJA WHATSAPP
https://wa.me/255626739537?text=Naomba%20maelezo%20kuhusu%20Argi%2B%20na%20maca
24/06/2020
Ni nadra sana afya tuliyo nayo na tutakayo kuwa nayo kuzidi ufahamu tulio nao juu ya afya Bora.
You are Cordially Invited to this special *WOMEN’S HEALTH TALK*
Time: Jun 25, 2020 08:00 PM Africa/Dar_es_Salaam
Join Zoom Meeting
https://us02web.zoom.us/j/88350021369
*Meeting ID: 883 5002 1369*
24/06/2020
Dr Elizabeth Riwa alipungua uzito akiwa ananyonyesha bila kupoteza maziwa.
Hebu fikiri usalama wa program hii kiafya 👌
Ni program inayo fanya kazi na rahisi kuifuata kwa siku Tisa unapata matokeo mazuri ya kupungua uzito kitambi na tumbo kiafya.
Afya ya uzito na muonekano wako mzuri ni muhimu mno.
Piga/ ujumbe /whatsapp +255626739537
Kupata muongozo sahihi kiafya leo
17/06/2020
Afya na muonekano mzuri vimechukua nafasi kubwa ktk wakati tulio nao. Huwezi kukuta mtu asipende kuwa na afya njema na muonekano mzuri, anaweza kupenda vyote au kimoja wapo. Tukizungumzia afya njema na muonekano mzuri hatuwezi kuacha kuzungumzia suala la uzito.
💥Uzito umekuwa changamoto kubwa si tu nchini kwetu Bali duniani kote. Ukikutanana na watu 10, watano mpaka Saba wanashida ya uzito uliozidi, kitambi au tumbo.
Watu wamekuwa wakijiuliza: kwa nini sipungui uzito, kitambi au tumbo? Na hata nikipungua naongezeka kwa haraka zaidi.
Leo lipo suluhisho kwa ajili yako, tumeandaa mafunzo maalum online live siku ya kesho saa mbili kamili usiku ukiwa nyumbani, ofisini kwako unaweza kufuatilia na kupata majibu nini ufanye upungue na ukipungua usiurudie uzito wako wa awali.
Nenda play store au app store andika zoom cloud meeting halafu install. Link ya mkutano hiyo hapo na meeting ID ipo kwenye kadi.
Rahel wellnes is inviting you to a scheduled Zoom meeting.
Topic: Kwanini watu wengi wanashindwa kupungua
Time: Jun 18, 2020 08:00 PM Africa/Dar_es_Salaam
Join Zoom Meeting
https://us02web.zoom.us/j/87667095674
Meeting ID: 876 6709 5674
Ukihitaji msaada Ushauri na maswali piga/ ujumbe/WhatsApp +255626739537
16/06/2020
https://youtu.be/XAM9417AlkA
K**a ulikosa mafunzo maalum juu ya afya ya wanaume, tuliyo yafanya online live alhamisi ya wiki iliyopita,
Unaweza kufuatilia kupitia link hii you tube.
Ukihitaji msaada Ushauri na maswali piga ujumbe WhatsApp +255626739537
Every Man needs to hear this. Powerful training to improve Men's vitality Anti Aging Prostate Health
10/06/2020
Afya nzuri ya mtu ni sawa sawa na vitu anavyo vifahamu vya kumsaidia awe na afya aliyo nayo. Ni nadra afya ya mtu kuzidi kuwa bora huku ufahamu juu ya kuwa na afya njema ukiwa chini. Mafunzo haya yatasaidia kuongeza ufahamu juu ya kuboresha afya husani wanaume, bila kusahau wanawake maana ni wasaidizi wa familia. Mafunzo ni Bure kabisa ukiwa nyumbani, ofisini au popote pale unaweza kufuatilia yatakuwa online live kupitia zoom cloud meeting app saa mbili kamili usiku kesho. Karibu ukihitaji msaada.
WhatsApp/ujumbe+255626739537
NUKIA VIZURI NA UJISIKIE VIZURI SIKU NZIMA.
Aloe ever shield deodorant itakupa ujasiri wa kunukia na kujisikia vizuri siku nzima kwani:
☀️ Haina chumvi chumvi za aluminum (ant persiperant) ambazo ni chanzo kikubwa cha kansa
☀️Haizui jasho kutoka kwa kufungua vitundu vya ngozi kupumua kiurahisi
☀️ Haikai kwenye nguo (it doesn't stain clothes)
☀️ Inasaidia kuondoa weusi kwapani na sugu mapajani kwa walio na uzito mkubwa.
☀️ Inadumu kwa muda mrefu hivyo unapata faida nyingi kwa bei ndogo.
☀️Haichomi hivyo unaweza kutumia mara baada ya kunyoa.
Wasiliana nasi kuipata deodorant yako chapu chapu na UJISIKIE VIZURI muda wote
Piga/ ujumbe/ WhatsApp 0626739537
DEODORANT NZURI YA ALOVERA,,,,,HUTAJUTIA KUITUMIA
08/06/2020
KUTOPATA CHOO NA KUPATA CHOO KIGUMU NI HATARI SANA.
IJUE SIRI YA KUTUMIA ALOE VERA GEL
# Mfumo wa mmeng'enyo wa chakula hufanya kaz ya kuvunja vunja chakula,kufyonza virutubisho vilivyomo kwenye chakula na kuondoa uchafu utoka nao na mabaki ya vyakula nje ya mwili kwa njia ya kinyesi.
# Ili mfumo huu ubaki salama na ufanye kaz yake vizuri inatakiwa uchafu utolewe kwa njia ya haja kubwa ndani ya masaa 6 hadi 12.
watu wengi hawapati haja kubwa kwa mda; yaweza kua siku nzima,siku mbili, tatu wengine had NNE hivyo kufanya uchafu huu kujirundka.
unaobakia kwenye utumbo kwa mda mrefu heleta madhara makubwa sana kiafya ikiwemo.
1.Kutopata choo kabisa hii ni hatarii kwa husababisha bacteria waliopo kwenye uchafu kusababisha magonjwa kwa muhusika mfano UTI
2.Kupata choo kiigumu hvyo kumfanya MTU apate maumivu makali sana wakat wa kujisaidia wakati mwingine sehemu ya hajambo kubwa huchanika na kutoka dam.
3.Bawasili (nyama kuota kwenye njia ya
haja kubwa)
4. Magonjwa ya utumbo k**a kansa ya utumbo .
5. Humfanya MTU kukosa raha,kuwa na hasira hasira ,na kujisikia amechokachoka kwan mwili umebeba uchafu ambao ni sumu mwilini hvyo kuharibu mudi
KUJIEPUSHA NA MADHARA YATOKANAYO NA TATIZO HILI
Zipo njia mbali mbali za kukutumia kuepuka tatizo hili,
kuna virutubsho viwili vya asili ambavyo mm mwenyewe huvitumia na huwashaur wengine kuvitumia, ambevyo ni ALOE VERA GEL.
Hiki ni kirutubisho sio dawa na kina faida nyingi sana kiafya.
ALOE VERA GEL
Hiki ni kinywaji asilia kina uwezo mkubwa sana wa kusafsha mfumo wa mmeng'enyo wa chakula ,na kufanya utoaji wa uchafu kua rahisi na wakiwango kinachotakiwa.
Kinywaji hiki kina virutubisho zaid ya 75 na compaund zaid ya 200 vitamin 12,ikiwemo,B12,madini 20,amino acids 18 na enzymes. Na kimetengenezwa na alovera kwa asilimia 99.
Pia kinywaji hili husaidia
sumu zitokanazo na kemikali zinazoingia mwilin kwa njia ya vyakula ,madawa nk.
husaidia kuondoa vimbe na vidonda vya tumbo
kupunguza aleji mwilini na,huupa mwili nguvu,
kuimarisha kinga ya mwili.
kubalance sukari mwili
hiki husaidia sana kwenye mfumo wa chakula na kufanya kazi ya usafishaji wa mfumo wa mmeng'enyo wa chakula ufanyike vizuri.
Mbali ya faida hyo zpo nyngne k**a
mwili usipate athar za mionzi ya kua ,seli za kabsa na kurekebsha kiwango cha sukari mwilini.
kuboresha mfumo wa mzunguko wa damu
uwezo wa mwili kutumia insulin na hvyo kudhibit kiwango cha sukari kwenye damu
ufyonzwaji wa virutubisho
# husadia kutuliza kutapka tap kwa wajawazito( hutuliza morning sickness)
kupunguza cholesterol .
TUMIA ALOE VERA GEL kwa afya ya mmeng'enyo wa chakula na kuifanya afya yako iwe imara.
Kwa mahitaji ya hizi bidhaa tuwasiliane kwa namba hii
+255626739537
Au WhatsApp kwa fungua link hii https://wa.me/255626739537
Popote ulipo zitakufikia.
01/06/2020
DONDOO MUHIMU K**A UNATAKA KUPUNGUZA UZITO
Safari ya kupungua na kudhibiti uzito sio ya week moja, mwezi au mwaka Bali ni kwa maisha yako yote. Hivyo basi ni muhimu kutengeneza mfumo ambao kwako ni rahisi na rafiki katika kuhakikisha unadhibiti uzito wako.
Zifuatazo ni baadhi ya Dondoo zitakazokusaidia.
🎯Kula chakula unachokipenda kwa kiwango kidogo (balance diet). Watu wengi wanene wanadhani njia sahihi ya kupunguza uzito ni kujinyima kula chakula unachopenda.
🎯🎯 Usiache kula kwani unaweza ukanenepa zaidi.
🎯🎯 Usiache kula breakfast kila siku asubuhi. Watu wengi hasa wafanyakazi hawapendi kula breakfast kwa kisingizio cha kuwahi kazini. Hakikisha asubuhi unapata breakfast nzuri ( matunda/tunda, maziwa mboga za majani n.k)
breakfast-benefits.jpg
🎯Punguza kula sana (overeating). Unajua kwanini watu wengi wanashindwa kupunguza kula chakula? Ni kwasababu chakula ni kitamu.
🎯Ukiweza kujifunza kula kwa wakati na kiasi huwezi kunenepa sana. Usipende kula kila saa k**a nguruwe kwasababu umejisikia tu kula, panga ratiba yako ya kula na kwa wakati sahihi, hiyo itakusaidia kutokula ovyo.
🎯Kunywa maji ya kutosha kila siku. Kwa kawaida unatakiwa kunywa maji kwa ujazo wa glass 8 - 12 kwa siku ( 1 -3 lita).
🎯Maji yanasaidia sana katika umeng'enyaji wa chakula pia hata tishu, organi na seli za mwili zinatumia maji ili zifanye kazi vizuri.
🎯Punguza vinywaji vyenye caffeine k**a vile coca na energy drinks, majani ya chai na kahawa.
🎯🎯Ceffeine inamadhara makubwa sana mwilini ni pamoja na mfumo wa chakula, inaathiri sana ini.
🎯🎯Pia inazuia mwili kutumia virutubisho vingi mwilini.
🎯Hakikisha unafanya mazoezi ya kutosha kila siku na siyo kila jumamosi ya mwezi. Mazoezi ni njia kubwa na muhimu ya kupunguza uzito. Watanzania wengi hususani wa mijini hawafanyi mazozezi na ndo maana wengi wanavitambi wake kwa waume, hii inasababishwa na mfumo wao wa maisha kutowashawishi kufanya mazoezi japo kuna centre nyingi za mazoezi mijini, Wanapanda magari na vyombo vingine vya usafiri, pia wanakula sana junk foods ( chpsi, mishkaki pizza n.k ), hii hupelekea kuongezeka uzito kutokana na mwili kutopata virutubisho muhimu na kwa wakati. Chips na vyakula vingne k**a hvyo vina wanga nyingi na mafuta hivyo kufanya mwili utumie kiasi kidogo cha virutubish hvyo na kuhfadhi hvyo vingne kwa mfumo wa fat/ mafuta.
🎯Ni muhimu kujipa angalau dk 15 za mazoezi asubuhi na dk 15 nyingne jioni, hii itakusaidia kuchoma mafuta yaliyozidi mwilini. Ndyo maana unaona wanamichezo wengi hata wakila kwa kiwango kikubwa hawanenepi ovyo kwasababu wanaunguza calorie nyingi wanazokula kwakufanya mazoezi kila siku.
Pamoja na haya::::::
🎯Ni vema pia kuendelea kujifunza na kutambua umuhimu wa program zilizoandaliwa kwa ustadi wa hali ya juu sana ili kukurahisishia kujenga mfumo mzuri wa maisha utakao kusaidia kidhibiti uzito. Zipo Program za virutubisho k**a Clean 9 na FIT 15 ambazo zimethibitishwa kua na ubora wa hali ya juu duniani kote na kutumika na mamilioni ya watu.
Kupata muongozo sahihi kiafya na program ya C9 na F.I.T piga/ ujumbe/ WhatsApp +255626739537
28/05/2020
TUMIA MULTIMACA KUONDOA TATIZO LA AFYA YA UZAZI KWA MWANAUME NA MWANAMKE.
MULTIMACA ni kirutubisho kilichotengenezezwa kwa mizizi ya mmea unaoitwa maca unaopatikana nchini peru huko amerika ya kusini. Watu wa huko wanaitumia kwa ajili ya kuboresha mfumo wa uzazi kwa kuongeza nguvu za kiume na kuondoa tatizo la ugumba kwa wanawake.
FAIDA ZA KUTUMIA MULTIMACA.
1. HUSAIDIA KUONGEZA NGUVU ZA KIUME NA STAMINA YA MWILI.
2. HUONDOA UCHOVU MWILINI HASA PALE UNAPOMALIZA KUSHIRIKI TENDO LA NDOA. MARA NYINGI WANAUME WENGI WAMEKUWA WAKIKUMBWA NA TATIZO HILO SANA. YAANI AKIMALIZA KUSHIRIKI TENDO LA NDOA ANACHOKA NA ANASINZIA OVYO.
3. HUSAIDIA KUONGEZA HAMU YA TENDO LA NDOA KWA MWANAMKE NA MWANAUME.
4. HUIMARISHA MISULI YA UUME ULIOLEGEA NA KUUWEZESHA KUSIMAMA KWA MUDA MREFU.
5. HUSAIDIA KUONDOA UCHOVU UNAPOKUWA KAZINI PIA INASAIDIA KUONGEZA KUMBUKUMBU.
6. INAONGEZA IDADI YA MBEGU NA KUZIFANYA KUWA NA AFYA BORA. PIA ZINATAOKA KWA WINGI SANA.
7. PIA INASAIDIA KURUTUBISHA MAYAI YA MWANAMKE. KUNA WANAWAKE WENGI WAMEKAA KWENYE NDOA KWA MUDA MREFU NA WAMEKUWA WAKIHANGAIKA KUTAFUTA MTOTO NA PENGINE WAMEENDA HOSPITALI NA KUAMBIWA HAWANA TATIZO LOLOTE. SASA UKIITUMIA ITAKUSAIDIA KUBALANCE HOMONI ILI KUFANYA MAYAI YAKO YAWE NA AFYA YAWE NA UWEZO WA KURUTUBISHWA.
8. PIA INASAIDIA KUONDOA MSONGO WA MAWAZO.
9. INABALANCE HOMONI KWA WENYE TATIZO LA HORMONE IMBALANCES.
☆Mfano mzuri kwa wanawake kuna tatizo la kupitiliza kwa siku zao hilo sio jambo la kawaida ni ishara tosha kabisa ya hormone imbalances.
10.PIA INASAIDIA KUONDOA HALI YA UKAVU UKENI. ITAKUSAIDIA KUWEZESHA MWILI UWEZE KUTENGENEZA HORMONI INAYOITWA OSTREGEN AMBAYO INAZALISHA UTE UTE AMBAO UNAKUSAIDIA KULAINISHA SEHEMU ZA UKE NA WAKATI WA TENDO LA NDOA KUEPUKA MICHUBUKO. LAKINI PIA KUKUFANYA UWEZE KUFURAHIA TENDO LA NDOA.
Meza tembe(vidonge) mbili kwa siku.
Kopo moja utaipata kwa tsh.73000 tu
NB: HII SIO DAWA BALI NI KIRUTUBISHO AMBACHO KIMETHIBITISHWA NA MASHIRIKA YA CHAKULA NA DAWA DUNIANI NA HAPA TANZANIA KIMETHIBITISHWA NA TFDA.
KWA MAELEZO ZAIDI WASILIANA NASI KWA 0626739537 kwa wale WhatsApp andika " heshima " kwenda namba 0626739537 nitakusaidia mapema. " If you think wellness is expensive try illness "
Click here to claim your Sponsored Listing.
Category
Telephone
Website
Address
Charlesrahel85@gmail. Com
Dar Es Salaam
