Alan afya bora

Alan afya bora

Share

Contact information, map and directions, contact form, opening hours, services, ratings, photos, videos and announcements from Alan afya bora, Health/Beauty, kinondoni, Dar es Salaam.

10/06/2022

FAHAMU UGONJWA WA BAWASIRI AU KUOTA KINYAMA SEHEMU YA HAJA KUBWA NA NAMNA YA KUEPUKA NA UGONJWA HUU
~watu wengi wanasumbuliwa na tatizo hili ambalo huwafanya kuwa na uoga na aibu wa kuelezea na kushindwa hata kwenda hospital kupata tiba
JE, UNAJUA BAWASIRI/HEMORRHOIDS NI NINI????!!
~Ni ugonjwa unaotokana na kuathirika kwa mishipa ya damu ya ndani na nnje ya sehemu ya haja kubwa na wakati mwingine mishipa hiyo huweza kupasuka/kuteleza na kuvuja damu kwenye njia ya haja kubwa na kasababisha kutoka kinyama au uvimbe

~tatizo hili huwaathiri watu wote ila zaidi huwaathiri watu wazima kuliko watoto na inakadiriwa kuwa karibu 50%ya watu wote wako katika hatari ya kupata tatizo hili katika umri wa miaka 30_50
AINA ZA BAWASIRI

CHANZO CHA TATIZO LA BAWASIRI

KUATHIRIKA KWA MFUMO WA MMEN`GENYO WA CHAKULA
👉KUHARISHA KWA MUDA MREFU
👉TATIZO LA KUTOPATA CHOO
👉MATATIZO YA UMRI
👉KUKAA KITAKO KWA MUDA MREFU
👉UZITO KUPITA KIASI
👉MATUMIZI YA VYOO VYA KUKAA KWA MUDA MREFU

DALILI ZA BAWASIRI
👉Ngozi kuwasha katika eneo la tundu la haja kubwa
👉kupata maumivu makali wakati wa kujisaidia
👉kutokea uvimbe katika eneo la tundu la haja kubwa
👉kujitokeza kwa kinyama katika eneo la tundu Hilo
👉kinyesi kuwa na damu na kunuka harufu mbaya sana
MATIBABU NA JINSI YA KUEPUKA TATIZO LA BAWASIRI
~matibabu ya bawasiri hutegemea na Aina ya bawasiri pia tiba iliyozoeleka ni kukatwa kinyama na kuendelea na lishe ya chakula hata hvyo tiba hii si nzuri kwasababu huwa haitibu chanzo cha tatizo hivyo huwa rahisi kujirudi

*MADHARA YA TATIZO LA BAWASIRI*
👉kupata upungufu wa damu (anemia)
👉Kupata tatizo la kutokuweza kuhimil choo
👉hupunguza nguvu za kiume na kuondoa hamu ya tendo la ndoa kwa wanawake na wanaume.
👉kuathirika kisaikolojia
👉kukosa moral ya kufanya Kaz kutokana na maumivu makali
👉Kuna uwezekano mkubwa wa kupata saratani ya UTUMBOCANCER) kwa sababu kile kinyama kinakaa kwa msaada piga namba 0765867929

10/06/2022

Hii DAWA iliotengenezwa kwa viambata zaidi ya vinne na haina CAFFIENE inawafaa watu wa aina zotee.

AINA ZA VIAMBATA
✓MACCA Extract~inasaidia kuongeza Hamasa uzalishwaji wa mbegu za kutoshaaa!, Na kumpatia nguvu kila anapo tumia na baada ya kutumia( na hi ni maka ya Peru inayo fahaika kwa ubora namba moja duniani)

✓GINSENG Extract~ inakazi yakufungulia damu kwenye Mishipa na kuifanya damu ikae kwa muda mrefu katika mzunguko

✓Tongkat ALI Extract~ Inasaidia na kuifanya mtu aweze kua active kila wakati na kuondoa uchovu na kuifanya mtu kuwa mwenye nguvu na kasi kila wakati, ivo uondoa maumivu ya kiuno, mgongo, uchovu, KUTOKUA na amasa(hii imegundulika Bala la Asia na mtishamba wenye ubora Sanaa)

✓EPIMIDIUM Extract~ Inasaidia kuimalisha misuli kuweza kukaza na kukaa mda mrefu bila kulegea, na kuiruhusu damu kuzunguka katika mpangilio mzuri! Na kuboresha ujengwaji wa misuri mipya katika mwili

✓VITAMIN B II hi Inasaidia kugeuza sukari ya mwili AMBAYO upunguzaa nguvu kifanya kua nguvu mwilini na kuulinda moyo,na kujenga misuri na Mishipa ya fahamu

✓Mitishamba hii na virutubisho vimepatikana
CHINA,KOREA,AMERICA,AFRICA ilio katika ubora wa hali ya juu Sanaa! Na imethibitushwa
na FDA MAREKANI,TMDA Tanzania, TBS Tanzania,ISO,HALAL
Inawafaa watu wa aina zotee! na kubore
Afya yako bila mathala mengine
piga 0755 16 4112 kwa ushauri na tiba

30/05/2022
Want your business to be the top-listed Beauty Salon in Dar es Salaam?
Click here to claim your Sponsored Listing.

Category

Website

Address


Kinondoni
Dar Es Salaam