AFYA Maisha

AFYA Maisha

Share

karibu utatue changamoto zote za kiafya kwa kutumia virutubisho lishe muhimu vinavyo hitajika mwilin

10/02/2022

TIBA-MAUMIVU YA MIFUPA NA JOINTS

0624304279(WhatsApp)

Kutokana na sababu Mbalimbali,Watu wa jinsia zote Hupata Matatizo ya Mifupa Maungio na kadiri umri unavyozidi kwenda ndio watu hupata udhaifu wa mifupa na viungo kupelekea shida k**a gauti,arthritis,Osteoporosis n.k

DALILI ZA TATIZO
●Kupata Maumivu Ya mgongo,Kiuno,Mabega,Magoti Au Shingoni
●Magoti Kupiga Kelele Ukinyoosha mguu Au Kutembea
●Kushindwa Kutembea Kawaida Mpaka Upate Sapoti
●Joints Kuvimba Na Kuuma,Miguu Kufa ganzi
●Kushindwa Kutembea Au Kufanya shughuli Zako Za Kila Siku

SABABU ZA TATIZO
■Kukosa ute ute(synovial fluid)kwenye joints kutokana kuwa na Uric Acid nyingi
■Kuwa Na Uzani mkubwa kupelekea tishu K**a Sponji zinazoitwa gegedu(cartilage kuzidiwa hivyo kupelekea mifupa kusagika
■Upungufu wa madini muhimu Calcium Ambayo hupelekea mifupa Kuwa na Uzani Mdogo
■Kukoma Kwa Hedhi Kwa Akina Mama
■Kufanya Mazoezi Ya Viungo Bila Kuzingatia Lishe Nzuri
■Umri Mkubwa,Kupata Majeraha,Kurithi

TIBA ZETU
Tunatibu kwa Dawa za tibalishe Asilia Zilizofanyiwa utafiti Na Kuthibitishwa Kutatua Shida za Mifupa👇
●Zina Madini Ya Calcium ambayo ni muhimu kuongeza uhai wa mifupa na kufanya repair ya majeraha
●Zina Glucosamine na chrondroitin ambazo huongeza na kusaidia uzalishwaji wa ute ute (synovial fluid)
●Zina virutubusho vingine Muhimu K**a Vile Zinc,magnesium,sodium na Amino Acids ambayo huimarisha mifupa na joints kwa kiwango kikubwa Sana

Dose yake inategemea na ukubwa wa tatizo lenyewe,Ukitumia dose hii hutipata shida ya mifupa kwa miaka 5 mpaka 10 ijayo

Wasiliana Nami WhatsApp 0624304279

19/12/2021

TATIZO LA KUKOSA HEDHI.

Mara nyingi mwanamke anayekosa hedhi yaani hupata kila mwezi kitu kinaitwa INTERNAL BLEEDING.Maana yake ni kwamba huyu mama anableed ndani kwa ndani, ndio maana kuna wakati mwanamke huhisi dalili k**a yupo hedhi lakini haitoki nje, hizo dalili zikitokea ndipo ufahamu kwamba upo period but uchafu ule huishia ndani kwa ndani.

MRUNDIKANO WA UCHAFU
HUO NDIYO HUJA KUUNDA/
KUSABABISHA MATATIZO
MBALIMBALI KWENYE VIA VYA
UZAZI K**A;-

▶️Uvimbe kwenye kizazi au kwenye
mayai (Ovarian Cysts)

▶️Maambukizi kwenye via vya
uzazi yaani PID.

▶️Mirija kuziba.

▶️Mvurugiko wa vichocheo
(hormonal imbalance)

▶️Hali hizi huweza kusababisha
ugumba kabisa.

🦠HEDHI ndiyo inayoonyesha k**a afya ya uzazi ya mama ikovizuri au laa. Hivyo akina mama k**a una changamoto ya hedhi
na bado hujajaaliwa bado mtoto
ni vyema kupambana kuhakikisha
hedhi inakaa sawa sawa ndiyo
mambo mengine yatatiki.

K**a pia unaingia tarehe tofauti tofauti kila mwezi nayo hii pia ni hatari kwa afya ya mwanamke

K**A UMEHANGAIKA SANA
KUTATUA CHANGAMOTO HII
BILA MAFANIKIO KARIBU INBOX KWA MSAADA ZAIDI.

Call/whatsaaap 0624304279

Photos from AFYA Maisha's post 17/11/2021

TIBA YA ASILI YA KUTIBU VIDONDA VYA TUMBO KWA HARAKA

Napatikana WhatsApp 0624304279

Vidonda vya tumbo(Ulcers) ni ugonjwa unaowasumbua watu wengi kutokana na staili ya Maisha, Ulaji na Mazingira. Ugonjwa huu kitaalam unasababisha kuwa na michubuko katika kuta za tumbo au utumbo mdogo na hivyo kusababisha maumivu makubwa ya tumbo.

Wakati mwingine vidonda hivi huonekana kati ya tumbo na utumbo mdogo hivyo kitaalam tunaviita PEPTIC ULCERS, aina hii ya vidonda vya tumbo huwaathiri sana Wanaume kuliko wanawake.

DALILI ZA KUWA NA VIDONDA VYA TUMBO

Kuchoka bila sababu maalum
Kuumwa mgongo au kiuno
Kupungukiwa nguvu za kiume
Kizunguzungu
Kukosa Usingizi
Kichefuchefu
Kiungulia
Tumbo kujaa gesi
Tumbo kuwaka moto
Kukosa choo au kupata choo kwa shida
Kutapika nyongo
Kutapika damu au kuharisha
Sehemu za mwili kupata ganzi
Kukosa hamu ya kula
Kusahausahau na hasira bila sababu
Hizo ni baadhi tuu ya dalili za kuwa na vidonda vya tumbo lakini zipo nyingi, hivyo basi pindi uonapo moja kati ya hizo dalili ni vyema ukaenda kupima vidonda vya tumbo mapema.

SABABU KUU ZA KUPATA VIDONDA VYA TUMBO

(1). MSONGO WA MAWAZO(STRESS) : Hii imekuwa sababu kubwa kwa wenye vidonda vya tumbo pindi unapokuwa na msongo wa mawazo au mwili wako unapokosa uwezo mzuri wa kuratibu homoni na vimeng’enya chakula.

Hii itapelekea kuzalishwa kwa wingi Tindikali(Acid) ndani ya tumbo na hivyo kulipelekea ku

TIBA YA VIDONDA VYA TUMBO
Tiba Zetu Ni Bidhaa Za Asili Na Zenye Ubora katika kutibu vidonda vya tumbo na kukupa uhakika kupona kabisa na dawa hiyo ina uwezo wa kutibu vidonda vya tumbo kwa kiwango cha juu na bila kuleta madhara kwa mifumo mingine ya mwili hata k**a ikitumika kwa wingi. Watu waliotumia dawa hii na kupona wanaiona k**a tiba ya hali ya juu na ya kwanza kuwahi kutokea katika ulimwengu wa tiba za asili nchini Tanzania kwa kuwa wamepona kabisa vidonda vya tumbo kwa asilimia mia moja.

Kwa Mahitaji Tuwasiliane WhatsApp Namba 0624304279

https://chat.whatsapp.com/LfD2NglQz01J2FtiB6D7VV
https://chat.whatsapp.com/LfD2NglQz01J2FtiB6D7VV

15/11/2021

# AU KUOTA KINYAMA SEHEMU YA HAJA KUBWA # #

~watu wengi wanasumbuliwa na tatizo hili ambalo huwafanya kuwa na uoga na aibu ya kuelezea na kushindwa hata kwenda hospital kupata tiba.

JE, UNAJUA BAWASIRI/HEMORRHOIDS NI NINI????!!
~Ni ugonjwa unaotokana na kuathirika kwa mishipa ya damu ya ndani na nje ya sehemu ya haja kubwa na wakati mwingine mishipa hiyo huweza kupasuka/kuteleza na kuvuja damu kwenye njia ya haja kubwa na kasababisha kutoka kinyama au uvimbe

CHANZO CHA TATIZO
~chanzo halisi cha ugonjwa huu hakijapatikana ila Kuna vitu ambavyo huwa chanzo cha kupata ugonjwa wa bawasiri ambavyo ni÷
👉KUFANYA MAPENZI KINYUME NA MAUMBILE
👉KUHARISHA KWA MUDA MREFU
👉TATIZO LA KUTOPATA CHOO
👉MATATIZO YA UMRI
👉KUKAA KITAKO KWA MUDA MREFU
👉MATUMIZI YA VYOO VYA KUKAA KWA MUDA MREFU

DALILI ZA BAWASIRI
👉Ngozi kuwasha katika eneo la tundu la haja kubwa
👉kupata maumivu makali wakati wa kujisaidia
👉kutokea uvimbe katika eneo la tundu la haja kubwa
👉kujitokeza kwa kinyama katika eneo la tundu Hilo
👉kinyesi kuwa na damu na kunuka harufu mbaya sana

MATIBABU NA JINSI YA KUEPUKA TATIZO LA BAWASIRI
~matibabu ya bawasiri hutegemea na Aina ya bawasiri pia tiba iliyozoeleka ni kukatwa kinyama japo tiba hii haina matokeo mazuri kwasababu huwa haitibu chanzo cha tatizo hivyo huwa rahisi tatizo kujirudia.

~Pamoja na hayo bawasiri ni ugonjwa unaoweza kuepukika kwa kuzingatia
👉KULA MBOGAMBOGA ZA MAJANI, MATUNDA, NA NAFAKA ZISIZOKOBOLEWA
👉KUNYWA MAJI MENGI ANGALAU GRASS 8-12 Kwa siku
👉EPUKA KUKAA CHOONI KWA MUDA MREFU
MADHARA YA TATIZO LA BAWASIRI
👉kupata upungufu wa damu (anemia)
👉Kupata tatizo la kutokuweza kuhimil choo
👉hupunguza nguvu za kiume na kuondoa hamu ya tendo la ndoa kwa wanawake
👉kuathirika kisaikolojia
👉kukosa moral ya kufanya Kaz kutokana na maumivu makali

Pia unashauriwa kutumia matunda yenye vitamin C kwa wingi na pia zipo dawa zenye kiwango kikubwa cha vitamin C ambazo huweza kuondoa tatizo hili.

kwa ushauri bure.piga,
Whatsapp 0624304279

14/11/2021

GOITER INATIBIKA BILA UPASUAJI...!!
👉 BIDHAA ZA VIRUTUBISHO NI BORA ZAIDI KUTUMIA KWA AJILI YA KUTIBU UVIMBE WA AINA YOYOTE ILE MWILINI IKIWEMO GOITER

HIZI HAZINA KEMIKALI BALI HUTIBU CHANZO CHA TATIZO NATATIZO LENYEWE.

KWA USHAULI NA HUDUMA ZAIDI TUWASILIANE 📲📲;0624304279/0656030706

04/11/2021

UTAJUAJE K**A UNA FANGASI SUGU?👇

Kuna dalili nyingi zinazoonyesha kuwa una fangasi ukeni k**a zifuatazo;

Dawa Ninayo Mimi-0624304279(WhatsApp)

1.Kuwa na miwasho sehemu za siri mara kwa mara

2.Vipele vidogo vidogo ukeni

3.Kutokwa na uchafu mweupe au wa rangi ya kijivu ukeni wenye harufu mbaya

4.Vidonda au kuwa na michubuko ukeni

5.Kutokwa na harufu mbaya ukeni

6.Kupatwa na maumivu makali wakati wa tendo la ndoa au tumbo La chini

7.Kuvimba au kuwa mwekundu katika mdomo wa nje ya uke.

8.Kuwaka moto ndani na nje ya uke.

Je una dalili hizo? tuna tiba ZENYE UBORA kwa ajili ya Kukusaidia kutibu fangasi sugu na magonjwa Mengine Ya sehemu za siri

Kwa Tiba Na Ushauri Njoo WhatsApp-0624304279-Haipatikani katika Maduka Ya Dawa
https://chat.whatsapp.com/LfD2NglQz01J2FtiB6D7VV
https://chat.whatsapp.com/LfD2NglQz01J2FtiB6D7VV

29/10/2021

-kuondoa fangasi na U.T.I sugu
-kuondoa miwasho sehemu za Siri
-kuondoa uchafu ukeni
-kuondoa harufu mbaya ukeni
-kuondoa maumivu wakati wa tendo la ndoa

27/10/2021

UNAWEZAJE KUTIBU UTI SUGU,FANGASI SUGU NA UCHAFU SEHEMU ZA SIRI KWA WAKATI MMOJA?

Tumia FEMICARE

Sio Dawa Ya Farmacy,Ninayo Mimi-0624304279(WhatsApp)

Ni tiba maalum kwa
maambukizi katika via vya uzazi kwa mwanamke;

➡️U.T.I. sugu,Kila ukitumia dawa za hospitalini,zinajirudi
➡️Kutokwa uchafu wenye harufu kali sehemu za siri,uchafu huu waweza kuwa wa njano,mweupe au maziwa.
➡️Kuwashwa sehem za siri.
➡️Uke kutoa harufu mbaya
➡️Maumivu Makali ya tumbo chini ya kitovu
➡️uke kuwa na ulaini sana
➡️Maumivu makali wakati wa tendo la ndoa
➡️kuvurugika kwa hedhi
➡️kutokwa maji maji ukeni kupita kiasi
➡️Maumivu wakati wa kukojoa na haja kubwa.
➡️Homa,uchovu,usingizi saa zote na kukosa ham ya mapenzi

FEMICARE HUSAIDIA ;

➡️Huzibua mirija ya uzazi iliyoziba
➡️utibu majeraha kwenye mirija ya uzazi
➡️Hukinga via vya uzazi dhidi ya maambukizi ya UTI,fungus na bakteria wabaya
➡️Husafisha sehmu ya uzazi kwa wanawake na kuweka katika Hali ya usafi na salama(natural cleansing)

Njoo WhatsApp- 0624304279

Want your business to be the top-listed Beauty Salon in Dar es Salaam?
Click here to claim your Sponsored Listing.

Category

Website

Address


Buzuruga
Dar Es Salaam