AFYA BORA DR JOJO

AFYA BORA  DR JOJO

Share

SULUHISHO LA MAGONJWA SUGU K**A PID, UTI, FANGASI, HOMON IMBALANCE, MAUMIVU WAKATI WA HEDHI

19/11/2025

OFFAA MAALUM YA LEO TU HII NI FUNGA MWAKA – ELF 35,000/=

PID • UTI • FANGASI • UCHAFU • HARUFU • MAUMIVU BAADA YA S*X 😔
Usiendelee kuvumilia kimya kimya.

✨ *VIGINAL DETOX*
✔️ Husaidia kusafisha mwili ndani
✔️ Kurejesha balance ya uke
✔️ Kuimarisha afya ya uzazi wa mwanamke

💰 *Bei ya offaa: TSH 35,000/= TU*
🎁 *Package ni CHACHE sana*
⏰ *Offaa ni ya LEO TU*

📩 **DM SASA** kabla hazijaisha
Afya yako ni thamani 💖

PIGA SIMU KABISA KUWAHI OFFA YAKO
Wasiliana Nasi Whatsapp 0764640623
Au call 0764640623

30/07/2025

Wasiliana Nasi Whatsapp no 0767660623

05/07/2025

HUDUMA MAALUM KWA WANAWAKE NA WANAUME 💚
📞 WASILIANA NAMI: Piga Simu au Tuma WhatsApp 👉 0767660623

Unasumbuliwa na mojawapo ya changamoto hizi?
❌ Fangasi uke.e.ni /sehemu za siri
❌ PID (maambukizi ya ndani ya kizazi)
❌ Harufu mbaya sehemu za siri na maumivu wakati wa tendo
❌ UTI sugu
❌ Kutokwa na uchafu ukeni
❌ Miwasho isiyoisha sehemu za siri
❌ Changamoto za uzazi (wanaume & wanawake)
❌ Matatizo ya nguvu za kiume

🎯 Natoa msaada wa kitaalamu, salama na wenye ufanisi kwa changamoto zako.

📌 Huduma zetu zinasaidia katika:
✅ Kuondoa uchafu na harufu kali sehemu za siri
✅ Tiba ya PID na UTI sugu
✅ Kuondoa fangasi na miwasho ya muda mrefu
✅ Kurejesha nguvu za kiume na uwezo wa uzazi
✅ Usafi wa ndani wa mfumo wa uzazi

✨ Tafuta mwongozo wa kitaalamu leo – kwa njia rahisi na salama.

📢 TUMA UJUMBE WHATSAPP SASA 👉 0767660623

22/06/2025

💥 *OFFAA YA LEO: FURSA YA WANAWAKE – BEI YA UPENDO*💥

*🔥 OFAA YA KUSAIDIA WANAWAKE 10 TU LEO 🔥*

🧕🏽 Je unapata uchafu, harufu, au kuwashwa sehemu za siri?
🤰🏽 Unajaribu kupata mimba bila mafanikio?
🥲 Unapitia changamoto ya fangasi au maumivu wakati wa hedhi?

👉🏽 Leo nimeamua kusaidia wanawake 10 kwa bei ya upendo!

🎁 *Ninatoa Dozi Kamili ya Viginal Detox kwa 35,000/- tu*

(Bei ya kawaida ni 50,000/- lakini leo NATIBU, SIUZII 🙏)

✅ Inasaidia:

* Kuondoa harufu mbaya ukeni
* Kutibu uchafu na maambukizi
* Kusaidia uzazi kwa mwanamke anayetafuta mimba
* Kuimarisha uhusiano wa ndoa kwa sababu uke unakuwa msafi na wenye afya

NOTE: *Ofa ni ya leo tu hadi saa 2 usiku*

🚚 Delivery ndani ya Dar es Salaam
📦 Mikoani tunatuma kwa basi/laini yoyote

Call / Whatsapp 0767660623

Visit TikTok to discover videos! 19/06/2025

MUHIMU SANA

Visit TikTok to discover videos! Watch, follow, and discover more trending content.

Visit TikTok to discover videos! 19/06/2025

MUHIMU SANA
0767660623

Visit TikTok to discover videos! Watch, follow, and discover more trending content.

TikTok · Jojo@23 16/06/2025

HOMON IMBALANCE (KUVURUGIKA KWA HOMONI)*
:Hili ni tatizo linalowakumba wakina mama(wanawake) wengi ambalo husababishwa na kiwango kidogo cha hormone ya ESTROGEN.

*VYANZO VYA KUVURUGIKA KWA HORMONE*
➡Utoaji wa mimba
➡Uwepo wa sumu mwilini.
➡kutokula mlo uliokamili au mfumo mbovu wa maisha.
➡Family history(upungufu wa ongezeko ya homoni ya progesterone
➡mabadiliko ya mazingira au hali ya hewa.
➡uzito mkubwa
➡Msongo wa mawazo.
➡Kutofanya mazoezi.
➡Matumizi ya kisasa ya uzazi wa mpango.
➡Kukoma kwa hedhi.

*Dalili za kuvurugika kwa homoni*
✅Maumivu wakati wa tendo LA ndoa.
✅Kutoshika mimba.
✅Mzunguko wa hedhi kubadilika.
✅Kuongezeka uzito.
✅Kupungua hamu ya tendo LA ndoa.
✅Kupoteza kumbukumbu.
✅Hasira za Mara kwa Mara.
✅Damu kutoka nyingi wakati wa hedhi au kutoa damu yenye mabongemabonge
✅Uke kuwa mkavu.
✅kutoka jasho jingi usiku.
✅maumivu chini ya kitovu wakati wa hedhi
✅mzio wa vyakula/Allerg kuchaguachagua vyakula.

*Madhara ya kuvurugika kwa homoni*
✔kutoshika ujauzito kwa mda mrefu.
✔Mimba kuharibika Mara kwa Mara.
✔Kuwa mgumba.
✔U.t.I Mara kwa Mara.
✔Uvimbe kwenye via vya uzazi wa mwanamke.(fibroids)
✔kuziba kwa mirija ya uzazi.
saratani.

*Hormone imbalance inatibika ondoa shaka,,jali afya yako
Kwa ushauri na tiba kuhusu tatizo hili usisite kuwasiliana nasi kwa no.
uweze kuipata Tiba 0767660623

TikTok · Jojo@23 Check out Jojo@23’s post.

11/06/2025

TOPIC/MADA⏩TATIZO LA UKE KUWA MKAVU (VAGINAL ATROPHY)

Kwa kawaida kwa kila mwanamke,uke wake unapaswa kuwa na hali ya unyevunyevu kutokana na ute mwepesi unaozalishwa ili kusaidia kuuweka uke katika hali hii.
Hormone inayojulikana k**a estrogen ndo inayofanya kazi ya kufanya ute ute huu kuzalishwa ili kufanya uke kuwa na unyevunyevu na kuta za uke kuwa zinavutika(elastic).Pia ute huu husaidia kuweka sawa mazingira rafiki kwa mbegu za kiume,ili zinapokuwa zimeingia zisiweze kufa hadi zinapolifikia yai.

Kiwango cha estrogen kinaweza pia kushuka kutokana na vitu vifatavyo:

📌.Kuzaa na kunyonyesha. Kipindi hiki mwili unazalisha hormone ya maziwa (prolactin hormone) ambayo pia inazuia kuzalishwa kwa hormone ya estrogen.

📌Matibabu ya saratani. (Tiba ya mionzi na dawa za saratani)

📌Kutolewa mifuko ya mayai( ovaries)

📌.Dawa zinazozuia uzalishwaji wa hormone ya estrogen kwa watu wenye tatizo la Uvimbe kwenye kizazi, (fibroids na endometriosis)

DALILI ZA KUWA NA UKE MKAVU

📌Maumivu wakati wa kushiriki tendo
📌Kusinyaa kwa kuta zauke
📌Kutokwa na damu wakati wa tendo
📌Kupoteza hamu ya tendo kutokana na maumivu
📌Maumivu ya uke wakati wa kufanya mazoezi kutembea, kukaa au kusimama
📌Kubadilika kwa mwonekano wa uke na mashavu ya uke
📌Kubadilika kwa tabia ya ute unaotoka ukeni
📌Kupata hisia za kuungua ukeni
📌Msongo wa mawazo na kuhisi mabadiliko makubwa mwilini mwako

SULUHISHO LIPO LA UHAKIKA NDANI YA SIKU 14 📞0767660623

11/06/2025

TOPIC/MADA⏩ KUSHINDWA KUZALISHA MAYAI (Anovulation)
Hii ni hali ambayo kwa asilimia kubwa hupelekea ugumba kwa wanawake wengi sana.

CHANZO CHA TATIZO HILI NI

⏩Matatizo Ya Homoni

Matatizo ya homoni ndiyo yenye mchango mkubwa zaidi kwenye kumfanya mwanamke ashindwe kuzalisha mayai. Uzalishwaji wa mayai hutegemea mchanganyiko wa homoni utakaofanya kazi kwa kuhusiana bila kuvurugwa katika utendaji wake wa kazi.

⏩Makovu Kwenye Ovari

Uharibifu kwenye ovari unaweza kusababisha ovari hizi kushindwa kuzalisha mayai. Operesheni za mara kwa mara hujenga makovu kwenye ovari hizo na kuzifanya zishindwe kuzalisha mayai.

⏩Mirija ya uzazi kuziba au kujaa maji
⏩Maambukizi katika via vya uzazi

DALILI ZAKE NI ZIPI

⏩kukosa hedhi kwa muda mrefu
⏩kukosa ute wa mimba katika kipindi cha ovulation

USIENDELEE KUTESEKA NA CHANGAMOTO HII SULUHISHO LIPO whatAssp 0767660623

06/06/2025

Tatizo lakutoka uchafu wenye harufu mbaya ukeni lina suluhisho nipigie au Whatsapp nikusaidie suluhisho mapema
#0767660623

25/02/2025

Mambo ya utee mwanamke unatakiwa kuwa hot
Bonyeza link KUINGIA kwenye group
Follow this link to join my WhatsApp group: https://chat.whatsapp.com/JZIKkLo5p3OKTK224lL13V

08/02/2025

Wasiliana nasi: 0767660623 kwa ushauri na tiba.

Namshukuru MUNGU nimeweza kusaidia wanawake wengi wenye changamoto ya Uzazi pamoja na Uvimbe Aina zote , haijalishi umeangaika kiasi gani umetumia dawa Aina ngapi, njoo
Tukusaidie kuleta furaha ya ndoa yako, Nimesaidia wengi wenye changamoto ya Uzazi na PID,Nina Imani hata wewe utafanikiwa na kuleta shukrani kwangu.

_Kutibu PID sugu

_Kutoa harufu uk:eni

_ Kuondoa Maumivu chini ya kitovu

_ Kupata hamu ya tendo

_Kuondoa Uvimbe kwenye kizazi

_Uti sugu

_Ovarian cysts

_Kubana uk:e

_Kizazi kulegea

_Maumivu wakati wa tendo la ndoa

_Kukosa Ute wa ovulation

_Hormone imbalance

_Fibroids

_Maji maji Uk:ni

_Picos

_Bawasili

Au Wasiliana nasi kwa Whatsapp: 0767660623
BONYEZA LINK KUINGIA KWENYE GROUP
Follow this link to join my WhatsApp group: https://chat.whatsapp.com/JZIKkLo5p3OKTK224lL13V

Want your business to be the top-listed Beauty Salon in Dar es Salaam?
Click here to claim your Sponsored Listing.

Category

Telephone

Address


Mliman
Dar Es Salaam