Boresha afya 22

Boresha afya 22

Share

DEALS WITH
Reproductive health
Weight loss
skin care and personal care

31/01/2023

JE WAJUA MADHARA PUNYETO?

Wengi hupiga punyeto kujiridhisha tamaa za mwili k**a mbadala wa tendo huku wakijisahaulisha kuwa wanakaribisha fedheha kubwa apo baadae kushindwa kulimudu tendo Kwa ufasaha...
Chini apo ni madhara yatokanayo na punyeto;

🎗️ MWILI KUWA DHAHIFU
Husababishwa na kupoteza protein na madini ya calcium ambayo ni muhimu Kwa afya ya mifupa hivyo kupelekea mifupa kuumana na kuwaka moto pia mgongo na kiuno kusumbua

🎗️UPUNGUFU WA NGUVU ZA KIUME
Kutokana na kitendo Cha kujichua kuathiri misuli na mishipa midogo midogo inayouzunguka uume hupelekea mishipa hiyo kulegea hivyo kupunguza Kasi ya Mzunguko wa damu unavyotakiwa ili uume uweze simama imara.

🎗️ KUWA MTUMWA WA PUNYETO
Kwa mtu aliyezoea kufanya punyeto Huwa ni kilevi, hii hupelekea wanaume wengi kutokuona umuhimu wa KUWA na mahisiano na mwanamke pia Hali hii Huwa kubwa hata wakiwa katika ndoa kushindwa kuacha punyeto lazima akumbushie tu.

🎗️ MADHARA YA KISAIKOLOJIA
Kitendo Cha kujichua husababisha msongo wa mawazo(depression) na kujihisi vibaya na kupoteza kujiamini kabisa pale unapokuwa na mwanamke.

🎗️ KUWA NA MBEGU ZA KIUME CHACHE NA DHAHIFU
Punyeto inapunguza kiwango Cha mbegu za kiume(low s***m count). Hali hii hufanya baadhi ya wanaume manii zao KUWA nyepesi sana na anapomaliza kumwaga Kwa mwanamke kutoka nje kwani hushindwa kukimbia Kwa Kasi inayotakiwa.

🎗️KUTOKUWA NA HAMU YA TENDO
Sababu kubwa mhusika akisha athirika na punyeto hukosa hamu ya tendo kiasi kwamba mwanamke anamwona kawaida tu😁😁

🎗️ KUPOTEZA KUMBUKUMBU
Hili pia ni janga kubwa kwani punyeto huathiri uhifadhi wa kumbukumbu katika ubongo na kupelekea kusahau mara Kwa mara ilihali huu ni ugonjwa unaowapata wazee Tena umri ukiwa umeenda sana.

Ukiwa unakutana na changamoto au ni muhanga wa PUNYETO wasiliana nasi upate mwongozo na matibabu sahihi 📞0748440359
📞0742105344

20/12/2022

USIPO ZINGATIA HIVI VITU MUHIMU HAUTAKUWA RIJALI WAKATI WA TENDO UKIWA CHUMBANI 😋

MWanaume Unapojigundua kuwa huwezi kushiriki tendo la ndoa kikamilifu huwa unahangaika sana kutumia madawa bila kujua hasa chanzo cha tatizo na dawa unayotumia kazi yake ni ipi haswa!

Sababu hasa zinazofanya uanze kutumia dawa ni kwasababu, unakuta unawahi sana kufika kileleni, au mashine kusimama legelege baada ya round ya kwanza muda mwingine haisimami kabisa nk

Kwahiyo unapotumia dawa huwezi kupata matokeo ya kudumu ndo pale unakuta unafanya tendo bila kufika kileleni hadi mwenzio anachoka na wewe upo hoi, sasa hayo ni mapenzi au kukomoana tu!? 😀😂

Sasa njia sahihi ya kuweza kushiriki tendo kikamilifu na wote mkafurahia pamoja, nimekuandalia elimu fupi ambayo ntakuelezea utumie vitu gani ili uweze kuwa mwanaume wa shoka 😃💪

Wahi sasahivi kwa kunitumia ujumbe neno AFYA WhatsApp namba 0748440359/0742105344 au piga simu moja kwa moja

02/12/2022

IMARISHA AFYA YA UZAZI NA TENDO KWA FOREVER MULTI - MACA
Nikirutubisho ambacho kimetokana na mmea wa MACA unaopatikana nchini Peru. Wenzetu Peru wanachanganya kwenye chakula na mboga ili kuboresha na kuimalisha mifumo ya uzazi katika jinsia zote

Forever Multi - Maca ina Madini ya Zinc, Selenium, Chuma na Copper pamoja na vitamin B, C na D ambavyo vina muhimu mkubwa katika afya ya uzazi na mzunguko wa damu

FAIDA ZA MULTI - MACA

🔥 Husaidia kuupa mwili nguvu,Hamu, na stamina wakati wa tendo

🔥Huimarisha misuli ya ASKARI alielegea kutokana na kujichua

🔥Husaidia kwa wenye tatizo la kuwahi kufika kwenye tendo

🔥Husaidia kubalance hormones kwa wenye tatizo la Hormonal imbalance

🔥Husaidia kutoa mbegu zenye afya na zenye uwezo wa kuogelea na kulifikia yai kiurahisi

🔥Husaidia kuzibua uchafu kwenye mirija ya uzazi, hivyo kuepusha kuathirika kwa tezi dume

🔥Husaidia kupunguza msongo wa mawazo

TUNAFANYA DELIVERY TANZANIA NZIMA NA NCHI JIRANI.

Kwa mawasiliano WhatsApp 0748440359
Call0742105344

31/08/2022

NAFURAHIA TENDO! Hakuna tena KUWAHI KUFIKA KILELENI, Nasimamisha IMARA sio legelege tena, SICHOKI HARAKA, NARUDIA TENDO hata zaidi ya mara tatu nikiamua, kwa kutumia virutubisho lishe hivi Asilia, hakuna madhara yoyote tuliyoyapata sisi watumiaji

Tuma ujumbe neno AFYA JAMII kwenda whatsapp namba 0748440359 ,au piga usaidiwe mapemao

31/08/2022

➡️Kwa kawaida mishipa ikiwa imara mashine husimama Kwa muda mrefu sana bila kusinyaa❗

Mishipa ikiwa na shida, mashine husimama ikiwa lege-lege, au hushindwa kusimama kabisa.

Kwa wengi Changamoto hii husababishwa na mishipa kulegea hivyo kupunguzaa uwezo wake wa kupitisha damu kwa wingi kuingia katika Mashine.

➡️ Tabia ya Upigaji puny3to na ile ya utazamaji wa Picha za Ex kwa muda mrefu huweza kupelekea ubongo hushindwa kutuma taarifa kwenye moyo ili usukume Damu ya kutosha kwenda kwenye mashine!

Ndiyo maana w'/me wengi wanaoendekeza tabia hizo hupata changamoto ya kushindwa kusimamisha vizuri mashine zao.

➡️ Ikiwa changamoto hii inakusibu, basi hii iwe habari nzuri zaidi kwako,

Nimekuandalia program MAALUMU kusaidia wanaume kukabili changamoto hii.

Ni rahisi sana kujifunza;

Inahusisha hatua tatu (3) tu k**a ifuatavyo; 🎯

1. Kuondoa sumu zilizoingia kutokana vyakula/vinywaji/madawa yenye kemikali

2. Kuboresha Mzúnguko wa damu Mwilini ili damu ifike ya kutosha kwenye mashine kuiwezesha isimame muda mrefu zaidi.

3. Kuongeza nguvu na uwezo wa mashine kufanya kazi yake kwa ufanisi bila kuchoka haraka

➡️ Kwa maelezo zaidi check WhatsApp Au ukipiga simu 📲0748440359 Nitakupatia elimu zaidi BURE kuhusu hatua hizi

27/08/2022

Pata suluhu yako sasa

03/07/2022

HUSAIDIA KUIMARISHA AFYA YA UZAZI, MOYO, KINGA YA MWILI, MZUNGUKO WA DAMU, NGUVU ZA KIUME & STAMINA, MISULI & MIFUPA NA KUONDOA UCHOVU MWILINI KWA KUTUMIA👇👇

Juisi ya ALOE VERA GEL, ARGI PLUS na MULTI - MACA.

Virutubisho vilivyotokana na Aloe Vera, Matunda ya Zabibu, Komamanga, Berries na mzizi wa Maca. Inatupatia Vitamin A, B, C, D, E & K na Madini ya Zinc, Selenium, Calcium, Iron, Copper, Magnesium, Sodium, Amino na Folic Acid.

FAIDA ZAKE KIAFYA

1.Husaidia kusafisha mfumo wa mwili kwa kutoa sumu, taka na mafuta mabaya mwilini.

2. Husaidia kuboresha mfumo wa mmeng'enyo wa chakula.

3. Husaidia uzalishaji na ongezeko la idadi ya mbegu za kiume mwilini.

4. Husaidia kuzibua uchafu kwenye mirija ya uzazi, kuimarisha afya ya Tezi Dume na Kibofu cha mkojo.

5. Hupunguza na kuzuia kutanuka kwa Tezi na uwezekano wa kupata Saratani ( Cancer ) ya Tezi Dume.

6. Huboresha na kuimarisha afya ya Moyo, Ubongo, Misuli, Mifupa na Mzunguko wa damu.

7. Hupunguza maumivu ya mwili, Uchovu na kuupa mwili Nguvu na Stamina kwa muda mrefu.

8. Hurekebisha mfumo wa hormone na hupunguza kasi ya uzee.

Kwa ushauri na maelezo gusa link hapo chini.

https://wa.me/+25575742105344?text=Naomba%20maelezo%20kuhusu%20AloeveraMacaArgi+%2B%20na%20matumizi

31/05/2022

HUSAIDIA KUIMALISHA AFYA YA MOYO, MZUNGUKO WA DAMU, UZAZI, KINGA YA MWILI, MISULI, MIFUPA NA KUONDOA UCHOVU MWILINI KWA KUTUMIA 👇👇

FOREVER ARGI+ (PLUS).

Ni mchanganyiko wa L-Arginine na matunda ya Komamanga, Waini nyekundu, Matunda ya Berries k**a BlackBerry, Blueberry na StroBerry, Zabibu na Zambalau yakiwa na Vitamin B6, B9 & B12, C, D3 na K2

L - Alginine ni Amino Acid husaidia uzalishaji wa Nitric
Oxide mwilini. hurahisisha usafirishaji wa damu kutoka sehemu moja hadi nyingine ya mwili.

FAIDA YA ARGI PLUS

1. Husaidia msukumo wa damu kusafiri sehemu mbali mbali za mwili kwa wakati.

2. Hupunguza kiwango cha sumu mwilini.

3. Husaidia kuimalisha kinga ya mwili.

4. Huyeyusha mafuta mabaya kwenye mishipa ya damu (Cholesterol ).

5. Husaidia ufanyaji kazi mzuri wa Ubongo na Kumbukumbu.

6. Huimarisha afya ya Mifupa, Meno na Misuli.

7. Hurekebisha Insulin kwa kudhibiti kiwango cha sukari mwilini na kuupa mwili nguvu.

8. Huondoa Uchovu, Msongo Mawazo na Maumivu ya Kichwa.

9. Hurekebisha Homorne, hupunguza Kasi ya Uzee, huimalisha afya ya Uzazi na huondoa ganzi mwilini.

Kwa ushauri Piga simu au gusa link njoo inbox WhatsApp

https://wa.me/+255742105344?text=Naomba%20maelezo%20kuhusu%20ArgiPlus%2B%20na%20matumizi

03/02/2022

JILINDE, JIIMARISHE, BORESHA NA YA LA

Watu wengi wamekuwa na changamoto ya uvivu na ufanisi duni katika la hivyo kupelekea kukosa utoshelevu kwa mwenza wako.

Moja ya sababu kubwa ni mfumo wa maisha hasa VYAKULA na MAZOEZI.
Miili yetu ikikosa sahihi hupelekea tatizo katika sehem k**a , mzunguko wa damu, udhaifu katika misuli, na kuwa na ubora mdogo

Ikiwa unakumbana na changamoto yoyote katika hizi:-

√ kufika
√Kushindwa kurudia
√Kutoa nyepesi
√ ulio
✓ na kuwa ndogo.
✓Kukosa ya la

Suluhisho lipo andika neno whatsapp kupitia namba hii 0748440359

Want your business to be the top-listed Beauty Salon in Dar es Salaam?
Click here to claim your Sponsored Listing.

Category

Website

Address


Dar Es Salaam