dr_afya_gain

dr_afya_gain

Share

The HEALTHIER you are.. So Your MIND WILL BE.!���

25/06/2022

Talk to Yourself.. Know Yourself.!

08/04/2022

🏵️🏵️ SIPATI UJAUZITO NA MZUNGUKO WANGU WA HEDHI UKO SAWA, TATIZO NI NINI !!? 🏵️🏵️

⭕ Ni kweli kua Wanawake Wengi Wanapitia Changamoto Hii Ya Kutopata Ujauzito Ili hali Mizunguko yao ya Hedhi Iko Sawa,
🍎Kimsingi Kuna Sababu Mbalimbali Zinazoweza Kupelekea Mwanamke Kutobeba Ujauzito na Kua Mgumba na Sababu Hizo Ni k**a ifuatavyo:-

➡️- Kuziba kwa mijrija ya kupitisha mayai
➡️- Ovari kushindwa kutoa mayai ya uzazi au kutoa mayai isiokuwa na nguvu (lazy egg).

👉🏾 Mirija ya kupitisha mayai inaweza kuziba kutokana na;
➡️- Ugonjwa wa Pelvic Inflammatory Disease (PID), ambao unatokana na magonjwa ya zinaa yasiyotibiwa k**a kisonono na klamidia.
➡️- Mirija ya mayai kujaa maji
➡️- Utoaji mimba usio salama (unsafe abortions)
➡️- Upasuaji maeneo ya kiunoni
➡️- Ugonjwa wa endometriosis

👉🏾 Ovari kushindwa kutoa mayai ya uzazi inaweza kutokana na;
➡️- Umri mkubwa wa mwanamke, hasa miaka 35 – 40 na kuendelea.
➡️- Uvutaji wa sigara
➡️- Saratani ya Ovari
➡️- Mionzi (radiations)
➡️- Ugonjwa wa Polycystic ovarian disease (Ovarian Cyst)

Sababu nyingine za ugumba kwa mwanamke zinaweza kuwa;
➡️- Makovu katika mji wa uzazi kutokana na kutoa mimba.
➡️- Mabonge ya kizazi (uterine fibroids)
➡️- Kuziba kwa shingo ya uzazi
➡️- Kulegea shingo ya uzazi
➡️- Kisukari

🎯 USHAURI WANGU KWAKO.!

🔘 K**a Wewe Unapatia Changamoto Hii Ni Vema Sana Kufanya Vipimo Ili Kua na Majibu Ya Hakika na Ndipo Utajua namna ya Kujitibia. Matibabu yetu ni Salama na Uhakika kwani Wanawake wengi wameweza kuitwa MAMA.!

🌹TUNAHAKIKISHA KUWA JAMII INAFAIDIKA KWA KUPATA MATIBABU NA USHAURI JUU YA MASWALA YA AFYA.

👉🏾Sisi Tunasema THE HEALTHIER YOU ARE.. So Your MIND WILL BE.! 🔥🔥🔥

04/04/2022

🤩🤯🥳ALL TIME OFFER..!! 🔥🔥

👇🏾👇🏾

WhatsApp: +255692214564
🙏🏾🙏🏾

04/04/2022
Photos from dr_afya_gain's post 13/03/2022

12/03/2022

AFYA YA UZAZI KWA MWANAMKE..
P.I.D..
U.T.I..
FUNGUS

27/02/2022

🤔🤔 Mambo 5 Ya Ajabu Usiyoyafahamu Kuhusu Uke Wako..

1⃣ Uke una mfumo unaojisafisha wenyewe kwa ndani na ni sehemu moja ya mwili wako ambayo ni safi kuliko maelezo, safi kuliko hata midomo yetu.

2⃣ Uke una Mfumo unaosafisha damu ya hedhi na shahawa wenyewe, hauhijaji
msaada wa aina yeyote

3⃣ Uke wenye afya una bacteria, lactobacilli, ambao ni kawaida kuwepo humo. Hawa hupambana na vijidudu visivyopaswa kuwepo huko kulinda uke
na mfumo wa uzazi kwa ujumla.

4⃣ Uke wenye afya sio mkavu, muda wote una ute usiokua na rangi (k**a maji), mwepesi na unaonata. Uzito, wingi na mnato wa ute huu hutegemea na mabadiliko ya mwili wa mwanamke. (Jifunze kutofautisha ili ujue muda inapaswa kumuona daktari)

5⃣ Uke wenye afya una harufu, ambayo ni nzuri, murua na isiyokera
K**a harufu itakua kali na inayokera (k**a yai bovu) basi uke wako
hauko katika afya njema na unahitaji kumuona daktari.

*Tunza Uke wako.. Ili Ukutunze*

👉🏾Sambaza Ujumbe Huu.. Ili uwafikie na kuwasaidia watu wengi zaidi wasio fahamu Mambo haya.

Imeandaliwa na: Dr. Afya Gain.!
Simu/WhatsApp: 0692214564

👉🏾Sisi Tunasema THE HEALTHIER YOU ARE.. So Your MIND WILL BE.! 🔥🔥🔥

Photos from dr_afya_gain's post 27/02/2022

Suluhisho la Changamoto Mbalimbali za Uzazi kwa Mwanamke na Mwanaume k**a..
👉🏾 Kuto kushika Ujauzito
👉🏾 Ujauzito kutoka au Kuharibika
👉🏾 Mimba kutungwa Nje ya Mji wa Mimba
👉🏾 Maambukizi katika Via vya Uzazi.. K**a P.I.D, U.T.I na Fungus
👉🏾 Uvimbe k**a na , Pamoja na
👉🏾 Nguvu za kiume
👉🏾 Bawasili
👉🏾 Tezi Dume
👉🏾 Uwezo wa kurudia tendo tena na tenaa.

Kwa changamoto hizo pamoja na nyingine nyingi.. Wasiliana nasi kupitia namba.. 0692214564 Call/WhatsApp.!

👉🏾Sisi Tunasema THE HEALTHIER YOU ARE.. So Your MIND WILL BE.! 🔥🔥🔥




**na

Want your business to be the top-listed Beauty Salon in Dar es Salaam?
Click here to claim your Sponsored Listing.

Category

Telephone

Address


Dar Es Salaam

Opening Hours

Monday 07:00 - 16:30
Tuesday 07:00 - 16:30
Wednesday 07:00 - 16:30
Thursday 07:00 - 16:30
Friday 07:00 - 16:00
Saturday 08:00 - 15:00
Sunday 10:30 - 15:30