AFYA YAKO
get solutions of your health's problems
Karibu upate suluhisho la kudumu la magonjwa sugu bila upasuaji na huduma ya vipimo vya mwili mzima kwa TSH 20,000 kwa mawasiliano Zaidi wasiliana nasi kwa simu namba 0654899612
27/12/2023
Shout out to my newest followers! Excited to have you onboard! Ayman Mboko, Fetty Precious, Imani Mbilizi, Merry Vedasto, Meki Kitilo, Veronica Samsoni, Wakyuma Morandi, Mar Kulin, Suwedi Matovu, Rehema Rashidi, Elia Jr Kishuka, Aure Sumaye, Zuhura Juma, Samwel Jonas
12/11/2023
Karibu upate suluhisho la kudumu la magonjwa sugu bila upasuaji pia pata huduma ya vipimo vya mwili mzima(full body check up) kwa Tsh20,00
25/10/2023
12/10/2023
Karibu upate suluhisho la kudumu la magonjwa sugu bila upasuaji pia tuna ofa ya vipimo vya mwili mzima(full body check up) kwa Tsh20,000
11/10/2023
Epuka UGONJWA WA FANGAS UKENI na fahamu dalili zake na tiba yake kwa mawasiliano zaidi wasiliana nasi kwa simu namba 0654899612
SABABU ZA MVURUGIKO WA HOMON KWA WANAWAKE
a)Uwepo wa sumu Mfumo mbovu wa maishamwilini.
b) Mfumo mbovu wa maisha (Unbalanced lifestyle).
c) umri.
d) Kukoma kwa hedhi.
e) Kutofanya mazoezi.
f) Uzito mkubwa.
g) Mabadiliko ya mazingira au hali ya hewa.
h) Msongo wa mawazo.
i) Kula vyakula visivyo endana na blood group.
j) Upungufu wa lishe mwilini.
k) Matumizi ya njia za kisasa za uzazi wa mpango.
l) Utoaji wa mimba.
m) Family history (upungufu au ongezeko la homoni ya progesterone na estrogen).
0) Ethnicity, wanawake wa kiafrika wengi wana hili tatizo la ongezeko la homoni ya estrogen.
Dalili Za Mvurugiko Wa Homoni Kwa Wanawake:
Baadhi ya dalili zinazoweza kuonekana kwa mwanamke mwenye changamoto ya mvurugiko wa homoni ni k**a vile;
a) Ukavu ukeni.
b) Maumivu wakati wa tendo la ndoa.
c) Uchovu wa mara kwa mara.
d) Maumivu chini ya kitovu wakati wa hedhi.
e) Upungufu wa hamu ya tendo la ndoa.
f) Mabadiliko ya siku za hedhi na kupata hedhi kwa muda mrefu unaozidi siku7 (heavy menstrual bleeding).
g) Kukosa hedhi kwa muda mrefu, na kutoa damu yenye mabonge mabonge wakati wa hedhi.
h) Kukosa usingizi.
i) Homa za usiku na kizunguzungu cha mara kwa mara.
j) Mzio wa vyakula (allergy), kuchagua chagua vyakula.
k) Ongezeko la tumbo na nyama uzembe.
l) Kuharibika kwa ngozi (chunusi, vipele).
m) Maumivu ya viungo.
n) Upungufu wa nywele kichwani.
o) Kupata hedhi wakati wa ujauzito (progesterone ikiwa imezidi).
22/09/2023
Karibu upate suluhisho la kudumu la magonjwa sugu bila upasuaji kwa magonjwa ya tezi dume, uvimbe wa aina zote na kadhalika pia pata na ofa ya vipimo vya mwili mzima (full body check up) kwa Tsh20,000. https://wa.me/message/RPTBOLAISFLRF1
06/09/2023
Karibu upate suluhisho la kudumu la magonjwa sugu na tiba ya tezi dume bila upasuaji pia tuna ofa ya vipimo vya mwili mzima (full body check up) kwa Tsh20,000
14/08/2023
Karibu Eternal hospital kwa matibabu ya magonjwa na vipimo vya mwili mzima kwa Tsh20,000
Click here to claim your Sponsored Listing.
Category
Website
Address
Dar Es Salaam
255
