AFYA na ushauri

AFYA na ushauri

Share

TUNAWASAIDIA WATU KUONDOKANA NA CHANGAMOTO UZITO NA MATATIZO YANAYOAMBATANA NA UZITO MKUBWA
BUREEEE

Photos from AFYA na ushauri's post 19/09/2021

FAHAMU MATATIZO YA SABABISHWAYO NA UZITO ULIOZIDI
1, Shinikisho la Damu
2, Matatiyo ya moyo ( heart failure)
3, Kisukari
4, Matatizo ya ubongo ( brain strock)
5, kufeli kwa figo na kongosho
6, Kushindwa kushiriki vizuri tendo la ndoa
Pia kwanawake husababisha hata kupotea kwa siku zao za hedhi

Hayo nibaadi tu maana tulio wanene tunayajua zaid sijui miguu kuvimba na mengine
Je umejaribu kila njia ili upungue imeshindikana
Leo tunakuletea program ya virutubisho bora zaidi ambavyo vitakupunguza kwa mda mfupi tu

Program hii ni clean 9 C9
C9 huyeyusha mafuta yote yaliyoganda na kutengeniza minyama uzembe kwa siku chachet

TUMA WHATSAPP UJUMBE NENO *"AFYA "* kwenda namba *0717427805* AU PIGA USAIDIWE HARAKA
Tupo daresalaam na mikoan tunafika

19/09/2021

FAHAMU MATATIZO YA SABABISHWAYO NA UZITO ULIOZIDI
1, Shinikisho la Damu
2, Matatiyo ya moyo ( heart failure)
3, Kisukari
4, Matatizo ya ubongo ( brain strock)
5, kufeli kwa figo na kongosho
6, Kushindwa kushiriki vizuri tendo la ndoa
Pia kwanawake husababisha hata kupotea kwa siku zao za hedhi

Hayo nibaadi tu maana tulio wanene tunayajua zaid sijui miguu kuvimba na mengine
Je umejaribu kila njia ili upungue imeshindikana
Leo tunakuletea program ya virutubisho bora zaidi ambavyo vitakupunguza kwa mda mfupi tu

Program hii ni clean 9 C9
C9 huyeyusha mafuta yote yaliyoganda na kutengeniza minyama uzembe kwa siku chachet

TUMA WHATSAPP UJUMBE NENO *"AFYA "* kwenda namba *0717427805 AU PIGA USAIDIWE HARAKA
Tupo daresalaam na mikoan tunahudumia pia.karibuni

Photos from AFYA na ushauri's post 18/09/2021

JOINTS ( 0717427805)
๐Ÿ’ฅNi sehem ambayo mifupa miwili hukutana. Maumivu ya VIUNGO K**a vile kiuno, mgongo, miguu,shingo, miguu kuwaka moto, kukakamaa kwa misuri imekuwa ni changamoto kubwa hasa kwa wazee,wanamichezo,watu wenye uzito mkubwa, watu wanaopendelea kwenda GYM na watu wa Marika mengine kutoka na ukosefu la lishe na madini ya kutosha mwilini
๐Ÿ’ฅ๐Ÿ’ฅ๐Ÿ’ฅ VISABABISHI VYA MAUMIVU HAYO NI VIPI??
๐ŸŒ‘UMRI MKUBWA,kadri umri unavyoenda mwili unashindwa kuzalisha Ute Ute katika VIUNGO vya mifupa na kupelekea msuguano wa mifupa na kusababisha maumivu makali.
๐ŸŒ‘ JOINTS TEAR AND WEAR,Mara nyingi ugonjwa huu huitwa ARTHRITIS, husababishwa na hitilafu yoyote katika sehem hizo za maunguo ya mifupa inaweza kuwa cartilage Inalika.
๐ŸŒ‘ UPUNGUFU WA SYNOVIAL FLUID ( maji au Ute Ute katika maungio ya mifupa) na kusababisha msuguano wa mifupa
๐ŸŒ‘ Maambukizi ya vijidudu katika moja ya maeneo ya ya viungio vya mifupa K**a vile mgongo, shingo, mikono,kiuno nk
๐ŸŒ‘ Vimbe kwenye joints ambayo husababishwa na umri mkubwa, uzito mkubwa na ukosefu wa madini mwilini.
๐Ÿ’ฅ๐Ÿ’ฅ๐Ÿ’ฅTATIZO LISIPOTIBIWA HUSABABISHA NINI??๐Ÿ‘‡๐Ÿ‘‡
๐ŸŒ‘Macho kuwa makavu au mekundu, kutopenda mwanga na kutoona vizuri
๐ŸŒ‘Midomo kuwa mikavu, kupauka lips za Midomo na maumivu na maambukizi ya fizi( hii husababishwa na ukosefu wa madini mwilini)
๐ŸŒ‘Mishipa ya damu kushindwa kisukuma damu vizur na kusababisha tatizo la upumuaji au presha( hasa kwa wazee na watu wenye uzito mkubwa Sana)
๐ŸŒ‘ Kushindwa kutembea au kufanya kazi vizuri kutokana na maumivu makali.
Nk
๐Ÿ’ฅ๐Ÿ’ฅ๐Ÿ’ฅTIBA
๐ŸŒ‘kwa wazee wenye Matatizo K**a hayo wanatakiwa wapatiwe lishe ya kutosha, virutubisho asili vitakavyowasaidia Kuondokana na tatizo Hilo.
๐ŸŒ‘ Matumizi ya virutubisho vyenye asili ya mafuta ya Omega-3,Curcumin, Vitamin D3 na Glucosa chondroitin (ni virutubisho) na calcium na freedom za kutosha.
๐ŸŒ‘ Kufanya mazoezi huku ukipatiwa tiba lishe pia kwa wazee waweze kupewa muda wa kutembea tembea(mazoez kidogo) hasa nyakati za jion na asubuh chini ya uangalizi.

15/09/2021

Je unajua Nini ule na wakati gani?

Want your business to be the top-listed Beauty Salon in Dar es Salaam?
Click here to claim your Sponsored Listing.

Category

Telephone

Website

Address


Makumbusho
Dar Es Salaam