AFYA na ushauri
TUNAWASAIDIA WATU KUONDOKANA NA CHANGAMOTO UZITO NA MATATIZO YANAYOAMBATANA NA UZITO MKUBWA
BUREEEE
19/09/2021
FAHAMU MATATIZO YA SABABISHWAYO NA UZITO ULIOZIDI
1, Shinikisho la Damu
2, Matatiyo ya moyo ( heart failure)
3, Kisukari
4, Matatizo ya ubongo ( brain strock)
5, kufeli kwa figo na kongosho
6, Kushindwa kushiriki vizuri tendo la ndoa
Pia kwanawake husababisha hata kupotea kwa siku zao za hedhi
Hayo nibaadi tu maana tulio wanene tunayajua zaid sijui miguu kuvimba na mengine
Je umejaribu kila njia ili upungue imeshindikana
Leo tunakuletea program ya virutubisho bora zaidi ambavyo vitakupunguza kwa mda mfupi tu
Program hii ni clean 9 C9
C9 huyeyusha mafuta yote yaliyoganda na kutengeniza minyama uzembe kwa siku chachet
TUMA WHATSAPP UJUMBE NENO *"AFYA "* kwenda namba *0717427805* AU PIGA USAIDIWE HARAKA
Tupo daresalaam na mikoan tunafika
19/09/2021
FAHAMU MATATIZO YA SABABISHWAYO NA UZITO ULIOZIDI
1, Shinikisho la Damu
2, Matatiyo ya moyo ( heart failure)
3, Kisukari
4, Matatizo ya ubongo ( brain strock)
5, kufeli kwa figo na kongosho
6, Kushindwa kushiriki vizuri tendo la ndoa
Pia kwanawake husababisha hata kupotea kwa siku zao za hedhi
Hayo nibaadi tu maana tulio wanene tunayajua zaid sijui miguu kuvimba na mengine
Je umejaribu kila njia ili upungue imeshindikana
Leo tunakuletea program ya virutubisho bora zaidi ambavyo vitakupunguza kwa mda mfupi tu
Program hii ni clean 9 C9
C9 huyeyusha mafuta yote yaliyoganda na kutengeniza minyama uzembe kwa siku chachet
TUMA WHATSAPP UJUMBE NENO *"AFYA "* kwenda namba *0717427805 AU PIGA USAIDIWE HARAKA
Tupo daresalaam na mikoan tunahudumia pia.karibuni
18/09/2021
JOINTS ( 0717427805)
๐ฅNi sehem ambayo mifupa miwili hukutana. Maumivu ya VIUNGO K**a vile kiuno, mgongo, miguu,shingo, miguu kuwaka moto, kukakamaa kwa misuri imekuwa ni changamoto kubwa hasa kwa wazee,wanamichezo,watu wenye uzito mkubwa, watu wanaopendelea kwenda GYM na watu wa Marika mengine kutoka na ukosefu la lishe na madini ya kutosha mwilini
๐ฅ๐ฅ๐ฅ VISABABISHI VYA MAUMIVU HAYO NI VIPI??
๐UMRI MKUBWA,kadri umri unavyoenda mwili unashindwa kuzalisha Ute Ute katika VIUNGO vya mifupa na kupelekea msuguano wa mifupa na kusababisha maumivu makali.
๐ JOINTS TEAR AND WEAR,Mara nyingi ugonjwa huu huitwa ARTHRITIS, husababishwa na hitilafu yoyote katika sehem hizo za maunguo ya mifupa inaweza kuwa cartilage Inalika.
๐ UPUNGUFU WA SYNOVIAL FLUID ( maji au Ute Ute katika maungio ya mifupa) na kusababisha msuguano wa mifupa
๐ Maambukizi ya vijidudu katika moja ya maeneo ya ya viungio vya mifupa K**a vile mgongo, shingo, mikono,kiuno nk
๐ Vimbe kwenye joints ambayo husababishwa na umri mkubwa, uzito mkubwa na ukosefu wa madini mwilini.
๐ฅ๐ฅ๐ฅTATIZO LISIPOTIBIWA HUSABABISHA NINI??๐๐
๐Macho kuwa makavu au mekundu, kutopenda mwanga na kutoona vizuri
๐Midomo kuwa mikavu, kupauka lips za Midomo na maumivu na maambukizi ya fizi( hii husababishwa na ukosefu wa madini mwilini)
๐Mishipa ya damu kushindwa kisukuma damu vizur na kusababisha tatizo la upumuaji au presha( hasa kwa wazee na watu wenye uzito mkubwa Sana)
๐ Kushindwa kutembea au kufanya kazi vizuri kutokana na maumivu makali.
Nk
๐ฅ๐ฅ๐ฅTIBA
๐kwa wazee wenye Matatizo K**a hayo wanatakiwa wapatiwe lishe ya kutosha, virutubisho asili vitakavyowasaidia Kuondokana na tatizo Hilo.
๐ Matumizi ya virutubisho vyenye asili ya mafuta ya Omega-3,Curcumin, Vitamin D3 na Glucosa chondroitin (ni virutubisho) na calcium na freedom za kutosha.
๐ Kufanya mazoezi huku ukipatiwa tiba lishe pia kwa wazee waweze kupewa muda wa kutembea tembea(mazoez kidogo) hasa nyakati za jion na asubuh chini ya uangalizi.
Je unajua Nini ule na wakati gani?
Click here to claim your Sponsored Listing.
Category
Contact the business
Telephone
Website
Address
Makumbusho
Dar Es Salaam
