TIBA BORA NA USHAURI
TIBA BORA NA USHAURI ni page inayohusiana na tiba za magonjwa mbalimbali katika miili yetu, karibunii
07/03/2023
MADHARA YA SINDANO ZA KUZUIA MIMBA.
👉🏻Usumbufu wa hedhi
👉🏻Kuumwa kichwa mara mara
👉🏻Kizunguzungu
👉🏻Kichefuchefu
👉🏻Kuongezeka uzito usiokuwa na faida
👉🏻Kupunguza hamu ya tendo la ndoa
👉🏻Kusababisha Uvimbe kwenye kizazi (fibroids)
🔴 MADHARA YA VIDONGE VYA KUZUIA MIMBA.
👉🏻Huathiri fuko la uzazi kwa ndani na kusababisha uvimbe
👉🏻Kuongeza uzito wa ute utokao katika njia ya uke ili kuzuia mimba kutunga
👉🏻Kuumwa kichwa mara mara
👉🏻Kupata kichefuchefu
👉🏻Kutopata hedhi kwa baadhi ya wanawake
👉🏻Kubadilisha mwenendo wa damu
👉🏻Kuliathiri ini kidogo kidogo
👉🏻Kupata kisukari
👉🏻Kupata ugonjwa wa moyo
👉🏻Kupooza upande mmoja wa mwili.
👉🏻Kupunguza hamu ya tendo la ndoa
🔴MADHARA YA KIJITI.
👉🏻Husababisha saratani za aina mbali mbali
👉Kuchanganyikiwa kiakili
👉🏻Shinikizo la damu
👉🏻Maumivu makali wakati wa tendo la ndoa.
👉🏻Kusababisha ukavu uliopitiliza kwenye uke hivyo kusababisha vidonda
👉🏻Kupunguza kwa kasi kubwa hamu ya tendo la ndoa
🔴MADHARA YA KITANZI.
👉🏻Utokaji ovyo wa damu
👉🏻Kutoboka fuko la uzazi
👉🏻Kuongezeka kwa upana wa uke na kuifungua lupa na kufungwa kwa uzazi.
👉🏻Kitanzi kufyatuka na kusababisha upasuaji
👉🏻Kuondoa hamu tendo la ndoa.
K**a umeshaathirika na moja Kati ya njia hizi karibu.
UZAZI SALAMA🧬🦠 WhatsApp Group Invite
11/02/2023
𝐍𝐆𝐈𝐑𝐈 𝐘𝐀 𝐊𝐈𝐅𝐔𝐀 𝐍𝐀 𝐃𝐀𝐖𝐀 𝐙𝐀𝐊𝐄 (𝐇𝐢𝐚𝐭𝐮𝐬 𝐇𝐞𝐫𝐧𝐢𝐚)
Ngiri ya Kifua ni tundu linalotokea baada ya sehemu ya juu ya tumbo kuingia kwenye sehemu ya kifua kupitia uwazi ujulikanao kwa kitaalamu k**a ‘esophageal hiatus’. Uwazi huu hupitisha mrija wa chakula kwenda kwenye tumbo.
𝐀𝐈𝐍𝐀 𝐙𝐀 𝐍𝐆𝐈𝐑𝐈 𝐘𝐀 𝐊𝐈𝐅𝐔𝐀
SLIDING TYPE - Hii ni aina ya ngiri ambayo hutokea wakati sehemu ya juu ya utumbo inaposukumwa juu na kuingia kwenye upenyo wa esophagus hiatus k**a matokeo ya ongezeko la presha katika maeneo ya tumbo na hurudi katika hali yake ya kawaida wakati presha inapopungua.
FIXING TYPE - Hii ni ngiri ya kifua ambayo hutokea wakati sehemu ya juu ya utumbo inapokuwa kwenye maeneo ya kifua na haishuki chini.
𝐃𝐀𝐋𝐈𝐋𝐈 𝐙𝐀 𝐍𝐆𝐈𝐑𝐈 𝐘𝐀 𝐊𝐈𝐅𝐔𝐀:
Kwa kawaida aina hii ya ngiri haina dalili zozote mpaka pale ugonjwa umeshajijenga sana. Hizi ni baadhi ya dalili zake inapokuwa imekomaa sana:
1.Maumivu kifuani.
2.Vichomi vikali wakati unainama au umelalia mgongo
3.Kuongezeka kwa mapigo ya moyo.
4 Kumeza chakula kwa shida.
5.Kupumua kwa shida
𝐕𝐈𝐓𝐔 𝐕𝐈𝐍𝐀𝐕𝐘𝐎𝐒𝐀𝐁𝐀𝐁𝐈𝐒𝐇𝐀 𝐀𝐈𝐍𝐀 𝐇𝐈𝐈 𝐘𝐀 𝐍𝐆𝐈𝐑𝐈 𝐍𝐈:
1,Uvutaji sigara
2,Uzito kupita kiasi
3,Utumiaji wa madawa ya kulevya
4,Msongo wa mawazo (stress)
5,Kurithi
6,Kunyanyua vitu vizito
7,Kuinama muda mrefu
8,Kukohoa kwa muda mrefu
9,Ujauzito
10,Vyoo vya kukaa nk
𝑴𝑨𝑴𝑩𝑶 𝒀𝑨 𝑴𝑯𝑰𝑴𝑼 𝑲𝑼𝒁𝑰𝑵𝑮𝑨𝑻𝑰𝑨:
👉🏿Kula milo au chakula kidogo kidogo mara nyingi kutwa nzima
👉🏿Kula chakula cha usiku masaa 2 au matatu kabla ya kwenda kulala
👉🏿Punguza uzito k**a uzito wako upo juu
👉🏿 acha kabisa utumiaji Wa pombe na ainazote za ulevi
👉🏿Usivute sigara wala bidhaa nyingine za tumbaku (bangi nk)
👉🏿Usiiname mara tu baada ya kuwa umekula chakula
👉🏿Kisha kula chakula tembeatembea kidogo kwa miguu kuzunguka jiko lako au sebule
👉🏿Hakikisha unakunywa maji bila kusubiri kidogo kidogo kutwa nzima
UZAZI SALAMA🧬🦠 WhatsApp Group Invite
09/02/2023
Leo ninakuletea njia lishe (formula) ya kupunguza unene na uzito (kilo tano) kwa siku saba tu.
Siku ya 1: Asubuhi kula matunda,mchana chemsa kabichi weka chumvi kidogo na nyanya chemsha na upate supu; kula mchanganyiko huo na utajisikia umeshiba kabisa.Jioni kula tikitimaji na mbogamboga au kabichi k**a ulivyotengeneza mchana.
Siku ya 2:Kula mboga za majani asubuhi (usile mboga za majani zenye wanga k**a karoti).Mchana kula kabichi iliyochemshwa tengeneza na kachumbari,katika kabichi weka chumvi,pilipili na mafuta ya olive.Jioni unaweza kula mlo k**a wa mchana,lakini unaweza kukaanga mboga nyingine za majani.
Siku ya 3:Kula mboga za majani na matunda,unaweza kuongeza kiazi kitamu kimoja.
Siku ya 4:Kula ndizi moja na unywe maziwa ya mtindi wakati wa asubuhi.Mchana kula kabichi k**a ulivyotengeneza siku ya kwanza,usiku rudia mlo wa mchana.
Siku ya 5:Kula nyanya nne pamoja na samaki au kipande cha kuku asubuhi.Mchana unaweza kula samaki wa kuchemsha kiasi ambaye amechanganywa na nyanya.Wakati wa jioni unaweza kula chakula k**a cha mchana.
Siku ya 6:Unaweza kula chakula cha protini na mboga za majani,anza kwa kula kachumbari asubuhi.Mchana kula tambi kiasi na kipande kidogo cha samaki.Usiku tengeneza supu ya kabichi.
Siku ya 7: Anza kwa matunda na juisi.Mchana kula mboga za majani na usiku kula supu ya kabichi na kiazi kimoja.
KUMBUKA:
Unatakiwa kunywa maji angalau glasi nne kila siku.
Unapomaliza dayati ya kwanza,unapaswa kupumzika wiki moja huku ukitumia vyakula ambavyo havikuongezei tena uzito.
Utaendelea tena na dayati hiyo wiki tatu mpaka pale utakapofikia uzito unaouhitaji.
UZAZI SALAMA🧬🦠 WhatsApp Group Invite
07/02/2023
Nini Kinasababisha Maumivu Ukeni.
MAUMIVU UKENI;-
Uke ni njia inayopitisha mbegu za kiume kutoka kweye uume kwenda kwenye mji wa mimba. Kupata maumivu ukeni huchangiwa na sababu za kisaikologia ama uwepo wa maambukizi fulani. Kupata tiba ya mapema kwa tatizo lako la uke ni njia nzuri ya kupunguza uwezekano wa kupata athari zaidi kwa hapo baadae
Dalili za Kupata Maumivu Ukeni
Maumivu ukeni yanatofautiana kwa kutegemea chanzo cha tatizo dalili hizi ni k**a ifuatavyo
Kupata hali ya kuunguza
kuwasha sana ambapo ukijikuna unapata raha
Kupata maelengelenge na
Maumivuu wakati wa tendo la ndoa
K**a maumivu yako yanatokana na maambukizi eidha ya bacteria ama fangasi basi inaweza kuambatana na kutokwa na uchafu ukeni wenye harufu kali.
Nini Kinasababisha Maumivu Ukeni
Visababishi vikubwa vya maumivu ukeni ni maambukizi ya magonjwa ya
Fangasi
Gonorrhea na
Chlamydia
Visababishi vingine ni pamoja na
Madhara ya kiafya yaliyotokana na tatizo la kuzaliwa na upasuaji
Saratani ya mlango wa kizazi
Ukavu wa uke kutokana na kupungua kwa homoni ya estrogen (huwapata zaidi waliokoma hedhi)
Makundi yaliopo kwenye hatari kupata maumivu ukeni
Wanawake wote wapo kwenye hatari ya kupata maumivu ukeni;
Tatizo la maumivu ya uke huwapata karibu kila mwanamke katika point flani ya maisha yao.
Matatizo baadhi ya kiafya huongeza hatari ya kupata maumivu ya uke. mfano mabadiliko ya homoni kutokana na kujifungua, kukoma hedhi au upasuaji wa kuondoa kizazi huongeza hatari ya kupata maumivu makali ukeni.
Matumizi ya baadhi ya dawa pia kwa muda mrefu yanaweza kupelekea mwanamke kupata maumivu ukeni
Wanawake walioenda umri wanaweza kupatwa na tatizo hili kutokana na kukoma hedhi ambapo utengenezaji wa ute unaolainisha uke hupungua kwa kasi.
Vipimo Namna ya kugundua Tatizo kwenye uke.
K**a unapata maumivu ya uke mara kwa mara, weka mihadi uonane na dactari ili akufanyie uchunguzi kujua chanzo cha tatizo lako. Dactari atachukua historia yako ya kuumwa, anaweza kufanya uchunguzi wa kutumia mikono na macho(physical examination) ama uchunguzi zaidi wa maabara k**a itatakiwa hivo.
UZAZI SALAMA🧬🦠 WhatsApp Group Invite
29/10/2022
UPUNGUFU WA UZALISHAJI WA MBEGU ZA KIUME (LOW S***M COUNT) NA VISABABISHI VYAKE
Upungufu katika uzalishaji wa mbegu za kiume inahusiana na kutokuwepo kwa mbegu za kiume kwenye manii au uwepo wa mbegu kidogo sana katika manii.
Mbegu za kiume huwa zinachunguzwa kwa kutumia kifaa maalum katika
maabara, kwa kawaida mwanaume ili aweze kumpa mwanamke mimba anatakiwa atoe kiasi cha mbegu kati ya milioni ishirini hadi milioni mia nne kwa tendo, chini ya milioni ishirini huwezi kumpa mimba mwanamke.
Endapo kiwango cha mbegu zitakuwa kidogo kitaalam hali hiyo huitwa ‘Oligospermia’ na k**a huna kabisa mbegu hali hiyo huitwa
‘Azoospermia.Dalili za kutokuwa na mbegu za kiume Hakuna dalili za moja kwa moja kusema kwamba utaumwa kitu fulani, lakini dalili
zifuatazo huambatana na tatizo hili;
=kwanza ni kukaa katika mahusiano kwa kipindi
kisichopungua mwaka mmoja lakini mwenzi wako hapati mimba,
=kushindwa kufanya
tendo la ndoa kwa uume kukosa nguvu’ Low
s*x Drive’ na
=ukisimama unashindwa
kuendelea na kumalizia tendo ‘Erectile dysfunction’ pamoja na kuwahi kumaliza tendo la ndoa.
=Maumivu na uvimbe wa korodani, =kupungua kwa vinyweleo na ndevu kutoota pia ni dalili inayoashiria matatizo ya uzazi kwa mwanaume kwani ni ishara ya upungufu wa
Kromozomu au homoni za kiume.
Hizo zote ni dalili kuu za matatizo ya uzazi kwa mwanaume.
Kipindi au Wakati gani wa kumuona daktari au mtaalamu?
Endapo umekaa na mwenzio mwaka mmoja au zaidi, mnafanya tendo la ndoa bila kinga yaani kizuizi chochote wakati wa kupangilia ujauzito lakini mimba haipatikani. K**a una matatizo ya nguvu za
kiume au unawahi kumaliza tendo la ndoa. Unakosa hamu ya kufanya tendo la ndoa au uume unalegea wakati wa tendo pia ni mojawapo ya chanzo.
Unakuwa na maumivu ya korodani au korodani kuvimba, maumivu ya uume na maumivu wakati wa kukojoa au uwepo wa kivimbe katika uume.
Chanzo cha tatizo Uzalishaji wa mbegu za kiume unafuatana
na ubora wa korodani k**a haina tatizo lolote na kiwango bora cha mfumo wa homoni mwilini mwako. Homoni zinadhibitiwa katika ubongo na kuimarisha korodani zizalishe mbegu. Mbegu zikishazalishwa,
husafirishwa na mirija midogo sana na laini hadi katika tezi dume ’Prostate gland’ ambayo kazi yake kubwa ni kuzalisha manii.
Matatizo katika mbengu za kiume ni kutokuwepo kwa mbegu kunakosababishwa na hitilafu au matatizo kwenye korodani, kuzalisha mbegu zenye kasoro, mbegu zisizo na kiasi na mbegu chache.
Matatizo ya korodani husababishwa na joto kali katika korodani, maambukizi katika korodani na uume na kuumia korodani. Mishipa ya damu kulalia korodani ‘Variocele’ pia ni mojawapo ya tatizo kubwa la kuziba
kwa mirija ya usafirishaji mbegu hizo.
Zipo pia sababu za kimazingira zinazoathiri uzalishaji wa mbegu za kiume mfano kemikali za viwandani, rangi za viwandani
au majumbani, dawa za mashambani na za kuua wadudu, mionzi ya X- Ray, kukaa kwenye joto kali, kuvaa nguo za kubana na
kukaa mahali kwa muda mrefu, kupakata kompyuta ‘(Lap top)’ kwa muda mrefu, matumizi ya sigara, bangi na madawa mengine ya kulevya kwa muda mrefu na
ulevi uliokithiri. Uzito mkubwa wa mwili na matatizo ya akili.
Matibabu na ushauri hufanyika baada ya uchunguzi ambapo
daktari atatoa dawa kuzingatia na tatizo lililopo. K**a hakuna mbegu zipo chache au kuna maumivu au kasoro zozote. Uwepo wa kasoro
za viungo vya uzazi pia ni tatizo mfano, uume mfupi, kutokuwa na korodani au kuwa na korodani moja.
Upande mwingine wanaume anaweza kuwa anazalisha mbegu za kutosha lakini anashindwa kumpa mweza wake ujauzito kutokana na matatizo aliyonayo mwenza wake k**a
=kuwa na acidic katika uzazi ambapo huuwa mbegu za kiume zikifika ndani ya kizazi
=kuzalisha yai ambalo halijakomaa kwa wanamke
=kuhalibika kwa kuta za kizazi 'uterus' au kuwa zaifu na kushindwa kuhimili au kubeba ujauzito.
=upande mwingine wanaume kuzalisha mbegu mbovu au zenye matatizo.👇👇
https://chat.whatsapp.com/JXeB7eRb1Cr1NZujZ0i7fH
27/10/2022
🛑Wanawake wengi sana wanasumbuliwa na ugonjwa hatarishi wa P.I.D bila kufahamu kwani Mara nyingi wakienda hospitali wataaambiwa wana U. T.I na fungus
Ukweli ni kwamba ni P.I.D ambayo ni maaambukizi katika via vya uzazi vya mwanamke. Kirefu chake ni PELVIC INFLAMATORY DISEASE.
DALILI / Viashiria vya ugonjwa huu ni;
👉Uchafu unatoka sehemu za siri k**a mtindi,mweupe,cream,njano,kijani au brown,na wakati mwingine unachanganyika na damu,
👉kuwashwa ukeni
👉uke kutoa harufu mbaya
👉kupata maumivu chini ya kitovu wakati wotee
👉kupata maumivu makali wakaati wa tendo la ndoa
Madhara ya ugonjwa huu ukikaa mda mrefu ni;
⛔kushindwa kupata ujauzito.
⛔kupata saratani ya shingo ya kizazi.
⛔mirija ya uzazi kuziba
⛔mirija ya uzazi kujaa maji.
⛔mirija yako kuharibika kabisa
⛔kupata tatizo la hormone inbalance.
⛔kuwa mkavu Ukeni ambapo inakusababishia maumivu wakati wa tendo la ndoa
⛔kutokuwa na hamu ya tendo la ndoa
_
📌Usiendelee kuteseka Karibu tukuhudumie Upone.
📍N.B na k**a pia unasumbuliwa na
1. Tatizo la uvimbe kwenye kizazi ( fibroids)
2. Cancer ya shingo ya kizazi ( cervicitis)
3. Tatizo la kukosa hedhi , hedhi kubadilika badilika ( hormonal inbalance)
4.kukosa ujauzito kwa mda mrefu
5.. U.T.I Mara kwa Mara , fungus ukeni , miwasho ukeni , uchafu wenye harufu , kupata maumivu wakati wa tendo la ndoa usiendelee kuteseka karibuni tukuhudumie
Wasiliana nasi sasa. 👇👇
https://chat.whatsapp.com/JXeB7eRb1Cr1NZujZ0i7fH
26/10/2022
JE UNAPITIA CHANGAMOTO YA MIFUPA ???
-maumivu makali kwenye magoti
-magoti kushindwa kujikunja
-kusikia milio ya magoti kusagana
-kushindwa kuinama
-kusikia ganzi kwenye miguu
-mifupa kusagana
-maumivu kwenye maungio (joints)
-kiuno kuuma
-mgongo kuuma
-pingili za vidole kuvimba (gout)
SABABU KUU INAYO SABABISHA CHANGAMOTO HIZI NI K**A !
-Ajali
-Uzito ulipindukia
-kutumika kwa viungo kupitia kiasi mfano wanamichezo
-Historia ya familia
-Umri (30+)
JE UMEHANGAIKA KWA MUDA MREFU BILA SULUHU YA UHAKIKA ?
JE ULIFANYIWA UPASUAJI NA KUWEKEWA VYUMA ILA BADO MAUMIVU NI MAKALI SANA NA MIFUPA BADO INASAGANA ?
HUNA HAJA YA KUHANGAIKA TENA TUNAYO SULUHU YA VIRUTUBISHO AMBAVYO VITAONDOA KABISA CHANGAMOTO YAKO YA MUDA MREFU YA MIFUPA NA HAITOJIRUDIA TENA
Kwa mawasiliano zaid
Call/text 0692166171 au
Gusa link https://wa.me/message/F3S4CCRAP672H1
KARIBU TUKUHUDUMIE ..,ASANTE
26/10/2022
*JE KUNA MADHARA YA KUTOA MIMBA⁉️*
Kabla hujafiria kutoa mimba, ni muhimu kufahamu matokeo mabaya kiafya yanayoweza kujitokeza siku za mbele baada ya kufanya kitendo hichi, hasa kwenye swala zima la uzazi.
*NINI KINATOKEA BAADA YA KUTOA MIMBA?*
Wanawake wengi hupata dalili hizi siku chache baada ya kutoa mimba, dalili ambazo zinaweza kuchukua mpaka siku 21 kuisha
1. ```kutokwa damu kwa week 2 mpaka 4
2.muumivu ya nyonga
3.mwili kukosa nguvu na kusinzia ovyo
4.kutapika na kizunguzungu```
*MADHARA MAKUBWA YANAYOWEZA KUJITOKEZA BAADA YA KUTOA MIMBA NI PAMOJA NA:*
🔆 ```majeraha kwenye mlango wa kizazi na kizazi
🔆kutokwa damu kupita kiasi mpaka kuishiwa damu
🔆mimba kushindwa kutoka yote(incomplete abortion) na hivo kuhitaji upasuaji mwingine
🔆maambukizi sugu kwenye via vya uzazi(PID)
🔆makovu kwenye tumbo la uzazi
🔆kufanyika kwa mashimo ndani ya kizazi
-mgonjwa kufariki```
*MADHARA YA MUDA MREFU BAADA YA KUTOA MIMBA*
🔆 ```kujifungua mtoto kabla ya muda wake kutimia(pre-term deliveries
🔆kutoa mimba husababisha kulegea kwa mlango wa kizazi na hivo kuongeza hatari ya mimba zijazo kutoka ama kujifungua kabla ya wakati yaani chini ya week 37.
endapo mtoto atazaliwa chini ya muda wa week 37 anaweza kupata madhara ya kiafya k**a matatizo ya ubongo.
🔆saratani ya matiti: Tafiti zinasema kwamba kutoa mimba kunaongeza hatari ya mwanamke kupata saratani ya matiti.
kuugua magonjwa sugu k**a chlamydia na PID
🔆kupata magonjwa ya akili:
tafiti zinasema kwamba waawake wengi hupata matatizo ya akili baada ya kutoa mimba na dalili k**a
kujutia kutoa mimba
sonona na msongo mkubwa wa mawazo
kupata wasiwasi k**a je watashika tena ujauzito mwingine
kuona aibu na kujihisi wakosaji
kupata mawazo ya kujiua
K**a ulitoa mimba na unaanza kupata dalili hizi hapa juu, chukua hatua mapema, onana na mtaalamu wa afya ya akili kupata ushauri wa kina.````
*KUSHINDWA KUSHIKA UJAUZITO KWA SIKU ZA BAADAE BAADA YA KUTOA MIMBA*
1.Kutokana na athari ya magonjwa k**a PID kwenye kizazi na mirija, inaweza kupelekea mwanamke kushindwa kushika mimba kwa siku za baadae.
2.Kwa mwanamke aliyetolewa mimba hospitali kutokana na changamoto za kiafya, hatari ya kukosa mimba kwa siku zijazo ni kubwa hasa k**a mwanamke husika ana changamoto za kisukari, magonjwa ya figo, ini, moyo na mapafu na kuchanika kwa kizazi.
3.Kushindwa Kushiriki Tendo la Ndoa ipasavyo
*BAADA YA KUTOA MIMBA WANAWAKE HUWEZA KUPATA CHANGAMOTO KWENYE TENDO KUTOKANA NA;*
1.uke kuwa mkavu sana
2.kupungua kwa hamu ya kushiriki tendo
3.kushindwa kufika kileleni na
4.maumivu makali wakato wa tendo.
⚠️ *K**a unapata dalili hizi na uliwahi kutoa mimba onana na daktari atakupa ushauri wa kina na k**a unatamani kuondoa Madhara ambayo tayari umeshayapata, pengine hupati mimba au ukipata zinatoka mara kwa mara, tumaini lako lipo tena...wasaliana nasi na uwe muwazi ili tujue namna ya KUKUSAIDIA.
*JE KUNA MADHARA YA KUTOA MIMBA⁉️*
Kabla hujafiria kutoa mimba, ni muhimu kufahamu matokeo mabaya kiafya yanayoweza kujitokeza siku za mbele baada ya kufanya kitendo hichi, hasa kwenye swala zima la uzazi.
*NINI KINATOKEA BAADA YA KUTOA MIMBA?*
Wanawake wengi hupata dalili hizi siku chache baada ya kutoa mimba, dalili ambazo zinaweza kuchukua mpaka siku 21 kuisha
1. ```kutokwa damu kwa week 2 mpaka 4
2.muumivu ya nyonga
3.mwili kukosa nguvu na kusinzia ovyo
4.kutapika na kizunguzungu```
*MADHARA MAKUBWA YANAYOWEZA KUJITOKEZA BAADA YA KUTOA MIMBA NI PAMOJA NA:*
🔆 ```majeraha kwenye mlango wa kizazi na kizazi
🔆kutokwa damu kupita kiasi mpaka kuishiwa damu
🔆mimba kushindwa kutoka yote(incomplete abortion) na hivo kuhitaji upasuaji mwingine
🔆maambukizi sugu kwenye via vya uzazi(PID)
🔆makovu kwenye tumbo la uzazi
🔆kufanyika kwa mashimo ndani ya kizazi
-mgonjwa kufariki```
*MADHARA YA MUDA MREFU BAADA YA KUTOA MIMBA*
🔆 ```kujifungua mtoto kabla ya muda wake kutimia(pre-term deliveries
🔆kutoa mimba husababisha kulegea kwa mlango wa kizazi na hivo kuongeza hatari ya mimba zijazo kutoka ama kujifungua kabla ya wakati yaani chini ya week 37.
endapo mtoto atazaliwa chini ya muda wa week 37 anaweza kupata madhara ya kiafya k**a matatizo ya ubongo.
🔆saratani ya matiti: Tafiti zinasema kwamba kutoa mimba kunaongeza hatari ya mwanamke kupata saratani ya matiti.
kuugua magonjwa sugu k**a chlamydia na PID
🔆kupata magonjwa ya akili:
tafiti zinasema kwamba waawake wengi hupata matatizo ya akili baada ya kutoa mimba na dalili k**a
kujutia kutoa mimba
sonona na msongo mkubwa wa mawazo
kupata wasiwasi k**a je watashika tena ujauzito mwingine
kuona aibu na kujihisi wakosaji
kupata mawazo ya kujiua
K**a ulitoa mimba na unaanza kupata dalili hizi hapa juu, chukua hatua mapema, onana na mtaalamu wa afya ya akili kupata ushauri wa kina.````
*KUSHINDWA KUSHIKA UJAUZITO KWA SIKU ZA BAADAE BAADA YA KUTOA MIMBA*
1.Kutokana na athari ya magonjwa k**a PID kwenye kizazi na mirija, inaweza kupelekea mwanamke kushindwa kushika mimba kwa siku za baadae.
2.Kwa mwanamke aliyetolewa mimba hospitali kutokana na changamoto za kiafya, hatari ya kukosa mimba kwa siku zijazo ni kubwa hasa k**a mwanamke husika ana changamoto za kisukari, magonjwa ya figo, ini, moyo na mapafu na kuchanika kwa kizazi.
3.Kushindwa Kushiriki Tendo la Ndoa ipasavyo
*BAADA YA KUTOA MIMBA WANAWAKE HUWEZA KUPATA CHANGAMOTO KWENYE TENDO KUTOKANA NA;*
1.uke kuwa mkavu sana
2.kupungua kwa hamu ya kushiriki tendo
3.kushindwa kufika kileleni na
4.maumivu makali wakato wa tendo.
⚠️ *K**a unapata dalili hizi na uliwahi kutoa mimba onana na daktari atakupa ushauri wa kina na k**a unatamani kuondoa Madhara ambayo tayari umeshayapata, pengine hupati mimba au ukipata zinatoka mara kwa mara, tumaini lako lipo tena...wasaliana na mm na uwe muwazi ili nijue namna ya KUKUSAIDIA
Tupo ;- KINONDON MANYANYA
Au, https://wa.me/message/F3S4CCRAP672H1
24/10/2022
*🍇☘️🥑KUKOSA* *HAMU* *YA* *TENDO* *LA*NDOA*
*Kuna vitu vinavyo fanya mwanamke akose ham ya tendoa ndoa,*
Vitu hivyo nik**a ifuatavyo👇
1️⃣ *Pelvic inflammatory diseases (PID)*
Haya maradhi huweza kushambulia via vya uzazi kuanzia kwenye uke mpka kwenye mayai,
2️⃣ *Hormonally imbalance,*
Hormones ndio vichocheo vinavyo fanya mwanamke aweze kupata ham ya Kufanya tendo la ndoa,
Vinapo kuwa havipo sawa hupelekea mwanamke kuto jisikia Kufanya tendo la ndoa na hata akifanya anapata Maumivu makali kwaa maana uke hukosa utee,
3️⃣ *Urinary tract infections (UTI)*
Tatizo la UTI linapo kuwa sugu humfanya mwanamke kupata Maumivu makali chini ya kitovu pia anapo kojoa mkojo,
Hivyo humuathiri psychologia na mwishowe kuto furahia tendo la ndoa,
4️⃣ *Kisukar,*
Mtu mwenye changamoto ya Kisukar huwa mfumo mzima wa Hormone hubadilika mwilin pia na Kinga za mwili hushuka,
5️⃣ *Matatizo ya pressure ya kupanda,*
Hi pia Ni changamoto inayo Pelekea mwanamke kushindwa kufrahia tendo la ndoa,
*6️⃣Mawazo (Stress)*
Binadam yeyote anapo kuwa na mawazo Basi Moja kwa Moja ubungo ambao ndio ogani mhimu kwa ajili ya Kutoa comand ya hormone kuzalishwa huweza kushindwa Kufanya kazi hiyo. nk
*Note*
Kuanzia Chanzo namba *01* mpka namba *05* hivyo vyanzo vyote tunatibu kwa asilimia *100%,* ivyo karibu sana
Location;- Kinondon Manyanya
Au,
https://wa.me/message/F3S4CCRAP672H1
23/10/2022
UGONJWA WA U.T.I (URINARY TRACT INFECTION) – Chanzo, Dalili & Tiba
Dr. Sule
UTANGULIZI – UJUE UGONJWA WA U.T.I (URINARY TRACT INFECTION)
U.T.I ni nin maambukizi kwa njia ya mkojo na huathiri mfumo wa mkojo na mfumo wa uzazi, wadudu huathiri sana kibofu na urethra. Jina U.T.I ni kifupi cha URINARY TRACT INFECTION (Neno la kingereza) watu wengi huzoea kuita hivyo wakijua ni jina la kiswahili, imeshazoeleka hivyo. Jinsia ya k**e wana hatari kubwa kuliko jinsia ya kiume. Maambukizi yakwenye kibofu huleta maumivu makali, madhara makubwa hutokea maambukizi yakifika mpaka kwenye figo. U.T.I husababishwa na wadudu wadogo sana ambao ni bakteria waitwao Escherichia coli (E. coli), wanapoingia mwilini na kuenda kuathiri mfumo wa mkojo.
U.T.I hutibika haraka kwa mtu ambaye atatumia dawa na pia yaweza kuleta madhara makubwa isipotibika huweza kuathiri mfumo wa uzazi, kibofu, na sehemu mbalimbali, tunashauri mtu mwenye U.T.I inatakiwa awe msafi na kubadili mienendo iliyo hatarini.
UTI+Header
MGAWANYO WA U.T.I
Kuna mgawanyo wa aina mbili za U.T.I
Maambukizi ya Upande wa juu – Hii hujumuisha Figo na Ureta
Maambukizi ya Upande wa chini – Hii hujumuisha Kibofu na Urethra
CHANZO CHA MAAMBUKIZI YA U.T.I
U.T.I husababishwa na wadudu wadogo sana ambao ni bakteria waitwao Escherichia coli (E. coli), wanapoingia mwilini na kuenda kuathiri mfumo wa mkojo, vitu vifuatavyo vinaweza kukuingiza kwenye hatari ya kupata U.T.I;
Kinga ya mwili kuto kuwa imara
Kutumia Vifaa au Dawa za kuzuia mimba
Kwa wa k**e; Kupungua kwa homoni ya estrogeni
Mtu mwenye kisukari
Kutumia choo kichafu na kutumia idadi kubwa ya watu
Kuwa na tatizo la mmeng’enyo na tatizo la choo
Kukaa kwa mda mrefu bila kutembeatembea
DALILI ZA MTU MWENYE U.T.I
Dalili za mtu mwenye tatizo la U.T.I hutokea tofauti kulingana na umri, jinsia na sehemu iliyoathiriwa. Hizo dalili ni k**a;
Urinary_Tract_Infections-1
Kujihisi mchovu na kutokujisikia vizuri
Kukojoa kwa shida na kujilazimisha
Maumivu wakati wa kukojoa
Kukojoa kiasi kidogo na mara kwa mara
Mkojo kutoa harufu kali
Mkojo kuwa na rangi tofauti zisizo za kawaida kwa mfano wekundu kiasi
Kichefuchefu au kutapika
Maumivu ya tumbo, au pande za mwili karibu na tumbo mpaka sehemu za misuli
Joto laweza kuongezeka
JINSI YA KUEPUKANA NA U.T.I
Kunywa maji mengi
Acha kutumia dawa za uzazi wa mpango
Kula vizuri vyakula bora hasa asilia na sio vyakula vyenye kemikali
Kojoa hata kidogo baada ya kujamiiana
Punguza au acha kunywa pombe na kutumia sigara huchochea kuathiri kibofu
Kuwa msafi hasa sehemu za siri ili kutoruhusu bakteria
Usipulizie spray kwenye sehemu za siri
TIBA YA UGONJWA WA U.T.I
U.T.I hutibika kwa kuwaondoa bakteria na fangasi sehemu zilizoathirika kwa kutumia dawa, mtu mwenye U.T.I hupata shida sana na mpaka humpelekea kutokuwa na raha. Mtu mwenye U.T.I asipoitibu husababisha vimelea kuzaliana na kuwa vingi hii huitwa U.T.I sugu yuko hatarini kuwa na tatizo kubwa na pia hukaribisha magonjwa mengi.
DAWA
Tuna dawa ya kutibu U.T.I ambayo ni ya asili isiyo na kemikali ambayo hufanya mtu kupona na kuimarika kabisa. : Dawa hiyo hutibu kwa mda kulingana na mda wa tatizo, tatizo halirudi tena maana huondoa chanzo pamoja na ugonjwa sio kituliza maumivu, ukianza kutumia baada ya siku 5 huonesha mabadiliko, pia mgonjwa anapewa mfumo wa maisha ambao inatakiwa autumie kwasababu kuna mtindo wa maisha unaendelea kuongeza tatizo pia kuna mtindo unapunguza hatari ya ugonjwa.
Kwa matibabu zaidi kwaajili ya tatizo la UTI wasiliana kwa namba zifuatazo:-
By; Dr sule ✍🏾
WhatsApp https://wa.me/message/F3S4CCRAP672H1
Call/text +255692166171
20/10/2022
*🌷Kwanini Ndoa Iwe Chungu Kisa Tatizo la Ugumba*
Soma hii mpka mwisho👇
Maana ya Ugumba:- Ni kushindwa Kupata ujauzito Ndan ya mwaka mmoja ukiwa unafanya tendo la ndoa bila kutumia uzazi wa mpango Wala Condoms"
*Aina za Ugumba* :-
Kuna Aina mbili za Ugumba nazo Ni:-
🌑 1: Huu Ni Ugumba ambao wenzi wote wawili wanakuwa wapo Kwenye mahusiano na wanafanya tendo la ndoa kwa MDA wa mwaka mmoja na bila kupata mtoto ikiwa hawatumii uzazi wa mpango Wala Condoms.( *Primary infertility* )
🌑 2: Huu Ni Ugumba ambao wenzi wote wawili wanakuwa walishawahi Kupata ujauzito Mara moja au zaidi na kipindi wakiwa wanahitaji tena wanafanya tendo la ndoa na wanakosa kupata ( *secondary infertility* )
*Sababu kuu za Ugumba kwa mwanamke*
💎Uvimbe kwenye kizazi,(Fibroids)
💎 Hormanal imbalance,
💎 Uvimbe kwenye mfuko wa mayai (ovarian cyst)
💎Magonjwa ya mfumo wa uzazi. mfano' wake Ni ( *PID)*
💎kuwa na Uzito kupita kiasi,
💎 Kuwa na mawazo(Stress)
💎Tabia ya Ulaji hafifu wa Chakula au kula Sanaa,
💎 Kunywa Pombe Sanaa,
💎 Matumiz ya Dawa za UZAZI wa mpango,
💎Mirija ya uzazi kuziba
💎Kuwa na majeraha Kwenye Mirija ya uzazi.
💎 Uvutaji wa sigaraa
*Utawezaje kujua kuwa wewe unaweza kubeba ujauzito,:-👇👇*
⏺️ Kupata hamu ya tendo la ndoa,
⏺️Kupata Ute Ute wa uzazi,
⏺️ Mzunguko wa hedhi yako kwenda vzurii,
⏺️ Joto la mwili kuongezeka,
⏺️Maziwa Kuvimba na kuuma kwa Hali ya kawaida,
*Unawezake kujua kuwa wewe HUWEZI kubeba ujauzito;-👇👇*
⏹️Kupata Maumivu makali Ukiwa kwenye hedhi yako, ukikalibia au unapo maliza hedhi,
⏹️ kutokwa na uchafu ukeni, unaweza kuwa na harufu au hauna,
⏹️ Kukosa Ute Ute wa uzazi,
⏹️ Uke kuwa mkavu,
⏹️ Kukosa hedhi kabisa au kwenda hedhi Mara mbili kwa mwezi.
⏹️ Kukosa hamu ya tendo la ndoa,
⏹️ Kuwa na uzito Mkubwa kupita kiasi,
⏹️kupata maumivu makali wakati wa tendo la ndoa,
⏹️ Kuwashwa Mara nyingi Au kutokwa na vipele ukeni,
*Utajuaje kuwa mume wako Hawezi kutungisha Ujauzito👇👇*
⏏️ Kutoa manii chache
⏏️Kupata Maumivu au Kuvimba kwenye corodani,
⏏️ Kushindwa kusimamisha uume wake vizurii,
⏏️ Kushindwa Kutoa manii kabisa,
⏏️ Kuota Maziwa
⏏️Korodani zake kuwa size ndogo,
⏏️ mwanAume Kushindwa kunusa vizurii kwa pua zake,
⏏️Kukosa hisia za Kufanya tendo la ndoa,
*Namna gani ya kujikinga na Ugumba 👇👇*
🕳️ Tibu na jikinge na magonjwa ya uzazi, mfano, Fungus wa ukeni, Gonnoreah, kaswende, n.k(PID)
🕳️Tibu tatizo la hormonal imbalance,
🕳️ Epuka kutumia UZAZI wa mpango,
🕳️ Punguza uzito,
🕳️usinywe Pombe
🕳️ Punguza mawazo
🕳️ Usivute sigara,
🕳️ Usitumie vinywaji vyenye caffeine,
🕳️Tibu tatizo la Uvimbe kwenye uzazi K**a unalo,
*Mwisho*
Nakushauri wewe Ulie hangaika Sana kwa MDA mrefu juu ya kuto pata Ujauzito,
Unatafta mtoto kwa Miaka mingi na umetumia dawa bado umeambulia patupu,
Nina Suluhisho lako Ambalo litarudisha Tabasamu juu ya maisha yako Sasa. Karbu
WhatsApp https://wa.me/message/F3S4CCRAP672H1
Call/text 0692166171
19/10/2022
CHANZO CHA MAUMIVU YA KIUNO /MGONGO NA TIBA YAKE
✍🏻Maumivu ya kiuno yamekuwa ni tatizo la kawaida na siyo kwa watu wenye umri mkubwa, bali hata kwa vijana. Hali hii imewa tishio kubwa na mara nyingine kutofahamika Chanzo ni nini.
✍🏻Leo tutaona baadhi ya sababu na vyanzo vikuu vya tatizo hilo;
1️⃣MAUMIVU YA MGONGO/KIUNO
✍🏻Katika maisha ya binadamu mara moja moja hukutana na huu ugonjwa wa kuumwa na kiuno hutegemeana na ukubwa wa tatizo kuna unao weza kuuma kwa mda na mwingine kuumwa kabisa na kua ni ugonjwa wake kias cha kushindwa kutembea sababu ni nyingi kutegemeana na chanzo cha tatizo.
2️⃣KUNYANYUA VITU VIZITO
✍🏻Mara nyingi watu haswa wakina mama wanakua ni wahanga wa huu ugonjwa wa mgongo bila kujua tatizo hulisababisha kwa kunyanyua vitu vizito mfano ndoo huku akiwa ameinama na kusababisha misuli ya kiuno kuvuta
3️⃣MISULI KUUMA
✍🏻Hutegemeana na sababu ila mfano wa hapo juu unapo nyanyua vitu vizito vibaya mfano ndoo kubwa ya maji ukiwa wima una pelekea maumivu ya pingili za uti wa mgongo kwa sababu hiyo misuli ya mgongo hujiminya na kua midogo kulinda uti wa mgongo na unapata maumivu makali.
4️⃣PINGILI ZA UTI WA MGONGO
✍🏻Katika uti wa mgongo kuna pingili 33 na kila moja ikifanya kazi yake sasa katika hizo pingili zipo k**a donati na huwa zinazungukwa na mafuta pindi inapo jisugua kwa kukosa mafuta husababisha maumivu kushuka mpaka miguuni kwa maumivu
5️⃣MKAO MBAYA NA MUONDOKO
✍🏻Mara nying watu wenye kusimama mda mrefu hua ni wenye kupata na tatizo la pressure tofaut na pressure pia swala la mgongo kuwa uma ni swala ambalo lipo kwao sana kwa sababu ya mkandamizo wa mkao mbaya wa kusimama kwa mda mrefu pia watu wenye kushinda kwenye kuendesha magar pia wale wenye kukaa vibaya kwenye computer kwa mda mrefu
✍🏻Kuondoka ghafla kwa kishindo husababisha k**a nilivyo sema mvutiko wa misuli ya kiuno na kupelekea maumivu makali.
6️⃣MAGONJWA K**A JIWE KATIKA FIGO, UTI NA ARTHRITIS
✍🏻Moja ya sababu nyingine ni kua na jiwe kwenye njia ya figo inapelekea mtu kuumwa na kiuno pia magonjwa ya njia ya mkojo husababisha kiuno kuuma mfano wake ni k**a UTI hupelekea maumivu makali sana ya kiuno.
✍🏻Pia kuna ugonjwa ambao ni haru yabis huu husambulia mifupa na kupelelkea maumivu ya mifupa na pia maumivu ya kiuno.
7️⃣Pia kuna mama kua mjamzito
8️⃣Mwanaume kuwa na kitambi na vingine maana nakumbuka ukiwa kijana ukiskika una umwa mgongo unaambiwa oa bhana uondokane na tatizo hilo.
9️⃣Mwanamke kuwa na Tatizo la PID au Homon Imbalance au Mjamzito husababisha au huchangia kupata maumivu ya kiuno na mgongo.
TIBA YA MAUMIVU YA MGONGO NA KIUNO
✍🏻K**a tatizo linasababishwa na Arthritis, mikao, miondoko, pingili, misuli, kunyanyua vitu vizito
✍🏻K**a matatizo ya hedhi, PID, Homon Imbalance, ujauzito atatumia Complete. Na k**a ni mtoto wa chini ya miaka 18 anatumia Complete na Choleduz.
⚠️Kwa ushauri na
Tiba .
WhatsApp https://wa.me/message/F3S4CCRAP672H1
Kumbuka
🥕Afya yako ni mtaji wako🥕
Click here to claim your Sponsored Listing.
Category
Contact the business
Telephone
Website
Address
Dar Es Salaam
