Augustino Fansi
KARIBU KUPATA TIBALISHE YA...
_Acid
_Vidonda vya Tumbo
_kisukari
_Goita
_Pumu ya Ngozi
_Kupunguza uzito
Na mengineyo . na mengneyo yote karibuni sana
Tupigie au WhatsApp
0716807023
0766031470
Follow Instagram bonyeza Link
https://www.instagram.com/tibalishe_virutubisho?igsh=MXFp Tunahusika na tibalishe iliyotengenezwa kwa vyakula na ni tibalishe isiyo na kemiko wala madhara kwa
kupunguza uzito, tumbo, kitambi na manyama uzembe na magonjwa mbalimbali mfano
kisukrai
vidonda vya tumbo
presha
kisukari, pumu, goita, stro.uzazi.
31/05/2023
๐๐๐๐๐ ๐๐๐ (๐) ๐๐ ๐๐๐๐๐๐๐๐๐ ๐๐๐๐๐
1.๐๐๐๐๐ ๐๐
๐
๐๐๐๐๐ ๐
๐๐๐๐
๐๐ฎ๐ฌ๐๐๐ข๐ฌ๐ก๐ ๐๐ฎ ๐ค๐ฎ๐ญ๐จ๐ ๐๐๐๐ ๐ฆ๐ฐ๐ข๐ฅ๐ข๐ง๐ข(detoxification)
Bidhaa salama zinatakiwa kukuhakikishia zinakuondolea mrundikano bila kukuletea usumbufu wala kuharisha .
2.๐๐๐ ๐๐๐๐๐๐๐ (๐
๐๐ญ ๐๐ฎ๐ซ๐ง๐ข๐ง๐ )
๐๐ฎ๐๐ก๐จ๐ฆ๐/๐ค๐ฎ๐ฒ๐๐ฒ๐ฎ๐ฌ๐ก๐ ๐๐๐๐ฎ๐ญ๐ (fat burning)
Lazima bidhaa unazochagua kuzitumia zikupelekee kuchoma mafuta yaliyokuletea manyama uzembe .Hutakiwi kwa namna yoyote kukonda kwani kukonda ni ugonjwa .Wanaotumia bidhaa zetu wanaonekana wamependeza na kuvutia badala ya kuonekana kuwa wamekonda.
3.๐๐๐๐๐๐ ๐๐๐๐๐๐๐๐๐๐๐.
(๐๐ฎ๐ฌ๐๐ฐ๐๐ณ๐ข๐ฌ๐ก๐ ๐ง๐ ๐๐ฎ๐๐๐ฅ๐๐ง๐ฌ๐ข)
โขBidhaa zinakuwezesha kusawazisha (ability to balance alkaline vs acid level)
Kwakuwa unapokuwa na uzito uliozidi, unakuwa huna uwiano unaofaa wa TINDIKALI na ALKALI mwilini , basi bidhaa unazozipa jukumu la kupunguza uzito uliokuzidia zinatakiwa kusawazisha na kuweka UWIANO wa VIWANGO vya TINDIKALI na ALKALI ili mwili ufanye kazi sawasawa.
4.๐๐๐ ๐๐๐๐๐ ๐๐๐
๐
๐๐.
(๐๐ฎ๐ญ๐ข๐ ๐ง๐ ๐ฎ๐ฏ๐ฎ ๐ง๐ ๐ค๐ฎ๐จ๐ง๐๐จ๐ ๐ฎ๐ณ๐๐/๐ฎ๐๐ก๐๐ค๐๐ฏ๐ฎ)
Kwakuwa uzito uliopitiliza hushambulia TISHU na KUUCHOSHA mwili, mwenye uzito mkubwa huonekana mkubwa kuliko umri wake.
Basi bidhaa zetu ambazo ni bora na salama zinaondoa uchakavu na kukufanya unawiri. Aidha bidhaa zetu hazikushoshi bali zinakufanya uendelee kuchangia na kufurahia kwa kutekeleza maamuzi yako sahihi ya KUPUNGUZA UZITO kwa BIDHAA zetu.
๐
๐ฎ๐ฅ๐ฅ ๐๐จ๐ณ๐ข ๐๐๐,๐๐๐ ๐๐๐๐๐๐ ๐๐๐๐ ๐๐-๐๐(๐ฌ๐ข๐ค๐ฎ ๐๐)
๐๐ฎ๐ฌ๐ฎ ๐๐จ๐ณ๐ข ๐๐๐,๐๐๐ ๐๐๐๐๐๐ ๐๐๐๐ ๐-๐๐( ๐ฌ๐ข๐ค๐ฎ ๐๐)
๐๐จ๐๐จ ๐๐จ๐ณ๐ข ๐๐๐,๐๐๐ ๐๐๐๐๐๐ ๐๐๐๐ ๐-๐ (๐๐ข๐ค๐ฎ๐๐)
๐๐๐๐ ๐๐ ๐๐ก๐๐ฌ๐๐ฉ๐ฉ
๐๐๐๐๐๐๐๐๐๐
๐๐๐๐๐๐๐๐๐๐
31/05/2023
CHANGAMOTO ya UGONJWA WA MTOTO WA JICHO kwa lugha nyingine CATARACT:-
Hii hutokana na kufanyika kwa UKUNGU katika LENSI ya JICHO .
MTU aliye na UKUNGU huu KUONA kwake ni sawa na MTU anavyoona nje kupitia dirisha la KIOO lenye UKUNGU wa BARAFU au MAJI dirishani wakati MVUA inanyesha.
UKUNGU katika LENSI ya JICHO husababisha MTU kushindwa kufanya KAZI zake k**a kuendesha gari,kusoma sana hasa usiku au kuona nyuso za watu vyema. UKUNGU huu hutokea na kuendelea kufunika JICHO zima polepole kwa muda na hatimaye mtu hushindwa KUONA kabisa.
Kwa mara ya kwanza UKUNGU unapoendelea kutokea MTU anaweza kutumia MIWANI inayoweza kumsaidia kuona.Lakini baada ya muda fulani kupita, MTU anaweza ASIONE kabisa mpaka afanyiwe MATIBABU mengine ya UPASUAJI .
MATIBABU ya UPASUAJI kwetu SISI tunaona sio SALAMA sana maana umpatia mtu SULUHISHO la MUDA mfupi na inawezekana likajirudia tena maana mara nyingi haligusi katika VYANZO vilivyopelekea WEWE kupata TATIZO.
Hivyo basi kupitia UTENDAJI MZURI wa BIDHAA zetu tunaweza kukupatia suluhisho la KUDUMU ili kuondokana na CHANGAMOTO ya UGONJWA .
KWANINI TUNASEMA TUNAWEZA ?
Jibu ni kwasababu tunaenda KUSHUGHULIKA na CHANZO cha TATIZO na mwisho kukufanya ufurahie MAISHA k**a awali.
AINA ZA MTOTO WA JICHO:-
Kuna AINA nne za MTOTO wa JICHO .
Hizi ni ile inayoathiri sehemu ya KATIKATI ya LENSI,PEMBEZONI ya LENSI,sehemu ya NYUMA ya LENSI na ile ya KUZALIWA nayo.
SABABU:-
Sababu zifuatazo huongeza UWEZEKANO wa MTU kupata maradhi ya MTOTO wa JICHO.
-Umri mkubwa
-Ugonjwa wa kisukari
-Unywaji wa pombe sana kupindukia
-Madhara ya mionzi ya sumu.
-Historia ya maradhi ya mtoto wa jicho kwenye familia.
-Shinikizo la damu la kupanda
-Uzito uliopindukia
-Na historia ya kufanyiwa upasuaji ama maradhi ya macho.
N.B:-
Aina ya mtotoI wa JICHO ya kuzaliwa nayo mara nyingi UONEKANA tangu MTOTO anapozaliwa au muda mfupi tangu KUZALIWA .Hii haisababishi MTOTO kushindwa KUONA kabisa kwasababu inaweza KUTIBIKA .
MTOTO huambukizwa kutokana na MAMA kumwambukiza MTOTO aliye TUMBONI kwake wakati wa UJAUZITO mfano ni SURUA ya ujerumano(Rubella),GALACTOSEMIA na maradhi ya MISULI ya MACHO .
MGONJWA mwenye maradhi haya ya KURITHI huweza KUONA vizuri tu.
๐
๐ฎ๐ฅ๐ฅ ๐๐จ๐ณ๐ข ๐๐๐,๐๐๐.
๐๐ฎ๐ฌ๐ฎ ๐๐จ๐ณ๐ข ๐๐๐,๐๐๐.
๐๐จ๐๐จ ๐๐จ๐ณ๐ข ๐๐๐,๐๐๐
KUONDOKANA na CHANGAMOTO hii bila kufanyiwa upasuaji karibu kupata tibalishe itakayokupinya
PIGA au WHATSAPP
0716807023
0766031470
31/05/2023
CHANGAMOTO inayohusu UGONJWA wa KIHARUSI ( STROKE ).
STROKE au KIHARUSI ni CHANGAMOTO inayotokea GHAFLA kwenye UBONGO ambapo MTIRIRIKO wa DAMU kwenye ENEO fulani la UBONGO husitishwa GHAFLA au KUPUNGUA sana hivyo kusababisha eneo hilo kuanza KUFA.
Hili linaweza KUTOKEA pale MISHIPA ya DAMU ya kuelekea kwenye ENEO hilo KUPASUKA.
SELI za UBONGO za ENEO hilo zikianza KUFA kwa kukosa DAMU, shughuli ZOTE zinazoendeshwa na ENEO hilo la UBONGO husimama kwa mfano KUMBUKUMBU au MISULI.
KIHARUSI ni UGONJWA wa DHARURA ivyo TIBA inatakiwa ipatikane MAPEMA.
KIHARUSI huweza kumpata MTU yeyote, wakati wowote.
AINA ZA KIHARUSI ( STROKE )
Kuna AINA kuu TATU za STROKE ,nazo ni:-
1.ISCHEMIC
2.HEMORRIHAGIC
3.TIA
KUNDI la WATU lililo kwenye HATARI kubwa ZAIDI ya kupata UGONJWA huu ni lile la WATU wenye MIILI MIKUBWA ( WANENE ),wenye UMRI zaidi ya MIAKA 55,wenye HISTORIA ya UGONJWA huu kwenye FAMILIA zao,wasiofanya MAZOEZI, wanaokunywa sana POMBE au kutumia MADAWA haramu.
KIHARUSI HUSABABISHWA NA NINI?
AINA zote TATU za KIHARUSI hapo juu zinasababishwa na VITU tofauti.
ISCHEMIC STROKES:-
Hii ndio AINA ya STROKE inayowaathiri WATU wengi zaidi.
ASILIMIA 85% ya WAGONJWA wa STROKE hupatwa na AINA hii ya KIHARUSI. AINA hii ya KIHARUSI husababishwa na KUZIBA kwa ARTERI ( mishipa ya kusafirisha damu safi ) zinazoelekea kwenye UBONGO au KUSINYAA kwa MISHIPA hiyo,ivyo kusababisha hali inayoitwa ISCHEMIA ( upungufu mkubwa wa mtiririko wa damu ).
KUZIBA kwa MISHIPA ya DAMU hutokea BAADA ya DAMU kuganda NDANI ya ARTERI zinazoelekea kwenye UBONGO au katika MAENEO ya mbali zaidi na KUSUKUMWA kwenye MISHIPA yenye KIPENYO KIDOGO ndani ya UBONGO.
MISHIPA hii inaweza KUZIBWA pia na MAFUTA yaliyoganda NDANI ya ARTERI ( Plaque ).
HEMORRHAGIC STROKES:-
Hii husababishwa na ARTERI ndani ya UBONGO kuvuja DAMU au KUPASUKA.
DAMU hii iliyovuja huleta MGANDAMIZO kwenye SELI za UBONGO na KUZIHARIBU.Kupasuka kwa MISHIPA ya DAMU husababishwa na HYPERTENSION, TRAUMA au DAWA zinazofanya MISHIPA hii ya DAMU kupungua UNENE wake.
TRANSIENT ISCHEMIC ATTACK ( TIA):-
Hii ni TOFAUTI na AINA hizo MBILI za STROKE hapo juu kwani hapa MTIRIRIKO wa DAMU kuelekea kwenye UBONGO huvurugwa kwa MUDA MFUPI kwa sababu zile TULIZOZITAJA hapo JUU tulipozungumzia ischemic strokes.
STROKE ya AINA hii ni ISHARA ya KUTOKEA STROKES nyingine BAADAE k**a HATUA zinazostahili hazitachukuliwa.
DALILI ZA KIHARUSI ( STROKE ).
UGONJWA wa KIHARUSI humpata MTU ghafla na DALILI hutokea kwa MUDA mfupi sana.DALILI kuu za UGONJWA huu ni:-
1.Kuchanganyikiwa( Mtu kupata shida ya kuongea na kuelewa anachoambiwa.
2.MAUMIVU ya KICHWA yanakwenda pamoja na kupoteza FAHAMU kwa vipindi na KUTAPIKA.
3.GANZI katika VIUNGO vya USO, MKONO na MGUU na hasa VIKIWA vya UPANDE mmoja wa MWILI.
4.Kupata SHIDA ya KUONA kwa JICHO moja au yote.
5.Kupata SHIDA ya KUTEMBEA vikichanganyika na KIZUNGUZUNGU na kukosa mpangilio wa MATENDO ya MWILI.
ATHARI za KIHARUSI zinaweza kuwa ni za MUDA mrefu. Kulingana na MUDA uliopita KABLA ya KUUGUNDUA na KUUTIBU Ugonjwa huu.MTU anaweza kupata ULEMAVU wa MUDA mfupi au wa KUDUMU.
Pamoja na MADHARA ya STROKE anaweza pia KUPATA yafuatayo :-
# MSONGO wa MAWAZO
kwenye MIKONO na MIGUU yanayoongezeka BAADA ya VIUNGO ivyo kufanya KAZI au kutokea MABADILIKO ya HALI ya HEWA.
au UDHAIFU wa UPANDE MMOJA wa MWILI.
# Kupata SHIDA katika kufanya MATENDO ya kuonyesha HISIA za MWILI.
# Kushindwa KUMUDU matumizi ya KIBOFU cha MKOJO au VIUNGO vya NJIA ya HAJA KUBWA.
TIBA:-
KUPITIA UTENDAJI MZURI WA BIDHAA ZETU tunaweza kumsaidia MGONJWA wa KIHARUSI kurudi katika HALI ya KAWAIDA na KUMFANYA aendelee kufurahia MAISHA k**a WATU wengine.
ILI KUJILINDA NA CHANGAMOTO HII NASHAURI YAFUATAYO.
1.Kutotumia MADAWA haramu.
2.Kula CHAKULA chenye MBOGAMBOGA na MATUNDA kwa WINGI na chenye CHOLESTOREL kidogo.
3.Kufanya MAZOEZI kila wakati.
4.Kuhakikisha unadhibiti BLOOD PRESSURE.
5.Kuhakikisha unadhibiti KIWANGO cha SUKARI mwilini.
6.Kuwa na UZITO unaofaa kulingana na UMBILE lako.
7.Kunywa POMBE kwa kiasi au KUACHA kabisa.
8. Kuacha KUVUTA SIGARA.
๐
๐ฎ๐ฅ๐ฅ ๐๐จ๐ณ๐ข ๐๐๐,๐๐๐.
๐๐ฎ๐ฌ๐ฎ ๐๐จ๐ณ๐ข ๐๐๐,๐๐๐.
๐๐จ๐๐จ ๐๐จ๐ณ๐ข ๐๐๐,๐๐๐
Kwa MAELEKEZO zaidi na kupata tibalishe Piga au Whatsapp
0716807023
0766031470
31/05/2023
UJUE UGONJWA WA KISUKARI ( DIABETES )
HABARI ZENU WADAUWA WA MAKALA ZANGU ?
LEO nimeona ni VYEMA nizungumzie UGONJWA wa KISUKARI ( diabetes ) ambao ni UGONJWA unaosumbua WATU wengi katika JAMII .
UGONJWA wa KISUKARI hutokea wakati SUKARI katika DAMU inapokuwa nyingi kupita KIWANGO cha kawaida kwa muda MREFU .
SUKARI hutumiwa na MWILI ili kupata NISHATI LISHE.Kwa kawaida Ili MWILI uweze kutumia SUKARI inayotokana na VYAKULA unahitaji KICHOCHEO cha INSULIN.
INSULIN husaidia SUKARI kuingia kwenye CHEMBECHEMBE HAI ili kutengeneza NISHATI LISHE.
UGONJWA wa KISUKARI unasababishwa na KICHOCHEO hiki KUPUNGUA au KUTOFANYA KAZI k**a inavyotakiwa.Hivyo KIWANGO cha SUKARI kinabaki KIKUBWA kwenye DAMU kwa sababu SUKARI haikuwezeshwa kuingia kwenye CHEMBECHEMBE HAI za MWILI .
INSULIN ni KICHOCHEO kinachotengenezwa kwenye KONGOSHO na kwamba hutumika kusaidia MWILI kutumia SUKARI inayotokana na VYAKULA tunavyokula.
AINA ZA KISUKARI :-
Kuna aina MBILI za KISUKARI nazo ni:-
(ยก)AINA ya KWANZA ni KISUKARI kinachotegemea INSULIN. Hii INSULIN ni aina ya HOMONI inayozalishwa na KONGOSHO ambapo KAZI ya INSULIN ni kurekebisha HALI ya SUKARI kwenye DAMU.
Ikiwa NYINGI inapunguzwa kurudi kwenye HALI ya kawaida. Na ikiwa CHACHE huruhusu irejee kwenye HALI ya kawaida pia.
Kunapokuwa na HITILAFU kwenye KONGOSHO likazalisha HOMONI hii kwa wingi.SUKARI hupungua MWILINI .
Au ISIPOZALISHWA,SUKARI huongezeka MWILINI .
HOSPITALI aina hii ya SUKARI inatibiwa kwa kutumia SINDANO za INSULIN na kurekebisha ULAJI wa VYAKULA.
(ยกยก) AINA ya PILI ni KISUKARI kisichotegemea INSULIN. Hiki HOSPITALI hutibiwa kwa kutumia VIDONGE pamoja na kurekebisha VYAKULA peke yake.
WATU wengi walio na aina ya KISUKARI kisichotegemea INSULIN ni WANENE kupita kiasi na ikiwa WATAPUNGUZA UZITO kasi ya UGONJWA hupungua au KUISHA kabisa.
SUKARI inaweza kuwa JUU au CHINI kupita kiasi cha KIWANGO kinachotakiwa kutokana na CHANGAMOTO ya UZITO.
HALI zote hizo MBILI si NZURI kwa BINADAMU kwasababu MGONJWA anaweza KUFA HARAKA .
SUKARI inaweza kuwa JUU bila DALILI zozote zile kujitokeza MWILINI mwa MGONJWA .
MADHARA YA KISUKARI :-
WATU wenye KISUKARI wapo katika HATARI zaidi ya kupatwa na MAGONJWA yafuatayo;
- MAGONJWA ya MOYO .
- KIHARUSI (Stroke)
- Matatizo ya KUHARIBIKA kwa KIBOFU cha MKOJO.
- SHINIKIZO la juu la DAMU .
- UPOFU
- Kufa MISHIPA ya FAHAMU.
- UHARIBIFU katika FIZI na UGONJWA wa FANGASI .
MTU anapokuwa na KISUKARI mzunguko wa DAMU MIGUUNI hupungua na hii ndiyo SABABU KUBWA ya KUFA kwa NEVA za FAHAMU na hivyo MTU kukosa HISIA katika eneo la MWILI .
DALILI ZA KISUKARI:-
Baadhi ya DALILI za KISUKARI ni zifuatazo;
- KIU ya MAJI isiyoisha.
- NJAA Kali
- Kwenda HAJA NDOGO mara kwa mara
- VIDONDA au MICHUBUKO kuchukua MUDA mrefu KUPONA .
- NGOZI kuwa KAVU na KUWASHA .
- Kupoteza UZITO bila sababu.
- Kuwa na UKUNGU MACHONI .
- KUCHOKA kusiko kwa KAWAIDA.
- HISIA kupungua katika VIDOLE na VIGANJA MIKONONI na MIGUUNI .
- Kuwa na UKUNGU katika FIZI,NGOZI na KIBOFU cha MKOJO.
- Kukosa HAMU ya TENDO la NDOA na UUME kutokusimama.
Sasa basi kupitia UTENDAJI MZURI wa BIDHAA zetu ZISIZO na MADHARA yeyote MWILINI na ambazo ZIMEDHIBITISHWA na SHIRIKA la VIWANGO NCHINI pamoja na MASHIRIKA mbalimbali ya VIWANGO DUNIANI napenda nikudhibitishie kwamba TUNATIBU kabisa UGONJWA huu hadi kupelekea MTU kurudi katika HALI ya KAWAIDA .
๐
๐ฎ๐ฅ๐ฅ ๐๐จ๐ณ๐ข ๐๐๐,๐๐๐.
๐๐ฎ๐ฌ๐ฎ ๐๐จ๐ณ๐ข ๐๐๐,๐๐๐.
๐๐จ๐๐จ ๐๐จ๐ณ๐ข ๐๐๐,๐๐๐
Piga au Whatsap
0716807023
0766031470
31/05/2023
๐๐๐๐๐๐๐ ๐๐๐ ๐๐๐๐๐, (๐๐๐ฉ๐ญ๐ข๐ ๐ฎ๐ฅ๐๐๐ซ๐ฌ).
Vidonda vya tumbo (Peptic Ulcers) ni ugonjwa unaompata mtu ambapo kunatokea vijitundu au michubuko katika kuta za ndani za viungo vya mfumo wa uyeyushaji chakula.
๐๐ญ๐๐ฃ๐ฎ๐๐ฃ๐ ๐ค๐๐ฆ๐ ๐ฎ๐ง๐
๐๐๐๐๐๐๐ ๐๐๐ ๐๐๐๐๐, (๐๐๐ฉ๐ญ๐ข๐ ๐ฎ๐ฅ๐๐๐ซ)
โขKifua kwa ndani kana kwamba unachomwa na kitu cha moto au chenye ncha kali. โข Maumivu hayo wakati mwingine hutokeza mgongoni na huchoma k**a sindano na kuacha maumivu makali
โข๐๐ข๐๐ก๐๐๐ฎ๐๐ก๐๐๐ฎ
โข๐๐ข๐ฎ๐ง๐ ๐ฎ๐ฅ๐ข๐
โข๐๐ฎ๐ฆ๐๐จ ๐ค๐ฎ๐ฃ๐๐ ๐ ๐๐ฌ๐ข
โข๐๐ฎ๐ฆ๐๐จ ๐ค๐ฎ๐ฐ๐๐ค๐ ๐ฆ๐จ๐ญ๐จ
โขMaumivu makali sehemu kilipo kidonda.
โขKukosa choo au kupata choo kwa shida tena kikiwa kigumu na chenye kukatika k**a cha mbuzi.
โข Kutapika nyongo.
โขKutapika damu au kuharisha.
โขKukosa hamu ya kula.
โขKusahahu sahau na kupatwa na hasira bila sababu
๐๐๐๐๐๐๐ ๐๐ ๐๐๐๐๐๐๐ ๐๐๐ ๐๐๐๐๐, (๐๐๐ฉ๐ญ๐ข๐ ๐ฎ๐ฅ๐๐๐ซ๐ฌ).
โขHali hii yaweza kusababishwa na vidonda kuenea hadi kwenye mishipa ya damu na hivyo kufanya damu kuanza kuvuja.
๐๐๐๐๐๐๐ ๐๐๐ ๐๐๐๐๐, (๐๐๐ฉ๐ญ๐ข๐ ๐ฎ๐ฅ๐๐๐ซ๐ฌ). huweza kusababisha tundu (kutoboka kwa ukuta wa tumbo) na kufanya vitu vilivyo ndani ya utumbo kutapakaa katika tumbo (abdomen) Hali hii huitwa peritonitis na ni hatari sana na inahitaji matibabu ya dharura.
โข ๐๐๐๐๐๐๐ ๐๐๐ ๐๐๐๐๐, vinaweza pia kuenea na kuathiri pia viungo vya jirani k**a vile ini au kongosho (pancrease).
โขIwapo vidonda vya tumbo vimesababishwa na H. pylori, kuna uwezekano wa kati ya mara tatu hadi ya sita ya mgonjwa kupata kansa ya tumbo (stomach cancer).
โขUSHAURI
Vidonda vya tumbo vinatibika na kupona kbsaa tuna product nzuri kwa ugonjwa huu wa vidonda vya tumbo haijalishi umeumwa muda mrefu kiasi ganiโข
๐๐ฐ๐ ๐ฌ๐ก ๐๐๐,๐๐๐
๐๐ข๐ ๐ ๐๐ฎ ๐ฐ๐ก๐๐ญ๐ฌ๐๐ฉ๐ฉ
๐๐๐๐๐๐๐๐๐๐
๐๐๐๐๐๐๐๐๐๐
29/05/2023
CHANGAMOTO ya MZIO ( Allergy )
CHANGAMOTO hii imekuwa ikiwasumbua WATU wengi na ivyo nimeona ni VYEMA NIIZUNGUMZIE ili utakaposoma uje nikusaidie KUONDOKANA nayo na KUMALIZA kabisa.
MZIO au ALEJI ni MATOKEO ya KINGA ya MWILI kupambana na KITU kigeni ambacho kimeingia MWILINI kwa njia ya KUMEZA kupitia MFUMO wa CHAKULA ,KUVUTA kupitia MFUMO wa HEWA,au kupitia kwenye NGOZI kwa NJIA ya KUGUSANA au KUCHOMA.
Kwa hiyo huu ni MPAMBANO uliopitiliza kati ya KINGA ya MWILI na KITU chochote ambacho kwa UJUMLA huwa hakinaMADHARA kwa MWILI inapotokea kimeingia NDANI ya MWILI au KUGUSA sehemu fulani ya MWILI.
Kuna AINA kuu MBILI za MIZIO.
AINA ya KWANZA ni ile inayosababishwa na KITU ambacho kiko NJE ya MWILI na husababishwa na MAZINGIRA ya NJE ya MWILI.
AINA nyingine kuu ya MZIO ni ile ambayo iko NDANI ya MWILI wako ambayo inaweza kuletwa na KINASABA cha KURITHI au na KITU kilichopo ndani ya MWILI.
MZIO wa NGOZI au ALEJI inayojitokeza kwenye NGOZI ni TATIZO linaloweza kukupata KUTOKANA na MWILI kutopenda KITU fulani kutokana na SABABU kadhaa ikiwemo HEWA na hata CHAKULA tunachokula.
Kuna VITU ambavyo huibua MZIO k**a VUMBI katika nyumba,MAVI ya PANYA, MANYOYA ya WANYAMA na HEWA yenye AINA ya SPIRITI.
MZIO unaweza kukufanya UWE na UKURUTU,MAFUA,PUMU na hata KUVIMBA.
Kutokana na MAZINGIRA tunayoishi hivi sasa. TATIZO la MZIO ni KUBWA sana,HASA kutokana na KEMIKALI zinazotumika katika VYAKULA na hata UREMBO vinapotibua KEMIKALI zinazotengeneza ALEJI katika MWILI.
ALEJI zinaweza kusababishwa na MAZINGIRA yaliyochafuliwa na VUMBI la UNGA wa MIMEA na MAUA,VIPODOZI na MARASHI ya KUJIPAKA au ya KUPULIZA,VYAKULA na VINYWAJI ambavyo MTU huvila.
Pia UNAWEZA kusababishwa na MABAKI au UCHAFU wa KEMIKALI kutoka VIWANDANI,MOSHI wa MAGARI machakavu,MWANGA wa JUA, NYUZI za NGUO zinazotengenezwa VIWANDANI.Baadhi ya DAWA,MANYOYA ,SUFI ya NGOZI za WANYAMA,WADUDU mbalimbali k**a MCHWA na MENDE,MANYOYA ya PAKA na MBWA na hata HARUFU inayotokana na RANGI mbalimbali.
KATIKA hali ya UFAHAMU zaidi unatakiwa KUFAHAMU kuwa hali ya MZIO unaosababishwa na DAWA au DRUG ALLERGY ni HALI isiyo ya KAWAIDA inayoonyeshwa na MFUMO wa kulinda MWILI kutokana na DAWA.
ALEJI ya DAWA si sawa na ATHARI ya DAWA ,inayoweza kujitokeza baada ya kula DAWA ya AINA fulani,ambayo kwa KAWAIDA huambatanishwa na maelezo ya DAWA. MZIO unaosababishwa na DAWA pia ni TOFAUTI na SUMU ya DAWA ambayo hutokea pale inapotumiwa kwa KIASI KIKUBWA ambapo DAWA hizo zimetajwa kuwa ni AINA za antibiotiki.
Uwezekano wa ALEJI kujitokeza ni MKUBWA zaidi pale DAWA inapotumiwa mara NYINGI, inapopakwa JUU ya NGOZI au kudungwa MWILINI kwa SINDANO, kuliko wakati INAPONYWEWA kupitia MDOMO kwa maana tunaweza KUSEMA kuwa MZIO wa DAWA humaanisha kuwa MWILI umekataa DAWA fulani au HAUPATANI nayo.
DALILI ZA ALEJI INAYOSABABISHWA NA DAWA:-
Kawaida ALEJI hii hutokea katika KIPINDI cha saa MOJA baada ya KUTUMIWA kwa DAWA.
Mara CHACHE huweza KUTOKEA baada ya MASAA,SIKU au WIKI kadhaa.
Miongoni mwa DALILI za MZIO wa DAWA ni VIPELE vya NGOZI, MUWASHO,KUVIMBA,MACHO kutoa MACHOZI na NGOZI kubadilika RANGI.
DALILI nyingine za ALEJI ya DAWA ni HOMA, KUVIMBA, KUBANWA na PUMZI, MAFUA na KUPUMUA kwa kutoa SAUTI k**a MTU anayepiga FILIMBI hali inayojulikana KITAALAM k**a wheezing.
Mara CHACHE MZIO wa DAWA huweza kusababisha MADHARA makubwa kwa MTU ambapo MWILI huonesha DALILI ya jumla inayohatarisha MAISHA ijulikanayo k**a ANAPHYLAXIS ambayo hukwamisha UTENDAJI wa MFUMO wa MWILI.
VIASHIRIA vya HALI iyo ni KUBANWA njia ya HEWA na KOO, suala linalopelekea kushindwa KUPUMUA,KICHEFUCHEFU au MAUMIVU ya TUMBO yasiyo ya KAWAIDA ,KUHARISHA au KUTAPIKA ,KIZUNGUZUNGU au kuhisi KICHWA chepesi,MWILI kudhoofika na MAPIGO ya MOYO kwenda mbio.Pia mwenye hali iyo PRESHA yake hushuka,huwa na DALILI za KIFAFA na KUPOTEZA FAHAMU.
Vilevile kuna MATATIZO ambayo yanaweza KUJITOKEZA baada ya SIKU au WIKI kadhaa tangu kutumia DAWA.Ambayo yanaweza KUBAKIA kwa MUDA mrefu hata baada ya KUACHA kutumia DAWA.
MATATIZO hayo yametajwa kuwa ni UGONJWA wa SERUM ambao husababisha HOMA, MAUMIVU ya VIUNGO, VIPELE, KUVIMBA na KICHEFUCHEFU pamoja na UKOSEFU wa DAMU ambapo CHEMBE NYEKUNDU za DAMU hupungua na pia KUVIMBA FIGO na kutokewa na VIPELE vinavyoambatana na MATATIZO katika SELI NYEUPE za DAMU.
Full dozi 551,700
Nusu dozi 331,300
Robo dozi 209,200
Dar es salaam
Kwa kupata tibalishe na maelezo zaidi
piga au whatsApp
0716807023
0766031470
29/05/2023
UGONJWA WA MOYO (Coronary heart disease)
MAGONJWA ya MOYO yamezidi sana siku hizi.
Tatizo hili huanza katika MISHIPA ya DAMU ,na huweza kuendelea mpaka kuanza kuziba MISHIPA hiyo.Hii hufuatiwa na MOYO kukosa HEWA safi (Oxygen) kwa kiasi kinachotakiwa kwa sababu MISHIPA ya kupitisha DAMU imeziba na DAMU ndiyo inayopeleka HEWA ya OKSIJENI kwenye MOYO .
TAFITI mbalimbali zinaonyesha UGONJWA wa MOYO huanza kumwandama MTU pale MAMBO fulani yanaposababisha sehemu ya ndani ya KUTA za MISHIPA ya DAMU kuharibiwa.
MAMBO hayo fulani ni pamoja na kuwepo kiwango KIKUBWA cha aina fulani cha MAFUTA pamoja na LEHEMU katika DAMU.
CHANZO kingine KIKUBWA ni kutozingatia utaratibu BORA wa ULAJI .Hii ni moja ya MAMBO yanayoongeza uwezekano wa MTU kupata MAGONJWA ya MOYO .
Mfano ULAJI wa VYAKULA vyenye MAFUTA mengi, VYAKULA vyenye SUKARI nyingi, CHUMVI nyingi na LEHEMU nyingi.
Wakati huo ULAJI wa MBOGAMBOGA na MATUNDA ukiwa ni wa KIWANGO cha CHINI.
Pia kuwa na UZITO uliozidi nalo ni TATIZO linaloweza kukusababishia UGONJWA wa MOYO.
Pia UVUTAJI wa SIGARA au UTUMIAJI tumbaku.
Kutofanya MAZOEZI kila siku japo nusu saa SHINIKIZO kubwa la DAMU (high blood pressure),UGONJWA wa KISUKARI na kadhalika.
LEHEMU inahitajika MWILINI lakini kwa kiasi KIDOGO .Hata hivyo huwezi kujua una LEHEMU nyingi kupita kiasi MWILINI mpaka upime (inatakiwa iwe chini ya 200mg/dl).
Kiasi KIKUBWA cha LEHEMU mwilini husababisha mkusanyiko wa MAFUTA katika MISHIPA ya DAMU.
Punguza HATARI hii kwa kupunguza utumiaji wa MAFUTA yanayotokana na WANYAMA ikiwa ni pamoja na NYAMA iliyonona (nyama ya mafuta),MAZIWA yenye MAFUTA mengi (whole milk),JIBINI (cheese),NGOZI ya KUKU na SIAGI .
Pia ni VIZURI kupunguza ULAJI wa MAYAI , NYAMA (isizidi nusu kilo kwa wiki),MAFUTA tumia kwa kiasi kidogo.
Ongeza MATUMIZI ya NAFAKA hasa zile ZISIZONG'ARISHWA ( whole grains ) k**a UNGA wa DONA na kadhalika. ONGEZA pia MATUMIZI ya aina za VYAKULA jamii ya kunde,maharage,mbogamboga na matunda.
Fanya MAZOEZI japo dakika 30 kila SIKU .
Epuka MATUMIZI ya POMBE kupita kiasi pamoja na UVUTAJI wa sigara/tumbaku kwani VITU hivi vina MADHARA katika MOYO na MISHIPA ya DAMU .
Epuka HASIRA ,shinikizo la AKILI na SONONA .
KIUJUMLA ,wingi wa LEHEMU unakadiriwa kusababisha VIFO vya WATU takribani MILIONI 2.6 DUNIANI kila MWAKA.
Kuwepo kwa SUKARI nyingi katika DAMU ,husababisha UGONJWA wa KISUKARI ,ambao unamweka MTU katika HATARI ya kupata UGONJWA wa MOYO au KUPOOZA/KIHARUSI (stroke) mara MBILI zaidi ya ASIYE na KISUKARI .
Kumbuka UGONJWA wa MOYO huweza kumpata MTU yeyote bila kujali UMRI ,na katika siku za karibuni mtindo wa MAISHA umewafanya WATU wengi kupata MARADHI haya kutokana na ULAJI holela wa MLO usiozingatia AFYA na kuacha kufanya MAZOEZI .
UBORA wa tibalishe tunaweza kuwafanya wale wenye CHANGAMOTO zinazotokana na MOYO kurudi katika HALI yao ya KAWAIDA bila ya kufanyiwa UPASUAJI .
Full dozi 551,700
Nusu dozi 331,300
Robo dozi 209,200
kwa kupata tibalishe isiyo na kemikali na kutibu na kupona kabisa
Nipigie au Whatsapp
0766031470
0716807023
29/05/2023
UGONJWA WA HOMA YA INI
HOMA YA INI ni UGONJWA unaoambukizwa kwa njia ya VIRUSI ambavyo vikishaingia MWILINI hushambulia INI kabla ya kugeuka kuwa MARADHI SUGU.VIRUSI ivyo vinaitwa HBV - HEPATITIS B VIRUSES.
VIRUSI hivi husambazwa kwa njia ya DAMU au MAJIMAJI mengine ya MWILINI mfano MATE au JASHO.
UGONJWA huu k**a haujatibiwa hutengeneza UVIMBE katika INI na kusababisha KANSA ya INI na baadaye KIFO.
JINSI UNAVYOAMBUKIZWA.
Katika maeneo hatari zaidi DUNIANI,virusi vya HEPATITIS B ( HBV ) kwa kawaida husambazwa kutoka kwa MAMA kwenda kwa MTOTO wakati wa kuzaliwa au kutoka kwa MTU mmoja hadi mwingine hususani nyakati za UTOTONI.
K**a ilivyo kwa UKIMWI virusi vya HOMA ya INI navyo huambukizwa kwa njia ya KUJAMIIANA ,MATE,JASHO, na mwingiliano wowote wa DAMU.
NJIA KUU ZA MAAMBUKIZI :-
- Kujamiiana bila kinga.
- Kunyonyana NDIMI ( Denda )
- MAMA mwenye Ugonjwa kumwambikiza MTOTO wakati wa kujifungua.
- Kuchangia DAMU isiyo salama.
- Kuchangia vitu vya ncha kali k**a SINDANO ,WEMBE n.k
- Kuchangia MISWAKI .
- Kuchangia TAULO na mwenye Ugonjwa huo.
- Kubadilishana nguo au kukumbatiana wakati mkiwa mnavuja JASHO .
Tafiti zinaonesha kuwa VIRUSI hivi ni HATARI kuliko hata vya UKIMWI kwa sababu vinaweza kuishi NJE ya MWILI wa BINADAMU ( yaani nje ya mfumo wa damu ) kwa siku SABA.
VIRUSI vya UKIMWI ( VVU ) havina UWEZO wa kuishi NJE ya mfumo wa DAMU hata kwa DAKIKA moja.
Kutokana na USUGU wa HBV maana yake ni kwamba k**a kirusi kipo kwenye NGOZI,kitaendelea kuwa HAI kwa siku SABA na katika kipindi hicho MTU anaweza kuambukizwa kwa njia ya DAMU au JASHO. Kwa wastani kirusi cha HBV kikishaingia MWILINI hupevuka ndani ya SIKU 75.Hata hivyo upo uwezekano wa kupevuka kati ya SIKU 30 hadi SIKU 180.Ndani ya SIKU 30 mpaka SIKU 60, MTU mwenye HBV anaweza kugundulika ikiwa atapimwa.
MTU mwenye HOMA ya INI ana wastani mdogo wa KUISHI kuliko mwenye UKIMWI.
DALILI ZA UGONJWA HUU.
WATU wengi hawaonyeshi DALILI yoyote.
Kwa maana hiyo MTU anaweza kuishi na HBV na kusababisha MAAMBUKIZI kwa WENGINE bila kugundulika.
Hata hivyo WATU wengine husumbuliwa na HOMA KALI na DALILI ambazo hudumu kwa wiki kadhaa. DALILI hizo ni:-
- Uchovu
- Kichefuchefu
- Mwili kuwa dhaifu
- Homa kali
- Kupoteza hamu ya kula
- Kupungua uzito
- Maumivu makali ya tumbo upande wa INI.
- Macho na ngozi kuwa ya njano.
- Mkojo mweusi.
Kwa WAGONJWA wengine, VIRUSI vya HEPATITIS B hukua hadi kusababisha INI kuharibika kabisa ( Cirrhosis of the liver ) au SARATANI ya INI ( liver cancer ).
KINGA.
- Chanjo
- Kutumia kinga wakati wa Kujamiiana.
- Kuacha Kuchangia vitu vya ncha kali.
- Kutochangia miswaki.
- Kuwa na mpenzi mmoja mwaminifu.
- Kutochangia damu isiyo salama.
Kwa kupata tibalishe ya kukuponya
๐
๐ฎ๐ฅ๐ฅ ๐๐จ๐ณ๐ข ๐๐๐,๐๐๐.
๐๐ฎ๐ฌ๐ฎ ๐๐จ๐ณ๐ข ๐๐๐,๐๐๐.
๐๐จ๐๐จ ๐๐จ๐ณ๐ข ๐๐๐,๐๐๐
Kwa maelekezo zaidi na kupata tibalishe/virutubisho vya kukutibu
Call/whatsapp
0716807023
0766031470
19/07/2022
Maumivu ya viungo huleta madhara makubwa k**a
MGONGO
MIGUU
MAGOTI
MIFUPA YA NYONGA NA JOINTS
Maumivu ya viungo kwa walio wengi husababishwa na kukauka kwa uteute na kuondolewa kwa Cartilage iliyo katika viungo.
Uteute na Cartilage Kwa pamoja husaidia kuondoa msuguano kati ya mifupa miwili inayokutana. Na hivyo kufanya kusiwe na maumivu yoyote.
Pamoja na kwamba tatizo hili linawakuta watu wengi hasa wanapofikia umri wa miaka 38 na kuendelea, lakini bado matibabu yake ni gharama kubwa na huchukua muda mrefu kupona na wengine hua hawaponi kabisa.
NINI UFANYE KUONDOKANA NATATIZO HILI?
Tibalishe/virutubisho vilivyooneshwa hapo kwenye picha, vitakusaidia kuimairisha afya ya viungo na mifupa kwa ujumla .
Ukitumia kwa pamoja utapata Chondroitin na Glucosamine, ambavyo ni dutu asilia zinazo Saidia kuongeza utengenezaji wa uteute kwenye joints hvyo kuzuia msuguano wa mifupa, pia huongeza afya na uimara wa cartilage kufanya joints kuwa imara zaid,
Pia utapata Madini ya Calcium na mengine mengi ambavyo Huimarisha mifupa,hvyo KUONDOKANA na maumivu ya mifupa na kuzuia kuvunjika kwa urahisi.
Kuwa na umri mkubwa (uzee) kusikukoseshe raha, Chukua hatua jali
Afya yako tumia Tibalishe kuondokana na changamoto mbalimbali .
Kwa sh 295, 000
kwa kupata tibalishe na maelezo zaidi.
Call/whatsapp
0716807023
0766031470
19/07/2022
๐๐๐๐๐๐ ๐๐ ๐๐๐๐๐๐๐ ๐๐๐๐๐ , ๐๐๐๐๐๐ ๐๐๐๐๐๐ ๐๐ ๐๐๐๐๐๐๐๐๐๐๐ ๐๐๐๐๐๐
Sikio (Ear) limegawika katika sehemu tatu kuu. Sehemu ya nje ya sikio, sehemu ya kati ya sikio na sehemu ya ndani ya sikio.
Kuna aina mbili ya matatizo ya masikio nayo ni:
i.๐๐ญ๐ข๐ญ๐ข๐ฌ ๐ฆ๐๐๐ข๐.
ambayo hutokea katika sehemu ya kati ya sikio na mara nyingi huwatokea watoto wachanga na watoto wadogo.
1โข๐๐ญ๐ข๐ญ๐ข๐ฌ ๐๐ฑ๐ญ๐๐ซ๐ง๐.
ambayo hutokea katika sehemu ya ndani ya sikio na mara nyingi huwatokea waogeleaji, na hutokea zaidi wakati wa baridi.
2โข๐๐ฌ๐ก๐๐ซ๐ ๐ณ๐ ๐๐๐ญ๐๐ญ๐ข๐ณ๐จ ๐ฒ๐ ๐ฆ๐๐ฌ๐ข๐ค๐ข๐จ ๐ค๐ฐ๐ ๐๐ญ๐ข๐ญ๐ข๐ฌ ๐ฆ๐๐๐ข๐
i. Kuumwa na kuchomwa kwa sikio
ii. Kutokwa na uchafu ndani ya sikio
iii. Kutosikia kwa ghafla
iv. Homa
๐๐๐๐๐๐ฎ ๐ณ๐ ๐๐ญ๐ข๐ญ๐ข๐ฌ ๐ฆ๐๐๐ข๐.
Sababu kubwa ya maradhi hayo ni kuziba kwa bomba la sikio(Eustachiantube), kutokana na baridi, allergy pamoja na kuingia takataka.
Hii inababisha maji maji ya sikio kujaa maji hayo nayo husababisha uvimbaji wa (ear drum) sikio.
๐๐๐๐๐๐ฎ ๐ณ๐ ๐๐ญ๐ข๐ญ๐ข๐ฌ ๐๐ฑ๐ญ๐๐ซ๐ง๐.
Hii husababishwa na baketeria au fungi, maji maji yanayoingia ndani ya sikio ndio sababu kuu ya kufanya bakteria na fungi kuzaana pia Skin allegies husababisha maradhi hayo.
Na sababu nyengine ni ulaji mbovu wa chakula pamoja na upungufu wa usafi wa mwili.
๐๐๐๐๐๐๐ ๐๐ ๐๐๐๐๐ ๐๐๐๐๐๐๐.
Ikiwa utaweka kitu k**a ujiti wa kiberiti au mfano wake sikioni, unaweza kusababisha jeraha kwenye sikio na damu kuanza kutoka.
Baadae usaha unaweza kutungwa sehemu ya jeraha na kutoka kidogokidogo.
Lakini pia mashambulizi ya bacteria sikioni yanaweza kusababisha kutokwa na usaha.
TIBA ZA MAUMIVU YA MASIKIO
ni tiba asili inayo tibu maradhi yoote ya masikio,ni tiba inayotokana na virutubisho lishe asili kupitia mimea na matunda.
โข๐๐๐
๐ ๐๐ ๐๐๐๐๐๐
๐๐๐๐๐๐๐
๐๐๐๐๐๐
๐๐๐
๐ ๐๐
๐๐๐๐๐ ๐๐
๐
โข๐๐๐๐๐๐๐๐ ๐๐๐๐๐๐๐ ๐๐๐๐๐๐ ๐๐๐๐๐๐๐๐๐๐ ๐๐๐๐๐
โขMasikio kuuma
โขMasikio kupiga kelele
โขHukausha usaha masikioni kwa mtu aliye na jeraha sikioni
โขHuongeza msukumo wa damu kwenye ubongo
โขHuzuia kuchoka sana
โขHuzuia maumivu ya kichwa ya mara kwa mara
โขHuondoa matatizo ya kupoteza kumbu kumbu kwa wazee(AIZHEIMERS DISEASE)
โขHuifanya mishipa ya damu ipate utulivu
โขHuzuia magonjwa ya moyo
โขHuzuia kufa kwa seli kwenye ubongo na kufa kwa mishipa midogo midogo ya damu
โขHufaa kwa wanao choka bila sababu
โขHufaa sana kwa watu wanao tumia compyuta kwa muda mrefu
โขHufaa sana kwa wenye kutumia akili nyingi katika kufikiri.
๐
๐ฎ๐ฅ๐ฅ ๐๐จ๐ณi ๐๐๐,๐๐๐
๐๐ฎ๐ฌ๐ฎ ๐๐จ๐ณi ๐๐๐,๐๐๐
๐๐จ๐๐จ ๐๐จ๐ณi ๐๐๐,๐๐๐
Tupo dar es Salam msasani K**a upo dar unaweza kufika ofisini msasani au ukaletewa tiba ulipo delivery ukiwa njee ya dar es Salam Unatumiwa
๐๐ข๐ ๐ ๐๐ฎ ๐ฐ๐ก๐๐ญ๐ฌ๐๐ฉ๐ฉ
๐๐๐๐๐๐๐๐๐๐
๐๐๐๐๐๐๐๐๐๐
๐๐๐๐๐ ๐๐
๐
๐๐๐๐๐ ๐
๐๐๐๐
๐๐ฎ๐ฌ๐๐๐ข๐ฌ๐ก๐ ๐๐ฎ ๐ค๐ฎ๐ญ๐จ๐ ๐๐๐๐ ๐ฆ๐ฐ๐ข๐ฅ๐ข๐ง๐ข(detoxification)
Kukosa choo, Asidi nyingi mwilini na uzito uliopitiza ni dalili ya magonjwa sugu yanayoweza kukupata.
Hivyo hakikisha unabadilisha mtindo wa maisha kiulaji ili uweze kupata choo walau mara mbili kwa siku.
Hiki ni kinywaji cha asili chenye uwezo kusafisha utumbo wako mpana kwa uwezo mkubwa sana. Ni kinywaji cha afya kilichotengenezwa kwa virutubisho vya asili ambavyo vina uwezo mkubwa wa kusafisha na kuondoa kabisa sumu zote kutoka kwenye utumbo na kuuacha utumbo wako ukiwa safi na wenye Afya Imetengenezwa na virutubisho asilia.
Inapatikana katika ladha mbili ambazo ni Limao, Pandani.
Imetengenezwa kwa kutumia virutubisho vifutavyo
โก Plant Fiber
โก Inulin
โก Roselle โ
โก Oats โ
โก Garcinia Cambogia
๐๐๐
๐ ๐๐๐๐
Matokeo yake ni ya haraka na inafanya kazi ndani ya masaa 6 mpaka 8
Ina ladha nzuri ya limao na pandani
๐
๐๐๐๐ ๐๐ ๐๐๐๐๐ ๐๐
๐
โ
Kuondoa tatizo la kukosa choo au choo kigumu na kukukinga usipate magonjwa ya saratani,magonjwa ya moyo,kisukari,presha na mishipa kukak**aa.
โ
Inaondoa msongamano wa uchafu kwenye utumbo na sumu kwenye ,Figo,Ini,Kongosho,Mapafu,Utumbo na Mishipa.
โ
Inaondoa cholestrol na kupunguza uzito usiohitajika mwilini.
โ
Inaboresha uzalishaji wa bakteria wazuri kwenye utumbo
โโ
Inazuia kansa ya utumbo mpana โ
โ
Inazuia unene uliopitiliza
โ
Inaondoa lehemu mbaya โ
โ
Inazuia kutokea kwa chunusi ( uzuri unaanzia ndani )
๐๐ฐ๐ ๐ฌ๐ก ๐๐,๐๐๐
๐๐ข๐ ๐ ๐๐ฎ ๐ฐ๐ก๐๐ฌ๐๐ฉ๐ฉ
๐๐๐๐๐๐๐๐๐๐
๐๐๐๐๐๐๐๐๐๐
Click here to claim your Sponsored Listing.
Contact the business
Telephone
Website
Address
Dar Es Salaam
