Mzouy mult trade
karibu ujipatie suluhu ya kudumu kupitia bidhaa bora zilizoandaliwa kwa umakini mkubwa sana
UTAJIRI MKUBWA KATIKA BIASHARA YA MKONGE
JE? Wajua ya kuwa
*hiki ni kilimo chenye pesa nyingi sana*
Mara nyingi ukimsikiliza tajiri MO anazungumzia kilimo biashara, kwa % kubwa hua anamaanisha *Mkonge*
Mo ni mzalishaji mkubwa zaidi wa katani Afrika, katani anayoizalisha kwa mwaka km ikinyooshwa inaweza kuifunika dunia mara 4. Yeye anaiita *Dhahabu Nyeupe*
Waijua maana yake
Ni pesa
Ni pesa
Ni pesa
Katika hili kuna uwezekano wa kupata pesa nzuri katika kila hatua
1. Unaweza ukawa mfanyabiashara kwa kununua majani katani kisha kwenda kuyachakata kiwandani na ukauza soon baada ya mchakato ambao ni k**a siku (3-5)
2. Unaweza ukawa mkulima/ mzalishaji/ producer hapa utatengeneza pesa nyingi kulingana na wingi na ubora wa mkonge wako
3. Unaweza ukawa na kiwanda kidogo cha kutengeneza brash (laspado) ama kiwanda kikubwa hapa ndo utazikimbia pesa maana usagaji pekee mtu anaacha 1 milion per tonne
NGOJA NIKUPE KIONJO KWA WEWE UNAEITAMANI HII BIASHARA NA HUNA SHAMBA
*nunua katani kutoka kwa wakulima wa nje ya ushirika, chakata kwenye mashine , naAdd value kwa kupiga 'Kayamba' na 'kupress' then uza kwa tani kwa faida tamu sana (super normal profit).*
Hahahaaa umeipenda eee!
Karibu ujifunze kwa gharama kidogo upate maarifa ya kuingiza pesa nyingi na sio stori za kusadikika
Tsh 50,000 tu kupitia
0654-015927 (yas) 0615-350126 (halotel)
0684-344474 (airtel)
0753-914020 (m pesa)
Zote ni mrisho salim
Iko hivi sasa 👇
*Ili kuzalisha Tani 1 ya katani utahitaji kuchakata 'Meta' 20 hadi 25 za mkonge*
Sasa kufahamu meta ni nini nitakujuza
Meta 1 ni sawa na vifundo 110 vya katani, kifundo kimoja kina matawi 30 ya katani. Ni sahihi kusema meta 1 ni sawa na majani 3,300 ya katani (umepata picha sasa)
Iko hivi kuna mikonge ya aina 2;
i) Fundisha- Mkonge usio na uzalishaji mzuri, kwa sababu ya uchanga. Utahitaji meta 40+ kutoa tani 1
*ii) Komavu- Mkonge wenye uzalishaji bora, umekomaa utahitaji max meta 25 kutoa tani 1. Gharama yake ni negotiable
Mfano hai
*ukinunua 'Komavu' tu. Katani za 550K zinanipa tani 1*
Process zote za uzalishaji, kukata, kusafirisha site , kuchakata, kutoa 'kinyero', kuosha na kukausha inanigharimu Sh 510K.
Mpaka hapo ninakua na tani1 ya katani iliyochakatwa (processed). Tunaiita 'brashi'
Kuna grades 2 za brashi
i) SS - Grade ya kati. Mpk kufikia hiyo stage ya Tweet ya juu tuna SS, Thamani yake ni ndogo ukiuza ktk hiyo stage tani ni 2,900,000 - 3,000,000
ii) UG- Grade ya juu. Ukiongezea thamani SS unapata UG. Matajiri wananunua tani ya UG kwa 3.5 - 3.7 mil
😊😊 chukua calculator hapo sitakufundisha kila kitu😊😊 *kidding*
11/03/2024
Habari wapendwa karibuni mboreshe na kuimarisha afya zenu kupitia
● Ant diabetic tea
● Ant stomach ulcers tea
● Mambo yetu tea
Wasiliana nasi kupitia 0684344474/0615350126 hivi ni vitu asilia vyenye matokea asilimia zaidi ya 90%
-wenye sukari wametabasam
- Wenye vidonda vya tumbo wametabasam
-wenye changamoto za mambo yetu yaleee wake kwa waume wametabasam
■ Wacha kujifichaficha karibu ufurahie maisha■
Jiunge hapo hutojuta mdau wangu
05/11/2023
Habari wapendwa karibu kujiunga nasi kwa usafirishaji wa mizigo midogo (parcel) ndani ya jiji la Dar es salaam utaratibu ni k**a ifuatavyo
● DSM~1. (kila siku) tunafanya huduma ya delivery kwa kuchukua mizigo toka sehemu moja na kuufikisha kwa mlengwa
● DSM ~ 2. (Kila siku)Tunafanya delivery ya bidhaa zetu pendwa za mchele, maharage na unga
● DSM- KIBITI (Kila siku) tutakusafirishia mzigo toka dsm kwenda kibiti kwa gharama nafuu sana
● DSM- TANGA (Kila jumamosi) tunakusafirishia mizigo yako kwa usalama wa hali ya juu
Kwetu sisi usalama, usiri na uaminifu ndio kipaumbele
Wasiliana nasi kupitia 0684344474
Ofisi zetu ziko Mbagala DSM
(Tupo wazi kila siku karibuni sana)
04/11/2023
Kwa usafirisha wa mizigo midogo (parcel) kwa urahisi, usiri na haraka safirisha nasi mawasiliano yetu ni 0684344474
Unachofanya unaitafuna tu utastaajabu
● gesi tumboni itaisha
●kiungulia kitaisha
● itarekebisha kiwango cha asidi
●utafurahia jimai iwe mke/mume
~lugha nyepesi utarudisha tabasam lako~
Tucheki kupitia 0684344474 upate mzizi wa ajabu toka milima ya korogwe
12/05/2022
Kuanzia trei 50 bei ni tsh 7500 mawasiliano 0684344474
Dar es salaam (mbagala) karibu sana
29/04/2022
Tuwasiliane kupitia namba 0684344474
29/04/2022
25/04/2022
Green juice na hodari milk ni kicheko kwa wanaume
●utasimama imara
●utarudia upendavyo
●utaongeza ujazo
●itaondoa uchovu
●ni suluhu ya kudumu ya huduma za falagha
Ni rahisi kuitumia na nifresh (namaanisha inatengenezwa ndio unatumia ni natural)
Wasiliana nasi kupitia 0684344474 upate suluhu ya kudumu huu si ugonjwa ni changamoto tu usiingie sonono
25/04/2022
Tukisema ni natural na fresh tunamaanisha sisi tunaifahamu vizuri mimea na ufanyaji kazi wake
+255 684 344 474
Click here to claim your Sponsored Listing.
Category
Contact the business
Telephone
Website
Address
Dar Es Salaam
