Kezakids tz
afya ya mwanao ni muhimu
23/01/2025
SULUHUSHO LA CHANGAMOTO ZA AFYA YA UZAZI
PIGA. SIMU. 0682 444 514
14/11/2023
Hii nisabuni nzur mnoo kwanza inaharufu iliyopoa..inatoa muwasho , rashes kwa watoto nakuifanya ngozi kuwa nyororo na ya kupendeza wakati Wote kwa mtoto✍🏿✍🏿
19/09/2023
💫Kazi Zake🦈
1. 🪔 *NI KINGA YA MWILI*
Inasaidia mwili kupambana na maradhi yanayoshambulia afya ya mtoto, mama mjamzito na mtu mzima. Pia inakinga magonjwa k**a cancer, presha na pumu.
2. 🪔 *KUIMARISHA MIFUPA*
Hii husaidia kuimarisha mifupa kwa mtu wenye matatizo ya miguu na kurudisha ute kwenye magoti k**a umepungua, husaidia pia mtoto anayechelewa kupiga hatua na mwenye viungo dhaifu.
3. 🪔 *KUIMARISHA AFYA YA UBONGO*
Mtoto anatakiwa apate vyakula vyenye virutubisho kwa ajili ya kujenga UBONGO wake kuanzia akiwa bado mdogo asipopata mapema ni shida hata akienda shule ni rahisi kuwa na uelewa mdogo *(akili)* hali inayopelekea mtoto kufeli darasani hivyo akitumia *Omega 3 Salmon Oil* yatamjenga ubongo na kumfanya mchangamfu pamoja na kumpa utulivu wa akili.
Mama mjamzito pia anapotumia Omega 3 Salmon wakati akiwa mjamzito humuepusha mtoto kuzaliwa na Mtindio wa ubongo, mgongo wazi, mdomo wa sungura, autism na hata kutojifungua kabla ya wakati
4. 🪔 *HUSAIDIA KUONDOA TATIZO LA KUSAHAU*
Kutokana na mtindo wa
02/09/2023
NIKIMALIZIA KUFANYA ODA ZA WATU WANGU WA NGUVU ❣️❣️❣️
01/09/2023
LEO NDIO SIKU YA MWISHO YA FREE DELIVERY 🥳🥳🥳🥳
01/09/2023
LEO NDIO SIKU YA MWISHO YA FREE DELIVERY🥳🥳🥳🥳🔥🔥🌝
30/08/2023
*OMEGA 3 SALMON OIL*
Haya ni mafuta ya samaki yaitwayo omega 3 salmon oil
📌Ni mafuta yenye familia zote nane nikimaanisha yana DHA, EPA, DPA, HPA, ETA(3)ALA, na SDA
Nawakumbusha Tena SALMON ndio samaki pekee nduniani mwenye familia zote nane (8) za OMEGA3 na ni samaki anaepatikana katika kina kirefu Cha bahari ya ATLANTIC
📌SAMAKI huyu ni mujaribu katika kulinda afya ya mwili dhidi ya maradhi pamoja na kusaidia ujuaji mzuri wa mwili na akili hususani kwa watoto wadogo
⏭️YANAFAIDA NYINGI NAZO NI
🥳yanasaidia afya ya ubongo, utambuzi
🥳Yanaongeza lQ Yani mtoto anakua na akili sana hata darasani anashika nafasi za juu
🥳Yanasaidia kumbukumbu nzuri na kuondoa Hali ya usahaulifu
🥳yanasaidia afya ya macho kwa mtoto (uoni)
🥳yanasaidia ufanyaji kazi wa ubungo
🥳yanaondoa allergy
🥳yanasaidia ngozi kua nzuri kwa mtoto
🥳yanasaidia mtoto kupata hatua za ukuaji kwa wakati sahihi
🥳yanasaidia kuimarisha viungo vya mwili (mifupa) kwa mtoto
🥳yanasaidia sana kwa wale watoto wanaojikojolea kuacha
28/08/2023
Bei mpya bei mpya bei mpya 🔥🔥🔥🔥🔥
28/08/2023
Bei mpya bei mpya bei mpya 🔥🔥🔥🔥
28/08/2023
Bei mpya bei mpya bei mpya 🔥🔥🔥🔥🔥🔥
MAZIWA YA MAMA NI DAWA TOSHA NA NI YANA AFYA KWENYE MWILI WA MTOTO
K**a huna maziwa ya kutosha 0752760630 nitafute nitakupa suluhisho
Click here to claim your Sponsored Listing.
Category
Contact the business
Telephone
Website
Address
Mpakani Center
Dar Es Salaam
KEZA
