AFYA NI UHAI

AFYA NI UHAI

Share

Ukurasa huu ni maharumu kwa kutoa elimu kwa mwanamke wenye matatizo juu ya uzazi

27/06/2022

DALILI ZA MWANAUME MWENYE UPUNGUFU WA NGUVU ZA KIUME
Iko ivi๐Ÿ‘‡๐Ÿ‘‡๐Ÿ‘‡

1โƒฃ Kutokuwa na uwezo wa kusimamisha Uume wake barabara k**a msumari wakati wa tendo la ndoa.
2โƒฃ Na hata uume wake ukisimama hubaki kuwa goigoi/legelege na huweza kusinyaa wakati wowote.
3โƒฃ Kumaliza mapema/kufika kileleni mapema kabla ya mke wake.
4โƒฃ Kutokuwa na uwezo wa kurudia tendo la ndoa zaidi ya mara moja. Hapa mwanaume akishakamilisha mshindo mmoja wa tendo la ndoa basi anakuwa hana tena uwezo wa kurudia mshindo mwingine. Hali hii husababishwa na kutokuwa na msukumo wa damu wa kutosha kwenye mishipa ya kwenye uume.
5โƒฃUume kusinyaa na kurudi ndani. Hapa uume wa mwanaume unakuwa umesinyaa na kurudi ndani. Uume huu unakuwa hauna uwezo wa kukamilisha tendo la ndoa. Hali hii kwa kiasi kikubwa husababishwa na upigaji wa punyeto kwa muda mrefu pamoja na magonjwa hasa hasa chango la kiume au ngiri.
6โƒฃMwanaume kukosa hamu ya kufanya tendo la ndoa hata anapokuwa faragha na mke wake.
7โƒฃMwanaume Kutokuwa na uwezo wa kusimamisha kabisa uume wake. Hali hii inajitokeza pindi tatizo la kutokuwepo kwa msukumo wa damu wa kutosha kwenye mishipa ya uume, linapokuwa limekomaa.

Tucheki whtsp/call 0756732347

27/06/2022

MADHARA YA PUNYETO(MASTURBATION?)

๐Ÿ‘punyeto inaua nguvu zakiume.
๐Ÿ‘kusinyaa kwa maumbile ya uume
๐Ÿ‘kuwahi kumaliza mapema katika tendo
๐Ÿ‘kukosa hamu ya tendo la ndoa na upungufu wa mbegu
๐Ÿ‘maumivu ya kiuno
๐Ÿ‘maumivu ya nyonga
๐Ÿ‘kusinyaa kwa nywele/nywele kunyonyoka๐Ÿคž๐Ÿคž

Tucheki whtsp/call 0756732347

27/06/2022

Kutokuwa na uwezo wa kurudia tendo la ndoa zaidi ya mara moja. Hapa mwanaume akishakamilisha mshindo mmoja wa tendo la ndoa basi anakuwa hana tena uwezo wa kurudia mshindo mwingine. Hali hii husababishwa na kutokuwa na msukumo wa damu wa kutosha kwenye mishipa ya kwenye uume.

16/02/2022

Faida za kutumia complete phyto energizer na Choleduz itakusaidia kupambamba na changamoto izo wewe k**a mwanamke

๐ŸŒน zinaenda kusafisha kizazi k**a kuna uchafu kwenye kizazi utatoka na kuacha kizazi kuwa safi.
๐ŸŒนZinaenda kurutubisha mfumo mzima wa uzazi, hivyo mfumo wa uzazi wa mwanamke ukiwa na rutuba inayotakiwa kazi ya kubeba mimba inakuwa sio ngumu.
๐ŸŒนZinakwenda kubalance homoni, aina zote za homoni za uzazi zinaenda kuwa katika viwango vinavyohitajika kiafya na kuwezesha zoezi zima la utungwaji mimba lisiwe gumu.
๐ŸŒนZinakwenda kupevusha na kukomaza mayai hivyo mbegu ya kiume ikija inarutubisha yai bila shida na mimba inakwenda kutungwa
๐ŸŒนPia k**a una infection ya aina yeyote itatibika
๐ŸŒนItakusaidia kupata ute ovulation kwa maelelezo zaidi wasiliana nasi 0756732347 /0782196977 https://chat.whatsapp.com/GYpQdGcV6FW8K5elxIv70m

16/02/2022

K**a wewe ni mwanamke na unapitia changamoto yoyote kuhusu afya yako usiogope kunitafuta nikusaidie mimi ni mwanamke na ninajua changamoto mnazopitia ila wengi wanaogopa kusema usiteseke usiogope sema nitakusaidia na utafurahia mapenzi yako k**a huyo dada
P.I.D sugu

U.T.I sugu

Fungus sugu

Hormone imbalance

Uke kuwa mkavu

Maumivu wakati wa tendo la ndoa

Hupati hamu ya tendo la ndoa

Kutokwa na uchafu ukeni wenye rangi k**a maji ya mchele

Maumivu ya kiuno

Maumivu ya tumbo la hedhi

Ukiwa na changamoto hizo kamwe huwezi kufurahia mapenzi yako
Pia unaweza usishike ujauzito kamwe au kuchelewa kushika ujauzito.
Piga simu 0756732347 kwa maelekezo zaidi
https://chat.whatsapp.com/GYpQdGcV6FW8K5elxIv70m

16/02/2022

Je, wewe mwanamke umewahi kujiuliza ni nini tatizo la PID?

K**a haujui PID soma hii!!!! PID ni kifupi cha neno pelvic inflammatory disease maana yake ni mashambulizi ya bakteria katika via vya Uzazi.

Yaani via vya Uzazi mda wote vinatakiwa kuwa sawa ili viweze kuwa tayari kwa ajili ya kazi za Uzazi sasa endapo kutakuwa Na mashambulizi ya bakteria vitapoteza uwezo Wa kufanya kazi vizuri Na kusababisha matatizo mbalimbali ya Uzazi Na hata MTU kushindwa kupata ujauzito.

Na kwa sasa asilimia 80 wanawake wengi wamebeba matatizo haya.

Sababu kubwa ya tatizo hili ni bakteria kuingia katika via vya Uzazi Na hupitia tu sehemu za siri inawezekana kwa mambo yafuatayo!! 1.kutumia maji ambayo sio Salama kujisafishia.

2.kuvaa nguo za ndani chafu

3.kuwa Na mwanaume zaidi ya mmoja.

5.maambukizi ya magonjwa ya zinaa k**a vile gonorea Na kaswende.

Dalili za tatizo hili.. 1.maumivu ya tumbo chini ya kitovu.

2.kutokwa Na damu wakati Wa tendo la ndoa.

3.maumivu ya kiuno Na mgongo ambayo hushika hadi nyonga za Uzazi.

4.kutokwa Na uchafu au majmaji sehemu za siri.

5.maumivu wakati Na baada ya tendo la ndoa.

6.kutopata ujauzito.

7.kupata hedhi kidogo kidogo.

Hivyo basi inawezekana ukawa ni miongoni Wa mwanamke mwenye tatizo hilo Na umeangaika kwa muda mrefu pasipo pata mafanikio.
Habari njema kwako Nina suluhisho juu ya PID inayojirudia rudia kwa maelelezo zaidi wasiliana nasi 0756732347 /0782196977 https://chat.whatsapp.com/GYpQdGcV6FW8K5elxIv70m

04/02/2022

Tuna suluhisho la changamoto yako, tupigie 0756732347 tutakusaidia. Madam kashaanza kuona matokeo, kwa uwezo wa Mungu changamoto zote zitaisha.

28/01/2022

PID NI HATARI ITAKUCHELEWESHA KUPAKATA MTOTO WAKO Tibu kwanza tatizo hili kuepusha changamoto za mirija kuziba, hormonal imbalance, fibroids, ovarian cyst etc K**a imejirudia mara mbili au mara tatu njoo upate huduma ambayo ugonjwa utapona na hautarudi Nipigie simu 0756732347 /0782196977 https://chat.whatsapp.com/GYpQdGcV6FW8K5elxIv70m

27/01/2022

Unahangaika kupata mtoto na kila ukienda hospitali unaambiwa una UTI SUGU Fanya maamuzi leo anza kutumia bidhaa ambazo zitakupa matokeo mazuri PID /UTI /infection yoyote kwenye kizazi hupelekea mtu kua na hormonal imbalance , unapataje mtoto? Wengi tunaulea huo ugonjwa kwa kumeza antibiotics kila leo , mtu anapata ubahili kwenye swala la afya yake na anasahau akipata kansa atatumia millions of money Wanawake tuamke usilee infections hospitali wakishindwa tafuta utaratibu mwingine

26/01/2022

๐€๐ˆ๐๐€ ๐™๐€ ๐”๐“๐ˆ!

~ ๐‹๐จ๐ฐ๐ž๐ซ ๐”.๐“.๐ˆ
~ ๐”๐ฉ๐ฉ๐ž๐ซ ๐”.๐“.๐ˆI

โœ…๐‹๐Ž๐–๐„๐‘ ๐”.๐“.๐ˆ

Ni hatua ya ugonjwa kushambulia maeneo ya urethra (mirija ya mkojo) na kibofu cha mkojo (Bladder)katika hatua hizi,Mgonjwa atasikia Dalili zifuatazo:

1. Maumivu wakati wa kukojoa
2. Kujisikia kukojoa Mara kwa Mara lakini kutoa mkojo kidogo tu
3. Damu katika mkojo
4. Mkojo wenye rangi ya chai
5. Mkojo wenye harufu kali
6. Maumivu ya kiuno kwa wanawake
7. Maumivu ya sehemu za nyuma kwa wanaume

โœ…๐”๐๐๐„๐‘ ๐”.๐“.๐ˆ.

๐Ÿ‘‰๐ŸพUpper U.T.I Ni maambukizi Ndani ya Figo Hii ni hatua Mbaya sana. Endapo Bacteria wataanza kuingia Kwenye mkondo wa damu kutoka kwenye Figo.
-SEPSIS,sepsis huweza Kusababisha Msukumo wa Damu kuwa mdogo sana(Low blood Pressure),Msh*tuko au Kifo.

โœ…๐ƒ๐€๐‹๐ˆ๐‹๐ˆ ๐™๐€ ๐”๐๐๐„๐‘ ๐”.๐“.๐ˆ:
1. Maumivu ya maeneo ya juu ya Mgongo
2. Huhalibu vichocheo vya mwili (Himbalance)
3. Uchovu
4. Kupata maumivu makali ya Tumbo Chini ya kitovu
5. Kupata kichefuchefu na Kutapika
6. Homa Kali

Unahitaji suluhisho la kudumu linalopatikana katika virutubisholishe ili kutibu kuanzia kwenye kiini cha tatizo kwa kuimarisha kinga ya mwili kupambana na maambukizi k**a haya na magonjwa mbalimbali.

๐“๐ˆ๐๐ˆ๐–๐€ ๐Œ๐€๐๐„๐Œ๐€ ๐ˆ๐‹๐ˆ ๐Š๐”๐„๐๐”๐Š๐€ ๐”.๐“.๐ˆ ๐Š๐”๐–๐€ ๐’๐”๐†๐”. ๐๐ˆ ๐‡๐€๐“๐€๐‘๐ˆ ๐’๐€๐๐€.

๐“๐ฎ๐ฉ๐ข๐ ๐ข๐ž ๐ค๐ฐ๐š ๐ŸŽ๐Ÿ•56732347 ๐š๐ฎ ๐ญ๐ฎ๐ฆ๐ข๐š ๐ฅ๐ข๐ง๐ค ๐ก๐š๐ฉ๐จ ๐œ๐ก๐ข๐ง๐ข ๐ค๐ฎ๐ฉ๐š๐ญ๐š ๐ง๐š๐Ÿ๐š๐ฌ๐ข ๐ฒ๐š ๐ค๐ฎ๐ข๐ง๐ ๐ข๐š ๐ค๐ฐ๐ž๐ง๐ฒ๐ž ๐ ๐ซ๐จ๐ฎ๐ฉ ๐ฅ๐ž๐ญ๐ฎ ๐ฅ๐š ๐š๐Ÿ๐ฒ๐š ๐ค๐ฐ๐š ๐ฆ๐š๐Ÿ๐ฎ๐ง๐ณ๐จ ๐ณ๐š๐ข๐๐ข:
https://chat.whatsapp.com/GYpQdGcV6FW8K5elxIv70m

Want your business to be the top-listed Beauty Salon in Dar es Salaam?
Click here to claim your Sponsored Listing.

Category

Telephone

Website

Address


Mwai Kibaki Road Mikocheni
Dar Es Salaam