Rhoj beauty Collection

Rhoj beauty Collection

Share

The Beauty Authority tuna deal na Afya ya ngozi kwa binadamu.

22/11/2023

Cerave Acne Control Cleanser with is 2% Salicylic Acid Acne treatment with 3 essential ceramides ,Hectorite Clay & Niacinamide to help:

✨Reduce blackheads & prevent new breakouts
✨Improve the look of pores & maintain the protective skin barrier
✨Niacinamide to calm skin barrier by controlling oil production.
*
*
*
✨PRICE- Tzs. 55.000/=

🇹🇿

09/09/2023

Love yours 🥂

28/06/2023

Happy EID Mubarak

Photos from Rhoj beauty Collection 's post 06/06/2023

Hello 👋🏾 guys Leo tunapenda kutambulisha section mpya ya COSMETICS PODCAST ambayo tutakua tunapeana elimu kuhusu VIPODOZI, AFYA YA NGOZI, PERFUME.

Kwenye Hizi Podcast tutaelimishana vitu vingi sana na mtakua na nafasi Ya kuuliza maswali, kutoa maoni juu Ya nini kiongezeke kwenye series zetu.

Leo saa 10 kamili jioni tutaachia Podcast ya kwanza na Tipic itakua ni “WINTER SKINCARE ROUTINE“

Kuna mengi sana yamezungumzwa hapa nakukaribisha usikilize na ujifunze.

🇹🇿

Photos from Rhoj beauty Collection 's post 04/06/2023

We look forward to serving you.😍

Follow us

Slide ➡️⬅️

🇹🇿

Photos from Rhoj beauty Collection 's post 17/05/2023

Uzingatiaji wa Ngozi sio tu kwa ajili Ya wanawake 🚫. Hata wanaume wanapaswa kuzingatia afya ya ngozi na kuhakikisha wanakua na ngozi nzuri.

Kwenye Post hizo Hapo nimekuwekea SKINCARE ROUTINE Special kwa ajili ya wanaume. K**a unavyojua wanaume hua hatuna Vitu vingi K**a dada zetu.

Angalia hizo Post vizuri na usome kwa umakini ili uelewe.

Photos from Rhoj beauty Collection 's post 16/05/2023

Ukiweza kuzingatia Vifuatavyo basi utakua na ngozi nzuri yenye Afya na yenye kupendeza.

1. DHIBITI KIWANGO CHA MATUMIZI YA SUKARI!

Insulin ikishindwa kudhibiti kiwango cha sukari hua inazalishwa chemical reaction inayoitwa “GLYCATION”

Glycation inaathiri mfumo wa kinga ya ngozi na hasa inashambulia protini Muhimu ya ngozi “COLLAGEN & ELASTIN” Hizoza ngozi zikikutana na Glycation hua zinaharibiwa vibaya sana na ivo kusababisha seli za ngozi kuthoofika & kufa.

Na Hapo ngozi yako itadhoofika na kuanza kusumbuliwa na ya ngozi K**a Chunusi, Hypopigmentation, nk.

Kwa hiyo jitahidi sana kwenye matumizi ya sukari.

2. JITAHIDI KUTUMIA SUNSCREEN KILA SIKU.

Sunscreen ina faida kubwa sana kwenye kulinda na kuzuia ngozi dhidi ya ugonjwa hatari wa Kansa ya ngozi.

Mionzi ya jua inakuja duniani moja kwa moja na kukukuta ww huja apply SUNSCREEN ni hatari 🥲🥹.

3. KUTOPATA USINGIZI WA KUTOSHA.

Tunavyolala usiku au muda mwingine wowote msukumo wa damu kwenye ngozi hua ni mkubwa na kufanya organs za ngozi kujitengeneza (HEAL) na kuzalisha protini muhimu ya ngozi “COLLAGEN” na ku-repair damage zinazosababishwa na mionzi ya jua, kuondoa makunyazi & mikunjo na dalili zote za uzee.

4. KUTOTUMIA MOISTURIZER

Kuna baadhi ya Watu hua bado wapo na ile zana ya kusema “USIKU SIPAKI MAFUTA NAACHA NGOZI YANGU IPUMUE” 😂 Hii nadharia haipo na Sijui Nani aliingiza kwenye akili zetu wengi.

Sasa nakwambia MOISTURIZER ni Muhimu kwa mtu yoyote. Hakikisha ukitoka tu kuoga unapaka mafuta sahihi yanayoendana na ngozi yako.

Ukioga na kutopaka mafuta ngozi yako itazeeka, haitopendeza, haitong’aa na itakua rahisi sana kushambuliwa na magonjwa Ya ngozi tofauti.

UKIZINGATIA HAYA YOTE TEGEMEA KUPATA NGOZI BORA YENYE AFYA!

Photos from Rhoj beauty Collection 's post 15/05/2023

After carefully reading and listening to what the skin influencers have to say and doing all your research you are pumped to start your skincare routine and you’re ready to go shopping. You’re wondering which toners, essences and serums should I get ?What about eye cream? Which vitamin c should I get (you probably want the strongest that’ll deliver fast results ) and oh! You forgot about retinol 🥲
BREATHE! what you need to do is think about your skin and wallet size. You don’t want to buy products you will not be able to repurchase.

the skincare business may be jarring you want to be sure you make smart choices.

The right place to start is with the basics. Here are some product recommendations.

📌Cleansers:
low PH gentle cleanser
moisturizer facial wash
facial wash cleanser
cleanser
vitamin C Gel cleanser
Salicylic Acid Cleanser
Cleanser

📌Moisturizers;
moisturizer
vitamin C moisturizer
Vitamin C moisturizer
moisturizer
snail mucin moisturizer
tea tree moisturizer

📌Sunscreens
sunscreen SPF 50
sunscreen

sunscreen

22/04/2023

Wishing a blessed Eid to all our Muslim customers! May your celebrations be filled with joy, peace, and love. Eid Mubarak! 🌙✨

Photos from Rhoj beauty Collection 's post 20/04/2023

KILA MWANAMKE ANAHITAJI DETOX PEARLS.

🧚‍♂️Pearls hizi zina faida nyingi sana na hata kwa ambao hatujijui k**a tunaumwa zitakuacha salama 🌿

INATIBU MAAMBUKIZI YAFUATAYO:
'
🍀KUKAUSHA MAJI MACHAFU UKENI

🍀FUNGUS

🍀KUONDOA HARUFU MBAYA UKENI

🍀YEAST INFECTIONS

🍀KUTOKWA DAMU BAADA YA HEDHI

🍀KUKOMA HEDHI
🍀KUZIBUA MIRIJA YA UZAZI

🍀UVIMBE KWENYE KIZAZI au OVARIAN CYST

🍀HORMONAL IMBALANCE

🍀HEAVY MENSTRUAL CYCLE

🍀HUTIBU U.T.I SUGU

🍀KUBANA UKE

🍀P.I.D au BACTERIAL VAGINOSIS

Bei ya dozi moja ni Tsh 20,000 ambayo ni Pearls tatu3
( WASILIANA NASI ILI UJUE UNAHITAJI DOZI NGAPI KUTIBU TATIZO LAKO)

Delivery tunafanya kokote nchini 🇹🇿 kwa gharama nafuu ya mteja.
WASILIANA NASI:
0676045999
AU
WhatsApp +255 744 405 342

Follow Us:

Want your business to be the top-listed Beauty Salon in Dar es Salaam?
Click here to claim your Sponsored Listing.

Telephone

Address


Mafia & Jangwani Kariakoo
Dar Es Salaam

Opening Hours

Monday 10:00 - 18:00
Tuesday 10:00 - 18:00
Wednesday 10:00 - 18:00
Thursday 10:00 - 18:00
Friday 10:00 - 18:00
Saturday 10:00 - 18:00