Rhoj beauty Collection
The Beauty Authority tuna deal na Afya ya ngozi kwa binadamu.
22/11/2023
Cerave Acne Control Cleanser with is 2% Salicylic Acid Acne treatment with 3 essential ceramides ,Hectorite Clay & Niacinamide to help:
✨Reduce blackheads & prevent new breakouts
✨Improve the look of pores & maintain the protective skin barrier
✨Niacinamide to calm skin barrier by controlling oil production.
*
*
*
✨PRICE- Tzs. 55.000/=
🇹🇿
09/09/2023
Love yours 🥂
28/06/2023
Happy EID Mubarak
06/06/2023
Hello 👋🏾 guys Leo tunapenda kutambulisha section mpya ya COSMETICS PODCAST ambayo tutakua tunapeana elimu kuhusu VIPODOZI, AFYA YA NGOZI, PERFUME.
Kwenye Hizi Podcast tutaelimishana vitu vingi sana na mtakua na nafasi Ya kuuliza maswali, kutoa maoni juu Ya nini kiongezeke kwenye series zetu.
Leo saa 10 kamili jioni tutaachia Podcast ya kwanza na Tipic itakua ni “WINTER SKINCARE ROUTINE“
Kuna mengi sana yamezungumzwa hapa nakukaribisha usikilize na ujifunze.
🇹🇿
04/06/2023
We look forward to serving you.😍
Follow us
Slide ➡️⬅️
🇹🇿
17/05/2023
Uzingatiaji wa Ngozi sio tu kwa ajili Ya wanawake 🚫. Hata wanaume wanapaswa kuzingatia afya ya ngozi na kuhakikisha wanakua na ngozi nzuri.
Kwenye Post hizo Hapo nimekuwekea SKINCARE ROUTINE Special kwa ajili ya wanaume. K**a unavyojua wanaume hua hatuna Vitu vingi K**a dada zetu.
Angalia hizo Post vizuri na usome kwa umakini ili uelewe.
16/05/2023
Ukiweza kuzingatia Vifuatavyo basi utakua na ngozi nzuri yenye Afya na yenye kupendeza.
1. DHIBITI KIWANGO CHA MATUMIZI YA SUKARI!
Insulin ikishindwa kudhibiti kiwango cha sukari hua inazalishwa chemical reaction inayoitwa “GLYCATION”
Glycation inaathiri mfumo wa kinga ya ngozi na hasa inashambulia protini Muhimu ya ngozi “COLLAGEN & ELASTIN” Hizoza ngozi zikikutana na Glycation hua zinaharibiwa vibaya sana na ivo kusababisha seli za ngozi kuthoofika & kufa.
Na Hapo ngozi yako itadhoofika na kuanza kusumbuliwa na ya ngozi K**a Chunusi, Hypopigmentation, nk.
Kwa hiyo jitahidi sana kwenye matumizi ya sukari.
2. JITAHIDI KUTUMIA SUNSCREEN KILA SIKU.
Sunscreen ina faida kubwa sana kwenye kulinda na kuzuia ngozi dhidi ya ugonjwa hatari wa Kansa ya ngozi.
Mionzi ya jua inakuja duniani moja kwa moja na kukukuta ww huja apply SUNSCREEN ni hatari 🥲🥹.
3. KUTOPATA USINGIZI WA KUTOSHA.
Tunavyolala usiku au muda mwingine wowote msukumo wa damu kwenye ngozi hua ni mkubwa na kufanya organs za ngozi kujitengeneza (HEAL) na kuzalisha protini muhimu ya ngozi “COLLAGEN” na ku-repair damage zinazosababishwa na mionzi ya jua, kuondoa makunyazi & mikunjo na dalili zote za uzee.
4. KUTOTUMIA MOISTURIZER
Kuna baadhi ya Watu hua bado wapo na ile zana ya kusema “USIKU SIPAKI MAFUTA NAACHA NGOZI YANGU IPUMUE” 😂 Hii nadharia haipo na Sijui Nani aliingiza kwenye akili zetu wengi.
Sasa nakwambia MOISTURIZER ni Muhimu kwa mtu yoyote. Hakikisha ukitoka tu kuoga unapaka mafuta sahihi yanayoendana na ngozi yako.
Ukioga na kutopaka mafuta ngozi yako itazeeka, haitopendeza, haitong’aa na itakua rahisi sana kushambuliwa na magonjwa Ya ngozi tofauti.
UKIZINGATIA HAYA YOTE TEGEMEA KUPATA NGOZI BORA YENYE AFYA!
15/05/2023
After carefully reading and listening to what the skin influencers have to say and doing all your research you are pumped to start your skincare routine and you’re ready to go shopping. You’re wondering which toners, essences and serums should I get ?What about eye cream? Which vitamin c should I get (you probably want the strongest that’ll deliver fast results ) and oh! You forgot about retinol 🥲
BREATHE! what you need to do is think about your skin and wallet size. You don’t want to buy products you will not be able to repurchase.
the skincare business may be jarring you want to be sure you make smart choices.
The right place to start is with the basics. Here are some product recommendations.
📌Cleansers:
low PH gentle cleanser
moisturizer facial wash
facial wash cleanser
cleanser
vitamin C Gel cleanser
Salicylic Acid Cleanser
Cleanser
📌Moisturizers;
moisturizer
vitamin C moisturizer
Vitamin C moisturizer
moisturizer
snail mucin moisturizer
tea tree moisturizer
📌Sunscreens
sunscreen SPF 50
sunscreen
sunscreen
22/04/2023
Wishing a blessed Eid to all our Muslim customers! May your celebrations be filled with joy, peace, and love. Eid Mubarak! 🌙✨
20/04/2023
KILA MWANAMKE ANAHITAJI DETOX PEARLS.
🧚♂️Pearls hizi zina faida nyingi sana na hata kwa ambao hatujijui k**a tunaumwa zitakuacha salama 🌿
INATIBU MAAMBUKIZI YAFUATAYO:
'
🍀KUKAUSHA MAJI MACHAFU UKENI
🍀FUNGUS
🍀KUONDOA HARUFU MBAYA UKENI
🍀YEAST INFECTIONS
🍀KUTOKWA DAMU BAADA YA HEDHI
🍀KUKOMA HEDHI
🍀KUZIBUA MIRIJA YA UZAZI
🍀UVIMBE KWENYE KIZAZI au OVARIAN CYST
🍀HORMONAL IMBALANCE
🍀HEAVY MENSTRUAL CYCLE
🍀HUTIBU U.T.I SUGU
🍀KUBANA UKE
🍀P.I.D au BACTERIAL VAGINOSIS
Bei ya dozi moja ni Tsh 20,000 ambayo ni Pearls tatu3
( WASILIANA NASI ILI UJUE UNAHITAJI DOZI NGAPI KUTIBU TATIZO LAKO)
Delivery tunafanya kokote nchini 🇹🇿 kwa gharama nafuu ya mteja.
WASILIANA NASI:
0676045999
AU
WhatsApp +255 744 405 342
Follow Us:
Click here to claim your Sponsored Listing.
Category
Contact the business
Telephone
Address
Mafia & Jangwani Kariakoo
Dar Es Salaam
Opening Hours
| Monday | 10:00 - 18:00 |
| Tuesday | 10:00 - 18:00 |
| Wednesday | 10:00 - 18:00 |
| Thursday | 10:00 - 18:00 |
| Friday | 10:00 - 18:00 |
| Saturday | 10:00 - 18:00 |
