Wisley na afya bora
TUNATOA USHAURI NA TIBA KWA CHANGAMOTO ZA KIAFYA
📞PIGA SIM
+225 719663106
07/04/2024
SIKU YA AFYA DUNIANI
🧊👉Fanya hivi ili kudumisha afya njema:
- Kula lishe yenye afya: Kula matunda mengi, mboga mboga, nafaka zisizokobolewa, na protini isiyo na mafuta sana ni muhimu kwa kudumisha afya kwa ujumla.
- Fanya mazoezi ya kawaida: Mazoezi ni muhimu kwa kuweka mwili wako na afya na kuzuia magonjwa. Lenga angalau dakika 30 za mazoezi ya wastani siku nyingi za juma.
- Pata usingizi wa kutosha: Watu wazima wengi wanahitaji saa 7-8 za kulala kila usiku ili kufanya kazi kwa ubora wao.
- Dhibiti mfadhaiko: Mfadhaiko sugu unaweza kuathiri afya yako, kwa hivyo ni muhimu kutafuta njia za kuudhibiti.
kwanza
afya yako.
Wasiliana Nasi 0719663106
06/01/2024
*Zingatia hay kabla ya kulala*💫💫
1.👉Punguza matumizi ya vifaa vya electronic kabla ya kulala
2.👉Epuka kulala ukiwa umeshiba sana. *NI HATARI KWA AFYA YAKO*
3.👉Tengeneza mazingira tulivu ya kulala. Ni vema kulala kwenye giza
4.👉Jitahidi kulala mada ule ule kila siku
5.👉Jiepushe na mawazo mazito na wasiwasi kabla ya kulala
6.👉Epuka kunywa vinywaju venye kafeini au sukari nyingi wakati unaenda kulala
7.👉Ikiwezekana, Lala mwenye chumba chenye kitanda tu ( *USILALE STORE* )
Nk.
Uwe na Usiku Mwema
*👉💫Wisley sadick- Senior Health Consultant*
[email protected]
📞 0766-186-471
05/01/2024
Mzunguko hafifu wa damu ni hatari kwa afya yako kwani, hupelekea vifo vya ghafla. Baadhi ya sababu za mzunguko hafufu wa damu ni, damu kuganda, na mafuta mengi kwenye mishipa ya damu ambayo inatokana na mfumo wa maisha tunaoishi.
TEZI DUME INATIBIKA BILA UPASUAJI. PIGA SIMU NO 0712 124 665
15/11/2023
JE UMESUMBULIWA NA TATIZO LA GOUT BILA KUPONA. PITIA SLIDE HIZI ZITAKUSAIDIA KUELEWA TATIZO LAKO KWA KINA NA KUWA NINI UNAPASWA YFANYE ILI UONDOKANE NALO
TUNA VIRUTUBISHO AMBAVYO UNAPOVITUMIA VINAKUSAIDIA KUONDO URIC ACID NA AMBAYO NDIYO HUPELEKEA GOUT... NA PIA ITAKUSAIDIA KUONDOA MADHARA YALIYOTOKANA NA CHANGAMOTO HIYO.
NIPIGIE KWA NAMBA, 0766-186-471
09/10/2023
📃📃 Licha ya kuwa tatizo la bawasili lina sababu nyingi.. kupata choo kigumu ndiyo sababu kubwa inayopelekea tatizo hili
0712 124 665
09/10/2023
📃📃 Hata hivyo tatizo la bawasili lisipopata matibabu mapema linaweza kupelekea
1. 💬Kuathirika kisaikolojia
2. 💬Upungufu wa damu
3. 💬Kinga za mwili kupungua
4. 💬Kukosa hamasa ya kushiriki tendo la ndoa
5. 💬 Saratank kwenye utumbo mpana
6. 💬Gesi, tumbo kungutuma, kiungulia +
7. +
0712 124 665
09/10/2023
3. 💫👉 NJIA YA VIRUTUBISHIO
Virutubisho vitakusaidia k**a ifuatavyo
💫 Kuondoa choo kigumu na hali ya kutopata choo
💫kutoa sumh kwenyw mfumonwa mmeng'enyo wa chakula
💫kuimarisha mishipa katika eneo la haja kubwa
💫kusaidia kuondoa vinyama katika njia ya haya kubwa
💫+
NA HATIMAYE KUPONA
0712 124 665
*📃📃 Vihatarishi vya Bawasiri*
💫👉Bawasiri hutokea pale shinikizo huongezeka kwenye mishipa ya damu inayozunguka njia ya haja kubwa. Hii huweza kuwa matokeo ya kitu kinachokandamiza utumbo, k**a vile wakati wa ujauzito, au huweza kutokea kutokana na kujikamua sana wakati wa haja kubwa kutokana na kufunga choo au kuharisha kwa muda mrefu. Hali hii hutokea sana na hutokea zaidi kadri umri unavyoongezeka. Watu wenye uzito wa kupita kiasi wana uwezekano mkubwa wa kupata bawasiri.
0712 124 665
📃📃 Kutokea kwa bawasiri kunaweza kuhusishwa
👉ujauzito
👉kuharisha kwa muda mrefu
👉kutopata choo au Choo kigumi (constipation)
👉Kunyanyua vyuma
👉 kukaa kwa muda mrefu
👉uzito mkubwa
0712 124 665
09/10/2023
📃📃 Bawasiri
Huu ni moja ya magonjwa hatari yaliyopo kwenye mfumo wa mmeng'enyo wa chakula.
📃📃 Bawasiri ni kuvimba kwa mishipa ya damu iliyopo ndani ya au katika eneo linalozunguka njia ya haja kubwa. Yaanj kuota vinyama kwenye njia ya haja kubwa.
0712 124 665
Click here to claim your Sponsored Listing.
Category
Contact the business
Telephone
Website
Address
Dar Es Salaam
Opening Hours
| Monday | 09:00 - 17:00 |
| Tuesday | 09:00 - 17:00 |
| Wednesday | 09:00 - 17:00 |
| Thursday | 09:00 - 17:00 |
| Friday | 09:00 - 17:00 |
| Sunday | 09:00 - 17:00 |
