Double H Cosmetics
Sellers of quality and original cosmetics in a reasonable prices. Major Distributor PORTIA M products
Your beauty is our biggest concern. Stay cute
WALE WAPENZI WA NGOZI NZURI NA YA KUVUTIA! Ofa Kabambe Imetua!
Unataka ngozi yako na ya mwanao ing'ae na ivutie bila kutumia gharama kubwa? Double H Cosmetics tumekuletea ofa ya kibabe kutoka Portia M!
Nunua bidhaa zozote mbili (2) za Portia M, na ujipatie bidhaa ya tatu (1) BURE KABISA! (Buy 2, Get 1 FREE).
Ofa hii inahusisha bidhaa za watoto na watu wazima pia.
⚠️ Shtuka sasa! Ofa hii si ya muda mrefu, bidhaa zinawahi kuisha. Weka oda yako mapema kabla hazijaisha!
📌Wasiliana nasi kwa
📞Sinza Kumekucha: +255 753 790 790
📞Makumbusho: +255 752 000 039
06/06/2026
Je, unajua siri ya ngozi ya kiume kubaki na unyevu (moisture) siku nzima?
Sabuni nyingi za kuoga za wanaume hukausha ngozi, lakini Dove Men+Care imetengenezwa na teknolojia ya 24H Nourishing Micromoisture inayolinda na kurudisha unyevu wa asili wa ngozi yako kila unapooga.
Pata uburudisho wa Extra Fresh unaodumu kwa masaa 24
💰Inapatikana kwa Tsh25000/= tu kila moja
📌Wasiliana nasi leo upate yako
📞Sinza Kumekucha: +255 753 790 790
📞Makumbusho: +255 752 000 039
Kununua perfume siyo tu kupata harufu nzuri, ni kupata ile inayokaa kwenye nguo na kukutofautisha!
K**a unatafuta perfume ya zawadi au ya kwako binafsi, list hii ya "Perfumes 5 Bora" ni muongozo wako kamili. 🛍️
Kuanzia package za kuvutia hadi seti nzima (k**a 9 PM yenye shower gel na body spray), tumekusogezea vitu vya kijanja.
📍Zinapatikana dukani kwetu Double H Cosmetics kwa bei rafiki kabisa
📌Wasiliana nasi kwa
📞Sinza Kumekucha: +255 753 790 790
📞Makumbusho: +255 752 000 039
06/06/2026
K**a unasumbuliwa na ngozi kavu, makovu, michirizi (stretch marks), au rangi ya ngozi isiyoenda sawa (uneven skin tone), mchanganyiko huu ndiyo suluhisho lako.
Tunakuletea combo kamili ya Portia M Marula Body Cream na Marula Skin Oil.
Mafuta haya ya Marula yananyonya haraka kwenye ngozi na kuiacha ikiwa na unyevu wa kina masaa 24 bila kuacha mafuta ya ziada.
Irudishie ngozi yako muonekano wa ujana na unyororo sasa!
💰Zote zinapatikana kwa Tsh60,000/= tu
📌Wasiliana nasi kwa
📞Sinza Kumekucha: +255 753 790 790
📞Makumbusho: +255 752 000 039
Je, unachangamoto ya ngozi kuwa kavu sana kila ukitoka kuoga?
Ni wakati wa kubadilisha mfumo wako wa kuoga na HarLeen M Exfoliating Tamanu Body Wash.
Hii ni body wash ya kipekee inayofanya kazi tatu kwa mpigo:
🍀Inasafisha na kuondoa seli zilizokufa (Exfoliates)
🍀Inarudisha unyevu kwenye ngozi (Hydrates & Softens)
🍀Inaacha harufu nzuri ya kuvutia siku nzima
💰Inapatikana kwa Tsh 25,000/= tu!
📌Wasiliana nasi kwa
📞Sinza Kumekucha: +255 753 790 790
📞Makumbusho: +255 752 000 039
05/06/2026
Kujitunza na kunukia vizuri siyo jambo la wanawake pekee, hata wanaume wanastahili huduma bora kwa ngozi zao.
Nivea Men Cool Kick inafanya kazi tatu kwa wakati mmoja: inasafisha uso, mwili, na nywele zako huku ikikuacha na ubaridi wa Menthol siku nzima. Na kuifanya iwe rahisi zaidi.
Seti hii inakuja na sponge yake maalum yenye mpini mrefu kukusaidia kufikia maeneo yote kwa urahisi.
💰Yote haya kwa Tsh25,000 TSh tu!
📌Wasiliana nasi leo upate yako
📞Sinza Kumekucha: +255 753 790 790
📞Makumbusho: +255 752 000 039
Mbona natumia bidhaa nzuri lakini bado napatwa na chunusi?
Jibu linaweza kuwa liko kichwani mwako! Msongo wa mawazo (stress) una athari ya moja kwa moja kwenye muonekano wako. Unapunguza kasi ya ngozi kujirekebisha na kuacha makovu ya muda mrefu.
Kumbuka, utunzaji sahihi wa ngozi hauishii kwenye cream na serum pekee, bali unahusisha pia amani yako ya akili na hisia.
📌Wewe unatumia mbinu gani ya haraka kupunguza stress? Shusha comment yako hapa chini.
Dalili za ngozi hazidanganyi, na sasa suluhisho limepatikana!
🍀Isome ngozi yako na uipe utunzwaji wa kisasa unaostahili kwa bidhaa za HarLeen M.
✅Mchanganyiko wa viungo vya asili na teknolojia ya wellness infused skincare ndio siri ya ngozi yenye afya, nyororo, na inayong’aa bila uchovu.
Kila tone linarudisha uhai wa ngozi yako!
📌Endelea kutufuatilia kwa kufollow ukurasa wetu ili kupata tips zaidi za utunzaji wa ngozi
02/06/2026
Je, unatafuta bidhaa moja itakayomaliza changamoto tatu za ngozi yako kwa wakati mmoja?
SkinLuxy Super Glow Renewal Oil-gel (Vitamin C & Licorice Root Extract) ndio suluhisho lako la uhakika.
📍Bidhaa hii ya kipekee ina nguvu ya Triple Action inayofanya kazi zifuatazo
🌟 Brightening: Inang'arisha na kurudisha mng'ao wa asili wa ngozi iliyofifia.
✨ Stretchmarks: Inasaidia kufifisha na kulainisha alama za michirizi mwilini.
✨ Dark Spot: Inafuta madoa meusi na kuacha ngozi yako ikiwa na rangi moja safi.
Badilisha ngozi yako kwa kila tone
💰Inapatikana kwa Tsh40,000/= tu
📌Wasiliana nasi kwa
📞Sinza Kumekucha: +255 753 790 790
📞Makumbusho: +255 752 000 039
Keep It Simple! 🌿✨
Kupata ngozi ya ndoto zako hakuhitaji kabati zima la vipodozi! Ngozi nzuri inahitaji tu mwendelezo wa kila siku kwa kutumia bidhaa chache sahihi.
Ni bora zaidi kutumia Cleanser, Moisturizer, na Sunscreen kila siku bila kukosa, kuliko kutumia bidhaa 10 kwa wiki moja kisha unaacha.
fanye hii kuwa tabia yako mpya kuanzia leo!
👉 Ungana nasi
📌Fuatilia kurasa zetu (Follow) ili uendelee kupata dondoo rahisi na za uhakika za kuitunza ngozi yako kila siku!
Click here to claim your Sponsored Listing.
Category
Telephone
Website
Address
Sinza Kumekucha
Dar Es Salaam
Opening Hours
| Monday | 09:00 - 17:00 |
| Tuesday | 09:00 - 17:00 |
| Wednesday | 09:00 - 17:00 |
| Thursday | 09:00 - 17:00 |
| Friday | 09:00 - 17:00 |
| Saturday | 09:00 - 17:00 |
| Sunday | 09:00 - 17:00 |
