AFYA BORA NI MALI
Health & Beauty
01/11/2022
JE, WAJUA KWAMBA TEZI FUME YAWEZA TIBIKA BILA UPASUAJI?? 0678007223
***0678007223***
Faham kuhusu tezi dume.,ππ
Tezi dume ni sehemu mojawapo ya mfumo wa uzazi wa kiume. Inaundwa na sehemu mbili ambazo zimeunganishwa na kufunikwa kwa nje kwa utando wa tishu.
Tezi hii ipo mbele kidogo ya puru (re**um) na chini kidogo ya kibofu cha mkojo. Tezi dume inauzunguka mrija unaounganisha kibofu cha mkojo na uume (urethra).
Kazi ya tezi dume
Mojawapo ya kazi za tezi dume ni kutoa majimaji yanayochanganyika na mbegu za kiume (sperms) wakati wa kilele cha tendo la kujamiana. Mchanganyiko huu wa mbegu pamoja na majimaji hayo hutengeneza shahawa (semen).
Majimaji hayo husaidia kuzipa mbegu za kiume nguvu ya kusafiri kwenye uke mpaka kufikia kwenye mirija ya uzazi, tayari kwa utungisho na yai la k**e.
Vilevile husaidia kupunguza hali ya kitindikali iliyopo katika uke, ambayo isiporekebishwa, huua mbegu nyingi za kiume na kufanya utungisho kuwa wa tabu..
Vyanzo Vinavyopelekea Tezi Dume Kutanuka:
Tatizo la kutanuka kwa tezi dume limekuwa kwa kasi sana hii ni kutokana na mitindo ya maisha wanaume wengi wanayoishi. Pia na elimu ndogo iliyoko kwenye jamii kuhusu afya zao.
Vifuatavyo ni vyanzo vya kutanuka kwa tezi dume:
- Ukosefu wa lishe kamili na Virutubisho muhimu mwilini.
- Uwepo wa sumu nyingi mwilini.
- Kutokufanya mazoezi.
- Matumizi ya pombe kali, na uvutaji wa sigara.
- Uzito mkubwa (uliopindukia, uliokithiri), na Kitambi.
- Kutokukaa sawa kwa vichocheo vya mwili (Hormone Imbalance).
- Msongo wa mawazo (Stress).
- Magonjwa ya zinaa.
- Umri mkubwa.
- Upasuaji wa korodani, kuzaliwa na korodani moja.
- Historia ya Familia (Kurithi).
- Mazingira (Ethnicity).
DALILI ZA SARATANI YA TEZI DUME NI ZIPI:
a) Dalili za awali
- Kukojoa mkojo uliochanganyikana na damu
- Kukojoa mkojo wenye mtiririko dhaifu
- Maumivu kwenye mfumo wa mkojo
- Kuhisi maumivu wakati wa kukojoa
- Kuhisi kibofu kimeja mkojo muda wote na ukienda kukojoa mkojo hautoki, lakini ukirudi kukaa unahisi kukojoa tena.
- Homa
- Kukojoa mara kwa mara wakati wa usiku
b) Dalili za mtu aliyeathirika
- Maumivu ya mifupa hasa chini ya mgongo, kiuno na mbavu
- Miguu kuwa dhaifu
-Kushindwa kumudu tendo la ndoa, au Kuhisi maumivu makali wakati unamaliza tendo la ndoa
- Kushindwa kuzuia mkojo, pindi unapohisi kukojoa
- Kushindwa kuzuia haja kubwa (kinyesi cha maji maji)
- Tumbo kuja gesi mara kwa mara
MADHARA YA TEZI DUME:
Yafuatayo ni madhara ya tezi iliyotanuka:
- Kibofu cha mkojo kuuma: hivyo hupelekea mkojo kurudi juu, na kuharibu figo na Ini β¦ β¦ n.k.
- Kufunga kwa njia ya mkojo kabisa
- Figo kushindwa kufanya kazi (Kidney Failure)
- Kushindwa kumudu tendo la ndoa (Ndoa zinavunjika)
- Ugumba (Infertility, Frigidity for men)
- Kutokea kwa majipu sehemu ya Tezi Dume
- Kifo
USIJALI TEZI DUME INAWEZA KUTIBIKA NA KUPONA KABISA BILA UPASUAJI, KWA KUTUMIA VIRUTUBISHO MAALUM VISIVYO NA KEMIKALI YOYOTE, NA KUKUFANYA UWE MZIMA NA KUREJESHA FURAHA YAKO.
πJinsi ya kupata suluhisho ama tiba ya tezi dume bila upasuaji wala mionzi, wasiliana nami kwa namba,ππππππ
0678007223
0783939302.
08/08/2022
X POWER COFFEE IKIWA NA X POWER MAN CAPSULE,PAMOJA NA PROSTATRELAX.
HII NDIYO TIBA YA MFUMO WA UZAZI KUWA IMARA .PIGA SIMU;0678007223
Hii ni kahawa iliyotengenezwa Kwa mchanganyiko Wa vitu Zaidi ya vinne yani;
1. Fresh maca
2. Ginseng powder
3. Tongkat ali
4. Epimedium.
# hivi vimetoka nchi za
KOREA,CHINA,USA,INDIA,PERU
# hii haina CAFFEINE,imetolewa Kwa kutumia teknolojia bora ili kuwafaa watu Wa aina zote.
# muhimu za Hii Kahawa;
1. Kuimarisha misuli ya uume kuwa bora zaidi na Nguvu mara dufu wakati Wa tendo.
2. Kuupa mwili Nguvu zaidi
3. Kusaidia kurudia tendo la ndoa mara nyingi zaidi yani ukimaliza mshindo Wa kwanza unauwezo Wa kuendelea zaidi.
5. Kumpa mtu hamu ya tendo la ndoa hata k**a iliisha kabisa.
6. Kuondoa uchovu na stress,kuzuia hatari ya kupata Magonjwa ya moyo.
7. Kuilinda na kuipa afya tezi ya mwanaume
8. Kuufanya uume usimame barabara k**a msumari
9. Kusafisha mishipa ya damu
10. Kuongeza ubora Wa mbegu za mwanaume na kuzifanya ziwe na kasi zaidi
11. Haina kemikali ni ya asili kabida 100%
Tunapatikana Dar Es Salaam, Mbagala, Kibaha, Mbezi mwisho, Na mikoani tunatuma kikamilifu, KARIBU SANA.
# AIBU YA KUFIKA HARAKA KILELENI.X POWER COFFEE, CAPSULES,NA PROSTATRELAX NDIO MKOMBOZI WA MWANAUME.
Kwa mahitaji piga/njoo whatsup.
# #0678007223
# #0783939302
07/06/2022
JE, UNASUMBULIWA NA UVIMBE KWENYE KIZAZI????
0678007223
Angalia jinsi uvimbe wa kizazi kwa mwanamke ulivyo hatariβΌοΈ
HIVI sasa kuna tatizo kubwa la uvimbe linalowakabili kinamama duniani na baadhi wanajikuta wanashindwa kushika ujauzito na madhara mengineyo.
Ni kinamama wachache wanaofahamu sababu za wao kusumbuliwa na maradhi hayo ambayo yanajenga picha ya kuwa ni ya kawaida.
Kimsingi, ni maradhi yanayokuwa katika sehemu inayotengeneza homoni ya kuzalisha mayai kwa mwanamke iitwayo ovari.
βOvari ndiyo chanzo kikubwa cha homoni za k**e zinazoongoza ukuaji wa sifa za msichana k**a matiti, umbo la mwili na nywele za mwilini. Homoni hufanya kazi ya kurekebisha mzunguko wa hedhi na mimba,β wataalamu wanafafanua.
CHANZO CHAKE
Ni nini chanzo cha uvimbe kwenye tezi za uzazi za mwanamke? Kuna sababu nyingi.
πMojawapo ni kwanza ni historia ya awali ya mhusika. Hilo linafanya tatizo lililoko kwenye maisha ya mtu mmoja kuwa na uwezekano kusumbuliwa na ugonjwa huo.
πSababu nyingine inayosababisha uvimbe, mzunguko wa hedhi usiokuwa na mpangilio maalum au mwili kuwa na mafuta mengi kwenye sehemu ya juu ya mwili. Ni tatizo linalowapata zaidi wanawake wanene.
πJingine ni ugumba na kuvunja ungo mapema kwa kinamama. Mtoto wa k**e anafikia hali hiyo akiwa na umri mdogo.
Aidha, kukosekana uwiano sawa wa vichocheo au homoni na baadhi ya dawa za kutibu saratani nazo zinaelezwa kusababisha tatizo hilo.
DALILI ZA UVIMBE
Sehemu kubwa ya uvimbe huwa hauonyeshi dalil, isipokuwa kwa wachache wakiwa ni kati ya asilimia 15 na 30 ya wanawake wpte wanaipatwa na tatizo hilo.
πDalili mojawapo ya uvimbe ni kutokwa damu kusiko kwa kawaida au kupata damu ya hedhi katika kipindi kisicho cha hedhi.
πNamna nyingine ni kwamba mtu anapata maumivu makali wakati wa hedhi na maumivu ya tumbo, kiuno na mgongo.
ππKwa baadhi ya wanawake ni kwamba, mtu anahisi au kugusa uvimbe chini ya kitovu na wakati mwingine huvimba na mithili ya ya kuwa na ujauzito.
πUgumba kwa kinamama nayo ni dalili nyingine ya uvimbe, kwa mimba kutoka mara kwa mara wa kushindwa kabisa kushika mimba.
πWakati mwingine mwanamke anapopatwa na haja ndogo mara kwa mara na anashindwa kuzuia mkojo katika hali fulani, anapatwa na maumivu makali wakati wa kufanya mapenzi, kuvimba miguu au kukosa choo ni sehemu ya dalili zake.
Hiyo ni hali inayojitokeza wakati uvimbe unapokandamiza sehemu nyingine ya viungo vya mwili na kusababisha maumivu.
USIJALI HUO UNATIBIKA BILA UPASUAJI,
KWA MSAADA WASILIANA NAMI,πππππ
0678007223
0783939302
30/05/2022
X POWER COFFEE-0678007223
Hii ni kahawa iliyotengenezwa Kwa mchanganyiko Wa vitu Zaidi ya vinne yani;
1. Fresh maca
2. Ginseng powder
3. Tongkat ali
4. Epimedium
Viambata hivi vimetoka nchi za
KOREA,CHINA,USA,INDIA,PERU
Kahawa hii haina CAFFEINE,imetolewa Kwa kutumia teknolojia bora ili kuwafaa watu Wa aina zote.
Kazi muhimu za Hii Kahawa;
1. Kuimarisha misuli ya uume kuwa bora zaidi na Nguvu mara dufu wakati Wa tendo.
2. Kuupa mwili Nguvu zaidi
3. Kusaidia kurudia tendo la ndoa mara nyingi zaidi yani ukimaliza mshindo Wa kwanza unauwezo Wa kuendelea zaidi.
5. Kumpa mtu hamu ya tendo la ndoa hata k**a iliisha kabisa.
6. Kuondoa uchovu na stress,kuzuia hatari ya kupata Magonjwa ya moyo.
7. Kuilinda na kuipa afya tezi ya mwanaume
8. Kuufanya uume usimame barabara k**a msumari
9. Kusafisha mishipa ya damu
10. Kuongeza ubora Wa mbegu za mwanaume na kuzifanya ziwe na kasi zaidi
11. Haina kemikali ni ya asili kabida 100%
Tunapatikana Dar Es Salaam, Mbagala, Kibaha, Mbezi mwisho, Na mikoani tunatuma kikamilifu, KARIBU SANA.
EPUKA AIBU YA KUFIKA HARAKA KILELENI.X POWER COFFEE
Kwa mahitaji piga/njoo whatsup.
# #0678007223
# #0783939302
25/05/2022
AINA ZA UCHAFU UNAOTOKA UKENI,RANGI NA DALILI ZAKE,
0679007223
0783939302
Kutokwa na uchafu ukeni unaoambatana na kuwashwa au kutokewa na vipele, hii huashiria kwamba kuna tatizo ukeni, na katika makala hii tumechambua aina mbali mbali za uchafu ukeni kwa kuangalia rangi zake na dalili za magonjwa.
1. UCHAFU WENYE RANGI YA KAHAWIA AU DAMU
Huu uchafu huonyesha dalili ya kuwa mzunguko wako wa hedhi umevurugika na wakati mwingine ni dalili ya magonjwa k**a kansa ya kizazi,
mwanamke anayepata tatizo hili hutoa damu nyingi pamoja na kuumwa sana nyonga, hivo ukiona dalili k**a hizi nenda kafanye vipimo hospital na kuanza tiba mapema
2. UCHAFU WENYE RANGI YA NJANO /KIJANI WENYE HARUFU MBAYA
Endapo uchafu huo utatoka k**a povu na wenye rangi ya kijani au njano na ukiambatana na harufu mbaya huwa ni dalili ya ugonjwa wa trichomonas,PID(pelvic inflammatory disease), maambukizi ya parasite yanatokana na ngono zembe,
dalili Yake nyingine ni maumivu na kuwashwa wakati wa kutoa haja ndogo,maumivu wakati wa tendo la ndoa,kutokwa na damu ukeni wakati wa tendo la ndoa n.k.
3. UCHAFU MWEUPE MZITO K**A JIBINI
Mara nyingi hii huwa ni dalili ya maambukizi ya fangasi(YEAST INFECTION) na dalili nyingine huwa ni kuvimba sehemu ya nje ya siri, kuwashwa na kupata maumivu makali wakati wa tendo la ndoa.
Ngozi ya eneo la nje kubadilika rangi na kuwa nyekundu,kuhisi hali ya kuungua wakati wa kutembea,
uchafu mzito kutoka ukeni na wa rangi mithili ya maziwa mgando,uchafu huu huweza kuambatana na harufu mbaya kutoka ukeni
4. UCHAFU MWEUPE/KIJIVU WENYE HARUFU YA SAMAKI
Uchafu wa Aina hii ni dalili ya maambukizi ya bacteria vaginosis, mara nyingi mwenye tatizo hili husikia muwasho na maumivu sehem ya nje ya uke.
KUMBUKA: Jua kutofautisha kati ya ute ute ambao ni kawaida kumtoka mwanamke akiwa kwenye siku za hatari na aina za uchafu unaotoka ukeni ambao nimetoa maelezo yake.
Ute ute wa siku za hatari unakuwa wa kuvutika k**a vile ule wa kwenye yai la kuku,na hauna harufu yoyote mbaya
KWA USHAURI ZAIDI,ELIMU AU TIBA TUWASILIANE KWA NAMBA
π²
0678007223
18/05/2022
TIBA YA MAUMIVU YA MGONGO ,KIUNO MIFUPA, MIGUU ,NYONGA NA MAUNGIO ,MENGINEYO BILA MADHARA WALA UPASUAJI
ππ0678007223
Bila shaka umesha msikia ndugu yako,wewe mwenyeme , rafiki au mtu wako wa karibu wakilalamika kuugua tatizo la GAUTI, kuuma kwa MAUNGIO k**a MAGOTI ( knee joint) , NYONGA ,BEGA , (shoulder joint ) KIUNO na MGONGO . wako pia wanaolalamika maumivu ya maungio ya kisigino ( Ankle joint)
Watu wengi wana sumbuliwa na matatizo ya viungo (MAUNGIO)
Ambapo wanawake ni 18% na wanaume ni 9.6%
Kawaida katika MAUNGIO huwa kuna ute ute uitwao snynovial fluid ambao kazi yake ni kulainisha joints, pia kuna kitu k**a sponji kiitwacho cartilage ( gegedu) ambayo kazi yake ni kufanya mfupa na mfupa visisagane hivyo sponji hii na ute ute juu ndio vinavyofanya MAUNGIO yawe salama salimini
TATIZO hili kitaalamu huitwa OSTEOARTHRITIS (OA) hutokea pale ambapo gegedu kuanza kulika pole pole na kusababisha mifupa ya kwenye MAUNGIO kusagana hii husababisha maumivu
CHANZO CHA TATIZO kula sana vyakula vyenye uric acid k**a nyama nyekundu
umri mkubwa
.uzito mkubwakuumia kwa kupata ajalikurithi( genesis) wafanya mazoezi / wana michezo
MATIBABU
KUNAVIRUTUBISHO
Ni vya asili vimetengenezwa kwa kutumia madini,mimea,matunda na mboga mboga
Huongeza ute ute kwenye maungio na kuziponya cartilage au sponji zinazozuia mifupa kusagana na huondoa maumivu maungio kabisa
Huongeza GLUCOSAMINE ambayo huunda upya cartilage ( sponji zinazounda mifupa isisagane
Huongeza GLUCOSAMINE ambayo huunda upya cartilage
Huongeza chrondroitin ambayo hutumika kutengeneza ute ute kat ya maungio
Huondoa kabisa maumivu ya maungio yaliyokithiri.
Piga/whatsup.
0678007223
0783939302
17/05/2022
0678007223
SULUHISHO LA CHANGAMOTO NA MATATIZO YA UZAZI WA MWANAMKE..π§π§..ππππππππππππππππππππ
πJe, UNASUMBULIWA NA UVIMBE KWENYE KIZAZI??
πJe, UNASUMBULIWA NA TATIZO LA KUTOSHIKA UJAUZITO??
π Je, UNATATIZO LA KUKOSA HEDHI ZAIDI YA MIEZI MITATU(3).????
πJe, UNATATIZO LA KUPATA MAUMIVU MAKALI WAKATI WA HEDHI???
πJe, HEDHI YAKO HAIPO KWENYE MPANGILIO MZURI???
π₯βοΈ Yote hayo yanaweza kutibika kwa kutumia tiba zilizotengenezwa na virutubisho maalumu vya pekee,....
ππ UNAWEZA KUPONA KABISA uvimbe kwenye kizazi bila upasuaji,.. na kupata suluhisho la changamoto mbali mbali za uzazi wa mwanamke zilizoorodheshwa hapo juu...
Kwa msaada zaidi na mawasiliano piga simπ€³π€³
** 0678007223**..
Amua sasa kupona kwa kua AFYA BORA NI MALI... Usikubali kubaki na changamoto za uzazi.
0678007223
0783939302
π₯π₯π₯π₯π₯π₯π₯π₯π₯π₯π₯π₯π₯π₯
Click here to claim your Sponsored Listing.
Category
Contact the business
Telephone
Website
Address
Mbezi
Dar Es Salaam
