AFYA CHECK

AFYA CHECK

Share

penda AFYA yako

14/08/2024

Decalcification of bones and sublaxation of joints is a part of pregnancy due to softening of ligaments caused by relaxin hormones. It effects the sacroiliac joint and symphysis p***s (in a good way) which allows stretching when it’s time to birth your baby! Relaxins in conjunction with progesterone increases the water holding capacity of the ligaments surrounding these joints which in turn means increased joint mobility. Movement can become irritating and produce back pain and inflammation which is also very common during pregnancy. This is why I binded my belly throughout my third trimester for back relief, postural support, to lesson the pressure from rapid growth and weight of my growing baby thus helping with stretching/stretch marks and much more.

Other changes in our bones can be linked to Vitamin and mineral deficiencies. This is why Sea Moss is HIGHLY recommended as a natural form of prenatal vitamins as opposed to synthetic over the counter prenatal multivitamins...as it contains 92 of the 102 minerals that we need to maintain a healthy body before conception, during pregnancy and after. It also contains Vitamins A, B, C, D (black wombmen suffer from severe Vitamin D deficiency), E and K. It is especially rich in calcium and iodine, as well as potassium iodide, potassium bromide, selenium, zinc and natural silica.

14/08/2024

kuwa_mama Choose your 2024 fruit of the womb NOW!
1. Boy
2. Girl
3. Twins
4. Triplets
5. Others specify.

Choose and tag a trying to concieve couple with faith...

14/08/2024

Amen🙏🙏🙏

Sending you strength to start and go trough this journey!

12/08/2024

Njia ya pili: JINSI YA KUTIBU ENDOMETRIOSIS KWA KUTUMIA JUISI YA APPLE (TUFAA).🍎

Chukua tufaa mbili (Apple) kisha zioshe vizuri kuondoa uchafu, katakata vipande vidogo vidogo kisha saga na mbegu zake kwa kutumia maji ujazo wa glass mbili ili kupata glass mbili.

Kunywa juisi hii bila kuchuja wala kuongeza kitu kingine chochote asubuhi glass moja na jioni glass moja kwa siku 30 mfululizo.

NYONGEZA: Juisi inayobaki kwa ajiri ya jioni unaweza kuhifadhi kwenye jokofu (friji) kwa ajiri ya jioni.

Vilevile kwa wasiokuwa na friji wanaweza kutengeneza asubuhi glass moja kwa kutumia maji glass moja na Apple moja kisha wakatumia vivyo hivyo jioni wakatengeneza pia wakatumia. Pia k**a huna blenda ya kusagia unaweza kula Apple moja na mbegu zake asubuhi na moja jioni kwa siku 30 mfululizo.

Usiweke asali wala sukari.❌

12/08/2024

ENDOMETRIOSIS ni ugonjwa ambao huhusisha seli zinazofaa kuwa ndani ya mji wa uzazi kuwa nje ya mji huo.

Inawezekana kuwa wakati mwanamke akiwa katika siku zake, ndipo madhara hujitokeza katika mishipa ya ukuta wa mji wa uzazi na damu hiyo ya hedhi kumwagika nje ya mishipa hiyo. Ukali wa dalili huhusiana na mahali pa endometriosisi ilipo.

Dalili za awali unazoweza kujua k**a una changamoto ya Endometriosis ni kupata hedhi zenye maumivu makali,
Kupata maumivu baada ya tendo la ndoa, kupata maumivu ya tumbo, ya mgongo chini na nyonga na
maumivu wakati kwa uzalishaji mayai (Ovulation).

Unaweza kutambua k**a una Endometriosis kwa kupima kipimo cha Laparaskopi (upasuaji mdogo wa tumbo), Kipimo cha kupiga picha kwa nguvu ya sumaku (MRI) na kipimo cha ULTRASOUND ndicho kipimo rahisi kinachoweza kukuonesha k**a una changamoto ya Endometriosis kwa sababu dalili zake huweza kufanana na dalili za changamoto zingine k**a uvimbe au chango. Hivyo unashauriwa kufanya kipimo cha ULTRASOUND kubaini bayana k**a una Endometriosis.

12/08/2024

VYANZO VIKUU VYA MIMBA KUHARIBIKA NI:

1. Chango la Uzazi.

2. P. I. D

3. Athari zinazotokana na kutumia dawa za uzazi wa mpango hapo kabla.

4. Uvimbe kwenye kizazi.

5. Historia ya kuharibikiwa kwa mimba.

6. Msongo wa mawazo, makasiriko n.k

7. Kupanda bodaboda ukiwa mjamzito au kusafiri umbali mrefu n.k

8. Kufanya kazi ngumu ngumu wakati wa ujauzito mfano kunyanyua, kubeba, kusogeza na hata kuinama mda mrefu.

9. Kutumia dawa kihorela bila ushauri mzuri wengine hata vinywaji vyenye kemikali nyingi n.k.

K**a ulishawahi kuharibikiwa mimba, Je, wewe unadhani namba ngapi inakuhusu hapo?.

AFYA_NA_AGNES
AFYA_NA_AGNES
0658008524

08/08/2024

USIJIKATIE TAMAA HATA WEWE UTAITWA MAMA

NAKUJALI
0658008524

08/08/2024

JINSI YA KUONGEZA DAMU KWA KUTUMIA ROZELA HASA KWA WAJAWAZITO WANAOPUNGUKIWA DAMU AU MTU YEYOTE ANAYEPUNGUKIWA DAMU.

Nenda sokoni nunua ROZELA fungu. Katakata vipande vidogo vidogo weka maji lita mbili chemsha mpaka iwe na rangi nyekundu.

Chuja weka kwenye chupa kila siku kunywa glass moja asubuhi na glass moja usiku.

Tumia kila siku mpaka upate matokeo unayoyahitaji usiweke sukari.❌❌

05/08/2024

VITU VITANO (5) MUHIMU VYA KUKUMBUSHANA KUHUSU AFYA ZETU.🩺💊💉🩸

1. Hakikisha unajua namna ya kuhesabu siku za hatari. Wengi hawabebi ujauzito sababu hawajui namna ya kuhesabu siku za hatari. Na wengine wanabeba ujauzito bila kutarajia sababu hawajui namna ya kuhesabu siku za hatari.

2. Hakikisha unajua namna ya kutofautisha kati ya ute wa uzazi na uchafu mwingine usiotakiwa kutoka ukeni.

3. Siyo kila dawa inafaa kutibu tatizo lako. Hakikisha unapata ushauri sahihi, sehemu sahihi.

4. Jitahidi kujali afya yako kabla tatizo halijawa kubwa maana usipofanya hivo mapema utatumia gharama kubwa ya mda na pesa.

5. Kwa imani yoyote uliyonayo mshirikishe Mungu katika afya yako utafanikiwa.🙏🙏

Ipi umeipenda zaidi kati ya hizi?.

05/08/2024

DALILI ZA FANGASI UKENI

Dalili zake huwa ni za kuogopesha k**a maambukizi yatakua yametokea kipindi cha
ujauzito, ugonjwa wa VVU, ugonjwa wa sukari nk

🟦kuwashwa sehem za siri

🟦kuhisi maumivu makali wakati wa kujamiiana (superficial dysapareunia)

🟦kuhisi kuwaka moto sehemu za siri Mara baada ya kutoka kufanya tendo la ndoa
au kutoka kukojoa (burning sensation)

🟦 kupata vidonda ukeni (soreness)

🟦kuvimba na kuwa mwekundu katika mdomo wa nje wa uke (l***a minora)

🟦kupata maumivu wakati wa kukojoa

🟦kutokwa na uchafu wa rangi nyeupe au kijivu unaoweza kuwa MWEPESI au
MZITO, uchafu huu unakua k**a maziwa yaliyoganda na hauna harufu kali

🟦Kutokwa na harufu kali baada ya kushiriki tendo la ndoa

🟦Kuchafua chupi mara kwa mara.

🟦kupata vipele ukeni

🟦kutokwa majimaji machafu ukeni yenye harufu au yasiyo na harufu kali.
Nitafute nikupe ushauri na tiba ya kudumu
☎️0658008524

05/08/2024

MATIBABU YA KUZUIA DAMU KUTOKA SEHEMU ZA SIRI WAKATI WA UJAUZITO.

Mara nyingi matibabu hutegemea na sababu iliyopelekea damu kutoka.
Lakini fanya hivi 👇👇

1. Pata muda wa kutosha wa kupumzika yaani complete bed rest.
2. Usifanye tendo la ndoa mpaka uimarike.
3. Kutokufanya kazi ngumu k**a vile kuinama, kunyanyua vitu vizito, kunyanyuka ghafla, kupanda majengo marefu n.k.
4. Epuka kutumia madawa ya kulevya, kutumia sigara na pombe.
5. Epuka msongo wa mawazo kupita kiasi kwa kubadili mawasiliano, mazungumzo, kuangalia taarifa za kufurahisha, kuhadithiana hadithi, kuangalia tamthiliya n.k
6. Afike hospitali kila aonapo dalili yoyote ya hatari hata k**a ni kitone kidogo cha damu sehemu za siri.

02/08/2024

Utafiti unasema karafuu husaidia usagaji mzuri wa chakula tumboni na ni nzuri kwa matibabu ya maumivu ya tumbo, tumbo kujaa gesi na kiungulia. Hivyo, ni miongoni mwa kiungo muhimu katika vyakula kutokana na vinasaba vya aina ya eugnol vilivyomo ndani yake.

FAIDA KUU ZA KUTUMIA KARAFUU KILA SIKU KATIKA AFYA YA UZAZI WA MWANAMKE.

1. Karafuu hupevusha mayai hivo kurahisisha zoezi la kubeba ujauzito.

2. Karafuu inazibua mirija.

3. Karafuu inazuia na kutibu kansa ya kizazi.

4. Karafuu inayeyusha uvimbe wowote kwenye kizazi (Fibroids & Ovarian Cyst).

5. Karafuu husawazisha homoni mfano huweza kutumika kurudisha period iliyokata mda mrefu au wanaopata period kidogo/matone inatakiwa watumie karafuu kwa wingi.

6. Karafuu hupevusha mayai hivo kukusaidia upate ute wa uzazi.

MAHITAJI👇👇

Mchaichai + Tangawizi moja + mdalasini vijiko viwili + karafuu kijiko kimoja= Chai ya viungo.

Chemsha vyote kwa pamoja vikichemka chuja kwenye kikombe kimoja weka asali vijiko viwili.

Kunywa chai hii asubuhi kikombe kimoja na jioni kikombe kimoja kwa siku 30 mfululizo.

NYONGEZA:Kwa wenye vidonda vya tumbo chemsha k**a maelekezo yanavyoelekeza lakini usiweke tangawizi.

Want your business to be the top-listed Beauty Salon in Dar es Salaam?
Click here to claim your Sponsored Listing.

Category

Telephone

Website

Address


Dar Es Salaam

Opening Hours

Monday 06:30 - 12:30
Tuesday 09:00 - 17:00
Wednesday 09:00 - 17:00
Thursday 09:00 - 17:00
Friday 09:00 - 17:00
Saturday 09:00 - 17:00
Sunday 09:00 - 17:00