Health4life2020
Contact information, map and directions, contact form, opening hours, services, ratings, photos, videos and announcements from Health4life2020, Health/Beauty, Dar es Salaam.
Suluisho LA matatizo ya fuatayo:
-kuwahi kufika kileleni
-Uume kusinyaa nakuwa mdogo
-mbegu kutoka kidogo wakati wa tendo
-mwili kuchoka baada ya tendo
_stay foreverwell_
*we only live once so take care of your health*
04/05/2021
UKIPIGA PUNYETO YAFUATAYO YATAKUWA MADHARA KWAKO
👉Uume kusinyaa kila ukijaribu kubadilisha style au mtindo.
👉Uume kusimama kwa ulegevu baada ya kumaliza bao la kwanza.
👉Kupata bao lenye maumivu hasa kuanzia bao la pili na kuendelea.
👉Kukosa hisia kabisa baada tu ya kufika kileleni safari ya kwanza
👉Kuchoka sana baada ya kufanya mapenzi.
👉Uume kutosimama ukiwepo na mwenza wako lakini akiondoka unaona unapata hamu na uume unasimama vizuri.
👉Kufika kileleni haraka sana na baada ya kufika unashindwa kurudia tena.
👉Kushindwa kumuandaa mpenzi wako, kuhofia utafika kileleni kabla ya mchezo.
👉Kutoa mbegu hafifu hadi kusababisha kushindwa kumpa mwenza wako ujazuzito.
K**A UMEKUMBANA au UNAKUMBANA NA CHANGAMOTO K**A HIZO USISITE,
CHECK US INBOX
By Zoolobotanist
03/05/2021
Huenda ulishawahi kuitumia au kuiona hii bidhaa...watu wanaipenda kwasababu ina sifa zifuatazo.....nadhani nawe ni vizuri ukaitumia ⭐Aloe ever-shield Deodorant🌟
Hii ni deodorant nzuri kwa Wanawake na Wanaume iliyotengenezwa na mmea wa aloe vera kwa 100%. Tofauti na Deodorant nyingine hii bidhaa INA faida zifuatazo::
1.✨HAINA CHUMVI YA ALUMINI.✨
2.✨HAICHAFUI NGUO✨
3.✨HUTUMIKA MARA YA BAADA YA KUNYOA ILI KUEPUSHA NGOZI NA VIPELE AU MIWASHO✨
4.✨HUKATA HARUFU KWA WATU WENYE SHIDA YA KIKWAPA✨
5. ✨HUONDOA WEUSI SUGU KWENYE KWAPA✨
6. ✨NI NZURI KUTUMIKA K**A FIRST AID KUPAKA KWENYE KIDONGA✨
7. ✨HUSAIDIA KUTIBU FUNGUS YA NGOZI✨
8. ✨HAINA HARUFU KALI( MANUKATO YOYOTE).✨
9. ✨INADUMU KWA MUDA MREFU( Miez 4+)✨
10.✨ BEI YAKE NI NDOGO.✨
Namna ya kujipatia yako, tuwasiliane...🙏 CHECK US INBOX
#
02/05/2021
Athari za Homoni ya Prolactin kwa MWANAMKE kuwa Juu wakati HUNYONYESHI na Huna Mimba.
1. Maziwa Kutoka kwenye Chuchu
2. Mayai kutokupevuka
3. Mzunguko wako kuwa mfupi sababu Ya kiwango kidogo cha Progesterone na Estrogen k**a yai halikupevuka.
4. Mayai Kutokupevuka hata Ukipima Homoni za Kukomaza mayai LH katikati ya Mzunguko unakuta ziko Chini ya kiwango Kinachotakiwa kutoa yai kwenye Ovari kuja kwenye Mirija.
5. Kuingia hedhi ya Matone au Kutokuingia kabisa
6. Hamu ya tendo la ndoa Hakuna na maumivu wakati wa Tendo la ndoa (Kuwa mkavu sana wakati wa Tendo la ndoa)
7. Mimba kuharibika. Kwa sababu homoni za Kulea Mimba Huathiriwa na Prolactin.
8. Kutokupata Mimba Kabisa. .
Je DALILI Gani kati ya Hizo Unahisi Inakutesa sana Kwenye mwili wako?
CHECK US INBOX
#
01/05/2021
UKIONA DALILI HIZI HAKIKA UNAPASWA KUPATA ALOVERA GEL MAPEMA KABLA YA HATARI - Na Hunatabia ya kusafisha mwili hasa mfumo wa chakula
Kuna kitu Unakitafuta na Utakipata.
Unajua Utumbo wako/tumbo kiujumla ndio Ubongo wako wa Pili baada ya huu wa kichwani hivyo Basi,k**a usipouchunga na ukaujali vyema ujue siku sio nyingi utakua ni mtu wa kupishana na wagonjwa wengine Hospitalini ukihangaika kutafuta Suluhisho la Madhara yatakayokupata kesho na keshokutwa.
🔹Hizo Dalili ni Zipi Hasa kwani?
1.Tumbo kujaa Gesi.
2.Tumbo Kuunguruma.
3.Haupati Choo? Au unapata lakini kidogo sana na kwa Shida?K**a jibu ni Ndio Basi upo kwenye list.
4.K**a una kitambi na Bado unaendelea kula Vyakula Vibovu au Kunywa pombe&soda Basi Shtuka Mapema.
5.Kuwashwa&Kujikuna Ngozi Bila Sababu.
6.Kupata Kiungulia.
7.Pamoja na Tumbo kuuma.
🔹Madhara MAKUBWA ninayopata au nitakayoyapata pengine ni yapi?
➡️'MADHARA MAKUBWA' ambayo yamekuwa yakiwakuta na kuwasumbua watu wengi hasa wanawake ambao hawana mazoea au utaratibu wa kufanya 'Cleansing' kusafisha tumbo,ni pamoja na
1.Changamoto ya KANSA ya utumbo mpana ambayo inaongoza kwa kansa nyingi kwa sasa hasa WANAWAKE. kutokana na UZITO/KITAMBI na kukosa choo kwa mrefu na kupelekea masalia kuanza kujenga kitu cha tofuati .
2.Menstrual Problems/Matatizo ya Mzunguko wa Hedhi.
🔹Sasa Ndugu yangu Sumu zimejaa Tumboni hutaki kuziondoa Mpaka zimeanza kusambaa kwenye Damu na mwishowe Hormones zimeathirika,uwiano wake haupo sawa tena unategemea kupata hedhi kwa Mzunguko sahihi? Hapana.Hata ukipata Basi inaambatana na Maumivu makali sana na wengine kutopata kabisa Siku zao miezi kwa Miezi.Chukua Hatua Leo.
3.Matatizo ya Moyo.
4.Matatizo ya Figo kufeli/Kidney Failure.
5.Arthritis pamoja na
6.Bawasiri/Haemorrhoids.
🔹Nini cha Kufanya?
1.Jitahidi kuepuka 'Junk Foods' vyakula Vibovu k**a Chips,Ngano,Wanga kupita Kiasi,Soda N.k
2.Jijengee utaratibu wa kufanya 'Cleansing' Au kusafisha Tumbo walau Mara 2-3 kwa Mwezi ili kuepuka Madhara tajwa hapo Juu.
Mwisho ningependekeza walau upate alovera japo moja tuu kwaajili ya kukusaidia kusafisha na kuzalisha bacteria wazuri na vimeng'enya
FOREVER ALOE VERA GEL ina
-Active enzymes zaidi y'all 200
-Madini zaidi ya 20
-vitamini zote 12
-amano acid (hapa ndipo afya ilipo )
Je unachangamoto gani na ungependa kuitatua wasiliana Nasi
CHECK US INBOX
#
01/05/2021
Asilimia 95 za sabuni nyingi huwa katika mfumo wa ASIDIC na PH 8 . Wakati miiliyetu imeundwa kwa ALKALI na PH 7 .
Nini hutokea baaada ya kutumia zaidi PH ya 8 na asidic?
-ukavu wa ngozi
-kansa ya ngozi na
-kuchochea mchafuko wa damu japo inachochewa oia na vyakula.
- Enzyme(pumu ya ngozi)
-Miwasho
-Michilizi au alama katika ngozi,vipele n.k
- Kuvubaa ngozi na kukosa nuru.
Japo Afya ya ngozi yako huanza na kile unachokula mpka kupaka nje . Asilimia 80 ya uzuri wa ngozi huanza na kile unachokula na asilimia 20 kwa kile unachopata .
Licha ya kuwa na asilimia 20 ngozi pia inauwezo wa kufyonza vitu na kuingiza ndani ya mwili kwa asilimia 80 zaidi kuliko kile unachokula.
JE UMEFANYA NAMNA YA KUHAKIKISHA UNAPATA BIDHAA YENYE PH NA UHALI WA ALKALI KWAAJILI YA KUIMARISHA AFYA YA NGOZI NA KUEPUKA
saratani, aleji, ukavu wa ngozi , na kukomaa ngozi??
Tumia Hand soap or face and body soap i promise utaona utofauti mkubwa sana wa ngozi hasa ni kwasababu ya ph 7 na alkali ambayo unakua k**a umelisha cell za ngozi hivyo itafanya kunawili vizuri sana.
CHECK US INBOX
#
01/05/2021
AFYA YA TENDO LA NDOA INAJUMUISHA VITU VIKUBWA
▪ Mzunguko mzuri wa damu kwaajili ya kusaport election ya uume
▪ Madini mhimu ya afya ya uzazi yaani Manganize, zinc, selenium, culcium,chuma ambayo yote yanauwezo wa kuongeza s***m account na kuimarisha mirija ya uzazi
▪Aina ya protini ya nitrix Oxide ijulikanayo k**a L-AGININE ambayo inasaidia kutanua na kusafisha mifumo ya damu. Hivyo k**a umeadhirika na kujichua, aina hii ya protini inaimarisha upya afya ya uzazi (me &ke )
▪ Mazoezi nisilaha mhimu sana kwani yanawezesha kusafirisha madini na lishe zote mwilini na kujenga misuli hivyo inakufanya kuwa strong
▪Vitamini C na B-complex ambazo zinahusika sana na Cell, hormone na utoaji taka mwili hasa Uric ambazo ndio chanzo kikubwa sana kuharibu hormone hususani za uzazi( me & ke)
Hivyo Ukitafakali namna ya kuweza kuyakamilisha haya kidogo inakuwia ugumu hali inayofanya ndoa nyingi kuvurugika na kusambalatia kwasababu TENDO LA NDOA NI AFYA YA UBONGO WA MWANADAMU kwa asilimia 60%
Hali hii ya ukosefu wa vyanzo vinavyokamilisha vyanzo vyote vya lishe tanjwa hapo juu vimefanya watu wengi KUTUMIA BOOSTER yaani Dawa mfano ( Vi**ra n.k).
Usifanye hivyo tena K**A UMEKUTANA na waliotumia aina fulani ya dawa kwa mda wengi wameadhirika jumla.kwa kuingilia kazi ya Hormoni.
FANYA HIVI ILI KUONDOKANA NA CHANGAMOTO HIYOO MAPEMA SANA
ZIJUE FAIDA ZA FOREVER MULTI MACCA.
Forever multi macca inatokana na mmea uitwao macca au lepidium Meyenii kutoka nchini Peru wenye historia ya miaka zaidi ya 2000 kuongeza stamina ya mwilini. Hii ni aina ya kiongo kilichotumika peru na Ina faida kubwa sana kwa wanaume na wanawake. Wanawake wa Peru wanatumia macca kuanzia wakiwa na umri wa miaka 3 ili wawe na nguvu, hamu ya tendo la ndoa na uwezo wa kuzaa. Huu mmea una protein nyingi katika mfumo wa amino acids na virutubisho muhimu vinavyosaidia kazi ya kuamsha ishara ya hamu ya tendo la ndoa. Tuangalie faida za malti macca mwilini.
➡️ INAONGEZA HAMU YA MAPENZI KWA KINA BABA NA AKINA MAMA KWA ASILIMIA ZAIDI YA 100, STAMINA NA NGUVU.
➡️ Inasaidia kuondoa msongo wa mawazo( depression).
➡️ Inasaidia kuondoa madhara ya kukoma hedhi (menopause).
➡️ Inarutubisha Mayai
➡️ Inaongeza idadi ya mbegu za KIUME(s***m count) kwa asilimia 200 na uwezo wa mbegu kuogelea vizuri (mobility).
➡️ Inabalance kiwango Cha chuma kwenye damu.
➡️ Inasaidia kukuza matumizi ya glucose kwenye damu kubadilishwa kuwa nguvu na si kugeuzwa kuwa mafuta.
➡️ Inasaidia kwa waathirika wa punyeto na kuwafanya wawe na uwezo mzuri pindi wanapofanyia tendo la ndoa na kuwajengea stamina ya Hali ya juuu.
Wasiliana na mtoa huduma wetu kuipata mult maca na ushauri pia......CHECK US INBOX
#
LIFAHAMU TATIZO LA UPUNGUFU WA HAMU YA TENDO LA NDOA
Upungufu huo unaweza kuwa ni:
1. Kukosa hamu ya kurudia tendo la ndoa.
2. Uume kusinyaaa K**a wa mtoto mdogo.
3. Kuwahi kufika kileleni(kutoweza kumfikisha mwanamke kileleni.
4. Kuchelewa sana kufika kileleni (kushindwa kufika kileleni kabisa)
5. Kushindwa kufanya tendo la ndoa.
6. Kuhisi maumivu wakati wa tendo la ndoa au baada ya tendo hilo
7. Kukosa pumzi na uchangamfu wa mwili katika utendaji.
8. Kuchoka sana baada ya tendo la ndoa.
SULUHISHO KWA TIBA LISHE
Tuna bidhaa za asili ambazo husaidia;
*kuongeza nguvu Za kiume Na k**e
*kubalance hormones
*Inaongeza utete kwa mwanamke
*uboreshaji wa tendo la ndo a
*inapunguza stress kwa mwanamke Na mwanaume.
*kukupa Za kutosha
Bidhaa hizo zimewekwa kwenye mfumo wa unga,Vidonge na maji.
Huondoa changamoto hizo elezwa hapo juu na kumpa mtumiaji uwezo sahihi
NB:Hizi sio dawa Bali ni virutubisho asilia.
Kwa maelekezo zaidi juu ya jinsi unaweza kupata bidhaa hizo maoni namba yako au simu
#
Check as inbox
*TATIZO LA UKE MKAVU*
⚫Uke mkavu: ni tatizo ambalo husababishwa na upungufu/kiwango kidogo/uwiano mbaya wa homoni za uzazi yaan *ESTROGEN HORMONES* ambayo huleta ute na vilainishi vya uke
⚫kwa kawaida uke unatakiwa kuwa na ute wa wastanii ambao hufanya uke kubana,kuleta joto na raha katka tendo
*VISABABISHI VYA UKE MKAVU*
⏩Upungufu/kiwango kidogo/uwiano mbaya wa homoni za uzazi
⏩magonjwa ya zina k**aa kaswende,gonorea n.k
⏩U.T.I sugu
⏩Fangasi sugu ukeni
⏩uke mchafu
⏩matumizi ya sabuni za anti biotics kusafishia uke
⏩matumizi ya pedi zisizo za anions
*DALILI ZA UKE MKAVU*
⏩Maumivu makali wakat wa tendo la ndoa
⏩kutokwa na damu wakat/baada ya tendo la ndoa
⏩kukosa/kupungua hamu ya tendo la ndoa
⏩maumivu ya chini ya kitovu wakati wa tendo
⏩maumivu ya kiuno,mgongo na tumbo
⏩maumivu ya mifupa na viungo
⏩kuwa na ngozi kavu
⏩msongo wa mawazo kupita kiasi
⏩siku za hedhi kuto kuwa na mpangilio maalum
⏩kuto furahia tendo la ndoa
⏩kuto shika mimba
*MADHARA YA UKE MKAVU*
⏩upungufu/kiwango kidogo/uwiano mbaya wa homoni za uzazi estrogen, progesterone, Endrogen, Testosterone, n.k *(HORMONES IMBALANCE )*
⏩kuto shika mimba
⏩siku za hedhi kuto kuwa na mpangilio maalum
⏩ni rahisi kushambuliwa na maambukizi katka mfumo wa uzazi k**a *PID,PCOS n.k*
~kwa ushauri zaidi wasiliana nasi kupata elimu zaidi kuhusu sayansi ya uzazi
#
UKIPIGA PUNYETO YAFUATAYO YATAKUWA MSHAHARA WAKO
👉Uume kusinyaa kila ukijaribu kubadilisha style au mtindo.
👉Uume kusimama kwa ulegevu baada ya kumaliza bao la kwanza.
👉Kupata bao lenye maumivu hasa kuanzia bao la pili na kuendelea.
👉Kukosa hisia kabisa baada tu ya kufika kileleni safari ya kwanza
👉Kuchoka sana baada ya kufanya mapenzi.
👉Uume kutosimama ukiwepo na mwenza wako lakini akiondoka unaona unapata hamu na uume unasimama vizuri.
👉Kufika kileleni haraka sana na baada ya kufika unashindwa kurudia tena.
👉Kushindwa kumuandaa mpenzi wako, kuhofia utafika kileleni kabla ya mchezo.
👉Kutoa mbegu hafifu hadi kusababisha kushindwa kumpa mkeo ujazuzito.
K**A UMEKUMBANA au UNAKUMBANA NA CHANGAMOTO K**A HIZO USISITE,
Tuma ujumbe inbox
#
18/12/2020
JE UMEKUWA UKISUMBULIWA NA MENO MUDA MREFU❓
Afya ya meno imekuwa changamoto sana kwa watu wengi na sio kwa watu wazima tu hata watoto pia wengi meno yao ni mabovu na yanaoza mapema sana hata baada tu ya kuanza kuota. Na watu wengi wametafuta dawa mbalimbali za meno na bado tatizo lipo na wengine wanaishia kuyang'oa tu.
Leo tujifunze juu ya ubora wa bidhaa ya FOREVER BRIGHT TOOTHGEL ambayo kazi yake haiishii kwenye meno tu lakini inasaidia na shida nyingine.
📌Ni bidhaa pekee isiyo na fluoride, imethibitishwa kimataifa kwamba ni rafiki wa afya ya binadamu.
📌Huzuia kutoa harufu mbaya mdomoni
📌Huimarisha fizi zako.
📌Huzuia meno yasitoboke
📌Huzuia meno na fizi visitoe damu
📌Husaidia kutibu na kukausha vidonda mdomoni
📌Huondoa Maumivu ya jino
📌Ni bidhaa pekee ambayo ukimeza inasaidia kusafisha mmeng'enyo wa CHAKULA
📌Ni rafiki kwa mtoto na haina madhara
📌Inang'arisha meno
📌Inasaidia kwenye jeraha la kujikata kwani huua bacteria
📌Inasaidia kuuwa fangasi mdomoni, kooni, vidoleni.
📌Inasaidia kuondoa gesi tumboni meza matone mawili.
#
17/10/2020
UMUHIMU WA TENDO LA NNDDOA KIAFYA (18+)
Wataalamu wanasema kuna umuhimu mkubwa kwa mwanadamu kufanya tendo la nnddoa kwa ajili ya kuimarisha afya;
▫kwanza kabisa inapunguza mafuta mwilini,
▫Lakini pia inasemekana kuwa endapo mtu atafanya tendo la nnddoa mara tatu kwa wiki ni sawa na kukimbia maili 7,
▫ Tendo la ndoa huongeza vizalishi 150 katika mwili ambapo kwa nusu saa ni sawa na kukimbia dakika 15.
Sio hayo tu! Umuhimu mkubwa wa tendo la nnddoa unakuja katika yafuatayo:-
👉Kuongeza mwendo wa damu mwilini. Tendo hili uongeza kasi ya mtiririko wa damu katika mwili wa mwandamu, hasa katika ubongo na sehemu mbalimbali, lakini pia hii inasaidia zaidi kasi ya mapigo ya moyo na katika mfumo wa upumuaji.
👉 Hupunguza uwezekano wa mwanaume kupata tatizo la tez dume kwani kiungo hiki kitakuwa kinafanya kazi ipasavyo ya kuzalisha sprms vizur.
👉 Husaidia kupunguza msongo wa mawazo haswa kwa ambao watakuwa wanafika kilelen. Pia ambao watakuwa wanaenda round 2 au 3 na kuendelea
👉Msukumo mzuri wa damu mpya yenye oxygen husaidia zaidi katika uunguzaji mzuri wa chakula lakini pia ni vizuri kwa sababu usaidia kutoa uchafu katika mishipa ya damu ambayo ingeweza kumfanya mtu kuumwa mwili.
👉Kupunguza mafuta mwilini (cholestrol). Tendo la nnddoa uweka uwiano sawa kwa mafuta yenye kileo mwilini yaani kwa ile iliyo mbaya na hata ile iliyo nzuri uziweka sawa ili mwili ufanye kazi kwa uwiano sawa.
👉Kupunguza maumivu ya mwili. Wakati wa tendo homoni iitwayo oxytosin huzalishwa mwilini ambayo hii uchangia kwa kiasi kikubwa kutengenezwa kwa endorphini ambayo husaidia kupunguza maumivu ya mwili k**a vile kuvimba sehemu mbalimbali za viungo(arthitis) , shingo (whiplash) na maumivu ya kichwa.
👉Kupunguza mfadhahiko wa moyo na kuondoa msongo wa mawazo. Inaaminika kwamba mara nyingi watu wanaoshiriki tendo la nnddoa mara kwa mara ni watu wenye tabasamua muda wote, hii ni kwa sababu mara mtu anapofanya tendo la nnddoa na kupata muda wa kupumzik hujikuta akijisikia vizuri na mwenye nguvu muda wote. wapo wachache waliowahi kuthibitisha kuwa wanapata usingizi mmnono wanapomaliza kufanya tendo la nnddoa na kulala vizur, lakini pia wengi wamekuwa wakikiri kuwa siku zao huwa njema wanapopata muda wa kufanya tendo la nnddoa asubuhi kabla ya kuingia katika kazi na majukumu mbalimbali.
👉Kuishi Muda mrefu huku ukionekana kijana. Wakati wa kufanya mapenz homoni iitwayo DHEA uzalishwa mwilini na kusababisha msisimuko katika mwili, homoni hii uwa na kazi kubwa ya kurekebisha mwili, kuongeza ufahamu, kumiarisha mifupa na kutengeneza afya ya moyo.
👉Kuondoa baridi na mafua.Tafiti zinaonyesha kuwa wanaofanya mapenz mara kwa mara huongeza uzalishaji wa chembe chembe hai za mwili kwa 30%, chembe hizo ulinda mwili kutopatwa na magonjwa.
Watu wengi haswa wanaume wamekuwa wakishindwa kufanya tendo hilo kutokana na kukosa/kupungukiwa Nguv za kium.
Pia WANAWAKE wamekuwa wakishindwa au kufanya tu wakiwa hawapat raha yoyote juu ya tendo la nnddoa
Hii ni kwa wote k**a unachangamoto juu ya tatizo hilo naomba tuwasiliane kwani yapo mengi ya kusaidiana na kuelimishana lengo likiwa ni kurudi katika hali yako ya kawaida.
Kwa wenye serious problem tutawasaidia kwa kuwapatia virutubisho maalum/lishe maalum ambazo zitawasaidia kuondokana na tatizo.
Kupata kufaham zaid kuhusu shida za nguv za kiumme usisiste kutembelea ukrasa wetu wa fcbk " " na accnt yetu ya instgrm "health4life2020".
Kwa mengine zaidi check inbox
#
09/10/2020
JE WATAMANI KUPUNGUZA UZITO WA SIKU 9 TU
PROGRAM YA KUPUNGUZA CLEAN 9 (C9)
Clean 9 ni program ya siku tisa iliyoandaliwa maalum kuuandaa mwili wako katika safari ya kupungua uzito, program hii ina bidhaa tano yaani
-Aloe vera gel 2
-Ultra lite vanilla(maziwa) 1
-Forever garcinia
-Forever therm
-Forever fiber pakiti 9
-tape 1 na kitabu cha mwongozo 1
Nini kazi ya
A) ALOE VERA GEL
-Husafisha mfumo wa mmeng'enyo wa chakula ili kuruhusu chakula kumeng'enywa kwa wakati hivyo kuuzesha mwili kupunguza uwezo wa kubadili wanga kuwa mafuta
-Husafisha sumu na uchafu utokanao na vyakula, vinywaji, hewa, dawa za hospitali mfano.chips, vumbi, AC,navyenginevyo, hivyo kuupa mwili nafasi ya kuunguza mafuta
-Huimarisha kinga ya mwili kwani hulisha seli moja kwa moja
-Husaidia pia kuyeyusha vimbe
B) THERM
-Huongeza kiwango cha joto la mwili hivyo kurahisisha uchomaji wa mafuta yaliyoganda chini ya ngozi
-Hufungua vitundu vya ngozi kuruhusu uchafu utokao kwa njia ya jasho kutoka kwa urahisi
C) GARCINIA
-Hubadili mafuta yaliyotunzwa mwilini kuwa nishati hivyo kuruhusu mwili kutumia akiba ya chakula kilichopo na kupunguza hitaji la chakula toka nje..
-Hupunguza hamu ya kula ovyo kwani hutoa taarfa kupitia nerves juu ya kutosheka kwa mwili hivyo hurahisisha upunguaji.
D) FIBER
-Hizi ni nyuzi nyizi mhimu kwaajili ya kuboresha mfumo wa usagaji chakula kwani husaidia bacteria rafiki ktk utumbo kuzaliwa hivyo kuufanya utumbo kumeng'enya chakula kwa urahisi
-Hukaa tumboni kwa mda mrefu hivyo kukufanya ujihisi kushiba na hatimae kuepuka kula vyakula mara kwa mara.
E) ULTRA LITE VANILLA
-Huu ni mchanganyiko wa unga wenye protein ya mimea k**a soya beans, husaidia kuimarisha misuli na kuboresha seli
-Ni lishe tosha kwani huujenga mwili kwa nyama baada ya kuondoa mafuta.
KUMBUKA
hizi sio dawa bali ni virutubisho lishe
Epuka unene na uzito ulopitiliza kiwango,kula vizuri,kunywa maji mengi na fanya mazoezi.
Kwa mawasiliano na upatikanaji wa huduma
CHECK ME INBOX
#
Click here to claim your Sponsored Listing.
Category
Website
Address
Dar Es Salaam
