Ulcergen

Ulcergen

Share

ULCERGEN (T)
Tiba ya vidonda vya tumbo
Tupo: Tabata bima , Dar es salaam, Tanzania

24/12/2021

USIENDELEE KUTESEKA

NAMBA YA MSAADA NI HII

0755 463 046

Karibu

23/12/2021

WATCH & SUBSCRIBE

Tembelea Channel yetu ya Youtube na Ujionee video yenye ufafanuzi zaidi kiundani

Karibu

Photos from Ulcergen's post 22/12/2021

Tunaendelea kutoa Matibabu na kufatilia wagonjwa wenye Tatizo kwa ukaribu

Karibu upate Matibabu ikiwa umepata Dalili za Ugonjwa huu hatari

Tupigie sasa 0755 463 046

Karibu

21/12/2021

Mwaka 1982 Madaktari hawa Dr. Barry Marshall na Prof. Robin Warren kutoka Chuo Kikuu Cha Western Australia

Hawa ndio waligundua kua Vidonda vya Tumbo(Ulcers) ni ugonjwa wa kuambukiza (Communicable disease)

Ni kwamba Binadamu anapata Ugonjwa huu kwa njia ya maambukizi kutoka kwa Bacteria anaeitwa Helicobacter Pylori

Na hii ikaondoa dhana ya watu waliokua wanaijua kwamba Ulcers ulikua ugonjwa wa Kurithi au wa kuzaliwa nao na dhana nyingine nyingi

20/12/2021

Uwe na Jumatatu njema na tuzidi kuchukua tahadhari na kulinda dhidi kimelea cha Ugonjwa Huu hatari

Happy Monday

17/12/2021

Baadhi ya Dalili za Ugonjwa Huu wa Vidonda vya Tumbo, ukipata Dalili hizi tembelea Hospitali ukapime

a) Maumivu ya kichwa upande wa juu- wengine huita Kipanda Uso
b) Ganzi mikononi na miguuni kwa baadhi ya wagonjwa
c) Maumivu makali ya tumbo na kujisikia k**a anaungua kwa ndani.
d) Kiungulia kikali
e) Maumivu makali sehemu ya juu ya tumbo chini ya kifua
f) Tumbo hujaa gesi
g) Moyo huenda mbio.
h) Mgonjwa hupata kizunguzungu,
i) Kichefu chefu.
j) Kukosa hamu ya kula na
k) Kutapika kwa baadhi ya wagonjwa

Usiache kupima Ulcers pindi utapopata dalili moja wapo au zaidi

Karibu tukupatie ushauri na Matibabu ya kudumu ya Ugonjwa huu hatari

Ofisi zipo Tabata - Bima njia panda ya kwenda shule ya St.Mary au tupigie simu kupitia namba zetu ufike kirahisi zaidi

0755 463 046

16/12/2021

Usiendelee kuteseka, Karibu upate Tiba

Ofisi zipo Tabata - Bima njia panda ya kwenda shule ya St.Mary au tupigie simu kupitia namba zetu ufike kirahisi zaidi

0755 463 046

14/12/2021

Unajua nini kuhusu Ugonjwa huu?

Je unachokijua kina ukweli ndani yake?

Unamjua Bacteria anaesababisha Ugonjwa Huu na Jinsi ya kumuepuka?

Basi Video hii youtube itakupa undani na Ukweli juu ya Ugonjwa huu hatari, Bonyeza Link kwenye Bio utazame zaidi

14/12/2021

Unapata Ugonjwa huu baada ya Kimelea cha Helicobacter Pylori kuingia na kuishi tumboni

Kimelea hiki huingia tumboni kupitia chakula ama maji yasiyo salama na kuishi kwenye utando unaofunika ngozi laini ya ndani ya mfuko wa chakula

Endelea kufatilia page yetu kwa ufafanuzi zaidi juu ya Ugonjwa huu

10/12/2021

Tupigie sasa na ujibiwe Maswali yako yote kisha tukupatie Ushauri Bure kabisa

Piga sasa kupitia namba yetu

Karibu

09/12/2021

Happy Independence Day

Usiache kutembelea Ofisi zetu kwaajili ya Ushauri wa Bure juu ya Gonjwa hili hatari la Ulcers

Ofisi zipo Tabata - Bima njia panda ya kwenda shule ya St.Mary au tupigie simu kupitia namba zetu ufike kirahisi zaidi

0755 463 046

08/12/2021

Huyu ni Bacteria

Ndio chanzo kikuu cha Ugonjwa huu hatari wa Vidonda vya Tumbo

Anaambukizwa kupitia Mate au Uchafuzi wa kinyesi cha binadam kwenye Maji au Chakula

Binadamu tunapaswa kujilinda kwa kuzingatia usafi na kuzingatia Kushare vitu mbali mbali vinavyosambaza mate kutoka kwa mtu mmoja kwenda kwa mwingine!

Karibu ofisini kwa ushauri BURE au kuelezewa zaid juu ya mdudu huyu. ULCERS ni mbaya na inatesa sana. Chukua Tahadhali

Want your business to be the top-listed Beauty Salon in Dar es Salaam?
Click here to claim your Sponsored Listing.

Category

Telephone

Address


Tabata
Dar Es Salaam
11000