Ulcergen
ULCERGEN (T)
Tiba ya vidonda vya tumbo
Tupo: Tabata bima , Dar es salaam, Tanzania
24/12/2021
USIENDELEE KUTESEKA
NAMBA YA MSAADA NI HII
0755 463 046
Karibu
23/12/2021
WATCH & SUBSCRIBE
Tembelea Channel yetu ya Youtube na Ujionee video yenye ufafanuzi zaidi kiundani
Karibu
22/12/2021
Tunaendelea kutoa Matibabu na kufatilia wagonjwa wenye Tatizo kwa ukaribu
Karibu upate Matibabu ikiwa umepata Dalili za Ugonjwa huu hatari
Tupigie sasa 0755 463 046
Karibu
21/12/2021
Mwaka 1982 Madaktari hawa Dr. Barry Marshall na Prof. Robin Warren kutoka Chuo Kikuu Cha Western Australia
Hawa ndio waligundua kua Vidonda vya Tumbo(Ulcers) ni ugonjwa wa kuambukiza (Communicable disease)
Ni kwamba Binadamu anapata Ugonjwa huu kwa njia ya maambukizi kutoka kwa Bacteria anaeitwa Helicobacter Pylori
Na hii ikaondoa dhana ya watu waliokua wanaijua kwamba Ulcers ulikua ugonjwa wa Kurithi au wa kuzaliwa nao na dhana nyingine nyingi
20/12/2021
Uwe na Jumatatu njema na tuzidi kuchukua tahadhari na kulinda dhidi kimelea cha Ugonjwa Huu hatari
Happy Monday
17/12/2021
Baadhi ya Dalili za Ugonjwa Huu wa Vidonda vya Tumbo, ukipata Dalili hizi tembelea Hospitali ukapime
a) Maumivu ya kichwa upande wa juu- wengine huita Kipanda Uso
b) Ganzi mikononi na miguuni kwa baadhi ya wagonjwa
c) Maumivu makali ya tumbo na kujisikia k**a anaungua kwa ndani.
d) Kiungulia kikali
e) Maumivu makali sehemu ya juu ya tumbo chini ya kifua
f) Tumbo hujaa gesi
g) Moyo huenda mbio.
h) Mgonjwa hupata kizunguzungu,
i) Kichefu chefu.
j) Kukosa hamu ya kula na
k) Kutapika kwa baadhi ya wagonjwa
Usiache kupima Ulcers pindi utapopata dalili moja wapo au zaidi
Karibu tukupatie ushauri na Matibabu ya kudumu ya Ugonjwa huu hatari
Ofisi zipo Tabata - Bima njia panda ya kwenda shule ya St.Mary au tupigie simu kupitia namba zetu ufike kirahisi zaidi
0755 463 046
Usiendelee kuteseka, Karibu upate Tiba
Ofisi zipo Tabata - Bima njia panda ya kwenda shule ya St.Mary au tupigie simu kupitia namba zetu ufike kirahisi zaidi
0755 463 046
14/12/2021
Unajua nini kuhusu Ugonjwa huu?
Je unachokijua kina ukweli ndani yake?
Unamjua Bacteria anaesababisha Ugonjwa Huu na Jinsi ya kumuepuka?
Basi Video hii youtube itakupa undani na Ukweli juu ya Ugonjwa huu hatari, Bonyeza Link kwenye Bio utazame zaidi
14/12/2021
Unapata Ugonjwa huu baada ya Kimelea cha Helicobacter Pylori kuingia na kuishi tumboni
Kimelea hiki huingia tumboni kupitia chakula ama maji yasiyo salama na kuishi kwenye utando unaofunika ngozi laini ya ndani ya mfuko wa chakula
Endelea kufatilia page yetu kwa ufafanuzi zaidi juu ya Ugonjwa huu
10/12/2021
Tupigie sasa na ujibiwe Maswali yako yote kisha tukupatie Ushauri Bure kabisa
Piga sasa kupitia namba yetu
Karibu
09/12/2021
Happy Independence Day
Usiache kutembelea Ofisi zetu kwaajili ya Ushauri wa Bure juu ya Gonjwa hili hatari la Ulcers
Ofisi zipo Tabata - Bima njia panda ya kwenda shule ya St.Mary au tupigie simu kupitia namba zetu ufike kirahisi zaidi
0755 463 046
08/12/2021
Huyu ni Bacteria
Ndio chanzo kikuu cha Ugonjwa huu hatari wa Vidonda vya Tumbo
Anaambukizwa kupitia Mate au Uchafuzi wa kinyesi cha binadam kwenye Maji au Chakula
Binadamu tunapaswa kujilinda kwa kuzingatia usafi na kuzingatia Kushare vitu mbali mbali vinavyosambaza mate kutoka kwa mtu mmoja kwenda kwa mwingine!
Karibu ofisini kwa ushauri BURE au kuelezewa zaid juu ya mdudu huyu. ULCERS ni mbaya na inatesa sana. Chukua Tahadhali
Click here to claim your Sponsored Listing.
Category
Telephone
Address
Tabata
Dar Es Salaam
11000
