Resty Vipodozi

Resty Vipodozi

Share

Tunauza vipodozi original kabisa kutoka USA , UK na THAILAND � tupo Dar na mikoani kote tunatuma

13/09/2023

https://wa.me/message/5PRNVX4T4AUKL1

kwetu unapata unachokitaka 😍😍 kwa wale wanaotaka kupungua mwili wa juu tu yaani kumaliza kitambi , nyama za pembeni ya tumbo na mikono minene bila kupunguza shepu ya chini basiii dawa ya UHAKIKA ipo dukani
60,000

0756533452
📍kariakoo msimbazi A

19/02/2023

✨ SKIN DOCTOR LOTION ✨

🌟 Lotion original kutoka Paris ( Ufaransa )

🌟 Unakuwa na rangi moja mwili mzima

🌟unawaka yani kila utakapoenda unaulizwa unapaka nini.

🌟sahau swala la kupata sugu.

🌟unakua wanjano hivi yani k**a jani la alizeti au papai lililoiva 😋

🌟hi haileti michirizi wala mikunjo mwilini.

🌟Inamaliza kabisa chunusi , madoa sugu na inapunguza mikunjo usoni.

🌟inatoa weusi wa mapaja , makwapani na takataka zote.

🌟kopo halitafika ata robo wewe tayari ni wa njano msafi mwili wote.

🌟 Hakuna haja ya kuchanganya na serum 💯 hii lotion pekee inajitosheleza kung'arisha sana

🌟ukianza haya mafuta huwezi kuacha.

🌟unakua soft na laini .

🌟Kwa wale wanaotaka kung'aa kwa haraka na wale waliofubaa sababu ya uzazi au kwasababu yoyote ile basii hii Skin Doctor lotion ndo suluhisho la haraka sana

price 40,000 Tsh

📍kariakoo Msimbazi na mikoani tunatuma
Call/watsup 0756533452

11/02/2023

✅DR MEINER WHITENING BODY MILK✅

✨Hizi lotions ni super whitening Lotion kwa wanaotaka kunga'aa haraka

✨Zinamchanganyiko wa maziwa unaosaidia kung'arisha na kusafisha ngozi vizuri

✨Zinang'arisha sana vizuri na kukupa rangi nzuri weupe mzuri wa manjano 😍😍 rangi moja mwili mzima bila kuacha sugu wala weusi sugu sehemu yoyote

✨Your skin appears radiant, youthfull and spotless 😍😍 kwanini ngozi yako izeeke mapema na kuwa na madoa jamani 🤷‍♀️

✨Zinamaliza kabisa sugu za vidoleni , weusi sugu wa mapajani , makwapani na weusi sugu wa sehemu yoyote mwilini unaisha kabisa

✨hizi lotion ni hyperpigmentation solution hivyo zinamaliza kabisa madoa ya usoni na yale ya mwilini

✨Inamaliza kabisa wekundu/weusi usoni , chunusi , madoa pia inamaliza kabisa michirizi iliyosababishwa na uzazi au cream kali

✨Kwa waliofubaa kwasabau ya uzazi au unataka kung'aa vizuri kwa haraka bila kupata sugu wala mishipa ya kijani basi hizi lotion za maziwa hutakiwi kuzikosa

Elfu 40,000

📍Kariakoo msimbazi
Call/watsup 0756533452

10/02/2023
09/02/2023

✅DR MEINER WHITENING BODY MILK✅

✨Hizi lotions ni super whitening Lotion kwa wanaotaka kunga'aa haraka

✨Zinamchanganyiko wa maziwa unaosaidia kung'arisha na kusafisha ngozi vizuri

✨Zinang'arisha sana vizuri na kukupa rangi nzuri weupe mzuri wa manjano 😍😍 rangi moja mwili mzima bila kuacha sugu wala weusi sugu sehemu yoyote

✨Your skin appears radiant, youthfull and spotless 😍😍 kwanini ngozi yako izeeke mapema na kuwa na madoa jamani 🤷‍♀️

✨hizi lotion ni hyperpigmentation solution hivyo zinamaliza kabisa madoa ya usoni na yale ya mwilini

✨Inamaliza kabisa wekundu/weusi usoni , chunusi , madoa pia inamaliza kabisa michirizi iliyosababishwa na uzazi au cream kali

✨This is a perfect solution to get a total perfect whitening effect

Elfu 40

📍Kariakoo msimbazi
Call/watsup 0756533452

05/02/2023

✨✨ CLONOVATE CREAM ✨✨

Hii ndo cream baba lao ukisikia baba lao ndo hii kitu yaan acha cream zote ila hii ndo kubwa kuliko.

✨Hii ni kwa wale wanaopenda kung'aa sanaaa yani unakuwa na ule weupe mzuri rangi moja mwili mzima kuanzia usoni hadi miguuni unang'aa sanaa

✨inakupa rangi moja mwili mzima yaani kiufupi unatakata haswaaa kistaa alafu rangi moja mwili mzima bila sugu wala doa

✨inazuia mionzi ya jua yaani ukitumia clonovate ni balaaa kabisa sahau kuhusu kuungua na jua

✨hii ni nzuri sana yani inatakatisha haswa unakuwa na weupe mzuri sanaa

✨kwa wale waliopo kwenye sehemu za baridi na kipupwe sikushauri kukosa hii maan kuna kupauka sana ila ww ukitumia hii unakuwa una glow vzr tu ngozi inakuwa na unyevu nyevu masaa yote

✨wale wanaopenda mionekano ya kistaaa na ngozi nzuri ya kuulizwa unatumia nn basi hili ndo chimbo lake

NB; usichanganye na serum yeyote mana hii pekee inang'arisha sanaaa unakuwa mweupe sanaa 😍😍 weupe mzuri wa kishua

Tsh; 70,000

Tupo kariakoo msimbazi
Call/watsup 0756533452

03/02/2023

✨✨ CLONOVATE BODY CREAM ✨✨

Hii ndo cream baba lao ukisikia baba lao ndo hii kitu yaan acha cream zote ila hii ndo kubwa kuliko.

✨Hii ni kwa wale wanaopenda kung'aa sanaaa yani unakuwa na ule weupe mzuri rangi moja mwili mzima kuanzia usoni hadi miguuni unang'aa sanaa

✨inakupa rangi moja mwili mzima yaani kiufupi unatakata haswaaa kistaa alafu rangi moja mwili mzima bila sugu wala doa

✨inazuia mionzi ya jua yaani ukitumia clonovate ni balaaa kabisa sahau kuhusu kuungua na jua

✨hii ni nzuri sana yani inatakatisha haswa unakuwa na weupe mzuri sanaa

✨kwa wale waliopo kwenye sehemu za baridi na kipupwe sikushauri kukosa hii maan kuna kupauka sana ila ww ukitumia hii unakuwa una glow vzr tu ngozi inakuwa na unyevu nyevu masaa yote

✨wale wanaopenda mionekano ya kistaaa na ngozi nzuri ya kuulizwa unatumia nn basi hili ndo chimbo lake

NB; usichanganye na serum yeyote mana hii pekee inang'arisha sanaaa unakuwa mweupe sanaa 😍😍 weupe mzuri wa kishua

Tsh; 70,000

Tupo kariakoo msimbazi
Call/watsup 0756533452

Want your business to be the top-listed Beauty Salon in Dar es Salaam?
Click here to claim your Sponsored Listing.

Category

Telephone

Address


Dar Es Salaam

Opening Hours

Monday 09:00 - 18:00
Tuesday 09:00 - 18:00
Wednesday 09:00 - 18:00
Thursday 09:00 - 18:00
Friday 09:00 - 18:00
Saturday 09:00 - 18:00