Zuphy Wellness

Zuphy Wellness

Share

Fertility issues to both male and female
PID, U. T. I, fibroids, FUNGUS, miscarriages, low s***m count
WhatsApp 0621739093

23/06/2022

Karibu upate dawa kiboko ya meno, ni natural haina kemikali sumu 0719776363

13/04/2022

KUWASHWA sehemu za siri kunaweza kuwa dalili ya maradhi fulani kujumuisha maradhi ya muwasho na kuvimba kwa sehemu za siri za wanaume au wanawake

Nini husababisha muwasho sehemu za siri?
Kuwashwa sehemu zingine za siri husababishwa na sababu zilezile zinazosababisha muwasho sehemu zingine za mwili.

Maambukizi hasa ya magonjwa ya zinaa ndiyo chanzo kikuu cha kuwashwa. Sababu zingine ni maradhi ya fangasi, ugonjwa wa upele, mzio, maambukizi ya bakteria n.k

ana suluhisho la kudumu la tatizo hili
Mawasiliano Piga simu au Whatsapp namba +255719776363

13/04/2022

Piga 0719776363

12/09/2021

UTAJUAJE KUWA UNA UPUNGUFU WA NGUVU ZA KIUME

📍Kama unakosa hamu ya tendo la ndoa, una tatizo la kuishiwa nguvu za kiume.

📍Kama uume hausimami barabara, una upungufu wa nguvu za kime.

📍Kama uume unasimama kwa muda mfupi na kulegea, una upungufu wa nguvu za kiume.

📍Kama uume wako hulegea muda mfupi tu baada ya kuingia ukeni, una tatizo la kuishiwa nguvu za kiume.

📍Kama unafika kileleni muda mfupi tu baada kuingia ukeni, una tatizo la kuishiwa nguvu za kiume.

📍Kama unashindwa kufika kileleni una tatizo la kuishiwa nguvu za kiume.

📍Kama unasikia maumivu wakati uume unaposimama, una tatizo la kuishiwa nguvu.za kiume.

📍Kama unashindwa kutoa mbegu (shahawa), una tatizo la kuishiwa nguvu za kiume.

Tuma ujumbe WhatsApp 0719776363
Au dm

12/09/2021

Kwa nn lakin 😂😂😂

12/09/2021

Epuka hizi fedheha ndogo ndogo
Tuma ujumbe WhatsApp 0719776363
@zufy_wellness

12/09/2021

📌📌

12/09/2021

Je unasumbuliwa na changamoto ya kufika kileleni mapema
Wasiliana nasi
Whats up /call 0719776363

12/09/2021

MBEGU ZA TIKITI MAJI NI SALAMA KABISA KUMEZA HAZINA MADHARA

Mbegu hizi zina faida nyingi :-
✔️inasaidia kuimarisha afya ya ngozi
✔️inaimarisha afya ya nywele
✔️inaimarisha Afya ya moyo
✔️inashusha kiwango cha sukari mwilini
✔️inaimarisha kinga ya mwili
✔️inaimarisha Afya ya uzazi wa mwanaume

NYONGEZA :-

Tikiti maji linasemwa kuwa ni mkuyati wa asili pia k**a lilivyo parachichi,Kwenye tikiti maji kuna vitu hivi vitatu mhimu sana kwa afya ya Ndoa navyo ni ‘lycopene’, ‘beta-carotene’ na ‘citrulline’ ambavyo husaidiwa kuweka mishipa ya damu katika hali ya utulivu,

Tikiti maji ni vi**ra ya asili inayoweza kutumika kuongeza hamu ya tendo la ndoa kwa watu wa jinsia zote mbili bila kukuacha na madhara yoyote mabaya.

Kwenye tikiti maji hasa mbegu zake kuna kitu kingine kinaitwa ‘L-arginine, ambacho huhusika na kuongeza nguvu za kiume kwasababu inasaidia kurelax mishipa ya damu ili damu iweze kutembea vizuri,

Mbegu za tikiti maji zimeonyesha matokeo mazuri katika kuimarisha nguvu za kiume hata kwa wazee kabisa Hivyo unachotakiwa kufanya ni kutumia tikiti maji.

11/09/2021

Sifa ya shahawa bora

1- UWINGI WA MBEGU ZA KIUME: Mbegu za kiume katika kila tendo kamilifu moja linalofanywa zinatakiwa zisispungue milioni 40. Kiasi hiki sio rahisi kukijua kwa macho yako. Lakini ikiwa utatoa shahawa kidogo, kuna uwezekano wa kuwa na mbegu za kiume chache. Ingawa sio mara zote utoapo shahawa chache basi humaanisha una mbegu chache. Mshindo dhaifu au kufika kileleni kirahisi rahisi ni mojawapo ya dalili ya kwamba mbegu unazotoa sio nyingi, inaweza kuwa na maji mengi badala ya kuwa na mbegu nyingi.
2- UZITO WA MBEGU ZA KIUME NA UWEZO WA KUCHELEWA KUYEYUKA – Shahawa/majimaji ya mbegu huwa na mbegu za kiume, na shahawa ni majimaji yanayobeba mbegu za kiume, kazi ya shahawa ni kusafirisha kwa usalama mbegu za kiume mpaka kulifikia yai. Sasa ikiwa shahawa zitakuwa nyepesi (zina yeyuka haraka) basi maana yake kwa haraka sana baada ya kutoka uumeni shahawa na mbegu za kiume zinatengana, na hivyo kuathiri uwezo wa mbegu kusafiri haraka na kulifikia yai. Mfano mdogo ni kwamba k**a ukishafanya kitendo cha ndoa na kisha muda huohuo mbegu za kiume kuanza kuchuruzika kutoka nje ya uke hata k**a mwanamke amelala basi hiyo ni dalili mojawapo ya mbegu kuwa nyepesi na hivyo kuweza kuathiri uwezo wa kutungisha mimba. Kunaweza kuwa na matatizo mengine ya uko kutoweza kushikilia vizuri mbegu za kiume pia, hiyo nayo inaweza kuwa sababu.
3- UWEZO WA KUOGELEA KWA KWENDA MBELE – Mbegu za kiume zenye afya bora zinakichwa kikubwa kilichochongoka na mkia mrefu unao anza mkubwa kichwana na kuishia mdogo kabisa mkiani, sifa hizi zinazipa mbegu uwezo wa wa kuogelea kwenda mbele katika mstari mnyoofu, ikiwa mbegu ya kiume itasafiri katika mstari wa zigzig au maumboumbo basi inapoteza uwezo wa kufika haraka kuliwahi yai. Hii ni kwa sababu zinachoka. Mbegu zinazoenda katika mstari mnyoofu zinawahi kufika kwa kuwa safari inakuwa fupi.
Mfano mzuri ukisafiri na nedge toka Mwanza hadi Dar na Mwingine Asafiri na Train na mwingine na Bas utakuta wanafika muda tofauti na pia wanakuwa wamesafiri umbali tofauti kabisa. Ndivyo ilivyo kwa mbegu zinazoogelea kwa mwendo wa nyoka na zile zinazoogelea kwa kwenda mbele moja kwa moja

11/09/2021

UNAWEZA KUPONA U.T.I BILA KUTUMIA ANTIBIOTIC
99% ya wanawake wengi wanasumbuliwa na ugonjwa huu,tafiti zinaonyesha kati ya wanawake 5 mmoja ana ugonjwa huu.

U.T.I ni nini?
UTI(Urinary tract infection) ni ugonjwa wa maabukizi katika mfumo wa mkojo
Mara nyingi UTI zinasababishwa na bakteria aitwaye Escherichia coli (E. coli)

DALILI ZA U.T.I
1.Kukojoa mara kwa mara na maumivu wakati wa kukojoa

2.Kuhisi kuunguzwa na mkojo kwenye kibofu au mrija wa mkojo

3.Maumivu ya misuli na tumbo
4.Mkojo kuwa na harufu mbaya na pia kubadilika rangi kuwa nyeusi au rangi ya mawingu

5.Kwa mtu aliyeathiriwa figo anaweza kuwa na maumivu mgongoni au kwenye mbavu pia kichefuchefu na kutapika

6.Kushikwa na hamu ya kukojoa ila mkojo unatoka kidogo

KWANINI UGONJWA WA UTI UMEKUWA NI UGONJWA WA KUJIRUDIARUDIA KWA WANAWAKE WENGI?

WhatsApp 0719776363

11/09/2021

Mama mjamzito ili mtoto wako azaliwe na afya nzuri itategemea aina gani ya chakula ambacho unakula,je kinamjenga mtoto?

Mama mjamzito anahitaji kula
*nafaka kamili
*protin iliyosalama
*matunda na mboga mboga

Want your business to be the top-listed Beauty Salon in Dar es Salaam?
Click here to claim your Sponsored Listing.

Category

Website

Address


Dar Es Salaam

Opening Hours

Monday 09:00 - 17:00
Tuesday 09:00 - 17:00
Wednesday 09:00 - 17:00
Thursday 09:00 - 17:00
Friday 09:00 - 17:00
Saturday 09:00 - 17:00