AFYA LEO
Contact information, map and directions, contact form, opening hours, services, ratings, photos, videos and announcements from AFYA LEO, Health/Beauty, Dar es Salaam.
03/08/2024
29/09/2022
*SULUHISHO LA JINO SIYO KUNG'OA.* *RUDISHA TABASAMU LAKO KWA KUTUMIA DR TS.* *BILA KUNG'OA JINO*
Dr.Ts natural herbal toothpaste ni dawa ya meno ambayo imetengenezwa na mimea ya asili na Salama kwa afya ya mtumiaji ambayo ni;
1️⃣Panax notoginseng
2️⃣Green tea (majani chai)
3️⃣Lonicera japonic
KWA_WENYE_MATATIZO_YA_MENO K**A;
1️⃣Kutoa harufu mbaya mdomoni.
2️⃣.Meno kuwa ya njano
3️⃣.Kuoza kwa meno
4️⃣.Meno kuwa ya brown
5️⃣.Kutokwa damu kwenye fizi na kuvimba fizi.
6️⃣. Inasaidia kuua wadudu
Kwa kutumia dawa ya meno hii basi matatizo yako ya meno *yataisha kabisa na kukulejeshea* tabasamu lako.
*FAIDA ZA DR TS TOOTHPASTE:*
👉🏾Hung'arisha meno.
👉🏾Huimarisha meno na fizi
👉🏾Huondoa tatizo la kutokwa damu wakati wa kufanya usafi wa kinywa.
👉🏾Huwafaa watu wanaosumbuliwa na meno
👉🏾Huondoa tatizo la kutokwa damu kwenye fizi na meno
👉🏾Hutibu tatizo la meno kumeguka meguka
👉🏾Huondoa tatizo la meno kutingishika mara kwa mara
👉🏾Huondoa bacteria hatarishi katika kinywa
👉🏾Hulinda kinywa kisipatwe na magonjwa hatarishi
👉🏾Huondoa tatizo la harufu kinywani
👉🏾Huwafaa watu wenye ukungu/meno kuoza
👉🏾Hukinga kinywa dhidi ya saratani
👉🏾Huodoa uchakavu wa meno
👉🏾Huwafaa watu wenye tatizo la mabakabaka katika ulimi(Geographic tongue)
👉🏾Ni ssuluhisho kwa watu waopata vidonda kinywani nk.
*NI ASILI NA SALAMA KWA AFYA BORA YA KINYWA NA MENO*.
29/09/2022
PELVIC INFLAMMATORY DESEASE'(PID)
PID ni maambukizi katika via vya uzazi,maambukizi haya huwa sugu na huchukua mda kupona endapo atashindwa kujitibia kwa muda muafaka
VISABABISHI
ugonjwa huu husababishwa
👉Kufanya ngono bila kinga
👉Kusafisha kizazi mara kwa mara
👉Matumizi ya kemikali kujisafishia ukeni mfano sabun n.k
👉Matumizi ya njia ya uzazi wa mpango mf. kitanzi
👉Kutoa mimba
👉Matumiza ya antibiotics ya mara kwa mara ambayo kimsingi huua bakteria wanaolinda uke kushambuliwa na magonjwa
DALILI
Baadhi ya wanawake dlili huwa mbaya na wengine huwa za kawaida
🎈Kuwashwa sehemu za siri
🎈Uke kutoa harufu mbaya
🎈Maumivu ya tumbo chini ya kitovu
🎈Sehemu za uke kuwa laini sana
🎈Kupata maumivu wakati wa tendo la ndoa
🎈Kukosa hamu ya tendo la ndoa
🎈Hedhi kuvurugika
🎈Kutokwa majimaji ukeni yasiyo ya kawaida hasa yenye rangi ya njano na kijani
🎈Maumivu wakati wa choo,kukojoa
🎈Homa, uchovu, kizunguzungu na kukosa hamu ya kula
🎈Wakati mwingine kutokwa usaha
MADHARA
♦️Ugumba
♦️Kansa ya shingo ya kizazi
♦️Mirija ya uzazi kuziba
♦️Kujaa maji kwenye mirija ya uzazi
♦️Kukosa ute wa ovulation unaoashiria siku za hatari
♦️Majeraha kwenye kizazi
29/09/2022
*BORESHA AFYA YA UZAZI NA 👇👇*
*PROSTATERELAX*
Ni Tiba lishe inayotokana na Mchanganyiko wa Mimea, Chakula, Mboga au Maji ili kuboresha na kuimalisha afya ya Uzazi kwa Wanaume.
*FAIDA YA PROSTATERELAX*
1. Hurekebisha homorne kwa watu wenye Homorne Imbalance.
2. Huzibua Uchafu kwenye mirija ya uzazi na kuimalisha afya ya mfumo wa uzazi na Kibofu.
3. Husaidia uzalishaji, kuboresha na kuongeza idadi ya Mbegu kwa wanaume wenye tatizo la Low S***m Count.
4. Husaidia tatizo la mkojo kwa wanaume.
5. Huimalisha afya ya Tezi na kuzuia kutanuka kwa Tezi au Saratani ya Tezi Dume.
6. Huzuia Ukuaji wa Vimbe kwenye Kizazi au Fangasi sehemu za siri.
7. Huondoa na kuzuia mtu kuwahi kufika kileleni wakati wa tendo la ndoa.
8. Huimalisha afya ya mzunguko wa damu, huupa mwili nguvu na stamina kwa muda mrefu.
9. Husaidia mwili kuweka mahusiano mazuri kati ya Ubongo na Sense ya mwili kuchochea hisia za kijinsia.
29/09/2022
*FAIDA ZA CONSTIRELAX*
tumbo vizuri mno na kuondoa hali ya kuvimbiwa (constipation)
sumu zote tumboni
○ Inaondoa dalili za Bawasiri sugu (Acute Hemorrhoids) k**a kuvimba, kutoka damu.
mzunguko wa maji maji mwilini na kuondoa viuvimbe vinavyo sababishwa na maji maji.
kutibu aina mbali mbali ya vidonda vya tumbo (Peptic & Gastric)
nzuri ya Mawe kwenye figo.
ngozi yako kwa kuondoa sumu ndani.
gesi na uchafu wote usiotakiwa tumboni .
● *VIUNGO* (INGREDIENTS)
(Fructo-oligosaccharide
Astragali
● MATUMIZI
○ Sachet 1 mara 2 kwa siku kabla ya chakula
○ Kwa watoto nusu Sachet mala 2 kwa siku kabla ya chakula kwa siku.
● *TAHADHARI*
○ Kwa watakaotumia mara ya kwanza wengine itawaletea hari ya kuvulugwa tumbo na hata kuhara au gasi na kuunguruma kwa tumbo
Hii ni kawaida inatokana na kusafisha tumbo na kuondoa bacteria (phenomenon) hali itaisha kadri anavyoendelea kutumia.
29/09/2022
ZIJUE FAIDA 9 ZA FEMICARE
1⃣huondoa harufu mbaya ukeni, uchafu na kuongeza bacteria walinzi, ni nzuri kwa wanaoshare vyoo
2⃣inatibu Fangasi sugu ukeni, na U.T.I sugu
3⃣Ni nzuri sana kwa wenye P.I.D
4⃣huondoa maumivu wakati wa tendo la ndoa na kurudisha ute ute unaohitajika
5⃣Inafanya uke kuwa msafi na mkavu muda wote.
6⃣Inazibua Mirija ya Uzazi iliyoziba na kurekebisha hedhi iliyovurugika.
7⃣Inakaza misuli ya uke uliolegea na kuwa tight.
8⃣Inaondoa maumivu ya tumbo chini ya kitovu. (chango)
9⃣ inaondoa michubuko ukeni,..
29/09/2022
*✅✅ANATIC HERBAL ESSENCE SOAP(DAKTARI WA NGOZI)* ✅✅
( PRODUCT FROM USA)
0% chemical
-Ni sabuni ya mitishamba iliyotengenezwa na viambata asili k**a ifuatavyo.
*INGREDIENTS(VIAMBATA)*
1. Wild honey..( asali mwitu)
2. Green tea ...(mchai chai)
3. Grape fruit..(mbegu za mzabibu)
*KAZI MUHIMU*
1. Hupamabana na uzee
na kuondoa makunyanzi
2. Hufanya ngozi kuwa na unyevu unyevu na kuonekana nadhifu
3. Huondoa mapunye, chunusi na mafuta yaliyozidi kwenye ngozi
4. Inafuta uchafu uliopo ndani ya ngozi na uchafu unaosababisha chunusi pamoja na vipele
5. Inaondoa madoa/makovu kwenye ngozi
6.Inaondoa seli za ngozi zilizokufa hvyo kufanya ngozi iwe laini na nyororo
7. Inazibua njia za jasho kwenye vinyoleo hvyo kuthibiti tatizo la harufu mbaya mwilini
8. Inatibu vidonda vya kuungua, jeraha pamoja na vidonda vya kisukari
9. Inatumika k**a mafuta ya kupaka pia
10. Inatunza ngozi ya mtoto
29/09/2022
*NINI CHANZO CHA MAUMIVU YA KIUNO NA TIBA YAKE*🤔
✍🏻Maumivu ya kiuno yamekuwa ni tatizo la kawaida na siyo kwa watu wenye umri mkubwa, bali hata kwa vijana. Hali hii imewa tishio kubwa na mara nyingine kutofahamika Chanzo ni nini.
✍🏻Leo tutaona baadhi ya sababu na vyanzo vikuu vya tatizo hilo;
1️⃣MAUMIVU YA MGONGO
✍🏻Katika maisha ya binadamu mara moja moja hukutana na huu ugonjwa wa kuumwa na kiuno hutegemeana na ukubwa wa tatizo kuna unao weza kuuma kwa mda na mwingine kuumwa kabisa na kua ni ugonjwa wake kias cha kushindwa kutembea sababu ni nyingi kutegemeana na chanzo cha tatizo.
2️⃣KUNYANYUA VITU VIZITO
✍🏻Mara nyingi watu haswa wakina mama wanakua ni wahanga wa huu ugonjwa wa mgongo bila kujua tatizo hulisababisha kwa kunyanyua vitu vizito mfano ndoo huku akiwa ameinama na kusababisha misuli ya kiuno kuvuta
3️⃣MISULI KUUMA
✍🏻Hutegemeana na sababu ila mfano wa hapo juu unapo nyanyua vitu vizito vibaya mfano ndoo kubwa ya maji ukiwa wima una pelekea maumivu ya pingili za uti wa mgongo kwa sababu hiyo misuli ya mgongo hujiminya na kua midogo kulinda uti wa mgongo na unapata maumivu makali.
4️⃣PINGILI ZA UTI WA MGONGO
✍🏻Katika uti wa mgongo kuna pingili 33 na kila moja ikifanya kazi yake sasa katika hizo pingili zipo k**a donati na huwa zinazungukwa na mafuta pindi inapo jisugua kwa kukosa mafuta husababisha maumivu kushuka mpaka miguuni kwa maumivu
5️⃣MKAO MBAYA NA MUONDOKO
✍🏻Mara nyingi watu wenye kusimama mda mrefu hua ni wenye kupata na tatizo la pressure tofaut na pressure pia swala la mgongo kuwa uma ni swala ambalo lipo kwao sana kwa sababu ya mkandamizo wa mkao mbaya wa kusimama kwa mda mrefu pia watu wenye kushinda kwenye kuendesha magar pia wale wenye kukaa vibaya kwenye computer kwa mda mrefu
✍🏻Kuondoka ghafla kwa kishindo husababisha k**a nilivyo sema mvutiko wa misuli ya kiuno na kupelekea maumivu makali.
6️⃣MAGONJWA K**A JIWE KATIKA FIGO, UTI NA ARTHRITIS
✍🏻Moja ya sababu nyingine ni kua na jiwe kwenye njia ya figo inapelekea mtu kuumwa na kiuno pia magonjwa ya njia ya mkojo husababisha kiuno kuuma mfano wake ni k**a UTI hupelekea maumivu makali sana ya kiuno.
✍🏻Pia kuna ugonjwa ambao ni haru yabis huu husambulia mifupa na kupelelkea maumivu ya mifupa na pia maumivu ya kiuno.
7️⃣Pia kuna mama kua mjamzito
8️⃣Mwanaume kuwa na kitambi na vingine maana nakumbuka ukiwa kijana ukiskika una umwa mgongo unaambiwa oa bhana uondokane na tatizo hilo.
9️⃣Mwanamke kuwa na Tatizo la PID au Homon Imbalance au Mjamzito husababisha au huchangia kupata maumivu ya kiuno na mgongo.
TIBA YA MAUMIVU YA MGONGO NA KIUNO
⏩Arthroxtra Tablets
⏩ZaminoCal Capsules
⏩Micro2 cycle tablets
KARIBU NIKUHUDUMIE🙏
Click here to claim your Sponsored Listing.
Category
Website
Address
Dar Es Salaam
