AFYA LEO
AFYA LEO TUNAKUSAIDIA NAMNA YA KUBORESHA AFYA YA MAMA NA MTOTO
+255765106818
Tiba ya bawasiri kwa kutumia mitishamba asilia
(0677864432)
JE, UNAJUA BAWASIRI NI NINI????!!
~Ni ugonjwa unaotokana na kuathirika kwa mishipa ya damu ya ndani na nje ya sehemu ya haja kubwa na wakati mwingine mishipa hiyo huweza kupasuka/kuteleza na kuvuja damu kwenye njia ya haja kubwa na kasababisha kutoka kinyama au uvimbe
# # # *VYANZO VYA TATIZO LA BAWASIRI NI.
👉TATIZO LA KUTOPATA CHOO
👉KUJISAIDIA CHOO KIGUMU
👉MATATIZO YA UMRI
👉KUKAA KITAKO KWA MUDA MREFU
👉UZITO KUPITA KIASI
👉MATUMIZI YA VYOO VYA KUKAA KWA MUDA MREFU
# # # DALILI ZA BAWASIRI
👉Ngozi kuwasha katika eneo la haja kubwa
👉kupata maumivu makali wakati wa kujisaidia
👉kutokea uvimbe katika eneo la haja kubwa
👉kujitokeza kwa kinyama
👉kinyesi kuwa na damu na kunuka harufu mbaya sana
*MADHARA YA TATIZO LA BAWASIRI*
👉kupata upungufu wa damu (anemia)
👉Kupata tatizo la kutokuweza kuhimil choo
👉hupunguza nguvu za kiume na kuondoa hamu ya tendo la ndoa kwa wanawake na wanaume.
👉kuathirika kisaikolojia
👉kukosa morali ya kufanya Kaz kutokana na maumivu makali
👉Kuna uwezekano mkubwa wa kupata saratani ya UTUMBO CANCER kwa sababu kile kinyama kinakaa K**a kidonda.,,
(TUMIA KIRUTUBISHO CHA ASILI KINACHOSAIDIA KUPAMBANA NA BAWASIRI,
IMETENGENEZWA KWA VIAMBATA VYA ASILI AMBAVYO NI JAMII YA MALIMAO NA MACHUNGWA (CITRUS FRUITS)
INAONDOA PRESHA KUBWA KWENYE MISHIPA YA DAMU YA SEHEMU YA HAJA KUBWA
PIA UTATUMIA NA VIRUTUBISHO KWA AJILI YA KUREKEBISHA MFUMO WA MMENG'ENYO WA CHAKULA.
HUONDOA MAUMIVU MAKALI NDANI YA MUDA MFUPI SANA,
HUKATA DAMU INAYOTOKA HARAKA,
HUREKEBISHA MMENG'ENYO WA CHAKULA.
HAINA KEMIKALI IMETHIBITISHWA NA MAMLAKA HUSIKA.
Piga (0677864432) kupata huduma
Share na wengine pia like page yetu,,, pia tazama video hii hapa chini kwa maelekezo zaidi
21/09/2022
Ijue Saratani Ya Shingo Ya Kizazi
TIBA YA SARATANI YA MLANGO WA KIZAZI.(0677864432)
SARATANI YA SHINGO YA KIZAZI NI NINI?
Saratani ya shingo ya kizazi ni saratani ambayo hutokana na mabadiliko ya mfumo wa chembechembe au cells zilizoko katika shingo ya kizazi. Mabadiliko haya hupelekea chembe chembe hizo kushamiri na kuzaliana kwa kasi kinyume na mpangilio wa maumbile.Saratani ya Shingo ya kizazi yasemekana kuwa ni saratani inayoongoza kwa kusababisha vifo vya wanawake katika nchi zinazoendelea. Ripoti ya 2012 ya shirika la afya duniani 'WHO' imesema kati ya matukio 75,000 ya waathirika wa saratani ya kizazi barani Afrika, 50,000 walifariki dunia.
NINI KINACHOSABISHA SARATANI YA SHINGO YA UZAZI?
Ripoti za utafiti wa kisayansi zimeafiki kuwa asilimia 99% ya saratani za shingo ya kizazi hutokana na maambukizi ya virusi vya 'Human Papillomavirus' au HPV vilivyoko katika jamii ya papilloma. Baadhi ya virusi hivi vyenye aina zaidi ya mia moja huambukizwa kwa njia ya kujamiana.
BAADHI YA MAMBO YANAYOONGEZA HATARI ZA KUPATA SARATANI YA SHINGO YA KIZAZI
Kushiriki tendo ndoa katika umri mdogo au chini ya miaka 18.
Kuwa na wenzi tofauti au mwenzi aliye na wapenzi tofauti.
Utumiaji wa sigara kwani hupunguza nguvu ya kinga mwilini(impairs immune system).
Watu wenye kinga hafifu ya mwili au magojwa k**a Ukimwi.
Uzazi wa mara kwa mara
BAADHI YA DALILI ZA SARATANI YA SHINGO YA KIZAZI
Kutokwa na majimaji au uchafu wenye harufu kali ukeni
Kutokwa na damu ukeni mbali na siku za mwezi au baada ya tendo la ndoa.
Maumivu makali ya sehemu ya chini ya tumbo ( pelvic area).
Kuhisi maumivu makali wakati wa kujamiiana.
Kupungua kwa uzito wa mwili bila kukusudia.
Mkojo wenye matone ya damu
TIBA YA SARATANI YA MLANGO WA KIZAZI(0677864432)
21/09/2022
PID Pelvic inflammatory disease.
PID Ni maambukizi katika via vya uzazi. (0677864432)
DALILI ZA UGONJWA WA PID
1️⃣Kutokwa na uchafu mzito sehemu za siri, yawezekana ukawa ni mweupe k**a maziwa ya mtindi au wa njano na wenye harufu mbaya.
2️⃣Kupata miwasho katika sehemu za siri na fangasi.
3️⃣kuvurugika kwa mzunguko wa hedhi.
4️⃣Maumivu chini ya kitovu.
5️⃣vimbe kwenye kizazi.
6️⃣Maumivu wakati wa tendo la ndoa.
7️⃣kukosa hisia na hamu ya kushiriki tendo la ndoa.
8️⃣Kutokwa majimaji ukeni kupita kiasi
9️⃣Maumivu wakati wa kukojoa na wakati wa choo kubwa
🔟Homa, uchovu,kizunguzungu na kukosa hamu ya kula
MADHARA YA PID
1•Ugumba
2•Kansa ya shingo ya kizazi
3•Mirija ya uzazi kuziba
4•Majeraha kwenye mirija ya uzazi
5.kutopata ujauzito.
6.kuharibika kwa mimba.
inatibika na kupona Kwa haraka
Waweza kuwasiliana nami (0677864432)
21/09/2022
👾UVIMBE KWENYE KIZAZI (FIBROIDS)" 👾
♐ "Fibroids ni nini?
♐Fibroids ni uvimbe usio wa saratani ambao hujitokeza kwenye kuta za mfuko wa mimba,uitwao uterusi, uvimbe huu husababisha kubadilika kwa shape na size ya kizazi na pia dalili zingine mbaya. Wanawake wengi huanza kupata maumivu makali wakati wa hedhi kutokana na uwepo wa uvimbe kwenye kizazi(fibroids) .
♐DALILI ZA UVIMBE KWENYE KIZAZI (FIBROIDS)♐."
•Kupata Hedhi inayochukua siku nyingi kuanzia 7 na zaidi.
•Hedhi nzito.
•Kujisikia umeshiba mda mwingi
•Maumivu ya nyonga.
•Kupata mkojo mara kwa mara na kushindwa kutoa mkojo wote kwenye kibofu.
•Kupata maumivu wakati watendo la ndoa.
•Maumivu chini ya mgongo na kwenye miguu.
•Madhara mablimbali ya uzazi k**a ugumba na mimba Kuharibika .
♐AINA ZA UVIMBE KWENYE KIZAZI - ( FIBROIDS ).♐
♐Jina la kitabibu la fibroids ni leiomyoma au myoma♐.
♐ Ukubwa, mahali ulipo uvimbe na pia idadi ya vimbe hizi inachangia zaidi kwenye uwepo wa dalili mbaya aatakazopata mwanamke.
♐ Inawezekana kabisa kuwa na aina zaidi ya moja ya fibroid katika muda mmoja k**a zitatokea mahali tofauti tofauti kwenye uzazi wa mwanamke.
♐ Aina kuu za uvimbe kwenye kizazi(fibroids) ni k**a zifuatazo♐
👒INTRAMURAL FIBROIDS ; Hii ni aina marrufu zaidi na zinawatokea zaid wanakwake. Aina hii ya fibroid hukua na kumea kwenye misuli ya ukuta wa uterus. Kadiri zinavokua basi husababisha kupanuka au kuvutika kwa kizazi na kusababisha dalili k**a hedhi ya muda mrefu inayoambatana na maumivu ya nyonga.
👒 SUBSEROSAL FIBROIDS : aina hii ya fibroids hukua nje ya ukuta wa mfuko wa mimba, wakati mwingine kuelekea kwenye kibofu cha mkojo. Aina hii ya fibroids huweza kusababisha maumivu ya chi ya mgongo kutokana na kwamba uvimbe huu unasukuma nerve za sipnal na kusababisha presha kubwa kwenye eneo la chini ya mgongo.
👒 SUBMUCOSAL FIBROIDS : aina hii ya fibroid hukua karibu na ukuta wa Uterus na inaweza kusababisha bleed ya muda mrefu na shida kwenye kushika ujauzito.
👒CERVICAL FIBOIDS : Hizi hukua kwenye tishu za mlango wa kizazi ambao huitwa Cervix , Hutokea mara chache sana ukilinganisha na aina zingine za fibroids.
♐"NINI KINASABABISHA MWANAMKE KUPATA " FIBROIDS👒 ".❓
=> Kurithi: k**a mama au dada yako aliwahi kuugua tatizo hili basi wewe pia utakuwa kwenye hatari zaidi ya kupata uvimbe huu.
=> Umri: uvimbe kwenye kizazi (fibroids) hutokea zaidi kwa wanawake wanaokaribia kukoma hedhi kuanzia miaka 35 mpaka 40.
=> Lishe: matumizi ya vyakula vya wanga na sukari kupita kiasi huongeza hatari ya kupata fibroids.
=> Uzito mkubwa na kitambi: wanawake wenye uzito mkubwa na kitambi wako kwenye hatari zaidi ya kupata fibroids .
=> Wanawake wenye shinikio kubwa la damu.
=>Matumizi ya njia za kupanga uzazi: k**a vidonge huongeza ukuaji wa fibroids kwani vidonge hivi huweza kupandisha homoni ya estrogen kwa wingi.
=> Kubalehe mapema: wanawake wanaobalehe mapema na kuanza kupata hedhi chini ya miaka 10 wako kwenye hatari zaidi ya kuugua fibroids.
♐Kwa Msaada Zaidi na Wa Haraka Tupigie :-
Simu 0677864432
♐ TAFADHALI : USISAHAU KU SHARE.
Click here to claim your Sponsored Listing.
Category
Telephone
Website
Address
Ilala
Dar Es Salaam
