AFYA Jamii trends
Tunawasaidia watu kutatua changamoto ya UZAZI Kupunguza UZITO NA KITAMBI.Tuma ujumbe neno AFYA JAMII
Wapendwa mupooooo nimeludi tena
__
KUJAA GESI
I know baadhi yenu mnahisi ni tatizo la kitambi. HAPANA!
Umewahi kujihisi tumbo limejaa GESI na kuvimba kiasi kwamba hata kukaa au kutembea unakuwa changamoto?
UNAFAHAMU TATIZO NI NINI🤔🤔
Tuizungumzie Kongosho pancreas KWA ufupi tuu.
Kongosho ni kiungo kinachopatikana upande wa kushoto nyuma ya utumbo mdogo uitwao duodenum
Kongosho pancreas huwa na kazi kuu mbili.
Kuna upande unaohusika na kuzalisha homoni ndio kina insulin, pancreatic polypeptide,glucagon na somatostatin
Kuna upande mwingine ambao huhusika na mmeng'enyo wa chakula. Ambao huzalisha vitu k**a pancreaticjuices enzymes na kitu kiitwacho sodiumbicarbonate.
SASA INAKUAJE MPAKA TUMBO LINAVIMBA.🤔🤔
Chakula aina ya protein kikishaingia tumbo. Hydrochloric acid huzalishwa KWA ajili ya kuruhusu pepsinogen kuzalisha pepsin itayoamza kuvunja vunja protein kuwa amino-acid.
Chakula chote ambacho kilo tumbo huchanganyika na HCL na ndipo hutoka tumboni ambapo Inafahamika ph value ya HCL ni 2.0. Acid hii inaunguza Sana.
Sasa kwa kawaida k**a kongosho pancreas upande unaohusika na mmeng'enyo wa chakula uko safi utazalisha hizo sodiumbicarbonate na pancreaticjuice ambazo ni alkaline hupooza hio acid ambayo inatoka na chakula tumboni.
Ikiwa kongosho inaudhaifu Basi MATATIZO k**a GESI kali na kuvimba tumbo na utumbo HUTOKEA sababu chakula huanza kuoza fermentation
SASA MTU MWENYE HILI TATIZO ATAAMBATANA NA MATATIZO GANI
🔴KUPUNGUA UZITO
🔴GESI
🔴 KICHEFUCHEFU
🔴KIUNGULIA
🔴MISULI DHAIFU
🔴TUMBO KUWAKA MOTO NA UTUMBO MDOGO
🔴KUONA CHAKULA AMBACHO HAKIJASAGIKA KWENYE CHOO
🔴 KISUKARI WAKATI MWINGINE.
Yote haya tatizo ikiwa ni udhaifu wa Kongosho n.k
KARIBU KATIKA CLINIC YETU
14/02/2022
06/02/2022
DALILI ZA CHANGAMOTO YA TEZI DUME
Uonapo dalili zifuatazo unaweza kuanza kuhisi una saratani ya tezi dume:
1. Kukojoa mara kwa mara hasa nyakati za usiku
2. Kushindwa kuzuia mkojo, yaani ukichelewa kidogo unaweza kukutoka bila breki
3.Kuwahi kufika kileleni mara kwa mara
4. Maumivu wakati unakojoa
5. Kuishiwa nguvu za kiume
6. Kupungua kwa uwingi wa mbegu (low s***m count)
7. Maumivu wakati unafika kileleni
8. Damu kutokea kwenye mkojo au kwenye mbegu za kiume
9. Maumivu nyuma ya mgongo au hata nyonga
K**a umeona mojawapo ya dalili hizo chukua tahadhali mapema kwa kutumia virutubisho asilia, formula ya matunda matatu na mazoezi matatu muhimu. kwani kinga ni bora kuliko tiba. Usisubiri uharibikiwe zaidi ya hapo.
Suluhisho; Tuma ujumbe neno AFYA NJEMA kwenda WhatsApp 0745888776au piga simu usaidiwe mapema.
06/02/2022
NI ZAIDI YA KILIO,, SOMA MPKA MWISHO.....
Alipatwa na hasira sana kila baada ya kumaliza safari moja, kwakuwa alikuwa akihitaji zaid na mimi sikuweza kuendelea.
Nilipatwa na msongo mkubwa sana mawazo hasa nilipo fikilia suala la kusalitiwa kwani ni ukweli usio pingika kuwa nilikuwa simridhishi.
Mwanzoni alikuwa ananivumilia lakini ilifikia kipind ambacho uvumilivu ulimshinda na saikolojia yake iliharibika kabisa na tendo halali la ndoa lilikuw kero kibwa kwake kwani ilifikia hatua nikimhitaji alikuwa anakataa kwan alijua sitofanya Chochote zaid ya kumchafua tu.
Niliumia zaid pale alipoanz kuniita **Mr. five seconds**
Ilikuwa k**a utani lakini alikuwa ananifikishia ujumbe kuwa haridhiki na uwezo wang.
Utamsikia anasema ""Mr. five seconds unataka kunipaka shombo? ""
Basi hadi hamu yote inaisha.
Mchezo wa kujichua wakati nipo shule ndio ulisababish yote haya.
Sikujua kuwa kufanya vile nilikuwa najiandalia madhara haya yote yaliyo nikuta.
Shida iliyonilaza macho wazi ilikuwa ni safari dakika moja nyingi chali.
Hali ilizid kuwa tete ilipofikia hatua nikawa siwez kwend safar hata ya dakika moja k**a mwanzo.
Nikaanz kuona dalili za ndoa kuvunjika.
Ukifika muda wa kulala akawa anachukua remote ya TV ananiambia "" tangulia nakuja kuna tamthilia nafuatilia""
Sikuwa na jinsi nilianza kutumia kila nilichosikia kuwa kitanisaidia kuondoa tatizo lang.
Nakumbuka siku moja niliharisha sana baada ya kutumia dawa fulani kutoka kwa masai lakini baada ya pale hali bado ilikuwa ni ile ile.
Kwa kujarib jarib huku na kule nilijikuta ninapoteza pesa nyingi bila mafanikio.
Siku moja wakati naperuzi mtandaoni nikapata jarida ambalo baada ya kulisoma lika nipatia kitu kilichoniondolea tatizo lote.
Sas hivi baada ya kumaliza nikimgeukia huniangalia kwa tabasamu na mimi humuuliza ""unataka tena??""
Hanijibu chochote huishia kutoa tabasamu bashasha.
Sasa ndoa imeimarika kazi nafanya vizuri na kwa umahili mkubwa.
Wasilian nao kwa kutuma neno JENGA AFYA kupitia namba 0745888776, ukituma ujumbe WhatsApp utapata msaada zaid.
06/02/2022
JE UMECHOSHWA PIA NA CHANGAMOTO YA KUKOSA MTOTO NA MASIMANGO YAKE?
Nimekuwa nikitafutwa na wadada wengi mno wenye changamoto za uzazi. Na mojawapo ya kitu ambacho nimekuja kuona kinaleta matokeo haraka kwako ni k**a tayari UMEDHAMIRIA kutoka moyoni. Wengi wanatafuta mtoto wakiwa hawako tayari kufanyia kazi watakachoshauriwa. Wote niliowahudumiwa na hawakuwa wakifuatilia ninachowaelekeza ukweli ni kuwa labda ni mmoja tu katika 10 ambaye atafanikiwa kibahati tu. Lakini wale wote ambao wamekuwa wakinitafuta wakiwa wamedhamiria hao wote wanapata ujauzito.
Na wala sisemi hivi ili mnitafute no. Wewe unaweza kumtafuta yeyote unayetaka akusaidie suala lako. Nasema haya ili kukusaidia kuwa popote utakapoenda kutaka msaada kuhusu tatizo lako TANGULIZA KWANZA DHAMIRA YA KWELI. Utafanikiwa.
Joyline alinitafuta mwaka jana mwanzoni akiwa na changamoto za ya PCOS. Hii ni balaa. Unaweza kukosa hedhi hata miezi 6 mfululizo. Pamoja na kuwa nje ya nchi lakini aliagiza dozi na zikamfikia. Tukafanya kazi akakaa sawa ndani ya miezi minne.
Muda si mrefu baada ya hapo akapata ujauzito. Na sasa ni MAMA.
Hongera sana my sis. Malezi yakawe mema yenye baraka. Tunakataa magonjwa ya utotoni na mabalaa ya adui shetani. Kwa kiyo katoto ni raia wa kina Biden jamani. Dah.. mlete huku tujenge nchi tufike uchumi wa juu pia🤗😃😃. Haya my dada. Tunamwombea akue katika kicho na hofu ya Mungu akawe baraka na furaha maishani mwenu🔥🔥🔥🔥🔥
::::::::::::::::::::::::::::::::::::::::::::::::::::::::::::::::::::::
Kwa wewe mwanamke ambaye bado unahangaika kuhusu uzazi karibu tukuhudumie. Tumewasaidia wengi. Ni wakati wako sasa! Tuma neno Afyajamii kwenda kwenda WhatsApp number 0745888776
Zifahamu Siri Kuu 5 Za kuepukana Na Changamot Ya Maumivu Ya viungoo
👇👇👇👇👇👇👇👇👇👇👇
This Set is your support for aching joints & bones and Improves your Joint Flexibility🙌💯
Kadri umri unavyosogea, ute unaotengenisha mfupa na mfupa unapungua🙊😥😫.....ndio maana wazee wengi - wanalalamika maumivu makali ya na kwasabu mifupa inasuguana wanapo-move due to a lack of synovial fluid (lubrication) .
This amazing combo, .
🌿Inazalisha upya kwa wingi ute uliopo kati ya mfupa na mfupa (synovial fluid)
🌿Inasupport Flexibility motions .
🌿Helps Arthritis pia .
🌿Inasaidia maumivu makali ya pingili za mgongo
🌿Inasaidia kumpa mzee Calcium ya kutosha kuwa na mifupa imara (kitu ambacho watu wazima wengi hawana)
CALL/WHATSAPP ☎+255 629 193 420
17/01/2022
MAMBO 10 YANAYO PELEKEA KUNYONYOKA NYWELE (KIPARA) NA JINSIA YA KUZUIA
Mambo 10 yanayo pelekea kunyonyoka nywele (KIPARA) na jinsia ya kuzuia
Siku hizi ni jambo la kawaida sana kuona vijana wa umri wa miaka 20 hadi 35 wakiota Upara. Na wengi tunaamini kuwa Upara ni ishara ya busara ama kufanikiwa kimaisha. Leo katika makala hii utaweza kufahamu nini chanzo cha upara katika umri mdogo na ni nini tiba yake. ningependa kukuhakikishia mapema kuwa tiba ipo na haina gharama yoyote.
kikawaida kwa binadamu yeyote iwe mwanamke ama mwanaume huanza kupoteza nywele kichwani kwa kasi kuanzia miaka ya 50 na kuendelea kutoka na kuchoka kwa mwili. Ni swala linalokasirisha sana kwa kijana mdogo kuota upara angali bado unazihitaji nywele.
Zifutazo ni sababu kwa nini nywele zako zinanyonyoka.
1.✍️ Stress
Kila aina ya physical and emotional pain inaweza kusababisha kunyonyoka kwa nywele. . Ajali ya gari au kufanyiwa upasuaji vinaweza kukusababishia stress ambayo itakuletea kunyonyoka kwa nywele zako. Emotional stress hazisababishi kunyonyoka kwa nywele lakini inaweza kutokea pale unapokuwa katika wakati mgumu kisaikolojia k**a vile kumpoteza mtu wako wa karibu kutokana na kifo au kuachwa kimapenzi. Hata hivyo,. Baada ya wakati huo mgumu, nywele zako zitaanza kuota tena baada ya miezi sita.
2. ✍️Homoni
Kunyonyoka kwa nywele kunaweza kuwatokea wanawake w alio katika menopause kutokana na kuadilika kwa viwango vya homoni. Inaweza kutokea pia kwa wanawake wanaotumia vidonge vya uzazi wa mpango hususani wanapokuwa wana ahirisha mara kwa mara zoezi la kutumia vidonge hivyo. Unashauriwa k**a unatumia vidonge kwa uzazi wa mpango, basi hakikisha unazingatia ratiba na usiahirishe hata mara moja.
3. ✍️Ukosefu wa Protini au Hamirojo
Ukosefu wa protini unaweza kudhoofisha ukuaji wa nywele au kusababisha kunyonyoka kwa nywele kabisa na hatimaye kuwa na kipara kabisa.
4. ✍️Ujauzito
Ujauzito ni miongoni mwa mambo yanayo leta physical stresses and there are also na pia huleta mabadiliko ya homoni. Kunyonyoka kwa nywele hutokea baada ya kujifungua.
5.✍️ Kurithi
If any of your parents at some time started to lose hair, it is very possible for the same thing to happen to you.
K**a mmoja kati ya wazazi wako au babu zako wa upande wa baba au mama aliwahi kuwa na tatizo la kunyonyoka nywele au kuwa na kipara kabisa, basi kuna uwezekano mkubwa sana kwa jambo hilo kutokea kwako pia kwa sababu za urithi. Hakuna maelezo yoyote ya kitabu kuhusu jinsi ya kukinga suala hili , hata hivyo unaweza kujaribu kutumia vyakula na dawa mbalimbali bila kujali sababu iliyo fanya unyonyoke nywele au kuwa na kipara.
6.✍️ Vinasaba vya kiume
Tafiti mbalimbali za kisayansi zinaonyesha kuwa, wanaume wengi wana anza kuonyesha dalili za kunyonyoka mwele wakiwa na umri wa kuanzia miaka sitini ( 60) na kuendelea. So k**a wewe ni mwanaume mwenye umri wa kuanzia miaka 60 na kuendelea na nywele zako zimeanza kuonyesha dalili za kunyonyoka, huna haja ya kupanic wala kutafuta tiba, kwani suala hilo ni la kawaida kabisa kwa wanaume wenye umri wako.
7. ✍️Anemia
Anemia husababishwa na ukosefu wa madini ya chuma katika damu. Watu wengi wanasumbuliwa na tatizo hili (anemia ). Hata hivyo, ili kupambana na tatizo hili unachotaiwa kufanya ni kuzingatia matumizi ya vyakula vyenye madini ya chuma katika mlo wako.
8. ✍️Matumizi ya vitamin A kupita kiasi.
Malimbikizo ya vitamin A mwilini husababisha kunyonyoka kwa nywele. Hata hivyo kunyonyoka kwa nywele kunako sababishwa na malimbikizo ya vitamin A mwilini huwa ni kwa muda tu. Nywele zako zitarejea katika hali yake ya kawaidautakapo punguza matumizi ya vyakula vyenye vitamin A kwa wingi kupita kiasi kwa sababu mwili wako utaweza kubalance vitamin zote mwilini.
9. ✍️Kupunguza uzito kwa haraka.
Kupungua uzito kwa haraka kunaweza kukufurahisha. Lakini hata hivyo, hii inaweza kukusababishia kunyonyoka kwa nywele kutokana na stress zilizo sababishwa katika mwili wako.
10. ✍️Matatizo kwenye tezi aina ya thyroid ( Thyroid Gland )
Thyroid gland ina husika na michakato mbalimbali katika mwili wa mwanadamuikiwemo ukuaji wa nywele. K**a tezi hii haizalishi homoni za kutosha, inaweza kusababisha kunyonyoka kwa nywele. Ukiwa katika situation hii, unashauriwa kumuona daktari kwa ushauri zaidi.
SULUHISHO
👇👇👇👇
Tumaneno afya jamii watsap no 0745888776 au Piga simu
17/01/2022
UTATUZI SAHIHI WA CHANGAMOT YA NGUVU ZA KIUME
Habari za muda ndugu naamini uko powa na mwenye afya njema kabisa.Hawali kabla ya yote nipende kutoa shukrani za dhati kwa kufuatilia kwa umakin Sana makala zetu namin Kuna vitu unajifunza zaidi.
Kwasiku yaleo nimekuandalia makala special kwa ajili yako ambayo yenye lengo la kujadili njia sahihi za utatuzi wa changamot ya nguvu za kiume pasipo kutumia dawa za hospital Bali kwa kutumia virutubish rishe.
Kwanza kabla ya yote lazima tufaham Nini maana ya nguvu za kiume?na nitajuaje K**a nimeathilika na nguvu za kiume? Na nitafanyaje ili kuondokan na ili tatizo ivyo vyote leo tutaenda kutoleo majibu sahihi zaidi fuatana nami mwanzo mwisho.
1,NGUVU ZA KIUME NI NINI,,?
Watu wengi Sana bado awajajua nin maana ya nguvu za kiume.kwa utaratibu nguvu za kiume ni uwezo wa mwanaume kumridhisha mwenza wake na kudumu katika tendo la ndoa vizuri za idi pasipo kuwa na shida yoyote piah kuwa na uwezo wa kumpatia mwanamke ujauzito,.iyoo ni maan fupi ya nguvu za kiume
2.Nitajuaje K**a nimeathilika na tatizo la nguvu za kiume?
Hapa Kuna njia nying Sana zakugundua k**a umeshathirika na tatizo la upungufu wa nguvu za kiume apa nitajadili chache tu,,
Njia muhimu za kugundua K**a umeathilika na tatizo la upungufu wa nguvu za kiume ni; -Uwezo hafifu wa kuludia tendo la ndoa,
- kushindwa kumpatia ujauzito mwanamke,
-Ume kuwa legevu,
-kujihisi uchovu ukishamaliza tendo,kuwai kufika kilelen,
-Mbegu kutoka kwa uchache au kutokuwa na pressure pamoja na kutohisi hamu ya tendo.ukiona izoo dalili jua kwamba ushahathilika na tatizo la nguvu za kiume
3.JE NIFANYE NINI KUONDOKANA NA HILI TATIZO?
Kuna njia nyingi Sana za kuweza kuondokan na tatizo la nguvu za kiume ikiwemo zipo za hospital pamoja na zahasiri..
Kwanjia za hospital maranying Sana changamot ya kuwa na mbegu chache ilo tatizo linauwezekano wa kutibika kwanjia za dawa za hospital na si changamot zingin
Lakin kwa kutumia virutubish rishe hii ndiyo njia sahihi zaidi ya kuondokan na changamot ya nguvu za kiume kwa usahihi zaidi bila tatizo kujirudia..unaweza kutumia matunda K**a parachichi,koma manga,apple,tikiti maji pamoja na aloe vera ivi vitu vitakusaidia Sana kuondokan na changamot ppasipo kutumia dawa za hospital
Ili kutatua changamoto yako kwa usahihi zaidi bila kutumia dawa za hospital tuma neno NGUVU watsap no 0745888776 kwa maelezo zaid au piga simu
17/01/2022
MAMBO 10 YANAYO PELEKEA KUNYONYOKA NYWELE (KIPARA) NA JINSIA YA KUZUIA
Posted by mik-dadi | Nov 19, 2017
Mambo 10 yanayo pelekea kunyonyoka nywele (KIPARA) na jinsia ya kuzuia
Siku hizi ni jambo la kawaida sana kuona vijana wa umri wa miaka 20 hadi 35 wakiota Upara. Na wengi tunaamini kuwa Upara ni ishara ya busara ama kufanikiwa kimaisha. Leo katika makala hii utaweza kufahamu nini chanzo cha upara katika umri mdogo na ni nini tiba yake. ningependa kukuhakikishia mapema kuwa tiba ipo na haina gharama yoyote.
kikawaida kwa binadamu yeyote iwe mwanamke ama mwanaume huanza kupoteza nywele kichwani kwa kasi kuanzia miaka ya 50 na kuendelea kutoka na kuchoka kwa mwili. Ni swala linalokasirisha sana kwa kijana mdogo kuota upara angali bado unazihitaji nywele.
Zifutazo ni sababu kwa nini nywele zako zinanyonyoka.
1.✍️ Stress
Kila aina ya physical and emotional pain inaweza kusababisha kunyonyoka kwa nywele. . Ajali ya gari au kufanyiwa upasuaji vinaweza kukusababishia stress ambayo itakuletea kunyonyoka kwa nywele zako. Emotional stress hazisababishi kunyonyoka kwa nywele lakini inaweza kutokea pale unapokuwa katika wakati mgumu kisaikolojia k**a vile kumpoteza mtu wako wa karibu kutokana na kifo au kuachwa kimapenzi. Hata hivyo,. Baada ya wakati huo mgumu, nywele zako zitaanza kuota tena baada ya miezi sita.
2. ✍️Homoni
Kunyonyoka kwa nywele kunaweza kuwatokea wanawake w alio katika menopause kutokana na kuadilika kwa viwango vya homoni. Inaweza kutokea pia kwa wanawake wanaotumia vidonge vya uzazi wa mpango hususani wanapokuwa wana ahirisha mara kwa mara zoezi la kutumia vidonge hivyo. Unashauriwa k**a unatumia vidonge kwa uzazi wa mpango, basi hakikisha unazingatia ratiba na usiahirishe hata mara moja.
3. ✍️Ukosefu wa Protini au Hamirojo
Ukosefu wa protini unaweza kudhoofisha ukuaji wa nywele au kusababisha kunyonyoka kwa nywele kabisa na hatimaye kuwa na kipara kabisa.
4. ✍️Ujauzito
Ujauzito ni miongoni mwa mambo yanayo leta physical stresses and there are also na pia huleta mabadiliko ya homoni. Kunyonyoka kwa nywele hutokea baada ya kujifungua.
5.✍️ Kurithi
If any of your parents at some time started to lose hair, it is very possible for the same thing to happen to you.
K**a mmoja kati ya wazazi wako au babu zako wa upande wa baba au mama aliwahi kuwa na tatizo la kunyonyoka nywele au kuwa na kipara kabisa, basi kuna uwezekano mkubwa sana kwa jambo hilo kutokea kwako pia kwa sababu za urithi. Hakuna maelezo yoyote ya kitabu kuhusu jinsi ya kukinga suala hili , hata hivyo unaweza kujaribu kutumia vyakula na dawa mbalimbali bila kujali sababu iliyo fanya unyonyoke nywele au kuwa na kipara.
6.✍️ Vinasaba vya kiume
Tafiti mbalimbali za kisayansi zinaonyesha kuwa, wanaume wengi wana anza kuonyesha dalili za kunyonyoka mwele wakiwa na umri wa kuanzia miaka sitini ( 60) na kuendelea. So k**a wewe ni mwanaume mwenye umri wa kuanzia miaka 60 na kuendelea na nywele zako zimeanza kuonyesha dalili za kunyonyoka, huna haja ya kupanic wala kutafuta tiba, kwani suala hilo ni la kawaida kabisa kwa wanaume wenye umri wako.
7. ✍️Anemia
Anemia husababishwa na ukosefu wa madini ya chuma katika damu. Watu wengi wanasumbuliwa na tatizo hili (anemia ). Hata hivyo, ili kupambana na tatizo hili unachotaiwa kufanya ni kuzingatia matumizi ya vyakula vyenye madini ya chuma katika mlo wako.
8. ✍️Matumizi ya vitamin A kupita kiasi.
Malimbikizo ya vitamin A mwilini husababisha kunyonyoka kwa nywele. Hata hivyo kunyonyoka kwa nywele kunako sababishwa na malimbikizo ya vitamin A mwilini huwa ni kwa muda tu. Nywele zako zitarejea katika hali yake ya kawaidautakapo punguza matumizi ya vyakula vyenye vitamin A kwa wingi kupita kiasi kwa sababu mwili wako utaweza kubalance vitamin zote mwilini.
9. ✍️Kupunguza uzito kwa haraka.
Kupungua uzito kwa haraka kunaweza kukufurahisha. Lakini hata hivyo, hii inaweza kukusababishia kunyonyoka kwa nywele kutokana na stress zilizo sababishwa katika mwili wako.
10. ✍️Matatizo kwenye tezi aina ya thyroid ( Thyroid Gland )
Thyroid gland ina husika na michakato mbalimbali katika mwili wa mwanadamuikiwemo ukuaji wa nywele. K**a tezi hii haizalishi homoni za kutosha, inaweza kusababisha kunyonyoka kwa nywele. Ukiwa katika situation hii, unashauriwa kumuona daktari kwa ushauri zaidi.
SULUHISHO
👇👇👇👇
Tumaneno afya jamii watsap no 0745888776 au Piga simu
Click here to claim your Sponsored Listing.
Category
Contact the business
Telephone
Website
Address
Dar Es Salaam
