Tabibu Rashid Abdallah
Mnamati ni dawa ya uhakika ya kutibu ugonjwa wa vindonda vya tumbo.
02/04/2023
01/04/2023
MNAMATI NI DAWA INAYOTIBU NA KUMALIZA KABISA TATIZO LA VIDONDA VYA TUMBO VYA AINA ZOTE. DAWA HII INA UWEZO MKUBWA SANA WA KUTIBIA MARADHI HAYA YA VIDONDA VYA TUMBO KWA MUDA WA SIKU 15 PEKEE.
TUNAFAHAMU KUWA TATIZO LA VIDONDA LIMEKUWA LIKISUMBUA WATU WENGI SANA NA NDIO MAANA TUMEAMUA KUTOA HUDUMA HII ILI WATU WENGI WAPATE SULUHU YA TATIZO HILI.
MATATIZO YA TUMBO KUJAA GESI, KUSIKIA KIUNGULIA, TUMBO KUPATA MAUMIVU MAKALI NA KUCHOMACHOMA NI DALILI KUU ZINAZOWAKUTA WAHANGA WENGI WA VIDONDA VYA TUMBO.
TUNAJUA KUWA WATU WENGI MNATESEKA NA DAWA AMBAZO HAZIPONYESHI UGONJWA HUU BALI ZINAWAPATIA NAFUU TU NA TATIZO LINABAKI PALEPALE HIVYO BASI MNAMATI INAKUHAKIKISHIA KUWA TATIZO HILI LINAWEZA KUTIBIKA NA USIUMWE TENA HATA K**A UMEKUWA NALO KWA MUDA MREFU.
TUNA UZOEFU MKUBWA KATIKA KUTOA HUDUMA HII KWA JAMII NA NDIO SABABU INAYOTUPA NGUVU YA KUWA NA UHAKIKA NA DAWA YETU.
TUPIGIE SASA KUPITIA
+255686840000
+255715500880
+255719574657.
KARIBUNI SANA.
04/03/2023
OFA OFA OFA
KUELEEKEA KATIKA MWEZI MTUKUFU WA RAMADHAN NA MFUNGO WA QUARESMA, MNAMATI INAWALETEA TIBA YA VIDONDA VYA TUMBO IKIWA KATIKA PUNGUZO LA BEI LA HADI ASILIMIA 30%.
INAWEZEKANA UKAWA UMETESEKA SANA NA KWA MUDA MREFU BILA KUPATA SULUHU YA TATIZO LA VIDONDA VYA TUMBO ILA KWA SASA TATIZO HILI LINATIBIKA NA KWA GHARAMA NAFUU SANA.
DAWA YETU INA UWEZO WA KUMALIZA TATIZO LA VIDONDA VYA TUMBO VYA AINA ZOTE NA KWA MUDA WA SIKU 15 TU UTAKUWA NA UHAKIKA WA KULA CHAKULA CHOCHOTE UNACHOPENDA AMBACHO KWA SASA KINAKUATHIRI UKILA.
PIA DAWA YETU NI RAFIKI KWA WAJAWAZITO NA HAINA MADHARA YOYOTE UKIITUMIA.
TUTAFUTE SASA KUPITIA
0715500880
0686840000
27/05/2022
CHANZO CHA VIDONDA VYA TUMBO
Vidonda vya tumbo vina vyanzo tofauti ili vyote ni vile vinavyohusiana na mmeng’enyo, vyanzo hivyo ni;
Bakteria waitwao Helicobacter pylori (H. pylori)
Matumizi ya dawa za kupunguza maumivu k**a asprin, (NSAIDs), (Advil, Aleve, na zingine)
Kuwa na mawazo mengi
Kula vyakula vinavyozalisha acid kwa wingi
Kunywa pombe na vinywaji vikali
Uvutaji wa sigara
Kuto kula mlo kwa mpangilio
26/05/2022
UJUE UGONJWA WA VIDONDA VYA TUMBO
Vidonda vya tumbo ni tatizo linalotokea baada ya kuta za tumbo au utumbo mdogo kuwa na vidonda, hii hutokea ni baada ya kuharibika kwa ukuta wenye ute unaozuia kemikali za kuyeyusha chakula unaoitwa mucus. Kemikali ambayo ni acidi inayozalishwa mwilini kiasili husaidia kuyeyusha chakula na kuua wadudu tumboni, k**a ukuta wenye ute ukiharibiwa na kushindwa kufanya kazi basi kemikali (acid) itaathiri tumbo au utumbo na kuruhusu bakteria kuendelea kusababisha vidonda vya tumbo.
Vidonda vya tumbo vinatibika kirahisi ila vikicheleweshwa bila kutibiwa huweza kusababisha tatizo kubwa. Ni tatizo linalotesa sana na kuwanyima raha watu wengi, linahitaji umakini na pia husababisha magonjwa mengine k**a kansa, amoeba (amiba), homa, kupungua uzito.
01/04/2022
UMETESEKA SANA NA VIDONDA VYA TUMBO ?
K**a ni ndio basi hauna haja ya kuteseka tena maana mkombozi wa maradhi ya vidonda vya tumbo amepatikana. Mnamati Pure Herb ni dawa mathubuti iliyothibitishwa kwa ajili ya kutibu na kumaliza kabisa maradhi ya vidonda vya tumbo. Mnamati ina uwezo wa kutibu aina zote za vidonda vya tumbo kwa siku 15 pekee, pia tunatoa ushauri wa kiafya kwa wagonjwa wenye dalili za mwanzo na hata wanaougua kwa muda mrefu.
Tunapatikana Kitunda Mwanagati, Dar es salaam, tutafute leo uache kuhangaika na vidonda vya tumbo.
+255715500880
+255686840000
+255784679853
24/03/2022
MNAMATI NI DAWA INAYOTIBU NA KUMALIZA KABISA MATATIZO YA VIDONDA VYA TUMBO. INA UWEZO WA KUTIBU NDANI YA SIKU 15 PEKEE, PIA TUNAKUPA UHAKIKA WA KUPONA KABISA NDANI YA SIKU 5 UTAKUWA NA UWEZO WA KULA VYAKULA VYOTE VINAKULETEA SHIDA.
TUNAPATIKANA KITUNDA-MWANAGATI, DAR ES SALAAM NA SINGIDA KIOMBOI
TUPIGIE KUPITIA
0715500880 - DAR
0686840000 -DAR
+255784679853 - SINGIDA
+255719574657 - WORLDWIDE
Click here to claim your Sponsored Listing.
Category
Telephone
Website
Address
Dar Es Salaam
