AFYA NA TIBA

AFYA NA TIBA

Share

Contact information, map and directions, contact form, opening hours, services, ratings, photos, videos and announcements from AFYA NA TIBA, Health/Beauty, Dar es Salaam.

22/04/2021

ZIJUE DALILI ZA BAWASIRI NA MADHARA YAKE

-Kinyesi kuchanganyika na damu wakati wa kujisaidia

-Maumivu au usumbufu katika njia ya haja kubwa

-Kutokwa na kinyesi bila kujitambua(kuvuja kinyesi)

-Kijiuvimbe katika eneo la tundu(mlango)wa kutolea haja kubwa.

-Ngozi katika eneo la tundu la haja kubwa kuwasha.

-Bawasir kutoka wakati wa kujisaidia haja kubwa.

ATHARI ZA BAWASIR

-Upungufu wa damu mwilini(ANEMIA)

-STRAGULATED HEMORRHOID

-Kinyesi kutoka na kuvuja bila kujitambua na kusababisha kunuka kinyesi saa zote.

-Kukupunguzia morali ya kufanya kazi kutokana na maumivu hasa watu wanaokaa muda mrefu maofisini.

-Kuathirika kisaikolojia

-Kukosa hamu ya tendo la ndoa.

-Kupungukiwa nguvu za kiume. kwa msaada zaidi wasiliana nasi 0762151947

22/04/2021

UJUE UGONJWA WA BAWASILI, MADHARA YAKE

0762151947
Bawasiri ni mojawapo ya matatizo ambayo mara nyingi inapotokea humfanya muathirika kuwa na aibu kuelezea au kwenda hospitali ili kupata tiba.Bawasiri husababishwa na kuvimba kwa mishipa ya damu aina ya vena katika eneo la mfereji wa haja kubwa.

A.NINI KINASABABISHA BAWASIR ?

Miongoni mwa visababishi vya bawasir ni;

-Tatizo sugu la kuharisha

-Kupata haja kubwa(kinyesi)kigumu

-Uzito kupita kiasi(OBERSITY)

-Ngono ya njia ya haja kubwa(ANAL S*X)

-Umri mkubwa na mambo yanayoongeza shinikizo katika tumbo.

B.DALILI ZA BAWASIR

-Kinyesi kuchanganyika na damu wakati wa kujisaidia

-Maumivu au usumbufu katika njia ya haja kubwa

-Kutokwa na kinyesi bila kujitambua(kuvuja kinyesi)

-Kijiuvimbe katika eneo la tundu(mlango)wa kutolea haja kubwa.

-Ngozi katika eneo la tundu la haja kubwa kuwasha.

-Bawasir kutoka wakati wa kujisaidia haja kubwa.

C.ATHARI ZA BAWASIR

-Upungufu wa damu mwilini(ANEMIA)

-STRAGULATED HEMORRHOID

-Kinyesi kutoka na kuvuja bila kujitambua na kusababisha kunuka kinyesi saa zote.

-Kukupunguzia morali ya kufanya kazi kutokana na maumivu hasa watu wanaokaa muda mrefu maofisini.

-Kuathirika kisaikolojia

-Kukosa hamu ya tendo la ndoa.

-Kupungukiwa nguvu za kiume. kwa msaada zaidi wasiliana nasi 0762151947

22/04/2021

Lainisha choo chako kwa kutumia virutubisho muhimu ili kuepuka kupata madhara makubwa k**a bawasiri, saratani ya utombo mpana na kupungukiwa ngivu za kiume. 0762151947

22/04/2021

Jali afya ya kinywa chako

21/04/2021

Zifahamu dalili za tezi dume

21/04/2021

SARATANI YA TEZI DUME
Tezi dume ni nini?

Tezi dume ni tezi inayopatikana kwa jinsia ya kiume. Tezi hii ina kazi ya kutengezeza majimaji meupe mepesi yenye unato kidogo. Majimaji haya husaidia mbegu za kiume kutembea kwa urahisi.

Ipo wapi?

Tezi dume iko mwishoni mwa kibofu cha mkojo. Pia inauzunguks mrija unaounganisha kibofu cha mkojo na na mrija wa mkojo wa uume (urethra) na iko mbele kidogo ya utumbo mpana ndani ya fupa la nyonga.

Saratani ya tezi dume ni nini?

Saratani ya tezi dume maana yake ni tezi dume imepata ugonjwa wa saratani..Na hii hutokea pale ambapo chembechembe hai za tezi huasi na kuanza kujigawanya bila kufuata utaratibu wa mfumo wa mwili, chembechembe asi hizi mwishowe hutengeneza vivimbe hatari ndani ya tezi dume na hatimaye husambaa mwilini

Visababishi hatarishi kwa saratani ya Tezi dume

Umri Mkubwa kuanzia miaka 50

Nasaba (ukoo wenye historia a saratani hii

Lishe hatarishi-nyama nyekundu kwa wingi, mafuta/samli,maziwa ya krimu

Unene uliokithiri

Ukosefu wa mazoezi

Upungufu wa virutubisho,mfano vit D.

Maambukizi ya mara kwa mara kwenye tezi dume

Mawasiliano: 0762151957

Want your business to be the top-listed Beauty Salon in Dar es Salaam?
Click here to claim your Sponsored Listing.

Category

Telephone

Website

Address


Dar Es Salaam