AFYA YA UZAZI
Tunatoa tiba ya uhakika wa matatizo mbalimbali k**a
1,afya ya uzazi
2,matatizo ya hormone imbance kw
24/04/2022
Je, umewahi kukumbwa na tatizo hili? Unahisi ni nini?
31/07/2020
UGONJWA WA PID (PELVIC INFLAMMATORY DISEASE AU MAAMBUKIZI KATIKA VIA VYA UZAZI)na jinsi ya kupata tiba sahihi
MAELEZO YA AWALI YA UGONJWA WA PID
Habari za siku ndugu zangu ni matumaini yangu mnaendea vizuri. Kutokana na kundi kubwa la wanawake wamekuwa wakiteseka na tatizo hili, bila kupata msaada wa tiba huku wakibaki na madhara makubwa k**a ugumba, , basi leo hii napenda nianze na ugonjwa wa PID(PELVIC INFLAMMATORY DISEASE AU MAAMBUKIZI KATIKA VIA VYA UZAZI )
UGONJWA WA PID NI NINI??
~ni ugonjwa wa maambukizi unaotokea katika via vya uzazi wa mwanamke ambapo huhusisha maambukizi katika shingo ya kizazi (CERVICITIS),nyama katika mfuko wa uzazi (ENDOMETRITIS) na mirija ya uzazi (SALPINGITIS)
VYANZO NA VIHATARISHI VYA KUPATA UGONJWA WA PID (PELVIC INFLAMMATORY DISEASE)
Vimelea aina ya NEISSERIA GONORHOEAE pamoja na CHLAMYDIA TRACHOMATIS ndio chanzo cha maambukizi ya ugonjwa wa PID ingawaje kuna aina kadhaa za vimelea vinahusishwa kusababisha ugonjwa wa PID hivyo nilivyotaja ndio vinaongoza Kwa umaarufu kusababisha ugonjwa wa PID
~pamoja na vimelea hao kuwa chanzo kikuu cha ugonjwa wa PID zipo njia KADHAA HATARISHI KUSABABISHA MAAMBUKIZI HAYA NAZO NI Ă·
*kutumia vipandikizi vya ndani ya mfuko wa uzazi(IUCD) k**a njia mojawapo ya uzazi wa mpango
*Kufanya ngono isiyo salama
*Maambukizi ya njia za uzazi mara baada ya kujifungua au mimba kuharibika
*Kuambukizwa kupitia damu yenye vimelea wa PID
*Kupata maambukizi wakati wa kutoa mimba kwa njia isiyo salama
DALILI/VIASHIRIA VYA UGONJWA WA PID
Kuna dalili mbalimbali zinazoweza kuashiria ugonjwa huu wa PID miongoni mwa dalili hizo ni,
*Mwanamke kupata maumivu ya tumbo hasa maeneo ya chini ya kitovu
*Kupata maumivu wakati wa kukojoa
*Kupata homa na kuhisi kichefuchefu
*Kupata maumivu ya mgongo na kutapika
*Kutokwa na hedhi bila mpangilio
*kupata maumivu wakati wa tendo la ndoa
*Kutokwa na uchafu(utoko)mweupe ukeni unaotoa harufu mbaya
NAMNA YA KUJIEPUSHA NA UGONJWA WA PID
Pamoja na kuwepo kwa dawa za kutibu tatizo hili ni vyema ukajiepusha na vihatarishi vya kupata tatizo hili kwa kuzingatia yafuatayo,
*Epuka kufanya ngono isiyo salama.
*Jiwekee tabia ya kufanya vipimo mara kwa mara hasa kizazi
*Usifanye mapenzi mara baada ya kujifungua au mimba kutoka mpaka utakapohakikisha shingo ya uzazi imefunga vema
*Kuwahi kuonana na daktari unapoona dalili za ugonjwa
*Kuwa msafi na kula lishe bora
Note:
Uonapo dalili za ugonjwa huu wahi kupata matibabu kwani ugonjwa huu ni mkubwa huweza kusababisha ugumba ikiwa hautapata tiba vizuri
asante kwa kuwa nami kusoma ujumbe huu rafiki k**a una MAONI/MASWALI NIANDIKIE KUPITIA PAGE YANGU NA TAFADHALI NISAIDIE KUIFIKISHA ELIMU HII KWA WENGINE KWA KUSHARE.
MATIBABU
Ugonjwa huu unatibika vizuri kwenye tiba asili hivo k**a Tayar unaumwa na umezunguka mahospitali bila msaada basi tunaweza kukusaidia,
WASILIANA NASI, Call/WhatsApp 0787324184/0768100489
..Ni Damu ndiyo inaingia ndani ya uume na kuufanya usimame ! K**a mishipa ni imara uume utasimama Kwa muda mrefu bila kusinyaa! 👉Kusinyaa ni damu imetoka kwenye uume na kupelekwa sehemu nyingine za mwili !
K**a mishipa ina shida uume utasimama ukiwa lege lege ,ni ishara damu haingii ya kutosha ikajaza uume vizuri .Kwa sababu uume ni k**a bomba la maji ! Husinyaa na kutanuka! .
👉Mwanaume akitazama sana Picha za ngono kwa muda mrefu ubongo unashindwa kutuma taarifa kwenye uume ili moyo upampu Damu ya kutosha kwenda kwenye uume ! Ndiyo maana wengi wanashindwa kusimamisha kabisa ! Mfano Mwanaume akimuona Mwanamke akiwa uchi ,ni macho yameona ubongo ukatafsiri taarifa zinatumwa kwenye uume hatimaye ngoma inadinda !
Sasa akili ya mwanaume ikizoea Picha za x inaathirika ! .
👉Kujichua ,Mishipa inakosa kipenyo cha kubeba damu ya kutosha ,pia mishipa ya Vein Inakufa valvu ,Valvu zikifa Damu inaingia na kutoka kwenye uume muda huo huo ! Ni k**a valvu ya Tairi la Baiskeli ambalo Valvu yake ni mbovu ,ukijaza upepo unatoka muda huo huo !
Kumbuka:Mishipa ya vein Ina valvu Ila Ateri Hazina valvu na ndiyo zinatoa damu kwenye moyo na kusambaza sehemu mbalimba mwilini ! Alafu Vein Zinarudisha Damu kwenye mapafu inapashwa joto then inapelekwa kwenye moyo, moyo unapampu Artery zinasambaza mwili mzima ! .
👉Kitu kingine kinachoharibu mishipa ya Damu ni Unene ambayo unajaza mafuta kwenye mishipa hatimaye Damu inashindwa kupita !
Take Care !
Kwa suluhisho la tatizo hilo na matibabu ya uhakika wasiliana nasi kwa,
whatsup 0768100489
0787324184
29/07/2020
Ushuhuda wa moja ya wateja wetu ambaye amesumbuka kwa miaka nane(8)akitafuta mtoto pasipo kushika mimba,
Baada ya kutumia products zetu na kubalance hormone zake amerudi kwetu kutoa shukrani.
Nawe usisumbuke,k**a una tatizo la kutoshika mimba,wasiliana nasi kwa tiba ya uhakika isiyoumiza ili ushuhudie miujiza hii.
wasiliana nasi kwa no,
0768100489
0787324184.
12/07/2020
FAHAMU TATIZO LA MIRIJA YA UZAZI KUJAA MAJI NA KUZIBA PAMOJA NA SULUHU YAKE ILI KUPATA MTOTO
MIRIJA YA UZAZI KUJAA MAJI NI NINI?
Hali ya kujaa maji kwa mirija ya uzazi ya wanawake huitwa hydrosalpinx kwa kitaalamu. Ni tatizo ambalo hujitokeza kwa wanawake kutokana na maambukizi ya magonjwa ya zinaa yasiyotibiwa (pelvic inflammatory disease). Mara nyingi husababisha tatizo la ugumba na maumivu ya kiuno.
Mirija ya uzazi hujishikiza kwenye upande wa kulia na kushoto wa tumbo la uzazi, hupitisha mayai kila mwezi kutoka kwenye ovari kwenda kwenye mji wa uzazi. Urutubishaji wa yai la uzazi hutokea katika mirija hii.
SABABU ZA MIRIJA YA UZAZI KUZIBA
Mara nyingi mirija ya uzazi kuziba hutokana na;
Pelvic inflammatory disease unaotokana na maambukizi ya magonjwa ya zinaa ambayo hayakutibiwa k**a kisonono na klamidia.TB ya mirija ya uzaziUpasuaji maeneo ya kiunoni (pelvic surgery)EndometriosisMaambukizi ya apendiksi (appendicitis)Saratani ya mirija ya uzazi
DALILI ZA TATIZO HILI
Wanawake wengi wanaweza wasiwe na dalili zozote, isipokuwa kupata matatizo katika kupata mtoto. Dalili zinazojitokeza mara nyingi huwa ni;
Maumivu ya kiuno
Hujitokeza mara kwa mara hasa siku chache kabla au baada ya kuingia kwenye hedhi.
Uchafu kutoka sehemu za siri
JINSI YA KUGUNDUA TATIZO HILI
Kuna vipimo kadhaa vya kuwezesha kujua k**a mirija yako ya uzazi imeziba na kujaa maji:
Hysterosalpingogram
Hii ni aina maalumu ya X-ray ya kiuno, ambayo kimiminika maalumu huingizwa ndani ya mji wa uzazi kwa kupitia shingo ya uzazi. K**a mirija haijaziba, kimiminika huweza kupita mpaka ndani ya kiuno na k**a imeziba haitaweza kupita. Hii itaonekana kwenye hiyohysterosalpingogram.
Ultrasound ya kiunoni (Pelvic Ultrasound)
Ultrasound itaweza kuonesha k**a mirija yako imeziba na kujaa, na ukubwa wake. Pia itaweza kuonesha k**a kuna matatizo mengine kwenye via vya uzazi vya ndani.
Upasuaji wa Tumbo(Laparoscopy)
Upasuaji huu hufanyika kwa kutumia mirija maalumu yenye kamera ili kutazama mirija hiyo. Matundu mawili hutobolewa tumboni ili kupitisha mirija hii.
JE,NAWEZA KUPATA MTOTO ?
Tatizo hili likitibiwa unaweza ukapata mtoto. Pale mirija inapokuwa imeharibika sana uwezekano wa kupata ujauzito huwa ni mdogo sana. Njia nyingine saidizi k**a In Vitro Fertilization zinaweza kutumika.
MADAHARA YA TATIZO HILI
Mirija ya uzazi ikiziba, mayai ya uzazi hushindwa kusafiri kutoka kwenye ovari kwenda kwenye mji wa uzazi. Hivyo tatizo la ugumba hujitokeza.Mimba kutunga nje ya mfuko wa mimba (Ectopic pregnancy)
Maumivu ya kiuno
Vaginal Atrophy (kusinyaa kwa uke na kushindwa kufanya tendo la ndoa)
Kukosa hamu ya tendo la ndoa
Kuwa mkavu Ukeni, na kuhisi maumivu makali wakati wa tendo la ndoa.
MATIBABU
Matibabu ya kuziba mirija hufanyika kwa njia ya upasuaji ili kuondoa sehemu iliyoziba. Upasuaji kwa njia ya matundu (laparoscopy ) unaweza kufanyika kutibu tatizo hili. Katika upasuaji sehemu zilizoziba au kushik**ana huondolewa na zilizo nzima kuunganishwa tena.
TIBA ASILA
Tuna dawa nzuri sana za asili zitokanazo na mchanganyiko wa mimea mbali mbali ambazo
**HUZIBUA MIRIJA YA UZAZI ILIYOZIBA KWA HARAKA na ni salama kwa mtumiaji
**HUPONYA KABISA TATZO LA KUJAA MAJI KWA MIRIJA YA UZAZI BILA UPASUAJI
NB:Dawa hizi hutibu na kuzuia tatizo lisijirudie te
Dawa hizi huondoa kabisa tatizo la uvimbe kwenye mirija ya uzazi na kufanya tatizo lisijirudie,
wasilina nasi kwa no,
0768100489
0787324184
karibuni sana.
27/06/2020
MADHARA YA KUPIGA PUNYETO KWA MUDA MREFU.
kusinyaa kila ukijaribu kubadilisha style au mtindo.
kusimama kwa ulegevu baada ya kumaliza bao la kwanza.
@ lenye maumivu hasa kuanzia bao la pili na kuendelea.
hisia kabisa baada tu ya kufika kileleni safari ya kwanza
sana baada ya kufanya mapenzi.
kutosimama ukiwepo na mwenza wako lakini akiondoka unaona unapata hamu na uume unasimama vizuri.
kileleni haraka sana na baada ya kufika unashindwa kurudia tena.
kumuandaa mpenzi wako, kuhofia utafika kileleni kabla ya mchezo.
mbegu hafifu hadi kusababisha kushindwa kumpa mkeo ujazuzito.
K**A UMEKUMBANA au UNAKUMBANA NA CHANGAMOTO K**A HIZO USISITE,
Tutafute kupitia no;
0768100489/0787324184
22/06/2020
Uchafu Wenye Rangi Nyekundu
Uchafu huu mwekundu unaweza kutofautiana, kwani unaweza kuwa wenye rangi yenye kung’aaa au nyekundu sana. Uchafu mwekundu huwa ni matokeo ya damu ya hedhi kuanza kutoka.
Damu ya hedhi hutokea, kwa wastani, kwa kila mzunguko wa siku 28, ingawa kiwango cha kati huwa ni siku 21 na 35. Hedhi huwa ni ya siku 3-5.
NUKUU: Mwanamke yeyote anayepata hedhi mara mbili ndani ya mwezi mmoja, anapaswa afike hospitali mapema ili kumuona daktari. Ingawa kuna visababishi vingi hafifu vya kumfanya mwanamke apate hedhi mara mbili kwa mwezi, lakini navyo vinaweza wakati mwingine kuwa viashiria vya matatizo mabaya baadaye.
Mwanamke yeyote aliyefikia hali ya kukoma hedhi na kutokuona hedhi kwa takribani mwaka mmoja, anapaswa amuone daktari mapema ikiwa k**a anapatwa na hali ya kutokwa na damu ukeni. Hii yaweza kuwa ni dalili ya salatani
kwa matibabu ya uhakika kuondoa kabisa tatizo hili tafadhari wasiliana nasi kwa no,
0787324184/0768100489
UELEWA WA TENDO LA NDOA KWA WANAUME UPOJE.
Takwimu inaonyesha kuwa kati ya wanaume 10 mmoja t undo hana tatizo la nguvu za kiume hivyo endelea kujua nini visababishi ili ujue ni sehemu gani hauko sawa
Je visababishi unavifahamu
Hapa yakupasa uwe mfutiliaji mzuri wa afya yako ili uweze kupata suruhisho vizuri juu ya afya ya mfumo mzima wa uzazi wa mwanaume na usianze kulalamika kwa mtu mwingine kumbe chanzo kikubwa ni wewe.
Kupiga punyeto
Kuangalia video au picha za ngono
Uzito mkubwa.
Msongo mkubwa wa mawazo
Kutokupumzika vya kutosha au kutokulala angalau masaa 8
Uwekaji wa simu mfuko kwa muda mrefu Zaidi ya masaa 4
Tumbo kujaa gesi au kutokupata choo kuligana na idadi ya jinsi unavyokula
Tezi dume kupata kansa au kutanuka
Umri mkubwa kuanzia miaka 40+ hii nayo nimeilezea kwa kina jinsi inavyosumbua watu wengi wenye umri huu
UTAJUAJE KUWA NGUVU ZAKO ZINAPUNGUA
Hizi ni mojawapo ya vionyeshi vya kuwa unatatizo la nguvu za kiume Kuwahi kufika kileleni
Kushindwa kurudia tendo na kuchukua muda mrefu Kukosa hamu ya tendo la ndoa
Kuchoka sana baada ya tendo tu na kichefuchefu
Uume kisimama kwa uregevu
Kuchelewa sana kufika kileleni
Kukosa pumzina uchangamfu wa mwili katika tendo Kuhisi maumivu baada ya tendo la ndoa au wakati wa tendo
Karibu sana upate tiba asilia yenye uhakika wa asilimia 100 toka kwetu,
Tupugie/whatsup kupitia
0768100489/0787324184
Click here to claim your Sponsored Listing.
Category
Contact the business
Telephone
Website
Address
Dar Es Salaam
POBOX77622,DARESSALAAM
