ASSAD AFYA HUB

ASSAD AFYA HUB

Share

NAWASAIDIA WANAUME NA WANAWANAKE JUU YA CHANGAMOTO MBALI MBALI ZA KIAFYA. PIGA +255766715146

29/06/2024
29/11/2023

Afya njema ni maendeleo kwenye familia na nchi kiujumla

19/10/2022

๐‰๐„ ๐”๐๐€๐’๐”๐Œ๐๐”๐‹๐ˆ๐–๐€ ๐๐€ ๐Œ๐€๐“๐€๐“๐ˆ๐™๐Ž ๐˜๐€ ๐Œ๐ˆ๐…๐”๐๐€ ๐ˆ๐Š๐ˆ๐–๐„๐๐Ž ๐Œ๐€๐”๐Œ๐ˆ๐•๐” ๐Œ๐€๐Š๐€๐‹๐ˆ ๐˜๐€ ๐Œ๐€๐†๐Ž๐“๐ˆ ๐๐€ ๐Œ๐†๐Ž๐๐†๐Ž ๐.๐Š (๐Ž๐’๐“๐„๐Ž๐๐Ž๐‘๐Ž๐’๐ˆ๐’) 0766715146

Osteoporosis Ni ugonjwa ambao husababishwa na maambukizo ya bacteria katika mfupa na misuli inayozunguka mfupa bacteria hao ni (staphylococci).

Mara nyingi tatizo hili la mifupa hutokea kwenye uti wa mgongo(mgongo kupinda na kuuma Mara kwa Mara), MAGOTI kuuma,nyonga na kifuani.

*SABABU ZINAZOSABABISHA MATATIZO YA MIFUPA (OETEOPOROSIS)

*1โƒฃMagonjwa ya figo.
*2โƒฃUpungufu wa hormone za estrogen hii ni kwa wanawake hasa wale wenye`` ( *MENOPAUSE) kikomo cha hedhi
*3โƒฃUpasuaji na kuondolewa (ovaries) mayai ya uzazi kwa wanawake
*4โƒฃANOREXIA uzito mdogo kupita kias APA ni kwa wale wanaopenda sana kujinyima kula kupita kiasi wakikwepa kunenepa sana na kufanya mazoez`` kupita kiasi.

*KINGA ZA MATATIZO YA MIFUPA.(OSTEOPOROSIS)

*1โƒฃEpuka matibabu yeye kutumia kemikali
*2โƒฃ Zingatia rishe bora haaa utotoni pia pendelea kula vyakula vya asili vyenye madini yakutosha yanayoimarisha MIFUPA
*3โƒฃ Acha au punguza matumizi ya pombe
*4โƒฃ Fanya mazoez ya kutosha na kunywa maji ya kutosha

ATHARI
*ZINAZOSABABISHWA NA TATIZO HILI
1โƒฃMifupa kuvunjika kwa urahisi.
*2โƒฃkupinda mgongo wakati wa uzeeni
*3โƒฃMaumivu makali ya Mifupa hasa ktk uti wa mgongo,mabegani,kifuani na ktk nyonga.

*Karibu sana*๐‘ต๐‘ฐ๐‘ฒ๐‘ผ๐‘บ๐‘จ๐‘ฐ๐‘ซ๐‘ฐ๐‘ฌ ๐‘ท๐‘ฐ๐‘ฎ๐‘จ +255766715146 ๐‘จ๐‘ผ ๐‘พ๐‘ฏ๐‘จ๐‘ป๐‘บ๐‘จ๐‘ท๐‘ท ๐‘ฒ๐‘จ๐‘น๐‘ฐ๐‘ฉ๐‘ผ.

23/07/2022

*TIBA YA KUDUMU YA BAWASIRI {NDANI NA NJE}*

+255766715146
*BAWASIRI {HEMORRHOIDS/PILE*
โž– Ni ugonjwa unaotokana na kuvimba kwa mishipa ya damu katika mfereji wa njia ya haja kubwa na kuoelekea kuota kinyama sehemu ya haja kubwa.

*CHANZO CHA BAWASIRI*
โž– Tabia ya kuketi sehemu moja kwa muda mrefu mfano; madereva
โž– Tatizo sugu la kuharisha
โž– Ujauzito
โž– Uzito wa mwili kupita kiasi
โž– Kufanya ngono kupitia tundu la haja kubwa (kulawitiwa)
โž– Kupata haja kubwa ngumu
โž– Kua na mgandamizo mkubwa tumboni
โž– Kunywa pombe
โž– Kula sana nyama nyekundu
โž– Vidonda vya tumbo
โž– Ngiri(Chango/Hernia
โž– Kula sana pilipili
โž– Kunyanyua vitu vizito

*DALILI ZA BAWASIRI*
โž– Kupata muwasho mkali katika eneo la juu la haja kubwa
โž– Kujitokeza kwa kinyama eneo la haja kubwa
โž– Kutokewa na kiuvimbe katika tundu ya haja kubwa
โž– Kupata kinyesi chenye damu
โž– Kupata maumivu makali wakati wa
kujisaidia haja kubwa
โž– kutokwa na uteute sehemu ya haja kubwa
โž– Kupata maumivu makali wakati wa kujisaidia haja kubwa na kusababisha mishipa ya sehemu ya haja kubwa kukwanguliwa
โž– Kuna uwezekano mkubwa wa kupata saratani ya utumbo (Cancer) kwasababu kile kinyama kinakaa k**a kidonda
โž– Uume kusinya (unapoteza urefu na ukak**avu)

*MADHARA YA BAWASIRI*
โž– Upungufu wa damu mwilini
โž–Kutokwa na kinyesi bila kujitambua
โž– Kukosa hamu ya kufanya tendo la ndoa
โž– Kupungukia nguvu za kiume (kwa wanaume)
โž– Kupungukiwa na uwezo wa kufanya kazi kutokana na maumivu
โž– Kupata tatizo la kisaikolojia
โž– Kutopata ujauzito
โž– Mimba kuharibika
Callโž–textโž–whatsapp๐Ÿ‘‡

+255 672059712

SHARE kwenye MA GROUP NA WATU MBALI MBALI UWASAIDIE WENGI WANAO TESEKA ๐Ÿ™๐Ÿ™๐Ÿ™
Au WhatsApp 0766715146

Want your business to be the top-listed Beauty Salon in Dar es Salaam?
Click here to claim your Sponsored Listing.

Address


Ilaila Boma Dar Es Salaam
Dar Es Salaam