ASSAD AFYA HUB
NAWASAIDIA WANAUME NA WANAWANAKE JUU YA CHANGAMOTO MBALI MBALI ZA KIAFYA. PIGA +255766715146
Afya njema ni maendeleo kwenye familia na nchi kiujumla
19/10/2022
๐๐ ๐๐๐๐๐๐๐๐๐๐๐๐ ๐๐ ๐๐๐๐๐๐๐๐ ๐๐ ๐๐๐
๐๐๐ ๐๐๐๐๐๐๐ ๐๐๐๐๐๐๐ ๐๐๐๐๐๐ ๐๐ ๐๐๐๐๐๐ ๐๐ ๐๐๐๐๐๐ ๐.๐ (๐๐๐๐๐๐๐๐๐๐๐๐) 0766715146
Osteoporosis Ni ugonjwa ambao husababishwa na maambukizo ya bacteria katika mfupa na misuli inayozunguka mfupa bacteria hao ni (staphylococci).
Mara nyingi tatizo hili la mifupa hutokea kwenye uti wa mgongo(mgongo kupinda na kuuma Mara kwa Mara), MAGOTI kuuma,nyonga na kifuani.
*SABABU ZINAZOSABABISHA MATATIZO YA MIFUPA (OETEOPOROSIS)
*1โฃMagonjwa ya figo.
*2โฃUpungufu wa hormone za estrogen hii ni kwa wanawake hasa wale wenye`` ( *MENOPAUSE) kikomo cha hedhi
*3โฃUpasuaji na kuondolewa (ovaries) mayai ya uzazi kwa wanawake
*4โฃANOREXIA uzito mdogo kupita kias APA ni kwa wale wanaopenda sana kujinyima kula kupita kiasi wakikwepa kunenepa sana na kufanya mazoez`` kupita kiasi.
*KINGA ZA MATATIZO YA MIFUPA.(OSTEOPOROSIS)
*1โฃEpuka matibabu yeye kutumia kemikali
*2โฃ Zingatia rishe bora haaa utotoni pia pendelea kula vyakula vya asili vyenye madini yakutosha yanayoimarisha MIFUPA
*3โฃ Acha au punguza matumizi ya pombe
*4โฃ Fanya mazoez ya kutosha na kunywa maji ya kutosha
ATHARI
*ZINAZOSABABISHWA NA TATIZO HILI
1โฃMifupa kuvunjika kwa urahisi.
*2โฃkupinda mgongo wakati wa uzeeni
*3โฃMaumivu makali ya Mifupa hasa ktk uti wa mgongo,mabegani,kifuani na ktk nyonga.
*Karibu sana*๐ต๐ฐ๐ฒ๐ผ๐บ๐จ๐ฐ๐ซ๐ฐ๐ฌ ๐ท๐ฐ๐ฎ๐จ +255766715146 ๐จ๐ผ ๐พ๐ฏ๐จ๐ป๐บ๐จ๐ท๐ท ๐ฒ๐จ๐น๐ฐ๐ฉ๐ผ.
*TIBA YA KUDUMU YA BAWASIRI {NDANI NA NJE}*
+255766715146
*BAWASIRI {HEMORRHOIDS/PILE*
โ Ni ugonjwa unaotokana na kuvimba kwa mishipa ya damu katika mfereji wa njia ya haja kubwa na kuoelekea kuota kinyama sehemu ya haja kubwa.
*CHANZO CHA BAWASIRI*
โ Tabia ya kuketi sehemu moja kwa muda mrefu mfano; madereva
โ Tatizo sugu la kuharisha
โ Ujauzito
โ Uzito wa mwili kupita kiasi
โ Kufanya ngono kupitia tundu la haja kubwa (kulawitiwa)
โ Kupata haja kubwa ngumu
โ Kua na mgandamizo mkubwa tumboni
โ Kunywa pombe
โ Kula sana nyama nyekundu
โ Vidonda vya tumbo
โ Ngiri(Chango/Hernia
โ Kula sana pilipili
โ Kunyanyua vitu vizito
*DALILI ZA BAWASIRI*
โ Kupata muwasho mkali katika eneo la juu la haja kubwa
โ Kujitokeza kwa kinyama eneo la haja kubwa
โ Kutokewa na kiuvimbe katika tundu ya haja kubwa
โ Kupata kinyesi chenye damu
โ Kupata maumivu makali wakati wa
kujisaidia haja kubwa
โ kutokwa na uteute sehemu ya haja kubwa
โ Kupata maumivu makali wakati wa kujisaidia haja kubwa na kusababisha mishipa ya sehemu ya haja kubwa kukwanguliwa
โ Kuna uwezekano mkubwa wa kupata saratani ya utumbo (Cancer) kwasababu kile kinyama kinakaa k**a kidonda
โ Uume kusinya (unapoteza urefu na ukak**avu)
*MADHARA YA BAWASIRI*
โ Upungufu wa damu mwilini
โKutokwa na kinyesi bila kujitambua
โ Kukosa hamu ya kufanya tendo la ndoa
โ Kupungukia nguvu za kiume (kwa wanaume)
โ Kupungukiwa na uwezo wa kufanya kazi kutokana na maumivu
โ Kupata tatizo la kisaikolojia
โ Kutopata ujauzito
โ Mimba kuharibika
Callโtextโwhatsapp๐
+255 672059712
SHARE kwenye MA GROUP NA WATU MBALI MBALI UWASAIDIE WENGI WANAO TESEKA ๐๐๐
Au WhatsApp 0766715146
Click here to claim your Sponsored Listing.
Category
Contact the business
Address
Ilaila Boma Dar Es Salaam
Dar Es Salaam
