AFYA Kwanza
AFYA KWANZA
TUNAJIHUSIHA NA UTOAJI WA HUDUMA ZA AFYA KWA KUTOA USHAURI NA TIBA KWA CHANGAMOTO MBALIMBALI ZA KIAFYA! KARIBUNI SAANA KWA USHAURI NA TIBA!
🔷 MIRIJA YA UZAZI YAANI FALOPIANI
ni viungo muhimu ndani ya uzazi hufanya kazi kubwa ya kusafirisha yai lililorutubishwa kutoka kwenye o***y hadi kwenye mji wa mimba yaani uterasi.
Sasa mirija hii ikitokea kuna mrundikano wa uchafu au maji na vimbe huziba na kuathiri usafirishaji wa yai lililorutubishwa kwaajili ya kujishikiza na kiumbe kuanza kukua kwenye mji wa mimba.
👉 Vyanzo vya mirija hii kuziba vimekuwa vikitofautiana baina ya mtu na mtu huku vikisababishwa na mitindo ya maisha pia maambukizi kwenye via vya uzazi yaani PID.
TUNAMSHUKURU MUNGU KWASASA
KUZIBUA MIRIJA YA UZAZI NI KIDONGE TU KINAMALIZA TATIZO!
Mirija ya uzazi kuziba limekuwa tatizo kubwa kwa sasa na ni chanzo mojawapo kikubwa cha ugumba kwa wanawake wengi. Licha ya matibabu mbalimbali kuwepo ila bado changamoto hii iliendelea kusumbua kwenye jamii yetu.
Sasa kwakuwa watu wengi wamekuwa wakitafuta ufumbuzi wa changamoto hii ili kuianza familia ya ndoto kwa kupata watoto ambao ni furaha ya kila mtu.
AFYAKWANZA PAMOJA NA AFYA YETU wanawaletea huduma ya teknolojia mpya ya kutumia VIDONGE tu ambavyo vina uwezo mkubwa wa kuzibua mirija na kuondoa uchafu wote ndani ya mirija ya falopiani na ule uliopo kwenye mji wa mimba yani uterasi.
Vidonge hivi kwa ufanisi mkubwa sana vinaweza kuhuisha seli za kuta za mji wa mimba pia kuimarisha misuli ndani ya uzazi na nje lakini vidonge hivi pia vina uwezo wa kuua bakteria wabaya ambao ni chanzo cha maradhi k**a UTI NA PID Lakini pia vinauwezo mkubwa wa kuweka homoni katika mpangilio mzuri kitu ambacho huweza sawa shughuli za uzazi!
NI VIDONGE VILIVYOTENGENEZWA KWA UBORA WA HALI YA JUU SAANA NA SALAMA SANA KWA MATUMIZI YA KIAFYA.
👉 Vinapatikana kwenye ofisi zetu dar es Salaam Ubungo plaza na manzese lakini kwa wale ambao watahitaji na wako nje ya mkoa wa Dar es Salaam kwamaana ya Mikoani Kuna mawasiliano kwenye video hii piga simu au tuma ujumbe whatsapp ili upate huduma hii hapo hapo ulipo.
03/05/2022
SALVIA TABLETS NI MOJA YA VIDONGE ASILIA AMBAVYO VIMETENGENEZWA KWA TEKNOLOJIA YA HALI YA JUU SAAANA
HUANZA KUFANYA KAZI MUDA MFUPI BAADA YA KUTUMIKA HALI HII HUFANYA MTU KUPATA AHUENI MUDA MFUPI KWA MFANO MHANGA WA SHINIKIZO LA DAMU BAADA TU YA KUTUMIA HIVI VIDONGE SHINIKIZO HUKAA SAWA KABISA!
INAFAA KWA MATATIZO YALIYO KWENYE MFUMO WA DAMU.
Ina uwezo mkubwa wa kuondoa hali ya uzito wa damu tatizo ambalo hupelekea damu kusafiri kwa shida kwenye mishipa midogomidogo na mara nyingi kitendo hiki hupelekea maumivu ya kichwa na ganzi kwenye baadhi ya maeneo ya mwili.
Ina uwezo mkubwa wa kuyeyusha damu iliyoganda mwilini pia huyeyusha mafuta yaliyoganda mwilini, Hivi vyote viwili huwa ni hatari saaana kiafya kwa sababu vinaweza kuziba mishipa na kupelekea mishipa hiyo kushindwa kusafirisha damu na kwakuwa moyo huwa unaendelea kusukuma damu mishipa hiyo ya damu hupasuka, Tatizo ambalo linaweza sababisha damu kutofika kwenye ubongo na hivyo kupelekea tatizo la kiharusi(strock) kumkumba mtu!
Ina uwezo mkubwa wa kurainisha mishipa ya damu na kuizibua iliyoanza kulala kitendo hiki hufanya damu kufika maeneo yote ya mwili kwa urahisi kusafirisha vyakulala, hewa na homoni mbalimbali.
Ina uwezo mkubwa wa kuweka sawa kiasi cha sukari mwilini.
KWA UMAHIRI WA KAZI ZAKE HIZI HUWEZA KUMUWEKA HURU MTU AMBAYE ALIKUWA ANASUMBULIWA NA SHINIKIZO LA DAMU KWA KUWA SASA INAKUWA IMESAFISHA MISHIPA YA DAMU NA KUFANYA MOYO UFANYE KAZI UKIWA KATIKA HALI YA KAWAIDA KABISAA!
TUNA MSHUKURU MUNGU DAWA HII SASA IMEINGIA TANZANI NA WATU WAMEANZA KUITUMIA NA KURIPOTI MATOKEO CHANYA KWA ASILIMIA 100%
Unaweza kuipata mahali popote Tanzania kwa kufika zilipo ofisi zetu ama kutumiwa popote ulipo kwa kuwasiliana nasi!
kwanza
👉 0744113534 /0712139931
👉 Dar es Salaam na Mwanza
Karibuni saaaana.
Mwanza yetu Dar es Salaam, Tanzania Mwanza - rocky CTY Mutale Mwanza Dar Al Fouad Hospital
AFYA KWANZA INAWATAKIA
KHERI YA X-MASS NJEMA NA MWAKA MPYA
#
17/11/2021
NGUVU YA LONGLU KWENYE UZAZI WA MWANAUME &MWANAMKE
Longlu capsules ni supplements iliyochanganywa na dawa asili{HERBALS}
Ikiwa Na viambata hivi,,,,,GINSENG,ANTLER ,CORDYCEPTY na CALCIUM kwa wingi hivi vyote vina uwezo mkubwa wa kuboresha ,kuimarisha na kutibu matatizo mbalimbali kwenye mfumo wa uzazi wa WANAUME NA WANAWAKE!
Kwa teknolojia ya hali ya juu saaaana viambata hivi vimefyonzwa na kutunzwa kwanjia asilia kabisa pasipokuwepo na matumizi ya kemikali ambazo hugeuka kuwa sumu na kudhuru afya zetu!
💧 Mizizi ya ginseng inaboresha mfumo wa uzazi kwa kuanza na ubongo wa hypothalamus ambao hutafsiri tendo hili kwa ujumla kisha kuboresha mtiririko wa damu mwilini kitu ambacho ni muhimu kuwa vizuri pia linapokuja swala La afya ya uzazi kwa mwanaume, Lakini pia mizizi hii inauwezo mkubwa wa kuziweka dawa homoni za mwili haswa zile zinazohusika na uzazi wa mwanaume na mwanamke kwa kitendo hiki ginseng hufanya uzalishaji wa mayai kwa mwanaume kuongezeka Mara mbili pia hufanya mayai ya mwanamke kukomaa na kupevuka vizuri! Pia inauwezo mkubwa kurekebisha mzunguko wa hedhi na kuondoa ubaridi ndani ya fuko la mimba! Kitu ambacho hurahisha mimba kushika!
💧Antler ni unga unaopatikana kwenye pembe za mnyama anaitwa antler unga huu ulikuwa ukitumiwa miaka mingi iliuopita kuwapa uwezo mzuri wanaume wengi ambalo uwezo wao wa kuhimili tendo la ndoa ulishuka,,Mara tu baada ya kutimia unga huu walibadilika na kufanya vizuri kwenye tendo la ndoa!
💧 CORDYCEPTY hii ni dawa ambayo inasifa kubwa ya kuondoa hali ya udhaifu wa mwili kwa kupandisha kinga ya mwili kuwa juu kiasi kwamba mwili unakuwa na uwezo wa kupambana na udhaifu wowote ule!,Inaweza kupambana na vimbe mbalimbali na seli za salatani kwenye mwili Pia dawa hii imekuwa bora kupambana na matatizo ya upumuaji kwani ina uwezo wa kuponya kabisa matatizo k**a asthma, Tb,pumu , ukungu kwenye mapafu n.k
💧 CALCIUM haya ni madini muhimu saaana kwenye miili yetu ,Kwenye mfumo wa uzazi madini haya yamekuwa muhimu saaaana kwenye uundwaji wa mbegu za kiume lakini pia kwa kina mama kipindi cha ujauzito na wanaponyonyesha na hii ndo sababu tunashauri wanawake kutotumia saaana kinywaji cha soda kwani huyachoma madini haya ambayo baadaye mama atahitijika kuwa Nayo kwa wingi vinginevyo utamsikia Amalia maumivu ya nyonga,mgongo na miguu.
KWAHIVYO MATUMIZI LONGLU CAPSULES NI MUHIMU KWA KUBORESHA AFYA YA WANAUME NA WANAWAKE KWENYE MFUMO WA UZAZI!!
"HII NI DAWA INAYOLIONDOA TATIZO KADRI UNAVYOKUWA UNAITUMIA NI TOFAUTI NA DAWA ZA KUSISIMUA MSULI (BOOSTERS)" AMBAZO HUATHIRI MISURI NA MISHIPA!
Tupo mwanza-mtaa wa mission
Tupigie:0744113534
0712139931
08/11/2021
NI MUHIMU KWA KUSAIDIA FAMILIA ZETU NA NDUGU ZETU PIA!!!
INASAIDIA KUONDOA CHANGAMOTO MBALIMBALI ZA UZAZI!
TIBA YA UVIMBE KWENYE UZAZI BILA UPASUAJI! K**A WEWE NI MWANAMKE BASI HABARI HII NI MUHIMU SANA KWAKO.Baada ya kuwasaidia Wanawake wengi wenye changamoto za kiafya hasa kwa Upande wa Matatizo ya Uzazi...
K**A TUNAVYOSAFISHA MWILI NJE HATA NDANI TUNAPASWA KUFANYA HIVYO.
Kuna faida kubwa ya kufanya usafi kwenye viungo vya ndani vyoote kwa ujumla maana k**a havitafanyiwa usafi vitaenselea kupungua ufanisi katika kuzitenda kaza zao!
Uchafu wa ndani ya mwili unatokana na mifumo ya maisha tuliyonayo kwamaana ya mazingira,vyakula na kutofanya mazoezi hivi vyote vikienda vibaya Afya lazima iwe katika hali isiyokuwa nzuri kwani baadhi ya viungo hupokea kiasi kingi cha taka mwili na kukitoa kiasi hicho nje lakini kuna kipindi kiungo hicho huchoka kutokana na kazi kubwa inayofanyika.Na hapo ndo matatizo mengi huanza.
HII INAMAANISHA K**A FIGO ITAPUNGUZA UFANISI TUTEGEMEE MRUNDIKANO WA SUMU MWILINI LAKINI PIA K**A MOYO NA MISHIPA ITAKUWA NA MAFUTA MENGI HAPA MFUMO WA DAMU UTAKUWA MATATANI HIVYO HIVYO HATA INI LIKIWA KATIKA HALI MBAYA MWILI UTAKUWA NA HALI MBAYA KIAFYA.
Sasa watu wengi wamekuwa hawaelewi namna gani wanaweza kuweka mazingira mazuri ya viungo vya ndani!
Tunatoa huduma za kusafisha mwili ndani kwenye viungo vyote vya ndani kitu ambacho kinafanya viungo hivyo vya ndani kufanya kazi zote kwa ufasaha na kufanya mtu kuwa na Afya njema.
Kwenye video hii unaweza kuona boss tea ilivyo na uwezo wa kusafisha taka mwili ambazo kwa Hali ya kawaida ni ngumu kuzitoa kwenye damu na kwenye viungo muhimu k**a figo,moyo,kongosho na INI! Lakini pia inasafisha mfumo wa chakula kwa kusafisha utumbo na kufanya matundu ya kufyonza virutubisho na dawa kuwa wazi na kuwa tayari kwa ufyonzaji vitu muhimu!
TUPO MWANZA NA DAR ES SALAAM
TUNATOA HUDUMA ZA AFYA KWENYE VITUO VYETU LAKINI PIA TUNATOA HUDUMA MIKOA AMBAYO HATUJAFUNGUA VITUO BADO!
MAWASILIANO YETU:-
0744113534
0712139931
12/10/2021
AFYA NJEMA NDO MSINGI WA MAMBO YOTE
Click here to claim your Sponsored Listing.
Category
Telephone
Website
Address
UBUNGO
Dar Es Salaam

05/02/2025