Man guso
Life
11/02/2022
Ijue
FAIDA YA JUISI YA UKWAJU.
Chanzo kizuri cha viuasumu mwilini 'antioxidants' ambavyo huzuia Saratani (cancer)
Chanzo cha Vitamini B na C vile vile "carotentes"
Hushusha joto la mwili na kuondosha homa, hasa homa ya malaria na homa ya matumbo
Huulinda mwili dhidi ya mafua na kero za mafua kooni
Husaidia myeyusho na mmengenyo wa chakula na kuondosha kuvimbiwa
Husaidia kutibu matatizo ya nyongo (bile disorders)
Husaidia kurahisisha choo (laxative)
Husaidia kupunguza wingi wa lehemu (cholesterol) na hivyo kuimarisha moyo
Husaidia ngozi kuwa nyororo, vile vile husaidia ngozi inayopona baada ya kuungua au yenye vidonda
Husaidia kuua minyoo tumboni (kwa watoto wadogo)
10/02/2022
Afya ni chakura
14/11/2021
10/08/2021
Mungu yupo pamoja na we ato kuacha kamwe ata k**a ume pitia maasi gani ila bado we nimwanae kipenzi
05/08/2021
W
Click here to claim your Sponsored Listing.
Category
Telephone
Website
Address
V/60
Dar Es Salaam
MAM
