Man guso

Man guso

Share

Life

11/02/2022

Ijue
FAIDA YA JUISI YA UKWAJU.

Chanzo kizuri cha viuasumu mwilini 'antioxidants' ambavyo huzuia Saratani (cancer)

Chanzo cha Vitamini B na C vile vile "carotentes"

Hushusha joto la mwili na kuondosha homa, hasa homa ya malaria na homa ya matumbo

Huulinda mwili dhidi ya mafua na kero za mafua kooni

Husaidia myeyusho na mmengenyo wa chakula na kuondosha kuvimbiwa

Husaidia kutibu matatizo ya nyongo (bile disorders)

Husaidia kurahisisha choo (laxative)

Husaidia kupunguza wingi wa lehemu (cholesterol) na hivyo kuimarisha moyo

Husaidia ngozi kuwa nyororo, vile vile husaidia ngozi inayopona baada ya kuungua au yenye vidonda

Husaidia kuua minyoo tumboni (kwa watoto wadogo)

10/02/2022

Afya ni chakura

14/11/2021
10/08/2021

Mungu yupo pamoja na we ato kuacha kamwe ata k**a ume pitia maasi gani ila bado we nimwanae kipenzi

Photos from Man guso's post 05/08/2021
28/06/2021

W

Want your business to be the top-listed Beauty Salon in Dar es Salaam?
Click here to claim your Sponsored Listing.

Category

Telephone

Website

Address


V/60
Dar Es Salaam
MAM