AFYA NJEMA TZ
Tunatoa huduma juu ya changamoto ya NGUVU ZA KIUME,PRESHA,UZITO/KITAMBI na NYAMA UZEMBE,BAWASILI na
09/04/2022
Hivi unachukua dakika ngapi kumaliza game??
Funguka hapa chini kwenye comment
👇👇👇
19/03/2022
UJUE VIZURI MSULI UNAOINUA NA KUIMARISHA UUME
Pelvic muscle ni msuli unaoinua uume .Wakati uume unasimama ndiyo unashikilia ni k**a mzizi wa uume.Pia huwezesha kubana mkojo au kakata mkojo .Vile vile wakati wa kujamiana huwezesha mwanaume kujicontrol asitoe mbegu mapema .Huu msuli ukilegea mwanaume anashindwa kujitawala wakati wa kujamiana ,akijaribu kubana asimwage mbegu anajikuta anashindwa zinaponyoka sekunde chache tu!
Mambo Yanayolegeza msuli huu ni ;
1)Uzito mkubwa.
2)Punyeto yani kujichua Sana
3)Kivimbiwa tumbo/Tumbo kujaa gesi
4)Bawasili.
5)Matatizo Ya Mzunguko wa Damu .
6)Kukohoa Sana/kwa muda mrefu.
Suluhisho: Tuma ujumbe neno KAKA RIJALI kwenda whatsapp namba 0693491551 au piga simu usaidiwe mapema
JINSI YA KUACHA KUJICHUA
1. ACHA KUANGALIA VIDEO ZA PO*******HY: video hizi ndio chanzo kikuu cha punyeto kwa watu wengi hua zinajenga picha nyingi kwenye ubongo na kila picha unayoiona utataka ukaipigie punyeto hivyo kuacha kuziangalia tu ndio nafuu yako..
2. WEKA MIPANGO YA KUZUIA KUPIGA PUNYETO WAKATI WA KUOGA: bafuni ndio sehemu ambayo inatumika sana na watu wengi kupiga punyeto hivyo ni vizuri kua na mikakati ya kujizuia ukiwa huko kwa kuoga haraka na kuondoka, kuoga maji ya baridi ambayo mara nyingi hayatoi muhemko wa kupiga punyeto.
3. EPUKA KUKAA NYUMBANI PEKE YAKO; mara nyingi kukaa peke yako kunakufanya ushawishike kufanya tendo hilo, hebu ondoka na ujichanganye na watu wengine au tafuta majirani wa kukaa na kuongelea mambo mengine.
4. FIKIRIA KUHUSU MADHARA YAKE: kila aliyewahi kupiga punyeto kuna madhara mabayo ameshayapata hasa madogo madogo k**a uchovu mkubwa, kuumwa kichwa na kusahau sana hii itakupa moyo wa kuendelea kutopiga punyeto.
5.ACHA KUSEMA ETI PUNYETO HII NI YA MWISHO: siku zote wapiga punyeto wana akili moja ya kufikiria eti sasa leo napiga afu sirudii tena. Hicho kitu hakipo, kwani kesho yake utasema ivoivo, k**a unaacha acha mara moja.
6. TAFUTA MPENZI K**A HUNA KABISA: ukiwa na mpenzi madhara ya punyeto k**a kupungukiwa nguvu za kiume yatakufanya uache kabisa kwani ukiendelea utaaibika siku moja pale uume utakaposhindwa kusimama kabisa mkiwa faragha chumbani na pia utapata nafasi ya kushiriki tendo la ndoa hivyo kuacha kabisa punyeto.
KWA WALIOATHIRIKA NA PUNYETO VIRUTUBISHO VIPO KWA AJILI YA KUKUIMARISHA MISULI NA KUKUREJESHA KWENYE URIJALI WAKO.
KWA HUDUMA ZAIDI WASILIANA NASI ☎️ 0693491551
JOB ANNOUNCEMENT (BUSINESS)
Many young people are self-aware and need jobs but have lacked the right guidance for practical knowledge that is compatible with technology or the latest platform to carry out their work.
I need five young people with education from Form Six to college. You will be taught a free course short one month how to make digital sales through the internet on your smartphone. You will then be connected directly to the work, more commercial.
If you want to learn more on how use Internet to improve your financial situation
Send the word DIGITAL MARKETING to whatsapp number +255693491551
07/12/2021
KWA NINI UTUMIE MULTI-MACA? ANAELEZA:
MULTI-MACA (100% NATURAL) NI KIRUTUBISHO MUHIMU NA MAALUM KWA WANAUME NA WANAWAKE.
HUSAIDIA:
1. Kuongeza hamu ya tendo la ndoa kwa wanawake na wanaume bila kuchoka
2. Ku-balance homoni
3. Kuboresha msukumo wa damu ambayo ni muhimu kwenye nguvu za kiume
4. Kupunguza madhara ya menopause (kukoma kwa hedhi)
5. Kuzuia ukuaji wa tezi dume
6. Kuongeza stamina pamoja na nguvu za kiume
7. Kuongeza idadi, kasi na ubora wa mbegu
8. Kutatua tatizo la vaginal dryness kwa kumuwezesha mwanamke kuwa mnyevu wakati wote wa tendo la ndoa na kulifurahia bila kuwa na mawazo ya michubuko na maambukizi ya magonjwa ya zinaa
9. Kupunguza athari za msongo wa mawazo kwenye mwili
10. Inarutubisha mayai na kuweka sawa afya ya uzazi kiujumla
Tuma ujumbe neno MACA kwenda whatsapp/normal text kwenye number +255693491551 upate MULTIMACA yako mapema
*MULTI-MACA NI TSH 75,000 ( KSH 3675)*
KARIBU 💥💥💥
KIJANA, MWAJIRIWA, MWANACHUO UNAYEJITAMBUA. SOMA HAPA,,
Usishangae mwezi ndo unaisha hivyo hadi sasa hauna biashara inayokupatia kitu cha ziada nje ya kula na kodi ya chumba. Aisee haukuletwa duniani ili uje kupambania kula. Huwa nasema hiki kitu, hautoweza kukua kiuchumi k**a haujaamua kufanya maamuzi tofauti na ulivyozoea.
Changamoto zipo na zitaendelea kuwepo kila mwezi, usipokuwa makini huu mwaka utakupita k**a ilivyokupita miaka mingine. Hakuna mtu atayekusisitiza chochote hadi pale akili yako itapoamua. Utasogeza mbele malengo hadi uzeeni.
K**a wewe hauna ajira ifanye biashara kwa usirias k**a sehem ya ajira yako itakulipa vzuri.
K**a wewe mwanachuo , tumia mkopo wako kuwekeza kwenye biashara, utakuja kujua umuhim wa hayo maamuz ukishamaliza chuo. Umuhim wa hilo bumu utaujua utavyoingia mtaani, utajuta kutowekeza kwenye biashara. Jaribu kuwauliza waliokutangulia wakusimulie maisha yalivyo acha kujidanganya kwa muda mfupi wa mapito ya chuo. K**a unashindwa kuiandaa future yako soon baada ya kumaliza chuo.Je! unafikiri utaweza kuijenga future ya maisha ya mbeleni?
K**a wewe ni mwajiriwa, ujiendekeze madeni utakufa maskini. Unakuwa na madeni mengi sababu hauna project nyengine nje ya ajira yako. Na hii tabia uliijenga chuoni haukuwa na time ya kufanya mradi mwingine zaidi ya kujisomea ili upate marks nzuri darasani. Pasipokujua k**a muda ulikuwanao lakini uliendekeza ubize usio na ulazima. Sasa hauna maarifa mengine nje ya ajira uliyosomea. Na madeni yanakusulubu. Badilika,,,,
Usipoamua kuwa tofauti kuanzia sasa, usipoamua kuacha kutanguliza changamoto mbele mbele hautobadilika kwa lolote. Utakula, utavaa, utalala k**a wafanyavyo wengine, lakin maendeleo utayaona kwenye TV tuu. Grow up,,,,,,,,
Kwa MAARIFA ya Biashara tuma ujumbe neno BIASHARA GROUP kwenda wassap
0693491551 usaidiwe mapema.
MWAJIRIWA, MWANACHUO, KIJANA JIFUNZE NIDHAMU YA FEDHA NA KUJITAMBUA KIBIASHARA ZAIDI.
Ukiona unamiliki pesa Mwisho Wa Mwez na katikati ya Mwez hauna pesa, bado ni shida, jitafakari jiulize Mara tatu ya nne Fanya maamuzi ya kuanza biashara itayokupatia mwendelezo wa kipato bila kutegemea Mwisho wa Mwezi. Pia kumbuka K**a changamoto zote unategemea kuzitatua Mwisho Wa Mwezi, maana yake mwezi ujao utakuwa mgumu zaidi. Ndio maana mishahara haikutani Kati ya Mwez na Mwez.
Tatizo la akili ya mwanadam ikiona pesa nyingi inaanza kufikiria matumizi na sio uzalishaji. Hivyo wengi wamejikuta wakifanya matumizi ya hovyo alafu baada ya pesa kubaki chache kuendana na Kiwango Cha maarifa cha mtu huyo ndipo anaanza kuishi kwa nidhamu. Kumbuka mshahara ukiwa mkubwa na akili inapandisha matumizi, inaanza kupenda vitu vyenye gharama kubwa kubwa ili kumfanya mtumiaji akwame mahala Fulani mbeleni. Matumizi ya mtu aliyepata faida ya Laki moja kwenye biashara yake ni tofauti Kabisa na matumizi ya Laki moja K**a sehem ya mshahara wa mtu kwenye Ajira yake.
Kijana yupo tayari kununua Simu ya laki tano, lakini mtu huyo huyo ukimuonesha biashara yenye mtaji wa Laki tano atakuambia hana mtaji. Si K**a hana mtaji, mtaji anao lakini tatizo ni akili na mtazamo wake bado umeathiriwa na MATUMUZI kuliko UZALISHAJI. Kijana yupo tayari anunue kitu cha gharama ili apewe sifa na marafiki pia aonekane mtu Kati ya watu.
Maisha yanaenda kasi Sana, angalia muda unaoutumia unaendana na malengo yako? Usifanye mambo kufuata mihemko ya makundi ya watu wa aina fulani, utapotea. Ukifumba macho kwa kutojifunza, automatic umefunga milango ya kufika mbali kibiashara. K**a wateja wamebadilika kiutandawazi kwa nini mfanyabiashara anategemea mbinu zile zile za zamani alafu anatarajia kupata matokeo makubwa, inawezekanaje? Alafu biashara ikiwa ngumu wanalalamika sana kana kwamba wameonewa
Kupata maarifa endelevu ya biashara,
Tukutane siku ya jumamosi hii muda wa SAA 9:00 MCHANA kwenye jengo la TANZANITE PARK, DAR ES SALAAM
Kwa mawasiliano zaidi piga number 0693491551 utapewa muongozo kiurahisi na haraka zaidi
01/11/2021
Nani bado anahangaika na Kitambi au uzito mkubwa?
Unafahamu kuwa ndani ya siku 9 unaweza kuondoa kitambi na kupunguza uzito?
Tuma ujumbe neno " HOW??" kwenda WhatsApp number 0693491551
WhatsApp/Call 0693491551
21/10/2021
SABABU ZINAZOPELEKEA KUFIKA KILELENI MAPEMA AU KABLA, WAKATI WA TENDO LA NDOA:
-Tendo hili hutokea pale mwanaume anapo mwingilia mwanamke kimwili,na humchukua dakika moja ama mbili tu,kumaliza tendo, baada ya hapo hukoswa hamu ya kuendelea tena, na uume wake huwa legelege..
-Sababu nyingine ni kupania,kuwa na hamasa kupitiliza,kuwa na uoga na matatizo mengine ya kiseikolojia..
-Uwezo mdogo wa ngozi ya uume kuhisi au kupata mguso wakati wa tendo,na matatizo ya neva za mwili..
-Sababu nyingine ni uume kushindwa kusimama(erectile dysfunction) kutokana na kulegea kwa msuli wa pelvic floor muscle.
-Kiwango kidogo cha homoni,uzalishwaji hafifu wa kemikali kwenye ubongo(neurotransmitters)..
-Sababu zingine ni za kijenetiki,maambukizi hususani magonjwa ya zinaa,na matatizo ya vimbe katika mfumo wa uzazi wa mwanaume..
DALILI ZA KUFIKA KILELENI MAPEMA AU KABLA, WAKATI WA TENDO LA NDOA:
-Kumaliza mapema au kabla ya tendo,tatizo hili huweza kuwatokea hata wale wanaofanya punyeto,wana weza kufika kileleni mapema tu,lakini wakati huo huo kufanya punyeto ni sababu moja wapo ya tatizo..
-Dalili zingine ni,kuboreka,kughadhabika na uoga wa kumkalibia mwenza wako..
Tafiti zinaonesha kuwa kati ya wanaume watatu,mwanaume mmoja ana tatizo la kufika kileleni mapema au kabla, wakati wa tendo la ndoa!!
Hili tatzo kwa kweli linakosesha amani Sana, yaani usikubali kuliacha liwe sugu litakusumbua Sana, litakupatia stress Sana.
Tuma ujumbe neno KAKA RIJALI kwenda WhatsApp number +255693491551 au Piga Simu usaidiwe Mapema.
Click here to claim your Sponsored Listing.
Category
Contact the business
Telephone
Website
Address
Makumbusho
Dar Es Salaam
