Afya.com

Afya.com

Share

Contact information, map and directions, contact form, opening hours, services, ratings, photos, videos and announcements from Afya.com, Health/Beauty, Dar es Salaam.

Photos from Afya.com's post 16/11/2020

MADHARA YA MAUMIVU YA KIUNO NA NYONGA ENDAPO UTACHELEWA KUPATA SULUHISHO LA KUDUMU.

Je ukipuuza maumivu haya na kuyachukulia ni suala la kawaida unaweza kuathirika kivipi?

1.Hupelekea kushindwa kufanya tendo la ndoa kiufasaha.

2.Hupelekea kupooza kwa baadhi ya viungo vya mwili/kufa ganzi kwa viungo mwilini.

3.hupelekea kuwahi kufika kileleni mapema wakati wa tendo na kushindwa kurudia.

4.Unaweza kushindwa kutembea kabisa/kunyanyuka, utakaa ukiwa umelala mda wote.

5.Kuzidi kusambaa kwa maumivu mawili mzima hasa sehem zenye joint.

SULUHISHO LA KUDUMU
Tumia virutubisho vyenye wingi wa madini na vitamins ambavyo vitaenda maliza kabisa tatizo hili...

KWA MSAADA ZAIDI NA USHAURI WA HARAKA[BURE] WASILIAN NASI 0778749710

au tuma neno viungo kwenda namba 0778749710

02/11/2020

LEO NINA OFA KWA AJILI YAKO WEWE UNAETAKA KUPUNGUA UZITO AMA KUONDOA MANYAMA UZEMBE

Watu wengi sana wameanza Kufirahia huduma na elimu wanayoipata kutoka kwangu .loss_c
Na UKIISHAIPATA HUDUMA YANGU MATOKEO YA UHAKIKA LAZMA UYAPATE.

KWANINI UTESEKE NA UZITO MKUBWA AMA UNENE WAKATI KWANGU NDANI YA SIKU 9 TU UNAANZA KUFURAHI KWA UTAKAVYOONA MATOKEO MAZURI.

JARIBU LEO NA WALA HAUTOJUTA HATA KIDOGO KUICHAGUA HUDUMA YANGU.

Kwa mawasiliano ya haraka na upesi zaidi wasiliana nam kwa
WHATSAPP/TEXT/CALL
+255778749710
+255778749710

PIA KUMBUKA KUNIFOLLOW INSTAGRAM loss_closs_c

09/10/2020

Hello mwanaume umeipata iki kitu kuwezaa kuimarisha afyaa yako

Ungepndaa kukipata lini ili uwezee kuwa uko vizur nyumbani usiaibikee tenaa nyumbani na uwezee kuwa manaume kamili ambae unaenda mara kwa mara huchoki haraka na unawezaa kurudiaa tendo

Kwa maelezo zaidii nipigiee simu namba
0778749710
Ili nikupe muongozo mzur ni namna gani unawezaa kuimarisha afyaa yako

08/10/2020

FAIDA YA KUTUMIA BIDHAA HII ARG+ NA KWANINI UTUMIE.... Faida 10 za ARGI +

1. Ni kirutubisho muhimu sana kutumiwa kila siku kwa ajili ya kusaidia mifumo yote ya mwili ili kuupa mwili uwezo wa kufanya kazi vizui zaidi.

2. Inasaidia mfumo wa kinga ya mwili, kutokana na Nitric Oxide ambayo inatumiwa na chembechembe nyeupe za damu kuua bacteria. Hivyo kuupa mwili uwezo zaidi wa kupigana na magonjwa.

3. Inasaidia kurekebisha kiwango cha "Blood Pressure kiwe sahihi na afya ya mzunguko wa damu ya moyo kiujumla.

4. Inasaidia kutengenezwa kwa mifupa na mwili kiujumla hivyo ni nzuri sana kwa tatizo la waliovunjika mifupa au wenye mifupa dhaifu.

5. Nitric Oxide inayotengenezwa inaongeza mzunguko wa damu ndani ya mwili na hivyo inasaidia kuongeza NGUVU ZA KIUME.

6. Inasaidia misuli kuwa imara na yenye nguvu, pamoja na kupunguza mafuta ndani ya mwili. Ndio maana ni nzuri sana kwa wanawake na wanaume wanaofanya mazoezi.

7. Ina "Pomegranate" na vimelea vya matunda ambavyo ni viosha sumu, husaidia kuondoa madhara ya "FREE RADICALS" mwilini.

8. Inavimelea vitokanavyo na "RED WINE" ambayo inasidia kushusha kiasi cha "CHOLESTROL" mwilini.

9. Inaongeza uwezo wa mwili kutumia insuline (Insuline Sensitivity) hivo inafaa sana kuweka uwiano wa sukari mwilini.

10. Inasaidia kutoa hormones zinazopunguza kasi ya kuzeeka (Anti-Ageing), kukufanya uonekane chini ya umri wako.

KWA MAHITAJI YA BIDHAA WASILIANANASI KUPITIA NAMBA 0778749710
AU KUPATA MAELEZO ZAIDI NA KUPATA ELIMU JUU YA AFYA WASILIANANASI KUPITIA WHATSAPP NAMBA 0778749710 KARIBU SANA

07/10/2020

MADHARA 20 YA KUPIGA PUNYETO KWA WANAUME

Hisia hizi huanza kujitokeza pale mtu anapofikia wakati wa kubarehe. Hapa ndiyo wakati mgumu na mbaya kwa kijana hasa kwa asiyejitambua na asiye na usimamizi wa karibu wa wazazi au walezi.

Ni wakati huu ndipo mbegu za kiume (manii) huanza kuzalishwa katika mwili wa kijana wa kiume na kupelekea kuanza kuona hitaji la kuwa na mchumba au hata mke.

Kutokana na maisha na tamaduni zetu wa afrika zilivyo hapo ndipo kijana huona hana namna zaidi ya kujichua pale anapokuwa hana mtu wa kujamiiana naye ili kupunguza hamu zake. Kitendo hiki kimeathiri sehemu kubwa ya jamii.

Kupiga punyeto au kujichua ni kitendo ambacho huleta matatizo makubwa ya muda mrefu ambayo muathirika huchelewa sana kuyatambua.

Tuangalie sasa madhara 20 yafuatayo ambayo ni matokeo ya kujichua kwa mwanaume:

1. Punyeto hukufanya uwe dhaifu, inapoteza protini na kalsiamu ndani ya mwili wako.

2. Huleta matatizo kwenye neva nyurolojia ndani ya mwili na kupelekea matatizo ya macho kutokuona vizuri

3. Ni moja ya kisababishi kikuu cha uhanithi (uume kushindwa kusimama)

4. Ni rahisi kuwa mtumwa wa kujichua (teja) unaweza kujaribu mara 1 tu na tayari ukawa teja wa jambo hilo kila mara

6. Husababisha mfadhaiko (stress) kwenye akili na kwenye roho yako pia

7. Huleta matatizo ya kisaikolojia, hukusababishia majonzi na huzuni na kukufanya kujilaumu nafsi mara baada ya kumaliza kujichua

8. Punyeto haifanyiki kirahisi, unahitaji akili yako iwaze au itazame picha mbaya au chafu au kumfikiria kimapenzi mtu asiyekuwepo hapo ulipo. Hili ni jambo baya zaidi kwa afya kwani picha hizo hazikuondoki haraka kichwani mwako tofauti na ukishiriki tendo la ndoa na binadamu mwenzio moja kwa moja.

9. Punyeto inakupelekea kufanya makutano haramu kwakuwa hiyo hamu yako ya kutaka kujichua kila mara itakupelekea kuanza kutafuta vijarida au picha za ngono jambo ambalo ni baya zaidi kwa afya yako ya mwili na roho

10. Punyeto inapelekea tatizo lingine kubwa zaidi nalo ni kuwahi kufika kileleni utakaposhiriki tendo la ndoa na mwenza wako, hii itakuletea shida kwenye mahusiano yako wewe mwenyewe na hata kwa mwenza wako.

11. Punyeto inapunguza uwingi wa mbegu (reduces your s***m count) k**a matokeo yake mwanaume hataweza kumpa mwanamke ujauzito. Hili la kuwa na mbegu chache ndilo chanzo kikuu cha ugumba kwa wanaume na ni matokeo ya kupiga punyeto mara kwa mara.

12. Kimaadili kabisa punyeto au kujichua ni jambo baya, unamuwaza fulani na kujikuta ukishiriki tendo la ndoa peke yako. Hii inapunguza thamani yako na nidhamu kwa wengine. Unaweza kuwa mzuri kwenye maeneo mengine mengi lakini utaishia kuwa na matatizo k**a hutaiacha tabia hii haraka.

13. Punyeto inapoteza muda wako na kukufanya mtu usiye na faida

14. Raha ya kujichua haibaki akilini kwa kipindi kirefu k**a vile ukishiriki tendo la ndoa kwa na mtu halisi

15. Punyeto husababisha ugonjwa wa kupoteza kumbukumbu, ni vigumu kuwa na akili ya utulivu na kukumbuka vitu k**a tayari umeshakuwa teja wa punyeto.

16. Kujichua siyo suluhisho la mwisho la hitaji lako, yaani hutaona kuridhika katika kitendo hicho, kadri unavyofanya ndivyo unavyoendelea kuhitaji zaidi na zaidi mpaka mwisho unakuwa hanithi kabisa bila kujitambua

17. Punyeto haina faida yoyote kwenye maisha yako ya kimapenzi, huihitaji kwa ajili ya chochote

18. Punyeto inaongeza aibu, inapunguza uwezo wa kujiamini. Wengi waliozoea kujichua hata kutongoza kwao huwa ni kazi kubwa mno kiasi wengine huona bora kuendelea kujichua kuliko kutongoza mwanamke.

19. Utapoteza hamu ya kushiriki tendo la ndoa kirahisi zaidi k**a utaendelea kujichua

_. Punyeto huchochea mapenzi ya jinsia moja hasa mashuleni, vyuoni na kwenye mahoteli na mwishowe hupelekea kusambaa kwa magonjwa mengi ya zinaa.

20. Punyeto inamaliza nguvu za kiume, k**a unapenda kujichua basi sahau kuwa na nguvu za kiume. Upungufu wa nguvu za kiume ni janga la kitaifa miaka ya sasa lakini chanzo kikuu ni vijana wengi wa kiume kuanza kujichua tangu wakiwa mashuleni.

Je ufanye nini ili kuacha punyeto au usishiriki mchezo huu mchafu?

K**a muda na umri haukuruhusu kuwa na mke au mchumba, basi fanya yafuatayo:

•K**a bado unasoma kuwa bize na masomo na ujiepushe na makundi hatarishi.

•Jishughulishe na mazoezi ya viungo kila siku. Hii itauchosha mwili wako na hivyo hutapata muda tena wa kujichosha zaidi kwa kujichua kwani tayari utakuwa na uwezo wa kupata usingizi mtulivu sababu ya mazoezi.

•Epuka vyakula vyenye mafuta mengi

•Usipende kukaa muda mrefu peke yako au kujitengaa na watu pia usikae muda mrefu kitandani hasa hasubuhi wakati wa kuamka

•Usikae muda mrefu maeneo k**a ya bafuni au chooni

•Usipende kujishikashika na mkono wako sehemu zako za siri wakati wowote

•Futa picha zozote chafu iwe kwenye simu au computer yako na usitembelee blog au tovuti yoyote yenye picha hizo, k**a upo kwenye magroup ya namna hiyo kwenye mitandao ya kijamii basi jiondowe haraka iwezekanavyo.

•K**a tayari umeshaoa basi ni dhambi kubwa sana kuendelea kupiga punyeto, utaishiwa nguvu na unaweza kukosa kumpa ujauzito mkeo siku za usoni.
_Je ?umepungukiwa nguvu za kiume ?kwa sababu ya kujichua muda MREFU
_Uume umesinyaa kwa sababu ya kujichua muda MREFU na unahitaji KURUDISHA hali yako?
_unawahi kufika kileleni ?
_Unakosa hamu ya tendo LA ndoa?
_Umedharaurika kwenye ndoa/mahusiano yako?

EPUKA AIBU HII

Je? umeathirika na umepata madhara yaliyotokana na punyeto? Na unahitaji kuondokana na hiyo hali ?
Habari njema ni kuwa hilo ni jambo linalotibika na utarudi kwenye hali yako ya kawaida, na kurudisha nguvu zako vipo virutubisho muhimu kwajili ya kuwekaa afyaa yako sawa

Tafadhali SHARE post hii kwa ajili vijana na ndugu wengine uwapendao

Bofyaa kwenye link kupata elimu zaidii

Follow this link to join my WhatsApp group: https://chat.whatsapp.com/Gb5NPd5Zv730wMBuXxrioa

05/10/2020

*UMUHIMU WA KUFANYA MAZOEZI KATIKA MAISHA YAKO.
Leo nizungumzie mambo haya matatu niliyoanza nayo hapo juu.Kwa wale ambao wanafanya mazoezi kila siku na wale ambao wanafanya mara mbili au tatu kwa wiki.

Swali :Kwa nini unafanya mazoezi ?
Unafanya mazoezi kwa ajili ya afya bora ili kuepuka maradhi ya mara kwa mara ambayo pia ni rahisi kupata kwa mtu ambaye hafanyi kabisa mazoezi katika maisha yake.

Pia mazoezi yanasaidi kukufanya kuonaekana kijana mchangamfu wakati wote na pia
hukuongozea maisha.

Mazoezi husaidia moyo wako uwe madhubuti katika mapigo yake, kufungua zaidi mishipa ya damu inayopeleka na kutoa damu katika moyo.

Pia mazoezi huwezesha mapafu yako kuwa na uwezo wa kupumua bila kusikia tofauti yoyote wakati wa mazoezi na baada ya mazoezi ukiwa umepumzika.

Magojwa mengine ambayo utaepukana nayo ukiwa unafanya mazoezi ni k**a vile kansa, pumu na ugonjwa wa moyo mazoezi ni dawa tosha kwa haya maradhi niliyo kujulisha hivyo usifanye ajizi anza sasa uone faida yake.

Hali kadhalika kwa wale wenye maradhi ya ukimwi mazoezi husaidia sana kurefusha maisha yao.

MAZOEZI UNAYOHITAJIKA KUYAFANYA MUDA WAKE

Yapo mazoezi ya aina nyigi yakiwapo ni pamoja na kuendesha baiskeli, kucheza mpira wa wavu, kutembea kwa mwendo wa haraka au kwenda sehemu maalum ya kufanyia mazoezi (fitness centre) na kuogelea.
Muda wa kufanya mazoezi usipungue dakika 30-60 kwa muda huu utakuwa umefanya mazoezi ya kutosha kwa siku hiyo.
Siku hizi imekuwa ni jambo la muhimu na la maana sana kufanyia mazoezi kwenye sehemu maalum (fitness centre) Huku kunakuwa na wataalam ambao wanasimamia na kufundisha aina ya mazoezi unayotakiwa kufanya yakiwemo madarasa ya aerobics na gym kunyanyua vitu vizito na kujenga mwili.

LEO TUZUNGUMZIE MAZOEZI YA AEROBICS.
Je? unapata nini kwenye aerobics.
Kwa mujibu wa afisa michezo wilayani Kalambo mkoani Rukwa Mosi Mewa anasema kufanya aerobics kila siku inakufanya uwe na uwezo wa kuwa na mapigo mzuri moyo.Hukusaidia mapafukutumia hewa ya oksijen kwa uhakika na pia kudhibiti uzito wa mwili na kukufanya uwe mchangamfu kila wakati.
NINI MAZOEZI YA AEROBICS

Aerobics maana yake ni matumizi hisika ya oksijen katika mazoezi ya viungo ambayo yanaongozwa na muziki maalum kwa ajili ya mazoezi ya mwili.
Mazoezi ya aerobics yanasaidia kufanya moyo uwe uwezo madhubuti wa kusukuma damu kutoka kwenye moyo na kwenda mwilini na kurudi tena kwa mzunguko wa kawaida bila kuwa na dosari.

Mazoezi ya aerobics yanakufanya kupumzisha akili kwa kupunguza mawazo maana ukimaliza kufanya haya mazoezi hujisikia kupumzika.
Halikadhalika huondoa maumivu ya misuli yako ya mwili na huongeza uwezo wako kimwili kukufaya mtu mwenye furaha wakati wote.

MAZOEZI YA AEROBICS NI KWA AJILI YA NINI?

Mazoezi ya aerobics ni kwa ajili kila mtu bila kujali jiinsia au umri hii ni kwa ajili ya watu wote ambao wameamua kufanya mazoezi ya mwili kwa ajili ya afya zao.

Baada ya utafiti wangu wa takriban miaka kumi katika mazoezi ya aerobics, darasa la aerobics lilikuwa likihudhuriwa na idadi kubwa ya wanawake kuliko wanaume hii ilikuwa ni fikra potofu walizokuwa nazo wanaume kwamba mazoezi ya aerobics ni kwa ajili ya wanawake tu.

Lakini kuanzia mwaka wa 2000 kumekuwa na mabadiliko kwa wanaume wengi kujiunga na mzoezi ya aerobics hivi sasa kuna mwamko mkubwa kwa wanaume kufanya haya mazoezi. Katika kufanya mazoezi aerobics inaupa mwili uwezo wa kupitisha hewa ya oksijen kwa urahisi zaidi na uhakika na pia kuupa moya uwezo wa kupiga mapigo yake kwa dakika wakati unapofanya mazoezi.

Mazoezi ya aerobics ni lazima yafanyike japo kwa muda wa dakika 30-60 na iwe ni mara 3 au 5 kwa wiki kwa ajili ya kuufanya mwili kuwa mchangamfu kwa wakati wote na kupunguza mafuta na uzito uliokithiri.

MAZOEZI YA AEROBICS NA MOYO

Hewa ya oksijen ni muhimu sana mwilini kwa ajili ya kuruhusu kemikali kupelekwa kwenye mwili.

Moyo umetengenezwa kwa misuli ambayo husukuma hewa ya oksijen na damu kwenye mwili wote.

Mazoezi ya aerobics huzidisha uwezo wa mapafu kuyapa oksijen na kuipa nguvu misuli ya moyo na kuwa na uhakika wa kuaminika kwa kusukuma oksijen na pia husaidia kuondoa maradhi ya moyo.

Binadamu wa kawaida ambaye hafanyi mazoezi mapigo yake ya moyo ni mara 75 kwa dakika lakini kwa wale wafanyao mazoezi kila siku mapigo ya moyo wao huwa mara 55 kwa dakika.

MAZOEZI YA AEROBICS YANAVYOSAIDIA KUTOONGEZEKA UZITO WA MWILI

kwa mijibu wa mwalimu mratibu wa michezo wilayani Kalambo Baraka Mazengo anabainisha kuwa Mtu huongezeka uzito pindi anapokula bila mpangilio (kula hovyo) kula chakula kwa wingi bila kupanga wakati wa kula na kula milo zaidi ya mitatu bila kufanya mazoezi.

Ni vizuri kupata lishe bora ambayo haina mafuta sana na mazoezi kwa ajili ya kupunguza uzito kwa uhakika zaidi ya mlo wako wa siku pata chai ya kutosha asubuhi mchana pata chakula k**a ulikuwa unakula sahani ya chakula iliyojaa kula nusu sahani na usiku pata chakula chepesi kwani nyakati za usiku mwili hauhitaji tena virutubisho vya aina yoyote ile hadi kesho yake.

NAMNA YA KUEPUKA KULA BILA MPANGILIO

Kuna njia nyingi ambazo zitakufanya ubadilishe tabia ya kula bila mpangilio lakini njia bora ya kufuatia ni kuanza kupunguza kula vitu vya sukari polepole na hii ni baada ya wiki kadhaa utakuwa umezoea na hutorudia tena mazoea hayo kumbuka nikizungumzia vitu vya sukari ni k**a vile chocolate,soda,keki Unaweza kula vitu k**a matunda ambayo yana sukari ya kutosha

Pia jaribu kuepuka kula nyama nyekundu nikiwa na maana nyama ya ng’ombe na mbuzi, bali utumie nyama ya kuku na samakiKumbuka unavyofanya mazoezi ndio utakavyokula vizuri bila kuogopa utaongezeka uzito

Ponyezaa link kuja kujifunzaa zaidi

https://chat.whatsapp.com/Gb5NPd5Zv730wMBuXxrioa

05/10/2020

Imarisha afya yako kwa kuwezaa kuwa mwanaume kamili

Bonyezaa link kupata maelezo zaid

Follow this link to join my WhatsApp group: https://chat.whatsapp.com/Gb5NPd5Zv730wMBuXxrioa

03/10/2020

Naenda mara kwa mara sichoki haraka naweza kurudia zaidi nasimama imra mwili uko na nguvu nafunga magoli mengi na simwagi haraka hii yote sababu ya hizi bizaa

Kwa maelezo zaidii pigaa simu namba
0778749710

aloeveragel

25/09/2020
25/09/2020

Matokeo ya watejaa

Want your business to be the top-listed Beauty Salon in Dar es Salaam?
Click here to claim your Sponsored Listing.

Category

Telephone

Address


Dar Es Salaam
255

Opening Hours

Monday 09:00 - 18:00
Tuesday 09:00 - 18:00
Wednesday 09:00 - 18:00
Thursday 09:00 - 18:00
Friday 09:00 - 18:00
Saturday 09:00 - 18:00