Afya _mifupa
Tunasaidia kutoa elimu na kutatua changamoto za maumivu ya mifupa na afya kwa ujumla
12/10/2023
02/04/2023
29/01/2023
Je, unasikia sauti hiyo ya mlio au kishindo huku ukinyoosha miguu yako au kiungo chochote?
Ndiyo, hiyo ni ishara na onyo kwamba gegedu ya goti lako inazorota, ambayo inaweza kusababisha matatizo makubwa zaidi k**a vile ugonjwa wa yabisi-kavu (ARTHRITIS) katika siku za usoni.
'Mto' unaozuia viungo vyetu kutokua na msuguano unajulikana k**a cartilage. Tunapozeeka au nyakati fulani tunaponenepa, cartilages huharibika, na viungo huanza kukaribiana, ambayo inamaanisha msuguano zaidi.
Hata hivyo, shukrani kwa Mama Nature, kuna virutubisho vichache vinavyoweza kukusaidia kuboresha afya yako, pamoja na kurejesha cartilage ya goti kawaida.
Tiba/maoni na ushauri karibu utete nasi kupitia ๐
Whatsapp no: 0612 182 631
29/01/2023
Habari.....leo tutaona the source au chanzo cha matatizo mengi ya mifupa.
Miili yetu ni matokeo ya maungio mbalimbali ya mifupa k**a inavoonekana chini ..na maungio haya ndo yanatuletea mizunguko katika miili yetu na hii ni kutokana na ute ute laini uliopo kati kati ya mfupa na mfupa..
SHIDA AU TATIZO LA MAUMIVU YA MIFUPA huanza pale tu ambapo huu ute ute laini unapoanza kutoeka ambapo inaeza ikatokana na Umri, uzito uliopitiliza, ajali na hasa vyakula tunavyokulaa Ndo pale mtu utaanza kuona ukinyoosha mkono unauma, ukiinama kidogo unaumia n.k
JE TATIZO LIMESHATOKEA UNAFIKIRI NI NINI KIFANYIKE???????
Oni/ushauri/elimu zaidi tuchek kupitia Whatsapp no: 0612 182 631
Nakula vizuri, nakula nafaka kamili, matunda kwa wingi, mboga za majani kwa wingi,mafuta mazuri, sili sukari, nafanya mazoezi na kadhalia;
SWALI?
KWA NINI NILE TENA VIRUTUBISHO? KWA NINI NILE TENA VIDONGE?
๏ JIBU:
- hata mimi kabla ya kuwa na elimu ya virutubisholishe nilikula najiuliza hivyo hivyo;
Ukweli ni kwamba Hauezi kupambana na magonjwa kwa kutumia diet peke yake...unahitaji namna ya kuongeza lishe zaidi ambazo zitapatikana tuu kwa wewe kutumia virutubisholishe.
Jinsi ambavyo mbolea ilivyo muhimu kwa mmea ndivyo virutubisholishe vilivyo muhimu kwa binadamu. Upe mmea jua na maji...utaishi, uongezee mbolea yenye virutubisho hai na uta stawi zaidi.
Binadamu hivyo hivyo, lishe yenye afya, yenye usawa inaipa mwili virutubisho vya kutosha kuendesha kazi za kawaida. Vidonge vyenye virutubisholishe k**a madini,vitamini, asidi muhimu ya mafuta (essential fatty-acid), na kadhalika vinaimarisha mazingira ya ndani ya mwili kwa kuimarisha ulinzi wa seli, kukarabati na kuzaliwa upya na kusaidia mchakato wa utengenezaji upya wa seli.
VIRUTUBISHO LISHE (SUPPLEMENTS) NI MUHIMU SANA.
Katika maumivu ya mifupa na kupungua unene ....k**a unahitaji kujua zaidi kuhusu virutubisho lishe๐
Call/txup 0612 182 631.
17/01/2023
JE UNACHANGAMOTO YA VIUNGO?
1.Ute Ute kuisha kwenye maungio
2.VIUNGO kuvimba na kukosa nguvu
3.ganzi za mala kwa mala
4.Maumivu makali ya VIUNGO
5.kupishana kwa Pingiri za Mgongo na Kupata maumivu kwenye Pingiri za Mgongo
Tuma ujumbe neno AFYA MIFUPA kwenda Whatsapp namba 0612182631 au piga usaidiwe haraka
17/01/2023
JE UNACHANGAMOTO YA VIUNGO?
1.Ute Ute kuisha kwenye maungio
2.VIUNGO kuvimba na kukosa nguvu
3.ganzi za mala kwa mala
4.Maumivu makali ya VIUNGO
5.kupishana kwa Pingiri za Mgongo na Kupata maumivu kwenye Pingiri za Mgongo
Tuma ujumbe neno AFYA MIFUPA kwenda Whatsapp namba 0612182631 au piga usaidiwe haraka
Click here to claim your Sponsored Listing.
Category
Telephone
Website
Address
Dar Es Salaam
