Health&Body Supplements
Jipatie virutubisho tiba asili vyenye uhakika wa kukuweka mbali na maradhi yatokanayo na mitindo ya Maisha.
14/10/2021
UNAPOTUMIA LIVEN ALKALINE COFFEE ENJOY HAMU YA TENDO LA NDOA ISIYOKUWA KIFANI NA MWENZAKO π₯³
Liven Alkaline β inakupa Vichocheo vya hisia, mzunguko Bora wa damu na kuamsha Homon vichocheo muhimu vya βEstrogenβ na Kuongeza msisimko wa kutosha kwa wahusika.
Aidha, itakusaidia kuondoa sumu Mwilini na kusaidia uzalishaji Bora wa mbegu za kiume, kuondoa uchovu na msongo wa mawazo, kuzuia Kuwahi Kufika Kileleni na Kuimarisha uzalishaji wa uteute wa Mwanamke ambao ni kichocheo cha Furaha yake wakati wa tendo na kuepusha ukavu au kuwahi kufika Kileleni.
Faida Nyingine;
β‘οΈKutoa gesi tumboni
β‘οΈKuimarisha mzunguko wa damu
β‘οΈKubalance kiwango cha acid mwilini (Balance Body pH)
β‘οΈHuondoa msongo wa mawazo
β‘οΈHuondoa Hangover
β‘οΈHuupa Mwili nguvu
β‘οΈHutoa Sumu Mwilini kabisa
β‘οΈHubalance Pressure ya damu na mapigo ya Moyo
β‘οΈNzuri kwa Wenye Figo
β‘οΈHurahisisha mmeng'enyo wa chakula
β‘οΈHupunguza mafuta mwilini, na Kupunguza unene (Ukizitumia sana)
Hutumika k**a Chai, kwenye maziwa, au utakavyo. Hutumika kwa wenye Kisukari, Pressure na Moyo.
Unaweza ipata popote pale ulipo
βοΈ0688593052
13/10/2021
*LISHE KWA AJILI YA KUIMARISHA AFYA YA TENDO LA NDOA!*
Lishe hizo ni:-
ππ¦ππ π π(Mafuta ya samaki wa vina virefu)
Pamoja na kwamba inachangaia kwa kiasi kikubwa afya ya mbegu za kiume,inasaidia pia kwa jinsia zote katika kusahahihisha mzunguko wa damu kwa kuondoa vizuizi katika njia za damu na kuondoa madhara ya msongo wa mawazo ambavyo vyote huchangia katika kurekebisha mihemko katika tendo la ndoa.
ππ’πππ¦π’π§ π
Maembe,pilipili,spinach,viazi vitamu,nyanya,matikitimaji,mazabibu,carot,cabbage,lettuce
Hii hutumika katika kuzalisha vichochezi vya kiume na k**e(male and female s*x hormone) ,husaidia katika mzunguko wa siku kwa mwanamke na kwa mwanaume husaidia uzalishwaji wa mbegu za kiume na kuimarisha urijali wake.
ππ’πππ¦π’π§ π
Hii inapatikana kwenye vyakula k**a samaki,mayai,maziwa/bidhaa zitokanazo maziwa,
Inasaidia katika uzalishwaji wa kichochezi cha kiume(testosterone) pia husaidia;-
Kurekebisha nzunguko wako wa damu kukaa vizuri hivyo kupeleka oxygen katika viungo vyako vya siri,hii itakusaidia kustahimili tendo kwa mda mrefu(stamina) bila kuchoka.
ππππππππ
Haya madini yapatiakanayo kwenye nyama ya ngβombe,cabbage,broccoli,vyakula vya baharini,vitunguu,uyoga,kondoo n.k,
Husaidia kuongeza urijali kwa mwanaume.Madini haya hupotezwa sana mwanaume anapomwaga.
ππππππππ ππ
(ngano isio kobolewa,mchele wa brown,samaki wa kina kirefu yani tuna,maini,paprika,karanga,nyanya zilizokaushwa n.k)
Hii husaidia kuongeza msisimko hivyo damu kupita kwa wingi katika maeneo ya siri na kuongeza raha wakati wa kufika kileleni,
ππππππππ ππ
(Ndizi,parachichi,viazi vya kuokwa bila maganda,nyama ngombe,nyanya n.k)
Hii husaidia kudhibiti kichocheo(hormones) prolactine kisiathiri vichochezi vinavyohusiana na tendo la ndoa estrogen na testosterone,hivyo kuongeza hamu ya tendo la ndoa kwa ujumla.
ππππππππ πππ
(nyama ya ngβombe,mayai,dagaa,,maini,pwez,kaa/crab,chaza/oysters n.k)
Hii husaidia kuongeza msisimko hivyo uume kusimama bila kudhoofu kutokana na mishipa ya damu katika uume kutanuka
ππππππ ππ πππππππππ
Mbegu za maboga,mbegu za matikiti,cocoa/chokoleti nyeusi/dark chocolate,almond,korosho,mbegu za kitani/flax seeds,mbegu za alizeti/sunflower seeds n.k
Haya husaidia katika uzalishwaji wa vichochezi vya tendo la ndoa
πππππππ πππππ ππππ ππππππ ππππππ πππ πππππππ πππππ ππππ πππ ππ πππππππ ππππππππππππππππ(π
πππ πππππππππππ) πππππππ πππ ππ ππππππππππππ ππ πππππππ πππππ ππππππ πππ πππππ ππ πππππππ ππππππ ππ
πππ ππ ππππππππππππ.
11/10/2021
Hatari na Athari Kubwa Zinazotokana na Maambukizi Kwenye Via Vya Uzazi (PID) na Tiba Yake
Maambukizi kwenye njia ya uzazi (PID), ni mambukizi ya bacteria yanayoathiri sana wanawake kwenye mfumo wa uzazi na huleta athari kwenye mfumo mzima wa uzazi. Moja ya athari za PID ni kutoweza kushika mimba/ugumba.
Tafiti: Kati ya wanawake 8 walaiowahi kuugua PID mmoja wao atakutana na shida kupata mimba kwa siku za hapo baadae. Huku wale wanaofanikiwa kupata ujauzito basi hupata matatizo pia ikiwemo mimba kuharibika au kujifungua kabla ya wakati.
Visababishi vya PID
Magonjwa ya zinaa ambayo hayakutibiwa ipasavyo hasa gonorrhea na chlamydia yanaongoza kwa kusababisha PID. Japo kuna baadhi ya wanawake wanaugua PID kuna kwenye maambukizi ya kawaida ya bacteria (bacteria vaginosis).
Dalili za PID
ππ½Maumivu ya tumbo chini ya kitovu ambayo yanaweza kuwa upande mmmoja au pande zote kulia na kushoto
ππ½Sehemu za uke kuwa na ulaini sana
ππ½Kupata maumivu wakati watendo la ndoa wakati mwingine kupeleekea kuvuja damu wakati na baada ya tendo la ngono na hivo kukosa tena hamu ya tendo la ndoa
ππ½Kuvurugika kwa hedhi
ππ½Kutokwa na majimaji ukeni kusiko kawaida hasa yenye rangi ya njano na kijani
ππ½Maumivu wakati wa kukojoa
ππ½Kupata maumivu wakati wa choo
ππ½Kupata dalili za homa k**a kizunguzungu, mwili kukosa nguvu, kukosa hamu ya kula na uchovu mwingi.
Madhara Ya Uzazi PID
ππ½Ugumba na mimba kujishikiza mahali pasipo sahihi (ectopic pregnancy). Kadiri unavoumwa zaidi PID ndivyo hatari ya kupata ugumba inavoongezeka. Mimba kutokea nje ya mfuko wa mimba ni ishu kubwa ya kiafya na inahitaji uangalizi mkubwa wa kidaktari ili kuzuia kuvuja kwa damu na hatimae kupelekea kifo kwa mama. Madhara mengine ya PID
ππ½Kupata majeraha kwenye mirija ya uzazi, majeraha yanaweza kutokea nje ama ndani, tatizo hili linaweza kuwa gumu kutibika na hutokea tu pale ambapo maambukizi hayakutibiwa kwa muda mrefu zaidi.
ππ½Kuziba na kujaa maji kwa mrija ya uzazi (Hydrosalpinx kutokana na majeraha ya tishu zake
ππ½Maumivu ya tumbo ya muda mrefu husababisha maumivu wakati wa tendo la ndoa na mwanamke kutofurahisa unyumba.
ππ½Kuongezeka kwa hatari ya kupata matatizo mengine wakati wa ujauzito na kujifungua.
Magonjwa ya Ngono Yayonasababisha PID Yana Dalili Karibu Sawa na PID. Haya magonjwa mwanaume anaweza kuyapata Kutoka kwa Mwanamke mwenye PID Sugu au magonjwa mengine ya zinaa.
Dalili zingine ni k**a;
ππ½Kutokwa na uchafu kupita kiasi ukeni, wenye rangi ya njano na kijani na unaonuka.
ππ½Kupata maumivu makali wakati wa kukojoa na kutoa haja kubwa
ππ½Kutokwa na uchafu mweupe kwenye uume unaoambatana na maumivu makali
ππ½Maumivu na kuvimba kwa kende/mapumbu
Kwa baadhi ya watu hupata maumivu mahala pa haja kubwa na kutokwa na uchafu
ZINGATIA HAYA;
Endapo utagundua kwamba unapata dalili za magonjwa ya zinaa k**a tulivoelekeza hapo juu mfano maumivu ya tumbo chini ya kitovu, maumivu wakati wa kujamiiana, maumivu wakati wa kukojoa, hedhi kuvurugika, mamumivu makali wakati wa hedhi, na mengine, basi hakikisha unamuona Dactari mapema kwa ajili ya vipimo. K**a unashiriki ngono na mwenzi wako pia inashauriwa wote mpate vipimo na kutibiwa vizuri.
TIBA
Matibabu yanapatikana.
Tuna bidhaa nzuri na salama sana za kuweza kutibu tatizo
Dozi yetu ya siku 30 itakuondolea na kutibu kabisa tatizo la PID na Kusafisha Mfumo mzima wa uzazi..
π€π½π€π½π€π½π€π½π€π½
+255628675245
07/10/2021
MADHARA WANAYOYAOGOPA SANA KUYAPATA WAGONJWA WA KISUKARI
πKutumia madawa ya hospitali maisha Yao yote
πVidonda miguuni na Kukatwa miguu
πKuzuiliwa vyakula
πPressure na macho kutoona vizuri
πKupoeteza uwezo wa tendo la ndoa
πIni kufeli, Stroke/Kiharusi na matatizo ya moyo
πGanzi mikononi na miguuni na Kifo
NAMNA YA TULIVYOWASAIDIA WENGI KUTIBU CHANGAMOTO YA KISUKARI
βπ»Kisukari ni Ugonjwa hatari sana ambao hutokana na vyanzo mbalimbali vikiwemo vya kimazingira, mitindo ya maisha na kijenetiki. Ugonjwa huu kwa bahati Nzuri unatibika mbali na kuwa na madhara makubwa na hatari sana.
Tiba yake ni matumizi ya Restolyf, Choleduz Omega-3 Supreme, C24/7 na Liven Alkaline Sugar Free kwa siku 90-120 (UHAKIKA)
FAIDA ZA TIBA ZETU KWA MGONJWA:
ππΏHutibu Kisukari level yoyote hata k**a umeharibiwa na vidonda/miguu au vidole vinakaribia kukatwa
ππΏHuimarisha kiwango cha Sukari Kwenye damu
ππΏHuimarisha utendaji Kazi wa Kinga ya mwili na kuchakatwa kwa Cholesterols na Anti-oxidants zote Mwilini
ππΏHuimarisha utendaji Kazi wa Insulin Mwilini (Huna haja ya kupiga sindano za insulin tena)
ππΏHutibu na kukinga magonjwa yote yanayosababishwa na madhara ya Kisukari k**a Magonjwa ya Moyo, Presha, Kiharusi/Stroke, Figo na Ini
ππΏHutibu matatizo ya macho ambayo husababishwa na Kisukari
ππΏHutibu na kukinga Ugonjwa wa figo (Diabetic Neuropathy)
ππΏHuondoa ganzi zitokanazo na madhara ya Kisukari
ππΏHutibu tatizo la Nguvu za Kiume (Kwa Wanaume) kutokana na madhara ya muda mrefu.
ππΏZinasaidia kuondoa kila dalili na madhara yasababishwayo na Ugonjwa wa kisukari.
Anza Tiba Yako Leo;
Kwa matatizo ya Uzazi na Nguvu za Kiume
02/10/2021
JE WAJUA!?
*TANGO*
Tango (coccumber).
Matango/Tango ni katika mimea jamii ya matikiti na maboga. Tango ni katika matunda ambayo unatakiwa uyale sana kwenye maisha yako. Tafiti zinaonesha kuwa asilimia 95 ya tango ni maji. Tango lina vitamin K, B vitamins, copper, potassium, vitamin C, na madini ya manganese.
Tango lina anti-inflammatory flavonol ambayo huitwa fisetin. Hii husaidia katika kuimarisha afya ya ubongo. Hii husaidia katika kutunza kumbukumbu na kuimarisha afya ya mfumo wa fahamu pamoja na neva.
Tafiti zinaonesha kuwa tango lina polyphenols ambazo huitwa lignans (pinoresinol, lariciresinol, and secoisolariciresinol), husaidia katika kuzuia kupata aina mbalimbali za saratani (cancer) k**a saratani ya kizazi kwa wanaume na wanawake.
Tango pia lina antioxidant flavonoids, k**avile quercetin, apigenin, luteolin, na kaempferol, ambazo husaidia katika kupambana na maradhi k**a saratani na maradhi mengineyo.
Tango hupunguza joto tumboni, pia huondoa bajteria wanaoleta harufu mbaya mdomoni. Tafiti zinathibitisha kuwa tango husaidia katika kuondoa misongo ya mawazo na hii ni kutokana na uwepo wa vitamin B1, vitamin B5, and vitamin B7 (biotin) kwenye tango.
Tango huimarisha afya ya moyo na kupumguza shinikuizo la damu. Tanago husaidia mfumo wa kumengβenya chakula ufanye kazi kwa ufanisi. Tango husaidia katika kuthibiti uzito wa mwili.
Wasilina nasi kwa Virutubisho tiba mbalimbali vya mwili.. π€
16/09/2021
π
CHUKUA MUDA WAKO NA USOME HII INAWEZA KUKUOKOA AMA KUMUOKOA UMPENDAE NA TATIZO LA KISUKARIππΎ
*UFAHAMU UGONJWA WA KISUKARI.*
ugonjwa wa kisukari ni nini?
ni ugonjwa unaotokana pale insulin inaposhidwa kubalansi sukari, ambayo homoni ya insulin hutengenezwa kwenye kongosho(pancreas) na kongosho inaposhindwa kufanya kazi vizuri hupelekea homoni ya insulin kupungua au kuongezeka na ndo hapo hutokea utofauti wa kisukari, pia ugonjwa huu hauambukizwi kutoka kwa mtu kwenda kwa mtu. Ikumbukwe kuwa kisukari huwapata mpaka watu wasio wanene(wembamba) na mama wajawazito
_ππVISABABISHI VINAVYOPELEKEA MTU APATE UGONJWA WA KISUKARI._
Vyanzo vinavyopelekea mtu aweze kuwa mwathirika wa ugonjwa wa kisukali endapo asipovizingatia kwa umakini vyazo vikuu vipo vya aina mbili ambazo ni mfumo wa maisha na kurithi.
ποΈ *(Mfumo wa maisha)* . Hii imekuwa sababu kubwa ya kuathiriwa na ugonjwa wa kisukari kwa haraka zaidi kuliko chochote na hii inatokana na ulaji (vyakula na vinywaji), kutokana na uandaaji wa vyakula kutoka vinalimwa hadi kuja kuingia kinywani mwa binadamu imekuwa ni changamoto kwa sababu ya kemikali zinazotumika kutunzia vyakula lakini pia na mtu yeye mwenyewe k**a anapenda kula vitu vitamu vitamu ni kirahisi zaidi mtu huyo kuathirika kwa ugonjwa huu, uchunguzi uliofanyika huko marekani unasema kuwa mtu anaependa kula vyakula vyenye sukari nyingi au vitamu kuwa anakiwango kikubwa cha bacteria wabaya mwilini na hao bacteria hupendelea kula vitu vitamu kwahiyo inakuwa ni kirahisi sana kuchochea homone na kushidwa kwa kongosho kubalansi kiwango cha sukari mwilini.
ποΈΒ· *Unene (obesity* ). Uzito uliopitiza kiwago ni moja ya sababu zinazopelekea mtu kuugua ugonjwa wa kisukari kwa sababu mwili wa mtu mnene unakuwa na sukari nyingi au kuwa na glucose nyingi.
ποΈ *(Kazi za ofisini)* . Mtu anaefanya kazi za kukaa kwa muda mrefu bila kufanya mazoezi anakuwa na hatari ya kuwa na kiwango kingi cha sukari kwa sababu anakuwa hafanyi zoezi lolote la kuweza kuunguza mafuta na sukari mwilini mwake hii ni tofauti na miaka ya 1980βs miaka hiyo watu wengi shughuri zao zilikuwa siyo za ofisini knazi zao nyingi zilikuwa za kuushughurisha mwili na hivyo ilikuwa ni kirahisi zaidi kuunguza mafuta bila hata ya kufanya mazoezi hii ni tofauti na sasa.
ποΈ *(Kurithi) Haijafahamika kuwa nini sababu inayopelekea kurithi huu lakini k**a kwenye ukoo kulikuwa na mgonjwa wa kisukari hivyo ugonjwa usishangae mtu kuugua kisukari bila hata ya hizo visababishi vya juu.
Baada ya kujifunza juu ya visababishi vinavyopelekea kuadhirika kwa ugonjwa wa kisukari hivyo ni muhimu kufahamu kuwa mtu anapokuwa na kisukari anakuwa na dalili zipi, zifuatazo ni dalili za mtu alie na ugonjwa wa kisukari.
_ππDALILI ZA UGONJWA WA KISUKARI._
Unapoona hizi dalili siyo kwamba ni moja kwa moja tayari una ugonjwa wa kisukari ni vema zaidi ukafika hospital ukachukua vipimo pale unapoona baadhi ya dalili ili kupata uhakika wa afya ya mwili wako japo dalili za mtu mwenye kisukali ni k**a zifuatazo;
i. *(Kukojoa mara kwa mara)* Mtu mwenye kisukari hukojoa mara kwa mara ni pamoja na insulin kushidwa kubalansi sukari mwilini na kufanya sukari iwepo kwenye damu nyingi ndo maana huchochea kukojoa mara kwa mara.
ii. *(Kiu isiyoisha) * . hii ni kwa sababu mwili wako unapoteza maji mengi kwa njia ya mkojo na hivyo husababisha mwili uhitaji mengi isivyo kawaida.
iii. *Njaa kali* . Ni kwasababu insulin yako haiwezi kubeba glucose mwilini mwako au hauna insulin ya kutosha ambayo husaidia kubeba lishe zilizomo kwa vyakula na kukufanya upate vitamin vya kutosha.
iv. *(Kuongezeka uzito) * Hii inatokana na dalili ya kusikia njaa kali na hivyo humfanya mtu kula vyakula vingi na kwenda kuchochea homoni mwilini kufanya kazi pasivyo kawaida na ndio hapo unamkuta mgonjwa wa kisukali ananenepa tu.
v. *Kupungua uzito.* Hupungua uzito hasa pale mgonjwa wa kisukari anapokosa hamu ya kula na hivyo mwili wake hukosa lishe au virutubisha na kupoteza madini mengi mwilini mwake na seli zake hukosa chanzo cha chakula.
vi. **Kukojoa mkojo na wadudu k**a sisimizi na nzi kuuzingira.* K**a nilivyosema hapo mwanzo kuwa bacteria wabaya wanapenda vitu vitamu hivyo na wadudu nao hivyo hivyo mgonjwa wa kisukari huwa anatoa mkojo wenye sukari nyingi na ndio maana huo mkojo unakuwa rafiki na wadudu.
vii. (Kuchoka) Ili mtu awe na nguvu za kutosha ni lazima sukari ibadirishwe kutoka kwenye vyakula kwenda kwenye misuri, hivyo basi mgonjwa wa kisukari, sukari yake hubaki kwenye damu na siyo kwenye misuli na ndo maana huchoka bila hata kufanya kazi yoyote anaweza kuamka asubuhi kutoka kitandani na anakuwa kachoka.
ππ*_MADHARA KWA MGONJWA WA KISUKARI NA BAADHI YA VIUNGO VINAVYOATHIRIKA ZAIDI_ .
*
Kupenda vitu vitamu hususani jamii ya sukari huwa ni tamu sana kwenye ulimi lakini changamoto inakuja kule inakoelekea kwa ajili ya kutunzwa na kutumika, hapo ndo husababisha changamoto mbalimbali mwilini hasa kwenye baadhi ya viungo vya mwili. Yafuatayo ni madhara ya sukari inapozidi mwili na kiwango sahihi cha sukari inayotakiwa mwili pale unapokuwa umekula chakula:
ποΈ***vidonda vya miguuni** (diabetes foots).* Ugonjwa wa kisukari huathiri miguuni hasa pale unapopata ganzi inapelekea kushidwa kuhisi maumivu hivyo hata ukipata jeraha au mchubuko unakuwa huhisi maumivu ya aina yoyote unakuwa hauna tofauti na aliechomwa sindano ya ganzi kwa ajili ya kufanyiwa upasuaji,
vidonda vya mtu mwenye kisukari ni vigumu sana kupona kwa sababu damu inakuwa haifiki ya kutoshakwenye kidonda na asilimia kubwa bacteria wabaya
huanza kukishambulia kwa kasi kwa sababu kinakuwa ni kitamu
diabetes6
kwa bacteria na kinaonekana kuwa na malengelenge ya mafuta na hao bacteria hushambulia kwa kasi hivyo kusababisha kuongezeka kwa kidonda na mwishoe kukatwa endapo hatawahi huduma mapema ya kujikinga.
ποΈ**Kutokuona vizuri au mtoto wa jicho.* Mishipa ya kwenye macho huwa ni midogo midogo sana na iko laini sana ukiliganisha na mishipa ya sehemu zingine za mwili hivyo inapoingiliwa na sukari damu hushidwa kupita ya kutosha sehemu za macho na kumfanya mtu awe anaona ukungu ukungu au kutokuona kabisa.
ποΈ *Madhara ya figo* . Figo inapokuwa imezidiwa na kiwago kingi cha sukari hulazimika kupunguza maji ya ziada na utengenezaji wa calcium kwa ajili ya kulinda mifupa hivyo sukari nyingi kukimbilia kwenye damu na baadaye huwa sumu mwilini.
ποΈ *Kiharusi (stroke)* . Kwa kuwa madhara ya sukari mojawapo ni kudhoofisha mishipa kwenye mwili hivyo mtu wa kisukari ana hatari kubwa ya kupata stroke kwa sababu baadhi ya mishipa kwenye ubongo huathiriwa na kukosa uwezo wa kupitisha damu ya kutosha na mwishoe kupasuka na kusababisha kiharusi.
ποΈ *Maradhi ya moyo.* Vyanzo vya mishipa huanzia kwenye moyo na kusambaa pande zingine za mwili, moyo huathiriwa na ugonjwa wa kisukari kwa sababu sukari hudhoofisha mishipa na kumfanya mtu kuwa dhaifu hivyo k**a damu haipiti ya kutosha kwenye mishipa inakuwa ni kirahisi kupata magonjwa ya moyo k**a vile moyo kupanuka, moyo kuwa na tundo pamoja na kuongezeka kwa mapigo ya moyo.
ποΈ *Kwa wanaume kuishiwa nguvu za kiume* . Hili ni tatizo kubwa kwa wanaume kwa sababu mfumo wa uzazi wa mwanaume umeundwa kwa mishipa na misuli, k**a patakuwa hakupati ujazo mzuri wa damu inakuwa ni rahisi sana kushidwa kushiriki tendo ndoa na wengi wao wanapopatwa na hali k**a hii huigiwa na presha au msongo wa mawazo na kuibuia matatizo mengine tena.
Hayo ni baadhi ya madhara anayopatwa mtu mwenye kisukari japo anaweza kupatwa na changamoto zingine nyingi kwenye mwili wake na kumpelekea kupata shida awe mtoto au mtu mzima, lakini jinsi kwa kukosa uelewa na umakini zaidi kundi la watu wengi huishia kukatwa baadhi ya viungo na mwishoe kifo.
_ποΈMATIBABU._
Kwa mgonjwa au mwenye tatizo La kisukari anashauri kutumia virutubisho Lishe na hii inaenda kuimarisha kinga yake ya Mwili na kumsaidia kuondokana na tatizo hilo..
05/09/2021
ππΎ *Soma na UFAHAMU SASA VIRUTUBISHO VILIVYOMO NDANI YA BIDHAA HII YA CHOLEDUZ* ..
Bila shaka watu wengi wamekuwa wakijiuliza Omega 3 ni nini na Omega 6 ni nini,Bila shaka na wewe unayeisoma makala hii ni mmojawapo wa watu wanaojiuliza viambata hivi ni nini.
Basi leo nitakuelezea kwa undan nini maana ya viambata hivi na vina umuhimu gani katika afya yako.
*OMEGA 3 NA OMEGA 6 NI NINI?*
*Omega 3*
Hizi ni aina ya Fats(Mafuta) ambazo mwili hauwezi kujitengenezea bali mwili unategemea aina hii ya virutubisho kutoka katika vyakula. Virutubisho hivi vinasaidia utendaji kazi wa Cells zote za mwili,Virutubisho hivi vinasaidia kutengeneza Hormones ambazo zinasaidia kuganda kwa damu pindi unapopata majeraha,Zinasaidia kutanuka na kusinyaa kwa mishipa ya damu hivyo kusaidia kuimarisha mzunguko wa damu.
*Omega 3* pia inasaidia kuukinga mwili na matatizo ya moyo(heart attack) na Kiharusi(stroke),Pia inasaidia kutuliza matatizo ya aleji za mwili k**a Pumu ya ngozi(eczema) na matatizo ya _Joints_ .
Vyakula vingine ambavyo vinaweza kuupatia mwili aina hii ya virutubisho ni k**a Samaki na vyakula vingine vya baharini,Soya beans na Spinach
*Omega 6*
pia ni aina ya Fats muhimu sana katika mwili ambayo inafanya kazi kubwa ya kusababisha ukuaji wa cell za mwili na ni muhimu kwa ukuajia na utendaji kazi wa ubongo na misuli.Pia inasaidia kuimarisha mishipa za fahamu(nerves) hivyo ina umuhimu mkubwa katika kuimarisha mfumo wa neva na mawasiliano katika mwili.
*Omega 6* pia inapatikana kwenye nyama ya kuku,mayai, na nafaka k**a mahindi na mchele,alizeti,maboga,mafuta ya kupikia ya pamba,na zabibu.
Endelea.. π
05/09/2021
MBALI NA OMEGA 3 NA 6, ina virutubisho vingine zaidi ambavyo ni muhimu katika kuimarisha afya yako.Vifuatavyo ni aina ya virubisho utakavyopata ndani ya
Vitamin A
Symptoms of severe deficiency are night blindness, dry eyes, diarrhoea and skin problems.
Hi ni vitamini muhimu sana katika ukuaji na uimara wa mifupa,kuzaliana na nguvu za kiume pia kuimarisha kinga ya mwili.Pia ni vitamini nzuri kwenye macho kwa sababu inaimarisha macho na kukufanya kuona vizuri na kukukinga na matatizo ya macho.
Vitamin B1
Hii usaidia kuvunjavunja Wanga(Carbohydrates) kuwa sukari pia inaimarisha mfumo wa neva na kuukinga mwili na maradhi ya beri beri na kuzuia tatizo la mgongo wazi kwa watoto.Pia usaidia kuwakinga watoto na matatizo ya moyo na tatizo la mgongo wazi kwa watoto.
Vitamin B2
Hii husaidia kuifanya ngozi yako kua yenye afya na kuzuia tatizo la chunusi
Vitamin B12
Hii husaidia katika utengenezaji wa chembechembe hai nyekundu za damu.
Vitamin E
Hii pia husaidia kuimarisha afya ya ngozi na kuimarisha kinga ya mwili.
Hizo ni baadhi tu ya FAIDA utazoweza kuzipata ndani ya CHOLEDUZ
02/09/2021
SomoππΎππΎ
THAMANI YA MADINI YA ZINC (ZINKI) KATIKA UTUNZAJI WA MIMBA NA KUBORESHA SIFA YA MWANAUME
UTANGULIZI
Ina kadiriwa kuwa mwili wa mwanadamu una kiwango cha 2gm za zinc, ambapo 60% hupatikana kwenye misuli na 30% kwenye mifupa, ingawa hupatikana mwili mzima. Kuna sababu nyingi ambazo zinaweza kupelekea zinc kusharabu lakini matumizi ya pamoja na madini ya chuma, calcium, copper (kopa), na cadmium hupunguza kiwango cha zinc kusharabu.
Ni mara chache jamii yetu hutambua na kuthamini utumiaji wa vyakula k**a tiba yenye maboresho katika matatizo mbali mbali yanayotukumba.
Zinc imeonesha kuwa na majukumu mbali mbali mwilini ambapo imeonesha kuimarisha kinga ya mwili, kuimarika kwa mfumo wa fahamu, huboresha sukari mwilini, mafua, huimarisha uponaji wa vidonda, matatzo ya akili, makanda wa jeshi, matatizo ya kupoteza hamu na radha ya chakula, matatizo ya sikio, vidonda sehemu za siri n.k
VYAKULA VYENYE MADINI YA ZINC KWA WINGI
1. Nyama
2. Ini
3. Mayai
4. Samaki wa baharini
5. Jamii ya karanga
6. Nafaka
7. Uyoga
8. Mbegu za maboga
9. Jamii ya maharage ya kijani
DALILI ZA UKOSEFU WA MADINI YA ZINC
1. Kupoteza hamu radha ya chakula
2. Ukuaji wa kusua sua kwa mtoto
3. Mwili kuwasha mara kwa mara
4. Kuhara kwa muda mrefu
5. Upungufu wa kinga ya mwili
6. Vidonda kuchelewa kupona
7. Kupoteza uwezo aa kuona
8. Mabadiliko ya tabia hasa uchovu wa mara kwa mara
9. Kushindwa kusimama kwa uume na kukosa hisia za mapenzi
10. Muda wa momba kupitiliza miezi tisa
11. Uwezekano wa mimba kutoka
12. Mtoto kuzaliwa na vilema
13. Mtoto kuzaliwa na uzito mdogo
14. Mtoto kukosa utulivu karibia miezi sita
Endelea...
02/09/2021
JINSI MADINI YA ZINC YANAVYOSAIDIA KATIKA MATIBABU YA UGUMBA KWA MWANAUME NA UTUNZAJI WA MIMBA
Upungufu wa madini ya zinc hupelekea upunguaji wa uzalishaji wa mbegu za kiume na hatimae kuathiri uwezekano wa mwanaume kutunga mimba.
Pia, upungufu wa madini haya hupelekea kupungua uzalishaji wa homoni ya kiume βtestosteroneβ ambapo inaweza kupelekea ukuaji hafifu wa korodani na kushindwa kusimamisha uume.
Kwa wanawake, upungufu wa madini haya huhusishwa na mimba kutoka, mtoto kuzaliwa amekufa, vilema kwa mtoto na matatizo mengine. Ni kwasababu madini haya huhusika zaidi katika uzalishaji wa homoni za k**e k**a oestrogen na progesterone
NYONGEZA: Madini ya zinc husaidia kutunza vitamin E isipungue mwilini, ambapo vitamin E huhusika zaidi na ulinzi wa chembe hai zetu mwilini
β- Katika masuala ya uzazi Vitamin E husaidia kulinda mbegu za kiume na mayai kwa wanawake.
Katika BIDHAA ZETU unaweza anza kutumia leo hii *LivenCoffe* yenye kiwango kikubwa cha madini ya zingi lakini bila kusahau *C24/7*
Bidhaa hizi zitaokoa ndoa yako..ππΎ
Karibu kwenye madarasa yetu ya kila siku BURE.
BURN SLIM* ..itakurahisishia ww unaeona uvivu kufanya mazoezi kwa lengo la kupunguza uzito wako ama mwili wako..najua tupo wengi sana tunao hisi uvivu wakati flan hasa linapokuja swala la kufanya mazoezi.. *Anza leo kutumua BURNSLIM πͺπ½
Kwa mawasiliano PIGA simu +255688593052 ama tuma Ujume kwa WhatsApp ππ
Bofya link hapo >>https://wa.me/255628675245
Click here to claim your Sponsored Listing.
Category
Website
Address
Dar Es Salaam
Opening Hours
| Monday | 09:00 - 17:00 |
| Tuesday | 09:00 - 17:00 |
| Wednesday | 09:00 - 17:00 |
| Thursday | 09:00 - 17:00 |
| Friday | 09:00 - 17:00 |
| Saturday | 09:00 - 17:00 |
| Sunday | 09:00 - 17:00 |
