ney
Karibuni sana tuko hapa kwa lengo la kupeana mafunzo ya Afya, Elimu, Ushauri
08/10/2023
k**a unachangamoto yeyote ya uzazi karibu kwa ushauri na tiba pia.
0764374487
USING'OE JINO TENA.
EBU JIULIZE HAYA MASWALI:
1. Kwa nini meno yanakuuma wakati mwanzo ulikuwa hauumwi meno?
2. Kwa nini unang”oa jino linahamia jino jingine tena kuuma na lenyewe unalitoa tena?
3. Kwa nini kinywa chako hata ukipiga mswaki bado unatoa harufu mbaya?
4. kwa nini ukipiga mswaki fizi zinatoa damu?
5. Meno ni muunganiko wa mfupa wa jino, Fizi na Mishipa. Mara nyingi watu wengi huwa pale wanapoumwa na jino wanakimbilia kung’oa jino eti dawa ya jino kuling’oa jambo ambalo si kweli.
Tambua ndugu yangu kuwa unapokwenda kung’oa jino unang’oa Mfupa sio Fizi wala mishipa ambayo hakuna madhara kwa bakteria anaesababisha jino kuuma.
fahamu kuwa kwenye kinywa cha mwanadamu kuna bakteria wanaoishi mdomoni wanaitwa NORMAL FRALER. Bakteria hawa ndio wanaotengeneza ute wenye Acid unaolainisha chakula kwa haraka mdomoni. Na ndio kazi yao. Lakini wanasababisha ugonjwa unaoitwa GINGIVAITES, ugonjwa huu husababisha fizi kutoa damu haswa unapopiga mswaki, lakini ukiachwa ukawa sugu unasababisha ugonjwa wake kuwa sugu na hujulikana k**a MACHODIFECE ugonjwa huu husababisha na hufanya meno kuoza, ama kutoboka kutokana na bakteria AFINOTOBALASAD ndio wanaosababisha na huwa wanaingia ndani kwenye fizi kwa ajili ya kula damu. Hapo ndipo mtu hupatwa na tatizo la kuumwa na jino au meno.
ADUI WA MENO YETU NI FLUORIDE.
Ndugu angalia dawa ya meno unayotumia k**a imeandikwa fluoride k**a ni ushauri itupe kwani hata k**a kwa sasa uko safi kwenye kinywa badae utaingia tena kwenye changamoto ya meno na kinywa.
TUONE FLUORIDE INAVYO ASILI MENO NA AFYA KWA KWA UJUMLA.
Shirika la afya duniani [WHO] lilipendekeza kiwango cha fluoride kwenye majiya kunywa kiwe (0.5_1) mg/lite kutokana na madhara makubwa yanayotokana na fluoride, mataifa yaliyo endelea yanafanya mpango wa kuiondoa kabisa fluoride katika maji ya kunywa (soma dr Dean burk,mgunduzi wabiotin amefanya kazi national institute of cancer huko marekani kwa miaka zaidi ya thelathini) fluoride iliyowekwa kwenye dawa ya meno imewekwa kwa kiwango kikubwa sana ndio maana wameandika kwamba
a. Usimeze ukimeza kwa bahati mbaya muone dr wa meno. Jiulize umemeza mara nagapi
b. Usibakize masalia ya meno kwenye kinywa
c. Mtoto chini ya umri miaka 6 asimamiwe na mtu mzima ili asimeze wala kuila
d. Swaki mara mbili hadi mara tatu kwa siku
e. Baada ya miezi 3 badilisha mswaki
Haya ndo madhara ya utumiaji wa fluoride .
1. UBONGO
Ungunduzi wa kina wa kisayansi umegundua kuwa utumiaji wa fluoride unapunguza IQ (intelligence quotient) kwa watoto wadogo ambao bado ubongo wao haujakomaa.
2. MIFUPA.
Kiwango kikubwa cha fluoride kinadhoofisha mifupa na kupelekea watu wengi kuvunjika kirahiisi haswa kwenye kiwiko na kwenye hips
3. FIGO.
Wenye matatizo ya figo wanashauriwa wasitumie vitu vyenye fluoride kabisa inamadhara kwa figo zetu (fluoride induced nepharotoxicity)
4. MENO
Kiwango kikubwa cha fluoride hudhoofisha meno na kupelekea Kurusu mashambulizi wa wadudu kwenye kinywa ndo maana unapotoa jino hao wadudu huhamia tena jino linguine.
5. TYROID.
Fluoride husabisha watukushi kutengeza thyroid hormone kwani huzuia iodine isijishikekwenye kemikali inayotumika kutengeneza thyroxine hormone .mwishowe tunaishia kupata goiter na matatizo mengine yatokanayo na upungufu wa vitamin hii.
6. CANCER.
Fluoride ni chanzo kikubwa sana cha kansa kwenye mwili wa binadamu inapojikusanya kwa muda mrefu na hupelekea hata kupata madonda ya tumbo meno kuharibikan.k (Dr Dean USA).
TIBA YA MENO NA KINYWA.
Kuna dawa ya meno ambayo imetengenezwa kwa ubora Zaidi na kufanyiwa tafiti kubwa sana inafanya kazi zifuatazo:
i. Haina fluoride
ii. Inashambulia mdudu anaeharibu jino au kinywa
iii. Inaruhusiwa kumenzwa k**a tumbo linakusumbua kuuma
iv. Ukiungua moto au ukajikata au jeraha la aina yoyote ile ikijipaka unapona bila kovu.
v. Inaimarisha fizi za meno zisitoe harufu mbaya
Na unaweza kuitumia k**a huduma ya kwanza hadi kwenye fungasi na mapunye.
https://chat.whatsapp.com/LG7mh5ZBezL3lbJhfddNc3
ney Karibuni sana tuko hapa kwa lengo la kupeana mafunzo ya Afya, Elimu, Ushauri
Click here to claim your Sponsored Listing.
Category
Website
Address
Ubungo
Dar Es Salaam
0764374487
