Habil_afya_nutritional

Habil_afya_nutritional

Share

Contact information, map and directions, contact form, opening hours, services, ratings, photos, videos and announcements from Habil_afya_nutritional, Health/Beauty, Dar es Salaam.

KUTATUA CHANGAMOTO ZA KIAFYA
KWA KUTUMIA VIRUTUBISHO
K**A VILE AFYA ZA UZAZI KUPUNGUZA UZITO ULIOPITILIZA KUPATA MUONEKANO MZURI
WhatsApp/ call +255676547336

09/03/2024

Unataka kupungua....?

08/02/2024

Kitunguu Maji nacho kina kazi nzuri kwa wanaume k**a ilivyo Alkasusu.

Kazi yake ni kuamsha hisia, ni kuongeza msukumo wa damu kuelekea kwenye via vya uzazi yaani kujaza damu katika misuri ya uume hivyo kwa mwanaume mwenye changamoto ya nguvu za kiume badala ya kutumia dawa za kujibusti unaweza kutumia kiungo hiki cha chakula kuhakikisha mnalifurahia tendo bila kuhofia madhara ya baadae k**a zilivyo dawa nyingine za kemikali

Wengine hukikimbia kwa sababu ya ukali na harufu mbaya mdomoni, hilo ni kweli na hata mimi huwa sipendelei kukitafuna au kunywa juisi yake ila badala yake huwa najaribu kuandaa kachumbari ambayo inahusisha matunda k**a parachichi, ndizi mbivu, tango na limao kiasi ila katika kachumbari hii naweka kitunguu maji na kitunguu saumu kwa wingi.

K**a hujawahi kabisa, ni muda wako sasa kujaribu.

Tumia Mchanganyiko huu walau masaa machache kabla ya kwenda kufanya tendo la ndoa kisha njoo na mrejesho.

Tukiachana na habari za kujibusti kwa kitunguu, wengi wetu punyeto imetuathiri sana enzi za ujana wetu kiasi hivi sasa kuenjoy mapenzi k**a zamani inakuwa vigumu kwa sababu za kukosa hamu, kufika haraka kileleni au uume kusimama baada ya kumwaga shahawa (bao la kwanza.....) KWA NINI USIJITIBU KABISA TATIZO HILI?

Nakufafanulia bila kukuficha chochote

1: TUANZIE KWENYE VYAKULA:
Sio kila mlo ni wa kubugia, vyakula vingine huwa si vizuri haswa vyakula hivi vya kisasa.
K**a mwanaume hakikisha katika milo yako ya siku nzima angalau unapata vyakula vitatu au zaidi katika orodha hii, hata k**a ni mara tatu kwa wiki sio mbaya.
Vyakula k**a chaza, pweza, tende, mbegu za maboga, asali ya nyuki wadogo, bamia, ndizi mbivu, mbegu za tikiti, pilipili, zabibu, mvinyo mwekundu, tangawizi, chai ya iliki na mdalasini, vitunguu saumu, viazi vyekundu, unga wa habat sawda, udishe au msamitu, ni vyakula ambavyo kazi yake katika mwili ni pamoja na kuchochea uzalishwaji wa homoni za kiume kwa wingi na kuleta mzunguko wa damu katika mishipa, hivyo hukuwezesha uume kujaa damu na kudumu kwa muda mrefu katika mishipa ya uume wakati wa tendo.

2: ZOEZI LA KEGEL
Hili napenda kuliita zoezi mkombozi wa ndoa kwani kati ya mazoezi yenye ufanisi mkubwa ni zoezi hili kwani mbali na kutumika kukata kitambi, kuondoa maumivu ya mgongo, kiuno na nyonga, zoezi hili linaimarisha sana msuri unaoshikilia uume pindi unapokuwa umesimama [pelvic floor muscle], na usichokijua ni kwamba linathibiti kwa kiwango kikubwa ukuaji wa tezi dume.
Tenga dakika moja au zaidi kufanya zoezi hili uwe shuhuda wa maarifa haya
Cha kufanya:
Lala chali, kunja miguu kuelekea kwenye kiuno kisha binua kiuno kuelekea juu kwa sekunde 15 kisha shuka tena binua kiuno kuelekea juu kwa raundi 15 hivi inatosha na kuongeza side plank, ingia youtube utayaona mazoezi

3: Boresha Mtindo wa maisha [Life Style]

Kuwa makini katika katika kile unachokiingiza mwilini na matendo pia, Epuka ulaji wa vyakula vyenye mafuta mengi, achana na junk foods, pombe isipokuwa mvinyo mwekundu [k**a imani yako inaruhusu kunywa kiasi], achana upigaji punyeto k**a bado unafanya hivyo kwa kuuminya au kuusugua u**me husababisha kutanua misuri na kuifanya kuwa legevu zaidi na kunywea kuwa k**a wa mtoto

Acha tabia ya kuangalia picha za ngono

Ziishi hizo kanuni utanipa mrejesho mwenyewe

Labda kwa sababu tatizo hili limekuchosha ungehitaji kupata msaada wa haraka sana bila madhara…..

•TUMEKUANDALIA VIRTUBISHO KWA AJILI YA KUIMARISHA NGUVU ZA KIUME kwa kuongeza uwezo wa kudumu katika tendo la ndoa, kuongeza ubora wa manii.
Dozi hii NI ya kudumu na unaitumia kwa siku 15

USISITE kututafuta Kwa mawasiliano ya WhatsApp au piga 0676547336

16/01/2024

*Ukitumia Package Hii, Utapata Faida hizi:*

*Faida zake Ikitumiwa na Mwanaume:*
▪︎ Uwezo Wa Kurudia Tendo haraka (Refractory Period)
▪︎Kuongeza Kiwango Cha Mbegu
▪︎Kusimamisha Imara na Muda Mrefu
▪︎Kuboresha Mzunguko mzuri wa Damu
▪︎Kuimarisha Misuli
▪︎Kurudisha Hamu Ya Tendo
▪︎ Kusafisha Sumu Mwilini na
▪︎Kuongeza Nguvu, Stamina na Pumzi ya Kwenda Muda Mrefu zaidi Katika Tendo.

*Faida zake Ikitumiwa na Mwanamke:*

▪︎Kuongeza Ute ute laini (Kuwa na Utelezi Mwingi)
▪︎ Kuondoa Ukavu Ukeni
▪︎Kuongeza Hamu Ya Tendo
▪︎Kuweka sawa Homoni (Kuballance Homoni)
▪︎Kuondoa Maumivu Makali Wakati wa Tendo.
▪︎Kuweka Mpangilio Mzuri wa Hedhi.

UNAWEZA ICHUKUA KWA AWAMU MBILI.

*Wewe Ungependa Upate Full Package au Nusu Package Kwanza ?*
kwa mawasiliano zaidi piga namba _0676547336

Photos from Habil_afya_nutritional's post 18/09/2023

Piga namba hii kwa maelezo zaidi WhatsApp/call 0676547336
Kumbuka hizi sio dawa ni virutubisho vya chakula.

13/07/2023

ARGI PLUS

Je Wajua; changamoto za afya ya mzunguko wa damu zinachangia zaidi ya nusu ya vifo vitokanavyo na magonjwa yasiyoambukizwa? Kwa sababu hii kutunza afya ya mzunguko wa Damu ni moja ya njia kuu sana ya kukukinga na hizo changamoto

Am Excited leo kukupa hii taarifa muhimu kuhusu *Argi Plus* Ni moja ya bidhaa chache KUU Sana kwenye kutunza afya yako.

Argi husaidia mishipa ya damu kutanuka na kuboresha msukumo wa damu vizuri mwilini na kwenye mishipa mikubwa na midogo, ambayo ni muhimu sana kwenye AFYA YA MWILI WOTE IN GENERAL.

*FAIDA NYINGINE NI:*
💥KUTUNZA AFYA YA MOYO na MZUNGUKO WA DAMU
💥 KUBORESHA UWIANO WA CHOLESTEROL MWILINI
💥KUSAIDIA KUWEKA UWIANO WA PRESHA YA DAMU
💥KUBORESHA UFANISI WA TENDO LA NDOA
💥KUBORESHA KINGA YA MWILI
💥KUJENGA NA KURECOVER MISULI hivyo muhimu sana kwa wafanya mazoezi
💥INABORESHA MIFUPA & TISSUE ZOTE
💥UMETABOLI WA MAFUTA & SUKARI MWILINI hivyo inafaa hata mwenye sukari
💥UZALISHAJI WA HOMONI ZA KUPUNGUZA KASI YA UZEE.

Kwa mawasiliano zaidi tucheck kupitia WhatsApp /call 0676547336

12/07/2023

Jifunze kitu hapa utanishukulu baadae

12/06/2023

*UKITUMIA BEDROOM PACKAGE UTAMALIZA CHANGAMOTO ZIFUATAZO:*

1. UTAKUWA NA UWEZO WA KURUDIA TENDO VIZURI NA KWA HARAKA ZAIDI.

2. KUONGEZA IDADI YA MBEGU

3. KUWA NA UWEZO WA KUSIMAMISHA UUME VIZURI.

3. KUWA NA MZUNGUKO MZURI WA DAMU.

4. KUIMARISHA MISULI

5. KUPATA HAMU YA TENDO

6. KUTOFIKA MAPEMA KILELENI

7. KUWA NA NGUVU NA STAMINA, WAKATI WA TENDO NA BAADA YA KUMALIZA TENDO.

*NB: KUMBUKA HIZI SIO DAWA NI VIRUTUBISHO.*

*FAIDA NYINGINE UTAKAZO ZIPATA UKITUMIA BEDROOM PACKAGE.*

package hii itakusaidia pia katika mambo yafuatayo :

1. Kuimarisha na kuipa nguvu mishipa iliyo legea kwa sababu ya punyeto

2. Hunenepesha uume ulio sinyaa kwa sababu ya punyeto

3. Hurefusha uume ulio dumaa na kurudi ndani kwa sababu ya punyeto.

4. Huimarisha na kuongeza nguvu za kiume

5. Hukupa uwezo wa kurudia tendo bila kuchoka

6. Hukupa uwezo wa kufanya tendo la ndoa kwa muda mrefu.

7. Husaidia kuongeza na kuimarisha nguvu na nishati ya misuli ya uume.

Mawasiliano
WhatsApp/call 0676547336

05/06/2023

Unafahamu kuhusu uzito wako....?? je kiafya mtu mzima anatakiwa awe na kilo ngapi ...? K**a wewe ni MUHANGA wa uzito uliopitiliza basi fanya hivi chukua namba yangu au nicheck WhatsApp huku kujitambulisha ni nani na unahitaji kupunguza uzito alafu tutaongea mimi na wewe kiundani zaidi .

WhatsApp/call 0676547336

27/05/2023

Njia za kuongeza nguvu za kiume
1.Badili mfumo wa vyakula vyakula salama kwa nguvu za kiume.
2.Fanya mazoezi ya mara kwa mara
3.Punguza misongo ya mawazo
4.Jiamini unapoliendea tendo
5.K**a unatumia vidonge vya kuongeza nguvu za kiume, jaribu kupunguza matumizi ama kuacha
6.Wacha kujichuwa ama punguza
7.Jitahidi kudhibiti kisukari ama presha ya kpanda.

26/05/2023

KUMBUKA
hizi sio dawa ni virutubisho vya chakula ambavyo vinasaidia sana mtu kuwa bora sana kwenye mfumo wa uzazi na sio lazima uwe na changamoto ndio utumie hapana hata ambae uko fiti unatumia kwasababu ya kujiimarisha zaidi na virutubisho ambavyo vinatumika nchi 167 duniani karibu sana utatue changamoto yako hapa kwa mawasiliano zaidi WhatsApp/call 0676 547 336

26/05/2023

Mwanaume kamili unatakiwa uwe hivi au nadanganya wanaume wenzangu

26/05/2023

Wewe wa kwako anatumia dakika ngapi kufika kileleni ....???
Niachie comment Yako hapo chini👇👇👇👇👇

Want your business to be the top-listed Beauty Salon in Dar es Salaam?
Click here to claim your Sponsored Listing.

Category

Address


Dar Es Salaam

Opening Hours

Monday 09:00 - 17:00
Tuesday 09:00 - 17:00
Wednesday 09:00 - 17:00
Thursday 09:00 - 17:00
Friday 09:00 - 17:00
Saturday 09:00 - 17:00
Sunday 09:00 - 17:00