Change Life with Us
Jali Afya Yako
28/09/2023
13/04/2023
Magonjwa ya mifupa na maungio yana sababishwa na vitu vingi sana ikiwemo
Ajali
Aina za ukaaji hasa ofisin
Kuumia kwa namna moja ama nyingine na mda mwingine unaweza usijue
Mazoezi mazito
Ulaji mbaya wenye kuleta mkusanyiko wa uric acid na kupunguza uzalishaji wa ute ute kwenye joints
Kuendesha gari masafa marefu mara kw maara
Zipo athari nyingi mtu anapata akiwa na matatizo ya mifupa na maungio k**a
Ganzi
Misuli kuwaka moto
Uchovu
Kudhoofika kw mifumo mingine km upungufu wa nguvu za kiume na hormone imbalance, macho, nk
Sasa basi acha kuendelea kuteseka matatizo yote ya mifupa na maungio yanatibika karibu kwa msaada zaidi
13/04/2023
NINI CHANZO CHA GANZI NA MIGUU KUWAKA MOTO ?
• Katika mwili wa binadamu, kuna tatizo la kiafya ambalo huambatana na dalili za mtu kuhisi maumivu, kuhisi kuwaka moto na kufa ganzi kwa viungo vya pembezoni mwa mwili yaani miguu na mikono. Tatizo hili kitaalamu hujulikana kwa jina la Peripheral Neuropathy.
• Mwili wa binadamu hutawaliwa na mifumo ya neva au kwa kitaalamu Nervous System, ambapo katika mifumo hii kuna mfumo mkuu, central nervous system (ubongo na uti wa mgongo) na pia kuna mfumo wa pembezoni ambao ni kazi za mwili mbali na ubongo na uti wa mgongo (peripheral nervous system), mfumo huu wa pembezoni hujumuisha kazi za misuli, mapigo ya moyo, mmeng’enyo wa chakula tumboni, uwezo wa kuhisi baridi au joto, kugusa vitu na kujua ukali wa ncha ya kitu na kadhalika.
• Matatizo haya ya kiafya (miguu au mikono kuhisi ganzi, baridi au maumivu) husababishwa na kuumia au kudhoofika kwa neva za pembezoni mwa mwili (miguuni au mikononi) na hivyo kupotea kwa uwezo wa kufanya kazi wa neva katika sehemu husika, miguuni au mikononi.
• Dalili .
1. Mtu kuhisi ganzi
2.Maumivu au kuwaka moto maeneo ya miguuni au mikononi,
3. Kuhisi k**a umevaa soksi au gloves wakati hujavaa,
4. Kuhisi k**a kuna kitu cha ncha kali kinakuchoma miguuni au kwenye vidole,
5. Kushindwa kushika au kunyanyua kitu,
6. Kuchoka kwa misuli na kadhalika.
• Miongoni mwa mambo ambayo hupelekea neva hizi za pembezoni kudhoofika na kushindwa kufanya kazi vizuri ni haya yafuatayo naomba uyafahamu:
1. Kupungua kwa virutubisho mwilini, katika hili tunamaanisha mwili kutokuwa na vitamini vya kutosha na hasa mkusanyiko wa vitamini B, (Vitamin B Complex).
2.Matumizi ya dawa, mtu kuwa katika matumizi ya baadhi ya dawa, mfano dawa za kutibu kifua kikuu au za kupambana na virusi vya ukimwi huweza kumsababishia mtumiaji matatizo ya neva.
3. Uzito mkubwa wa mwili: Hali hii hupelekea maumbile ya viungo vya mwili mfano umbile la uti wa mgongo lionekane tofauti na ilivyo kawaida, kubadilika huku husababisha baadhi ya neva katika uti wa mgongo zikandamizwe zaidi na misuli au uzito wa mwili na hivyo kusababisha neva hizo zishindwe kufanya kazi vizuri, matokeo yake ni wewe kuanza kuhisi maumivi au kufa ganzi kwa miguu.
4. Ugonjwa wa kisukari: Mtu mwenye tatizo la kisukari huwa hatarini zaidi kuugua au kupata matatizo ya neva, (diabetic polyneuropathy).
• Shinikizo la damu: Mtu kuwa na shinikizo kubwa la damu (High blood pressure) pia ni kihatarishi kinachoweza kumfanya mtu apate ugonjwa huu wa neva.
• Baadhi ya vitu hatarishi vinavyoweza kumfanya mtu apate matatizo haya, vinaweza kuepukika kwa mtu kuyabadili maisha yake mfano, k**a ulikuwa hufanyi mazoezi ya mwili, basi ujitahidi kuupa mwili mazoezi ili kupunguza uzito wa mwili, kuepuka magonjwa ya kisukari na kuepuka kuwa na shinikizo kubwa la damu, kula chakula chenye virutubisho vya kutosha.
• Kwa Ushauri wa Kitaalamu Kuhusiana na Matatizo Mbali Mbali Kuhusu Afya - 0687 310 021
02/02/2023
Nipe dakika moja nikujuze kuhusu Hormonal imbalance
✈️Hormonal imbalance; ni ile hali ya kupata hedhi mara mbili kwa mwez, au kukosa kabisa, au kupata hedh ya mda mrevu...
✈️Kila mwanamke anakuwa na hormon ya estrogen ambayo ndio huratibu mfumo mzima wa uzaz.. yaan kupata hedh kwa wakat, kurutubisha mayai, kupata ute wa uzazi, n.k....
✈️Kuna vitu ambavyo huvuruga homon ya estrogen na kushindwa kufanya kaz yake na matokeo yake ndio hayo, kukosa hedhi, kupata hedh ya mda mrefu au hedh kuvurugika..... na vyanzo hivyo ni;
👉Kutumia njia za uzazi wa mpango
👉Kukosa lishe bora
👉Msongo wa Mawazo
👉Kuugua magonjwa Sugu k**a U.T.I sugu na fangas sugu kwa mda mrefu na p.i.d sugu
👉Kuwa na unene uliopitiliza.. yaan mafuta meng mwilin.
■ Dalili za Hormonal imbalance
👉Kuhis kichefu na homa
👉Matiti kujaa na maumivu ya kiuno na mgongo
👉kuwa na dalili zote za mimba ukipima huna
👉U.t.i za mara kwa mara
👉Kuwa na hasira
👉kukosa hamu ya kula
■Madhara Ya Hormonal imbalance
👉Hupelekea ugumba, yaani kushindwa kubeba ujauzito
👉Uvimbe kwenye kizazi
👉Saratan ya Shingo ya kizazi
👉Mirija ya uzazi kuziba
Je unataman kutatua changamoto yako ya hormonal imbalance?
■Habar njema ni kwamba nimewasaidia wanawake wengi sana kuondokana na changamoto ya hormonal imbalance na sas wako vizuri, wengne wana watoto na wengine wana ujauzito sas na wengine wanafurahia hali yao ya kiafya.... hujachelewa bado naomba tuwasiliane.. 0687310021
Click here to claim your Sponsored Listing.
Category
Website
Address
Makumbusho
Dar Es Salaam
