AFYA BORA
KWA KUPATA MATIBABU YA AFYA KWA KUPITIA VIRUTUBISHO BORA KABISA AMBAVYO HAVINA ATHARI KATIKA MWILI W
03/11/2021
Hellow I hope upo pow kabis km wey ni kijan na unahitaji fursa ya kufanya biashar kubwa Kwa mda wa ziad
Call 0628330534
Wek no yk.
15/10/2021
KWA YOYOTE ANAEHITAJI KUJIUNGA NA COMPANY YA FOREVER NA KUANZISHA BIASHARA YAKE BINAFSI WEKA NAMBA ZAKO COMMENT
CALL 0628330534
03/10/2021
JE!!! UNAHITAJI KIFAHAMU NI BIASHARA GANI AMBAYO IMEWEZA KUBADILI MAISHA YA WATU WENGI SANA?
NAOMBA WASILIANA NA ME KUPITIA CALL 0623686648
KISHA NIKUPE MUONGOZO NA ELIMU YA BIASHARA
10/06/2021
JE!!! KUJICHUA KWANI KUNA MADHARA?.
whtsap no 0674573216
Or call 0623686548.
Kujichua kuna madhara makubwa hata k**a unaona kunakupa raha. Kujichua kunaweza kukufanya ukawa mtumwa wa tendo hili na ukifikia hatua hii basi ni dhahiri kuwa kumeshaathiri afya yako ya akili kwa kiasi kikubwa.
Kwa mujibu wa utafiti uliofanywa na wanasansi wa masuala ya ngono wa nchini Marekani akiwemo Dr. Michael Reece, (PhD, MPH) umebainisha kwamba iwapo utakuwa unapenda kujichua hautaona k**a unapata ladha yoyote ya tendo la ndoa na mwenzi wako, lakini sio kweli k**a ladha ya mwenzi wako imebadilika au kupotea, la hasha, ila kujichua kumeshabadili akili yako na mbaya zaidi umeshakuwa mtumwa wa kitendo hiki
Unaweza kupata magonjwa ya akili k**a vile sonona. Na kujikuta unaanza kuwachukia watu wa jinsia ya tofauti na wewe, kwa sababu tayari akili yake umeshaathirika kisaikolojia anajiona kuwa haja yake ya kimapenzi anaweza akaitimiza yeye mwenyewe pasipo ushirikiano na mtu mwingine
Lakini pia, kujichua kunachangia kupoteza uwezo wa kushiriki tendo la ndoa kikamilifu. Kwa mwanaume kunaweza kumsababishia uume kulegea au kuwahi kufika kileleni, na kwa mwanamke kujichua kunampotezea ile hali ya kuhimili tendo la ndoa (s*xual drive).
Pia k**a utakuwa mpenzi wa kujichua unakuwa kwenye hatari kubwa ya kupoteza nywele na kupoteza kumbukumbu.
KWA KUWEZA KUPATA MATIBABU ONLINE YA ATHARI HIZO WASILIANA NASI 0623686548
OR WHTSAP 0674573216
10/06/2021
https://chat.whatsapp.com/HYE7zQF43ne9fKJDbXFd7d
WEKA HESHIMA YA NDOA KWA NUTRIENTS WhatsApp Group Invite
Hellow.
Weka namba yako hapo nikuunge kwenye group la whtsap la afya ya uzazi kwa wanaume tu!!!
Imarisha ndoa yako.
0623686548
06/06/2021
ZIJUE ATHAR HATARISHI KWA WENYE UNENE NA MANYAMA ZEMBE, VITAMBII NA TAMBUA NAMNA YA KUONDOA UNENE NA VITAMBII.
whtssap no 0674573216
call no 0623686548
Shirika la afya duniani WHO limetoa ripoti kwamba zaidi ya watu milioni mbili a laki nane wanakufa kila mwaka sababu ya kua na uzito mkubwa kuliko kawaida na watu milioni thelathini na tano wanapata ulemavu sababu ya unene kila mwaka, ni kweli chakula ni muhmu kwa afya zetu lakini ulajia wa chakula uliopitiliza ni hatari sana na huweza kusababisha magonjwa yasiyotibika kabisa..
unene unaangilia mfumo mzima wa kazi za mwili wa binadamu na kusababisha hali hizo. K**a kawaida ni vizuri k**a ukigundua una uzito ambao sio wa kawaida kuanza kazi ya kuushusha mapema kabla hali haijawa mbaya zaidi,,, ukishaona una kitambi usijiulize mara mbili hayo ni mafuta tayari hivyo lazima uzito wako umezidi.. kawaida mwili wa mwanaume huhifadhi mafuta ya ziada tumboni na mwili wa mwanamke huhifadhi mafuta ya ziada kwenye makalio lakini mafuta yakizidi huweza kuhifadhiwa kote makalioni na tumboni…..yafuatayo ni madhara ya unene yanayobabisha vifo hivyo na ulemavu wa kudumu..
1. Ugonjwa wa kisukari; hii ni ugonjwa ambao mwili hushindwa kupambana na wingi wa sukari uliopo ndani ya mwili wa binadamu kutoka kwenye chakula anachokula kila siku na hii huweza kusababishwa kutotengenezwa kabisa kwa homoni ya insulin[diabetes type one] au homoni ya insulin kushindwa kuingia ndani ya cell nene[fat cell] ambazo huwepo mtu akiwa mnene sana. Ugonjwa huu unaathiri sana watu wazima kwanzia miaka arobaini kwani wengi wao hushindwa kupambana na uzito.ugonjwa huu unaweza kuanza bila mgonjwa kujua na kuja kujua k**a anaumwa katika steji za mwisho ambapo wengi hukatwa miguu baada ya kupata vidonda visivyopona. Hakuna dawa ya kutibu kabisa ugonjwa huu ila kuna dawa za kusaidia kushusha sukari na hutumika kwa maisha yote.
2. Ugonjwa wa moyo: mafuta mengi ndani ya mwili wa binadamu hujaa kwenye mishipa ya damu na kuzuia damu kupita kirahisi hivyo moyo hutanuka na kuongezeka ukubwa ili utengeneze presha kubwa ya kusukuma damu ndani ya mishipa hiyo na dakika za mwisho moyo hushindwa kabisa kufanya kazi. Mgonjwa huyu huhitaji dawa za kuusaidia moyo kufanya kazi kwa maisha yake yote na ikitokea akaacha dawa, moyo unaweza kusimama na kusababisha kifo.
3. Vifo vya ghafla sana: ukichunguza watu wengi ambao wamekufa ghafla ni wenye uzito uliopitiliza na watu hawa hufa usingizini na kukutwa marehemu asubuhi, hii ni kwasababu unene husababisha hali Fulani inaitwa sleep apnoea ambayo muhusika husimama kupumua kwa muda wakati amelala afu anendelea, wakati mwingine kusimama kwa kupumua kunasababisha kifo kabisa.
4. kansa za aina mbalimbali; unene hufanya mwili kushindwa kupambana na seli zinazosababisha kansa hivyo mtu hua kwenye hatari ya kupata kansa ya figo, kansa ya kizazi, kansa ya utumbo mkubwa, kansa ya maini, kansa ya tezi dume, kansa ya kongosho, kansa ya koo, kansa ya matiti, kansa ya mlango wa uzazi na nyingine nyingi.
5. Kuishiwa nguvu za kiume kabisa; kuna kasumba za mtaani wanasema wanaume wembamba wanajua sana kuridhisha wanawake…hii ni kweli kabisa kwani wanaume wanene huchoka sana kwa shughuli ndogondogo na ikifika jioni huwa hawawezi kufanya chochote lakini pia mafuta mengi kwenye mishipa ya damu inayopeleka damu kwenye uume hufanya uume uishiwe nguvu kabisa hivyo matibabu ya nguvu za kiume kwa watu waha ni kupunguza unene tu wala hakuna miujiza yeyote katika hili.
6. Ugumba kwa wanawake; unene husababisha homoni za wanawake kutokua katika mfumo mzuri[unbalanced] na pia wanawake hawa hupata sana kansa za mifuko ya uzazi yaani fibroids hali hii huweza kusababisha kutozaa kabisa. Ni vizuri k**a unaona unashindwa kupambana na unene wako uzae mapema kabla mambo hayajawa mabaya zaidi.
7. Magonjwa ya jointi za miguu[osteoarthritis}; mwili hubeba uzito kulingana na urefu wa mtu husika, mtu akiwa mnene sana jointi za mwili hasa za miguuni[knee joints] huanza kuasagana na kusababisha maumivu makali mno na mtu hushindwa kutembea kabisa..hali hii hutibiwa na dawa za maumivu kupunguza makali lakini suluhisho la moja kwa moja la hali hii ni kupunguza uzito.
8. Presha ya damu; k**a nilivyozungumzia kwenye tatizo la moyo linavyoanza, pia kitu kilekile hutokea kwenye mishipa ya damu mafuta yanapokua mengi.... yaani moyo hutumia nguvu nyingi kusukuma damu ili ifikie viungo vingine na hapo ndipo presha ya damu inapoanza. Hakuna dawa ya kutibu kabisa tatizo hili ila kuna dawa watu hupewa kupunguza presha na humezwa maisha yote.
9. Kiharusi[stroke]; hili ni tatizo linalotokea pale ambapo damu inaingia kwa presha kubwa kichwani na kupasua mishipa ya ubongo au mishipa ya ubongo inapoziba na mafuta..hii husababisha upande mmoja wa mwili wa binadamu kupoteza uwezo wake wa kufanya kazi na hii huleta ulemavu wa muda mrefu sana, japokua watu hawa kuna mazoezi wakifanyiwa huweza kurudi kwenye hali zao za kawaida.
10. Matatizo ya kijamii; aina ya maisha ya watu wanene hua tofauti kidogo na watu wengine, watu wanene hushindwa kujishirikisha kwenye shughuli za michezo, kucheza mziki,kuogelea na hata kupata ubaguzi wakati mwingine wakati wa kutafuta mpenzi au kazi..utafiti unaonesha asilimia arobaini na moja ya wanaume huacha wanawake zao kwa sababu ya kunenepa na asilimia kumi na nne ya wanawake huacha wanaume zao kwa sababu ya kunenepa.
Mwisho; unene na kitambi sio kuridhika au kawaida ya mtu Fulani HAPANA kwani kuna uwezekano wa kupungua kwa asilimia mia moja k**a ukiamua kupunguza unene na kuna uwezekano wa wewe mwembamba kua mnene, kwani vyote hivyo huchangiwa na aina ya maisha tunayoishi yaani ulaji wa chakula na mazoezi.
06/06/2021
FAHAMU KUHUSU UGONJWA WA PRESSURE.NA MATIBABU YAKE.
whtssap 0674573216
Call 0623686548
Shinikizo la juu la damu (HTN) au presha ya juu ya damu (pia huitwa shinikizo la mishipa ya damu, HBP), ni ugonjwa sugu ambapo nguvu ya msukumo wa damu katika mishipa ni kubwa kuliko kawaida. Ongezeko hilo husababisha moyo kufanya kazi kupita kiasi ili uzungushe damu katika mishipa ya damu. Kwa kawaida halina dalili, ila likidumu lina madhara makubwa kwa afya.
Hypertension
Mwainisho na taarifa za nje
Automated arm blood pressure meter showing arterial hypertension (shown a systolic blood pressure 158 mmHg, diastolic blood pressure 99 mmHg and heart rate of 80 beats per minute).
ICD-10
I10.,I11.,I12.,
I13.,I15.
ICD-9
401
OMIM
145500
DiseasesDB
6330
MedlinePlus
000468
eMedicine
med/1106 ped/1097 emerg/267
MeSH
D006973
Shinikizo la juu la damu ndilo sababu kubwa (kihatarishi) ya upoozaji, mshtuko wa moyo (mashambulizi ya moyo), moyo kushindwa kufanya kazi, kutuna kwa ukuta wa mishipa (k.m., kutuna kwa ukuta wa aota au mkole), chujio la mshipa wa kupeleka damu kwenye moyo au peripheral arterial disease, na inasababishwa na ugonjwa sugu wa figo. Hata ongezeko la wastani la shinikizo la damu hupunguza matarajio ya muda wa kuishi.
Kuna vipimo viwili vya shinikizo la damu, yaani systolic na diastolic: shinikizo au presha ya systolic ni kipimo cha damu ambacho kinapima nguvu ya msukumo wa damu katika mishipa ya damu wakati moyo unadunda. Shinikizo au presha ya diastole inapima nguvu ya msukumo wa damu katika mishipa ya damu wakati moyo umetulia au kati ya mapigo ya moyo (diastole).
Kipimo cha kawaida cha shinikizo la damu ni 100–140 milimita za zebaki (mmHg) upande wa systolic (kipimo cha juu) na 60–90 milimita za zebaki upande wa diastolic (kipimo cha chini). Shinikizo la juu la damu hutokea k**a kipimo kikiwa zaidi ya 140/90 mmHg kwa muda mrefu.
Kuna aina mbili za shinikizo la juu la damu: shinikizo la juu la damu la asili na shinikizo la damu linalosababishwa na magonjwa mengine. Kadiri ya asilimia 90–95 za watu wanaathiriwa na "shinikizo la juu la damu la asili", yaani wana ugonjwa huu bila kuwa na chanzo cha kisayansi kinachofahamika.[1] Magonjwa mengine ya mafigo, mishipa, moyo, mfumo wa homoni huathiri asilimia 5–10 iliyobaki ya watu wenye shinikizo la damu (ndilo shinikizo la damu linalosababishwa na magonjwa mengine).
Ili kudhibiti shinikizo la damu, lishe bora na mabadiliko katika mtindo wa kuishi lazima yazingatiwe pamoja na kupunguza matatizo yanayoathiri afya. Hata hivyo, matumizi ya dawa ni muhimu kwa watu ambao mabadiliko ya mtindo wa maisha hautoshelezi kupunguza shinikizo la juu la damu, kutuna kwa ukuta wa ateri mithili ya p**o kutokana na udhaifu wa sehemu hiyo.
Uainishaji wa shinikizo la damu
Ishara na dalili
Sababu Edit
Shinikizo la juu la damu la msingi Edit
Shinikizo la juu la damu la msingi ni aina inayojulikana zaidi, ikiwa chanzo cha 90-95% za waathirika wa shinikizo la juu la damu[1] Takriban katika jamii zote za kisasa shinikizo la damu linapanda juu katika nyakati za kuzeeka.[20] Shinikizo la juu la damu linatokana katika ushirikiano wa viini-urithi na athari za mazingira. Viini-urithi vingi vya kawaida vikiwa na athari ndogo juu ya shinikizo la damu vimeshatambulika[21] na vilevile vingine vya nadra lakini vyenye athari kubwa katika hilo[22] lakini shinikizo juu la damu linalotokana na viini-athari halijaeleweka vizuri hadi leo hii. Chumvi kidogo tu,[23] matunda na vyakula visivyo na mafuta mengi (Dietary Approaches to Stop Hypertension (DASH diet)), mazoezi,[24] weight loss[25] na kutokunywa vileo sana ni misaada dhidi ya presha kupanda.[26] Jinsi uchovu,[24] kahawa,[27] na upungufu wa vitamini D[28] vinavyochangia presha ya juu haieleweki vizuri. Kinzano dhidi ya insulin inafikiriwa pia kupandisha presha.[29] Utafiti wa hivi karibuni umedhulumu matukio ya maisha ya watoto wachanga kwa mfano, uzito mdogo wa mtoto mchanga, tabia ya uvutaji sigara ya akina mama, na kutowanyonyesha watoto k**a athari za hatari zinazoumiza watu wazima na shinikizo la damu la kimsingi.[30] Hata hivyo, mahusiano hayo yanabaki fumbo.[30]
Shinikizo la juu la damu la hatua ya pili Edit
Shinikizo la juu la damu la hatua ya pili linatokana na chanzo kinachojulikana. Maradhi ya mafigo ni chanzo kinachozidi cha shinikizo la juu la damu hatua ya pili.[10] Chanzo kingine cha shinikizo la juu la damu ni hali tofauti za tezi zenye kunyesa ndani kwa ndani k**a kwa mfano Cushing's syndrome, hyperthyroidism, hypothyroidism, acromegaly, Conn's syndrome or hyperaldosteronism, hyperparathyroidism, and pheochromocytoma.[10][31] Vyanzo vingine vya shinikizo la juu la damu hatua ya pili ni pamoja na [unene], [kushindwa kupumua kunakoleta usingizi wa mang’amung’amu], [kuwa na mimba], [kufinyika kwa aota], ulaji zaidi wa [urukususu] na dawa fulani zilizo halali zikiwa na zile zote zisizo halali pamoja na dawa za kienyeji.[10][
05/06/2021
JE!!! UNAYAJUA MADHARA YA PUNYETO?.
SOMA KWA MAKINI SANA KISHA WASILIANA NASI KUPITIA WHTSAP 0674573216.
CALL 0623686548
IKIWA UMESHA ATHIRIKA
❤PUNYETO❤ huambatana na madhara makubwa ya kiafya na leo tutaangalia madhara kumi ya kujipa raha mwenyewe kwa kutumia muono wako au kwa jina Jingine "PULI"
❤1. punyeto humfanya mtu awe mlegevu bila kuwa na nguvu kabisa mda wote kwani nguvu nyingi hutumika kwenye tendo hilo kuliko hata nguvu zinazotumika zinapokutana nyama kwa nyama.
❤2. Husababisha mwanamume kutoa mbegu haraka kipindi cha tendo la ndoa na mwanamke na kushindwa kumfikisha mwanamke kileleni.... (Premature ej*******on)
anaweza akajikuta akigusa tu "nanii" ndani ya dakika cha he mheshimiwa anatapika.
❤3. Ni moja ya chanzo Kikuu cha kupoteza nguvu za kiume, uume kusinyaa na kukosa nguvu kwa sababu ya kuharibu mishipa ya fahamu wakati MTU akijisugua katika kulitafuta bao
❤4. Hupunguza idadi ya mbegu za kiume (low s***m count) hivyo ni mbaya sana kwa watu wanaotafuta motto.
❤5. Husababisha mtu kusahau sahau sana na kushindwa kufanya vitu kwa makini zaidi
❤6. Huleta utumwa wa kifikra kwani ukishaanza huwezi kuacha kirahisi (addiction)
❤7. Punyeto husababisha mwanamke au mwanamume kukosa hamu kabisa na mwenza wake hivyo kuleta usumbufu kwenye mahusiano.
❤8. Punyeto ni chanzo kikuu cha ngono za jinsia moja shuleni na vyuoni ambazo huambukiza magonjwa ya Zinaa k**a Gono, kaswende na Ukimwi kirahisi sana.
❤9. Husababisha msongo mkubwa wa mawazo kwani mara nyingi kila umalizapo tendo hilo unajuta sana na kuapa kwamba hutorudia tena lakini ikifika mida Fulani "sabuni k**a kawa"
❤10. Kijana kuondokwa na haja ya kuoa au kuolewa kwani anachokitaka anahis anakipata na kupelekea kushindwa kuandaa familia yake .
K**A WEWE NI MMOJA WAO WALOWAHI BASI JARIBU KUJITIBU MAPEMA KABLA ATHARI HAZIJAANZA KUJITOKEZA.
CALL 0623687648 KWA MAELEZO ZAID.
05/06/2021
Ni kwa kiwango gani upigaji punyeto huleta madhara?
Hakuna upigaji punyeto uliyo salama na pia vilevile hakuna kiwango kilicho salama, licha ya kwamba mtu aliyefanya aliyejichua kwa kiwango kidogo ana nafasi ndogo ya kupata madhara.
Hata hivyo, hakuna idadi maalumu inayoweza kuchukuliwa k**a ni uchuaji au ufanyaji ma********on mkubwa au wa kupindukia (iliyovuka kiwango). Idadi ya kujichua (ma********on) anayoweza kufanya mtu bila madhara hutegemea afya ya mtu huyo na kemia ya mwili wake.
Baadhi ya watu hupiga punyeto (ma********on) kwa muda mfupi katika kipindi fulani, mathalani mwezi mmoja tu au miwili. Na wengine wanaweza kufanya ma********on kwa muda mrefu kiasi cha mwaka mmoja au zaidi na hata huweza kufikia mara 2 hata mara 5 kwa siku, na wanaweza kufanya kila siku (NON STOP)!
Kwa hakika huo ni upigaji punyeto uliyovuka mipaka, ni lazima itadhikisha ini na kazi za mfumo wa neva na lazima imweke mtu katika uhanisi hata k**a ni kijana wa miaka 18, na kwa baadhi ya watu hata huweza kuwasababishia ugumba (yaani kushindwa kumtungisha mwanamke mimba)! Wanaume wengi sana walio na umri chini ya miaka 40 wana tatizo la kuishiwa nguvu za kiume kutokana na kujichua, yaani kupiga mgalala (ma********on).
Ni wazi kwamba watu wengi wanapokuwa wanapiga punyeto, wanakuwa hawajui wanachokifanya, k**a wangelijua basi wangeliichukia punyeto k**a wanavyochukia ukoma! Hata baadhi ya watu wamediriki kunitumia meseji kutaka kujua uhusiano wa upungufu wa nguvu za kiume na punyeto, somo hili ni muafaka sana kwao sasa.
Upigaji punyeto huleta mabadiliko makubwa katika mwili k**a ambavyo nimeshagusia. Madhara ya mabadiliko hayo ndani ya kemia ya mwili yanaweza kujidhihirisha yenyewe k**a uchovu, kupoteza nywele, kupoteza kumbukumbu, kuona ukungu, maumivu ya korodani/kinena, kufika kileleni haraka, kutoka kwa shahawa zenyewe, kushindwa kusimamisha uume vizuri, kukosa uzazi, maumivu ya mgongo/kiuno n.k. Naam! Hapa sasa tutazame madhara yanayoletwa kujichua (ma********on) ndani ya mwili, tutaangalia kwa ujumla kuhusu nguvu za kiume na vipengele vingine vya kiafya:
Uume kusimama kwa uregevu
K**a ma********on itafanywa sana kupindukia, huchochea kemikali iitwayo acetylcholine katika mfumo wa neva huria ubongo za parasimpathetiki (parasympathetic nerve). Hali hii inaweza kuzidisha sana kupita kiasi kiwango cha mchocheo, na matokeo yake itaweza kuzalisha sana kupita kiwango cha kawaida homoni zinazohusika na kujamiiana (s*x hormones) na neurotransmitters k**a vile acetylcholine, dopamine, serotonin na hivyo kusababisha mabadiliko ya kemia ndani ya mwili.
Dopamine ni kemikali inayotengenezwa katika ubongo na iko katikati, na ni kipitisha ujumbe (neurotransmitter). Dopamine huhusika sana na raha. Kichocheo ambacho huzalisha aina yoyote ya mwitikio chanya pia vilevile huchochea utoaji wa dopamine katika ubongo.
Uzalishaji huu mwingi wa kupita kiasi huenda moja kwa moja kudhoofisha mfumo wa viungo vinavyoshughulika na uzazi na tendo la ndoa. Na hatari yake kubwa ni kwamba, k**a mtu hatatibiwa mapema, anaweza kuua nguvu za kiume kabisa na hata kujiletea ugumba.
Parasympathetic nerve ni neva yenye jukumu la kusimamisha uume, k**a mtu atafanya ma********on ya kupindukia, atazalisha kemikali nyingi ndani ya mwili, na uzalishaji huo hudhoofisha utendaji wa neva hii kwa kuifanyisha kazi kupita kiasi, na hivyo kwa baadaye uume wa mpiga punyeto unaweza kuwa unasimama kwa uregevu. Mfano wake ni k**a umeme huu tunaoutumia majumbani mwetu kwa kazi mbalimbali (pengine tukitumia mfano wa umeme, msomaji anaweza kuelewa kwa urahisi zaidi).
Ni kwamba, ndani ya miili yetu pia kuna umeme (bioelectricity). Unapofanya tendo la ndoa unazalisha umeme wa kawaida ndani ya mwili wako katika hali ya kawaida kwa sababu ni mwungano wa jinsia mbili tofauti, ni k**a hasi na chanya. Lakini, unapofanya ma********on hali ni tofauti.
Katika ma********on unazalisha umeme/kemikali nyingi sana, kwa sababu ‘unafosi’ umeme kutengenezeka kwa nguvu kwa kupitia chanya tu, umeme huo unaenda kuua vitu vinavyofanyiwa kazi na umeme huo. Ni k**a ambavyo tumekuwa tukiona mara kwa mara umeme unapozidi majumbani mwetu, vitu ambavyo vilivyokuwa vikitumia umeme huo k**a friji, tv, na kadhalika huungua.
Katika miili yetu hali ni hivyo hivyo. Kwa hali hiyo, wapiga punyeto, watambue wanafanya jambo baya sana, watambue wanajiangamiza kwa mikono yao wenyewe.
Madhara ya kuregea kwa uume kutokana na kujichua (ma********on), yanaweza kuanza kuonekana mapema au yanaweza kutokea baada ya muda mrefu, kutegemeana na afya ya mhusika na kemia ya mwili wake.
Kufika haraka kileleni
Upigaji wa punyeto au kujichua hupunguza
JE UPO TAYARI KUJITIBU?
WHATSAP NO 0674673216
OR CALL 0623686548
Click here to claim your Sponsored Listing.
Category
Contact the business
Telephone
Address
Dar Es Salam
Dar Es Salaam
1234
