Edmarkshine
(Beaut pack and health is wealth )lengo nikurejeshea afya bora na ishi ukijiamini bila magonjwa nyemelezi tunakuhakikishia
23/01/2020
Nafanya derivary mikoani unatumiwa popote ulipo na nnje ya nchi pia bila usumbufu 🇹🇿
22/01/2020
Kisukari (diabetes millitus)ni upungufu wa insulini mwilini na kuonyesha kiwango kikubwa cha glucose katika damu,kuna baadhi ya watu huzaliwa na upungufu wa insulini mwilini.
▪️dalili za kisukari ni kukojoa kupita kiasi cha kawaida,kutokuona vizuri hadi upofu,vidonda kupona polepole hasa kwenye miguu hadi kupoteza baadhi ya viungo,kiu ya mara kwa mara,kizunguzungu,jasho jingi na mwili kuchoka hata bila kufanya kazi.
▪️kisukari husababishwa na utumiaji wa vyakula na vinjwaji vyenye sukari nyingi na Mafuta,unene uliozidi na kiribatumbo,utumiaji wa kiwango kikubwa cha madawa ya hospitalini,msongo wa mawazo,kutokufanya mazoezi,kurithi katika familia na umri kusogea ⬛️unaweza kuanza maisha mapya bila kisukari kwa kutumia dawa zenye matokeo na kuthibitika kwa matumizi ya binadamu no side affects only benefits inside,kwa walio dar es Salaam unaweza kuja ofsini au kufanyiwa fast derivary na mikoani unatumiwa popote ulipo bila usumbufu wowote *kwa mawasiliano zaidi:0652603430
22/01/2020
Saratani (cancer) ni ugonjwa unaotokana na seli za mwili zinazoanza kujigawa yani kukuwa taratibu.
▪️kuna aina nyingi za saratani k**a saratani ya koo,shingo ya kizazi,mapafu,matiti,kibofu cha mkojo,utumbo,ngozi ,ovari n.k...
▪️fahamu dalili za saratani au mabadiliko ya sauti,matatizo ya kukosa choo,mabadiliko kwenye haja ndogo,maumivu ya muda mrefu sehemu moja, mabadiliko ya viuvimbe,kidonda kisichopona,kutokuwa na damu kitatanishi hasa wanawake ,kudhoofika au kupungua uzito,kuvimba tezi,kumeza kwa tabu nakadhalika ▪️saratani ni ugonjwa ambao ukiupata unapaswaa kutafuta namna ya kuutibu kwani hupelekea watu wengi kupoteza maisha tibu leo kansa na ufurahie maisha ⬛️kwa dar es Salaam unaweza kuja ofsini au ukafanyiwa fast derivary na mikoani unatumiwa popote bila usumbufu 🔹kwa mawasiliano #0652603430
22/01/2020
Splina 🍒Ina tibu vidonda vya tumbo kabisa 🍒Inasadia kukausha vidonda kwa haraka 🍒Inasawazisha asidi na sumu mwili 🍒Inaondoa cholesterol mbaya 🍒Inaongeza seli Hai nyekundu za damu 🍒Inarekebisha mmeng'enyo wa chakula uwe Sawa 🍒Inaondoa harufu mbaya mwilini hii ni product kutoka Malaysia kwa matokeo ya uhakika asilimiia Mia ▪unaweza kuja ofsini au ukaletewa popote derivary unalipia (mikoani pia unatumia:
▪au piga simu no: #0652603430
22/01/2020
Wanawake wengi na wasichana wadogo wamekuwa wakipata wakati mgumu Sana Kila waingiapo mwezini kwani huumwa tumbo na hata kushindwa kufanya chochote (shughuli) 💯wengine wanapata hedhi Bila mpangilio yani mzunguko haupo Sawa.
💯tiba ipo salama kwa matumizi ya binadamu una Pata matokeo na kupona kabisa changamoto hii ▪️ofisi ipo dar es salaam na unaweza kuja ofsini au kufanyiwa fast delivery,mikoani popote ulipo na nnje ya nchi utatumiwa ila utalipi garama za usafiri tu.
NO: #0652603430
22/01/2020
GOUT DISEASE:ugonjwa gout ni ongezeko ya uric acid katika joint au ilipoungana mifupa 🔷kuna aina mbili za gout
1️⃣gout ya ghafla
2️⃣gout sugu 🔷gout husababishwa na kuwepo kwa uric acid nyinyi katika damu,unywaji wa pombe huchangia kuwepo kwa ugonjwa huu,utumiaji wa dawa za kutoa maji,ugonjwa wa kisukari,ugonjwa wa figo ,unene ulopitiliza ugonjwa wa sickle cell anemia ,saratani ya damu n.k
🔷dalili za gout huusisha joint moja au joint chache mfano kidole cha mguu,magoti ,viwiko,maumivu makali hasa usiku k**a kukatwa au mifupa k**a inasuguana,joint kubadilika kuvimba,kuwa yenye joto au kuwa nyekundu ,muda mwingine kuhisi homa 🔷watu wengi husumbuliwa na gout sugu ambayo huleta madhara ya kuota vinundu chini ya ngozi inayo zunguka joint pamoja na maumivu sugu ⚫️je unadalili hizi?k**a jibu ni ndio hapa ndio sehemu husika ya kupatia sulu ya joints ofisi ipo dar es Salaam #
🇹🇿 #0652603430
22/01/2020
Nafanya derivary mikoani yote na nje ya tanzania ,unapokea mzigo wako bila wasiwasi ▪watu wanaenjoy matokeo nafurahi 🙏
Vidonda vya tumbo ni kuathirika kwa uteute Katika ukuta wa tumbo la chakula na kugusana na tindikali kali ilioko tumboni na husababisha bakteria waitwao(helicobacter pylori)vidonda hivi huweza kujitokeza Katika koo la chakula au kwenye utumbo mdogoo ▪️ugonjwa huu husababishwa na kutokuwa na Muda maalum Wakula,utumiaji wa pombe kupitiliza,utumiaji wa dawa za kuondoa maumivu kwa Muda mrefu,mawazo,kushinda na njaa n.k
▪️ugonjwa huu hatari unaowanyima watu wengi raha kwa maumivu makali kwenye tumbo ikiambatana na tumbo kujaa gesi,kukosa hamu ya kula,kukosa choo kwa Muda mrefu,kutapika,kuharisha damu na kuishiwa damu mara kwa mara ▪️ugonjwa huu unatibika na unapona kabisa dawa zipo si za kienyeji ni kutoka Malaysia kwa matokeo ya uhakika asilimiia Mia.kwa mikoani unatumia pamoja na nnje ya nchi na kwa dar es salaam unaweza kuja ofsini au kufanyiwa fast delivery
: #0652603430
22/01/2020
Unene ni changamoto mabonge wanajua 🙌
Je umehangaika na kupunguza mwili au kitambi na umekata tamaa ya kutumia dawa za kupunguza mwili kwasababu ulishawahi kutumia dawa nyinginee hukuona matokeo huku hakuna kutapeliwa dawa zipo za kupunguza kitambi na mwili pia dawa si za kienyeji ni kutoka Malaysia :mikoani pia unapokea mzigo wako kwa haraka ila unalipia usafiri karibu:0652603430
22/01/2020
Kuvimba kwa miguu na mikono ni mkusanyiko wa maji katika tishu za mwili
🍒sababu za kuvimba ni magonjwa ya moyo,ini na figo
🍒kusimama au kukaa kwa muda mrefu
🍒umri kusogea 🍒Wakati wa ujauzito
🍒ukosefu wa lishe bora
🍒mzunguko hafifu wa damu na kutokufanya mazoezi
🔷uvimbe unapoongezeka humfanya mtu kushindwa kutembea au maumivu na miguu kuwa mwekundu.
🔷kwa tatizo hili huwa ni dalili kubwa kwa wenye magonjwa ya moyo,ini na figo
🔷Ofisi ipo dar es salaam 🔷Nafanya derivary ndani na nnje ya nchi 🔷Call/whats app no #+255652603430
22/01/2020
je umehangaika na umekata tamaa ya kutumia dawa za kupunguza mwili kwasababu ulishawahi kutumia dawa nyinginee za kupunguza mwili mara unaharisha Sana na kuumwa tumbo pamoja na hayo haupati matokeo huku hakuna kutapeliwa kabisa dawa za uhakika si za kienyeji ni kutoka Malaysia na Haya ndio matokeo ya dawa za uhakika hazina mambo mengi na matokeo ni asilimiia Mia
▪️kwa dar es salaam unaweza kuja ofsini au kufanyiwa fast delivery na mikoani popote ulipo unatumiwa na nnje ya nchi :0652603430
22/01/2020
🔷Unaweza kupungua kwa diet ya siku 10,🔷unaweza kupungua permant kwa kujifunza ni kwa namna gani ule vyakula aina zote na vinywaji aina zote huku unapunguza unene 🔷unaweza kutumia dawa na kupungua haraka pia whatsapp number #0652603430 🔷uchaguzi nikutokana na hali yako ya uchumi nia nikuhakikisha unafanikisha kupunguza unene
🔷 🇹🇿
Click here to claim your Sponsored Listing.
Category
Telephone
Website
Address
Kimweri
Dar Es Salaam
