Timiza malengo na afya bora
Karibu timiza malengo na afya bora upate elimu,ushauri na matibabu kwa magonjwa yasiyo ambukizwa.
TATIZO LA MIGUU KUWAKA MOTO,NINI CHANZO NA MATIBABU YAKE? (+255778369528)
Hivi karibuni kumekuwa na ongezeko kubwa la watu wengi kulalamika miguu kuwaka moto
Fuatana namimi katika somo hili👇👇👇👇👇
Miguu kuwaka moto ni ile hali ya kuhisi sehemu ya chini ya miguu inawaka moto au kuuma ambayo huweza kupelekea hali ya kukosa usingizi usiku ambayo mara nyingi hueza kuambatana na hali ya miguu kufa ganzi.
CHANZO CHAKE:
Zipo sababu nyingi zinazoweza kusababisha kuhisi miguu kuwaka moto/ kuuma ambazo hizi huashiria kuathirika kwa mfumo wa nevu ( nerve damage) ama kuathirika kwa mishipa ya damu inayoelekea miguuni.
Sababu hizi ni k**a vile:
▪️Ujauzito
▪️Kukoma kwa hedhi ( menopause)
▪️Matumizi ya pombe kupita kiasi
▪️Magonjwa k**a vile kisukari
▪️Matumizi ya dawa mbalimbali k**a dawa za saratani (Chemotherapy), dawa za kisukari (hasa metformin)
▪️Maambukizi ya virusi vya ukimwi
▪️Upungufu wa vitamini B12 na vitamin B6 kwa uchache
▪️Matatizo ya figo
▪️Kuwa na fangasi wa miguuni (athletes foot)
▪️Kutembea/ kusimama muda mrefu
*MATIBABU YAKE:*
Kitu cha muhimu cha kufanya ni kuhakikisha kutibu chanzo cha tatizo husika linapolekea miguu kuwaka moto, kufa ganzi au kuuma k**a vilivo orodheshwa hapo juu.
Matumizi ya dawa za saratani au kisukari kuweza kusababisha miguu kuwaka moto/ kufa ganzi k**a madhara kwa kuwa huzuia kufyonzwa kwa vitamin B12 ambayo hasa husaidia katika kuhakikisha nevu (nerve) zinafanya kazi vizuri.
*pamoja vya vyanzo vingine zifuatazo ni njia za kutibu tatizo hili:
*
🔹Tumia kwa wingi vyakula vyenye vitamin B12 kwa wingi k**a vile Nyama, samaki, maziwa , mayai au vidonge (supplements) vyenye vitamin B12 kwa wingi.
🔹Tumia dawa za kupunguza maumivu na dawa ya kupunguza kuhisi ganzi kutokana na tatizo la kuathirika kwa nevu, hakikisha umepata ushauri kutoka kwa Mfamasia au Daktari kabla ya matumizi ya dawa hizi.
🔹Loweka miguu yako katika maji ya baridi kwa muda kiasi kila jioni au asubuhi.
🔹Massage miguu mara kwa mara, hii husaidia kuhakikisha mzunguko wa damu kwenda miguuni unakuwa k**a unavotakiwa hivyo kupunguza maumivu na hisia za ganzi/ kuwaka moto.
🔹 Vaa viatu visivyokubana na kuwa na tabia ya kubadilisha viatu unavovaa mara kwa mara, badilisha soksi mara kwa mara na pia vaa viatu vya wazi katika kipindi cha joto hii yote ni ili kuruhusu miguu kupata hewa ya kutosha.
*TIBA YA KUDUMU*
Tumia Micro²cyle ambayo hufanya kazi zifuatazo
▪️Husaidia kuondoa ganzi mikononi , miguuni,na kuwaka moto miguuni
▪️Husaidia watu wenye pressure( shinikzo la damu)
▪️Husaidia katika mzunguko wa damu
2. Zaminocal plus
Ina madini ya calcium na zinc Hivyo n nzur mno kwa watu wenye matatzo haya! Piah waweza wasiliana nami kwa uhduma ama ushauri kwa namba (+255778369528)
(+255778369528)
Bila shaka umesha msikia ndugu yako, rafiki au mtu wako wa karibu akilalamika kuuma kwa MAUNGIO k**a (Knee Joint), , (Shoulder Joint) NA . Wako pia wanaolalamika maumivu ya maungio ya (Ankle Joint).
Inasemekana kwamba kuna zaidi ya watu bilioni nne duniani wana sumbuliwa na matatizo ya viungo( MAUNGIO),
Kawaida katika MAUNGIO huwa kuna ute ute uitwao synonvio fluid ambao kazi YAKE ni kulainisha MAUNGIO pia kuna kitu k**a sponji kiitwacho catilage (gegedu) ambayo Kazi YAKE ni kufanya mfupa na mfupa visisagane hivyo sponji hii na ute ute juu ndio vinavyofanya MAUNGIO yawe salaam salimini
TATIZO hili kitaalamu huitwa OSTEOARTHRITIS(OA) hutokea pale ambapo gegedu(cartilage) kuanza kulika pole pole na kusababisha mifupa ya kwenye MAUNGIO kusagana hii husababisha maumivu
CHANZO SHIDA HII NI ;
•Umri
•Uzito
•Kuumia Kwa Kupata ajali
•Kurithi (genesis)
•Wafanya mazoezi/wana michezo. .
na kuwekewa za bandia ambapo kimsingi ni gharama kubwa sana.
.
TIBA HII HUFANYA KAZI ZIFUATAZO:
-Huongeza GLUCOSE AMINE ambayo huunda upya cartilage(sponji zinazolinda mifupa isisagane
-Huongeza CHRONDROITIN ambayo hutumika kutengeneza ute ute kati ya maungio
-Huondoa kabisaa maumivu ya maungio yaliyokithiri
-Ni nzuri sana kwa MTU mwenye TATIZO LA ATHRITIS
-Huwafaa sana watu wanaofanya mazoezi
Kwa mawasiliano zaidi waweza wasiliana nasi kwa namba +255778369528
04/02/2023
ELIMUJINSI YA KUTATUA TATIZO LA KUWAKA MOTO MIGUU NA KUFA GANZI +255778369528
Huu ni ugonjwa unaowasumbua watu wengi sana na mara nyingi humfamnya mtu mwenye tatizo hilo kushindwa kusinzia japo anahisi kusinzia.
Miguu kuwaka moto ni ugonjwa unaotokea ambapo katika mwili wa binadamu kutakuwa na matatizo k**a kudhoofika kwa neva za pembezoni mwa mwili yani za miguuni hivyo kupoteza uwezo wa utendaji kazi wa neva miguuni.
Sababu zingine ni k**a kutokuwa na mzunguko mzuri wa damu, kuwa na sumu nyingi mwilini, kurithi au mwili kushindwa kufanya kazi zake vizuri.
Dalili za ugonjwa wa miguu kuwaka moto
Ugonjwa huu una dalili nyingi zikiwemo:
• Kuhisi ganzi
• kuhisi kuchomwa na kitu chenye ncha Kali miguuni
• kuhisi miguu kuwa na majimaji kwa ndani
• joto Kali miguuni
• kuhisi k**a unaungua miguuni,kushindwa kushika au kubeba vitu na maumivu makali.
Vitu/ mambo yanayoweza kupelekea mtu miguu yake kuwaka moto
Kuna mambo mengi sana yakiwemo:
• Uzito mkubwa wa mwili (hii husababisha uti wa mgongo kukaa tofauti na unavyostahili hivyo baadhi ya neva kukandamizwa na uzito wa mwili au misuli hivyo kusababisha miguu kupata maumivu na kufa ganzi.
• Matumizi ya baadhi za dawa zenye kemikali kwa muda mrefu au mara kwa mara mfano dawa za TB, HIV nk.
• Upungufu wa virutubusho mwilini hasa mkusanyiko wa Vitamini B
• Magonjwa ya sukari na Shinikizo la damu , magoti , mzio na fangasi
• Matatizo ya moyo
• Matatizo katika mishipa ya damu
• Ulevi wa kupindukia kwa muda mrefu
Jinsi ya kuepuka ugonjwa wa miguu kuwaka moto
• Kuwa na uzito unaoenda na na kimo chako
• Fanya mazoezi ya mwili
• Kula chakula kinachokupatia virutubisho mwili hasa VITAMINI B
• Usafi wa viatu, sox na miguu
• Ondoa sumu au kemikali mara kwa mara mwilini(kwa kutumia virutubisho lishe)
Matibabu:
Kula vyakula vyenye mkusanyiko wa vitamini B za kutosha
Fanya mazoezi ya mwili k**a kukimbia, Kutembea n.k
Pia kufanya massaging
Punguza uzito uliopitiliza
Tumbukiza miguu katika maji ya vuguvugu yenye chumvi
Tibu maradhi ya sukari hakikisha sukari ipo sawa
Ondoa sumu kali mwilini mara kwa mara
Chua miguu yako kwa vitu vinavyopunguza maumivu ,vinavyosaidia mzunguko wa damu kuwa Vizuri (paka Asali mbichi, shubiri na limao)
K**a bado tatizo linaendelea wasiliana nasi kupata ushauri wakidaktari pamoja na matibabu sahihi kwa namba +255778369528
TIBA YA ASILI KWA MAUMIVU YA VIUNGO NA VIUNGO KUSAGANA. (0778369528)
ARTHROEXTRA + ZAMINOCAL (TIBA YA MIFUPA KUSAGANA KATIKA MAUNGIO,, NA TIBA YA MAUMIVU YA VIUNGO )mfano
mgongo,nyonga,magoti nk
KWANZA, TUJIELIMISHE KIDOGO.🖐
KWA NINI MIFUPA HUSAGANA KWENYE VIUNGO NA KULETA MAUMIVU MAKUBWA?
=>KICHWA CHA MFUPA KATIKA VIUNGO KIMEZUNGUKWA NA MFUPA LAINI UITWAO GEGEDU(CARTILAGE)
KAZI YA GEGEDU(CARTILAGE ) NI KUZUIA MFUPA USISAGANE NA MFUPA MWENZAKE KWENYE VIUNGO,
PIA KUNA UTE UTE (SYNOVIAL FLUID) AMBAO NI GRISI YA VIUNGO,,HUSAIDA KULAINISHA MJONGEO(MOVEMENT)
MTU ANAPOFIKISHA MIAKA 30 CARTILAGE HUANZA KULIKA NA KUSABABISHA MIFUPA KUGUSANA NA KUSAGANA KWENYE VIUNGO HADI ULE UTE KUPOTEA,
HII HUSABABISHA MAUMIVU MAKALI KWENYE VIUNGO, HADI KUPELEKEA MTU KUSHINDWA KUJONGEA IPASAVYO,
TATIZO HUONGEZEKA UMRI UNAPOZIDI KUWA MKUBWA NA UZITO UNAPOONGEZEKA,
ARTHROEXTRA NA ZAMINOCAL PLUS NI ZA ASILI HAZINA KEMIKALI, IMETHIBITISHWA NA TFDA,kupata huduma piga( 0778369528)
Click here to claim your Sponsored Listing.
Category
Contact the business
Telephone
Website
Address
ILALA
Dar Es Salaam
Opening Hours
| Monday | 08:00 - 17:00 |
| Tuesday | 08:00 - 17:00 |
| Wednesday | 08:00 - 17:00 |
| Thursday | 08:00 - 17:00 |
| Friday | 08:00 - 17:00 |
| Sunday | 10:00 - 16:00 |
