Mbegafit

Mbegafit

Share

Nasaidia wanaume walio kwenye Ndoa kuondokana na changamoto ya
_Tezi dume
_Dhakari kulegea
_kuwahi kufika kileleni

29/05/2023

Wanawake Wengi Wamekuwa wakisumbuliwa Na Changamoto Ya Uzito Mkubwa Bila Kupata Utatuzi

Na Wamekuwa Wakiangaika Kwa Muda Mrefu Na Changamoto Hiyo Bila Ya Kupata Utatuzi Wa Uhakika

Baada ya Kuwasaidia Wanawake 232 Wenye Changamoto Ya Uzito Mkubwa Nimekuja Kugundua Kuwa Uzito unaweza....
...Kuwaleta Uvivu Wakushidwa kutekeleza Majukumu Yao Kwa Wakati kutokana na Uzito mkubwa Walio Nao,Muda Mwingine Wanashidwa Kujiamini Mbele Za Watu Kutokana Na Muonekano Wao,...
..Pia Nguo Wanazozivaa Haziwapendezi Kutokana Na Kutokuwa Na Matumbo Makubwa Na Uzito Mkubwa.

Hivyo Basi Nimeona Njia Nzuri Za Kuweza Kuwasaidia ni hizi vifuatazo;

1) Kutoa Taka Mwili Ili Uweze Kupungua Vizuri

2) Kufanya Mazoezi Ya Kukimbia, Kuruka Kamba Angalau Mara 4 Hadi 5 Kwa week Ili Kuweza Kupungua Haraka.

3) Kutumia Vyakula Vya Nyuzi Nyuzi,Matunda na Mboga Za Maji Kusaidia Kupungua Haraka

Nimeanda *DARASA BURE* Ambalo Tutafundisha Namna Ya Kupunguza Uzito

Na Kwenye DARASA hilo Nitaongelea Vitu Vifuatavyo;

1) Vitu Gani Ufanye Ili Uweze Kuondoa Taka Mwili Na Kupungua Haraka

2)Mazoezi Gani Mazuri Ya Kufanya Ili Yakusaidie Kupungua Kwa Haraka

3)Vyakula Gani Vya Kutumia Ili Viweze Kufanya Mmeng'enyo Wako Wa Chakula Kuweza Kufanya Vizur Nakupungua Haraka

K**a Utapenda Kuwepo Kwenye Group Hilo Tuma Neno *UZITO* kwenye Namba 0747138428 Ili Niweze Kuwasiliana Na Wewe Kufahamiana

Kisha Nitakutumia Link Kwajili Ya Kujiunga Kwenye Group

Fanya Sasa Hivi Kabla Tangazo Halijatoka Hewani

Ni Mimi Mwenye Kujali Afya Yako

Khadija Omari.

06/08/2022

Habar khadija Omari hapa!

K**a wewe ni Mwanamke mwenye changamoto ya na na umekuwa ukisumbuliwa na changamoto hiyo kwa kipindi kirefu bila kupata mafanikio basi nina habari nzuri sana.

Tumekuandalia Darasa BURE la wiki nzima WhatsApp litakalo kuonyesha jinsi ya kuondokana na changamoto ya ndani ya wiki tu

K**a utapenda kupata mafunzo haya fuata link ifuatayo sasa kabla group halijajaa.

Bonyeza https://chat.whatsapp.com/GYkq6mjby26EaKHoZb0RCD

Ni Mimi mwenye kujali Afya yako

Khadija omari

01/04/2022

MSONGO WA MAWAZO UNAVOSABABISHA KUVURUGIKA KWA HOMONI ZA K**E NA KULETA TATIZO LA POLYCYSTIC O***Y SYNDROME.

O***y ni mfuko wa mayai ya k**e, yaani mahali ambapo mayai ya k**e huzalishwa.polycstic o***y syndrome au PCOS kwa kifupi ni ugonjwa unaosababishwa na kuvurugika kwa vichocheo vya k**e unaowapata zaidi wanawake walioko katika kipindi cha kuzaa. Wanawake wenye PCOS huwa na o***y zilizotanuka na zenye vimbe za majimaji ndani yake. Hedhi isiyokatika au isiyo na mpangilio maalumu, uotaji wa nywele kwa kasi, Kitambi na nyama uzembe, hizi ni dalili ambazo zinaweza kutokea kwa mwanamke mwenye PCOS. Msongo wa mawazo husababisha mwili kutoa vichocheo k**a androstenedione ambacho ni kisababishi cha awali cha tatizo cha kujaa majimaji mifuko ya mayai kwa wanawake.,.

KWANINI MSONGO WA MAWAZO HUSABABISHA UZITO MKUBWA NA KITAMBI

Kuongezeka ovyo kwa uzito,kitambi na nyama uzembe ni tatizo linalohusiana na ,msongo wa mawazo. Msongo wa mawazo unabadili jinsi mafuta yanavohifadhiwa ndani ya mwili kwa sababu ya kubadilika kwa vichocheona kemikali mbalimbali zinavyozalishwa na mwili pale ambapo unakuwa na stress. Kwa mfano tafiti zinasema kuwa stress kupitiliza husababisha uzalishaji wa protini inayoitwa betatrophin ambayo ni kizuizi kwa vimeng’enya ambvyo huvunjavunja mafuta yaliyohifadhiwa kwenye mwili.

NAMNA YA KUPUNGUZA ATHARI ZITOKANAZO NA MSONGO WA MAWAZO

Stress ni kitu kisichoepukika kwenye maisha ya kawaida, lakini ni muhimu kufahamu na kuelewa namna ambavyo unashugulika na tatizo hilo ndivyo itakavoamua matokeo yake kiafya aidha mazuri au mabovu. Msongo wa mawazo huisha pale tu kisababishi au hatari inapopita na kutoweka.

Kuna njia nyingi ambazo unaweza kutumia ili kupunguza msongo wa mawazo. Hvyo ni jukum lako kuangalia njia gani inafiti kwako na uweze kuikazania.

Moja ya njia hizo ni kuhakikisha unapata usingizi wa kutosha na kupumzisha mwili, mwili unapokosa usingizi wa kutosha basi unapunguza uwezo wa kukabiliana na msongo wa mawazo na hivyo kuongeza hatari ya kuugua magonjwa ya moyo . njia zingine unazoweza kutumia ni hizi hapa

1. kushugulisha mwili mara kwa mara

2. kufanya mazoezi mepesi ya mwili

3. kubadilishana mawazo na watu wanaokuzunguka

4. tenga mda kufanya vitu vinavyokupa furaha

5. kusikiliza musiki na kufurahi

Kwa huduma ya matibabu kwa tatizo hili wasiliana na mshauri wa afya ya uzazi inbox au whatsapp 0747138428

01/04/2022

UGONJWA WA (HEMORRHOIDAS) NA TIBA YAKE
JE UNAJUA BAWASIRI/HEMORRHOIDS NI NINI??
-Ni ugonjwa unaotokana na kuathirika kwa mishipa ya damu ya ndani na nje ya sehemu ya haja kubwa na wakati mwingine mishipa hiyo huweza kupasuka/kuteleza na kuvuja damu kwenye njia ya haja kubwa na kasababisha kutoka kinyama au uvimbe.
AINA ZA BAWASIRI
Kuna Aina mbili za bawasiri:
(A) BAWASIRI YA NDANI:
⚫(Internal Hemorrhoids)
Aina hii ya bawasiri hutokea ndani ya mfereji wa haja kubwa huwa haiambatani na maumivu na wengi huwa hawajitambui kuwa Wana tatizo hili
◾Aina hii hutokana na kuvimba na kuharibika kwa mshipa wa artery za ndani ya mfereji wa haja kubwa
~Aina hii imegawanyika katika madaraja manne.
(1)DARAJA LA KWANZA:
Hii ni bawasiri ambayo haitoki mahali pale panapohusika
(2)DARAJA LA PILI:
hii hutokea wakati wa haja na kurudi yenyewe ndani baada ya kujisaidia.
(3)DARAJA LA TATU:
hii hutokea wakati wa haja kubwa na mtu kuweza kurudisha ndani yeye mwenywe.
(4)DARAJA LA NNE:
hii ni bawasiri inayotoka na huwa ngumu kurudi.
(B)BAWASIRI YA NJE:
⚫(External Hemorrhoids)
-Aina hii ya bawasiri hutokea katika eneo la mwisho kabisa la mfereji wa haja kubwa na huambatana na maumivu makali na kuwashwa kwa ngozi katika eneo la tundu Hilo pia husababisha mishipa ya damu (vena) kupasuka na damu kuganda na kasababisha Aina ya bawasiri iitwayo THROMBOSED HEMORRHOIDS.
Somo lijalo tutaangalia
CHA TATIZO
K**a kuna maswali karibu utuandakie.
Endelea ku like na share zaidi

kwa maelezo zaidi piga/WhatsApp 0747138428

29/03/2022

"AFYA YA UZAZI WA MWANAMKE (HORMONE IMBALANCE) " Suluhisho"

Mvurugiko wa homoni za mwanamke ni kitendo cha kuongezeka au kupungua kwa vichochezi katika mwili wa mwanamke pale anapo pata hedhi, hivyo kufanya mwili kubadilika. Mvurugiko huo huathiri kila mwanamke kwa zaidi ya 80%. Asilimia kubwa ya wanawake mabadiliko huanza kati ya miaka 40 na 50, lakini pia kukosekana kwa usawa wa homoni huweza kuonekana mapema zaidi, kuanzia miaka 14.

Mabadiliko haya asilia hutokea wakati wa balehe, hedhi, ujauzito, kabla na baada ya ukomo wa hedhi. Mvurugiko wa homini kwa mwanamke huweza kuchangiwa kutokuwepo na usawa katika homoni zifuatazo Estrogen, Progesterone na Testosterone. Kupungua au kuzidi kwa homoni hizi kupelekea mvurugiko wa homoni kwa mwanamke.

VYANZO VYA MVURUGIKO WA HOMONI

Mvurugiko wa homoni ni tatizo linalowakumba wanawake wengi kwa sasa, hii ni kutokana na maisha wanayoishi, elimu finyu waliyonayo juu ya afya zao na kutokula kulingana na makundi ya damu. Vyanzo vya kuvurugika kwa homoni ni:
Uwepo wa sumu mwilini
Unbalanced Lifestyle (mfumo mbovu wa maisha)
Umri ukienda sana
Kukoma kwa hedhi
Kutofanya mazoezi, na kutokulala masaa anayostahili kwa siku
Uzito mkubwa
Mabadiliko ya mazingira au hali ya hewa
Msongo wa mawazo
Kula vyakula visivyo endana na Blood Group
Upungufu wa lishe mwilini
Matumizi ya njia za kisasa za uzazi wa mpango
Utoaji wa mimba
Family History (Upungufu au ongezeko ya homoni ya progesterone na Estrogen)
Ongezeko ya homoni ya Androgen (Kuota ndevu, sauti k**a mwanaume)
Bara (Ethnicity): Wanawake wa Afrika wengi wana hili tatizo la ongezeko ya Homoni ya Estrogen, ndiyo maana wana maumbile makubwa

3. DALILI ZA MVURUGIKO WA HOMONl

Mfumo wa homoni ni muhimu sana kwa afya ya ubongo na mili yetu. Husaidia kuzuia magonjwa yasiyo ambukizi kadri umri unavyo songa mbele. Baadhi ya dalili zinazoweza kuonekana kwa mtu mwenye changamoto ya mvurugiko wa homoni ni k**a vile:

- Ukavu ukeni
- Maumivu wakati wa tendo la ndoa
- Kutoa jasho usiku
- Maumivu chini ya kitovu wakati wa hedhi
- Upungufu wa hamu ya tendo la ndoa
- Mabadiliko ya siku za hedhi na kupata hedhi kwa muda mrefu unaozidi siku 7. (heavy bleeding, au kujaza pedi moja kwa saa moja)
- Kukosa hedhi kwa muda mrefu, na kutoa damu yenye mabonge mabonge wakati wa hedhi
- Uchovu wa mara kwa mara
- Hasira za mara kwa mara
- Kukosa usingizi
- Homa za usiku na Kizunguzungu cha mara kwa mara
- Mzio wa vyakula (Allergie), kuchagua chagua vyakula
- Ongezeko ya tumbo na nyama uzembe
- Kuharibika kwa ngozi (chunusi, vipele… n.k)
- Maumivu ya viungo
- Upungufu wa nywele kichwani.
- Kusahau sana (kukosa kumbukumbu)
- Kupata hedhi wakati wa ujauzito (progesterone ikiwa imezidi)
- Kutokupata hedhi (balehe) adi umri wa miaka 20 na kuendelea
- Mwili kutokukua, kuonekana k**a binti mdogo, na kutokukua kwa via vya uzazi
- Msongo wa mawazo na kukosa kujiamini
- Kusinyaa na kupauka kwa ngozi wakati wa siku za hedhi na wakati wa utumiaji wa njia za uzazi wa mpango
- Maumivu ya kichwa mara kwa mara
- Kuwa na tabia ya hamaki (kukosa utulivu)
- Kutokupata choo kwa wakati
- Misuli hudondoka

4. MADHARA YA MVURUGIKO WA HOMONl

Pamoja na dalili nyingi tulizoziona tungependa wanawake waelewe vitu vifuatavyo hutokea iwapo atatumia njia za kisasa za uzazi wa mpango. Njia hizo husababisha saratani ya kizazi, CD4 kushuka, sehemu ya uke kuwa baridi, huchangia kwa 50% kufanyiwa upasuwaji (operation) wakati wa kujifungua, huathiri mtoto atakayezaliwa, huathri ubongo (inapunguza uwezo wa kufikiria), kutokwa na majimaji yenye harufu mbaya ukeni na magonjwa ya mara kwa mara.

Ukiendelea kubaki na dalili tajwa hapo awali kwa muda mrefu, kinga ya mwili itashuka kwa kiasi kikubwa na kusababisha madhara mengi k**a yafuatayo:

Kutoshika ujauzito kwa muda mrefu
Mimba kuharibika mara kwa mara;
Kukosa mtoto au Ugumba
Maumivu wakati wa tendo la ndoa
Kuwa na tabia na maumbile ya kiume
UTI (Urinary Tract Infection) ya mara kwa mara
Kuzeeka mapema
Kuziba kwa mirija ya uzazi
Saratani
Uvimbe kwenye uzazi wa mwanamke (Fibroids and Cysts)

5. SULUHISHO

1. Suluhisho Linalopendwa

Wanawake wengi baada ya kujifahamu kuwa homoni zao haziko sawa huenda mahospitalini ambako hupewa madawa (bioidentical or synthetic hormones) na wengine hufanyiwa hormone replacement therapy.

Tiba hii huandaliwa kwa ajili ya kuzifanya homoni zifanye kazi zake k**a kawaida. Lakini hupelekea madhara yaliyotajwa hapo awali (juu)

2. Suluhisho La kudumu

Mvurugiko wa homoni unasababishwa mara nyingi na upungufu wa lishe, msongo wa mawazo, na uwepo wa sumu mwilini na hivi vyote ni vitu unavyoweza kurekebisha.

Kwa wanawake wenye changamoto ya mvuzugiko wa hormone mwilini, tume waandalia program ya lishe kamili na virutubisho muhimu. Program hii ni yaVirutubisho Vitokanavyo na Matunda na Mimea ; siyo dawa wala miti shamba. Inasaidia kuweka sawa homone ilikuboresha mfumo mzima wa uzazi, kuleta heshima ya ndoa maana uke utarudi katika hali yake ya asili (mnato na ute ute ukeni wenye kuleta msisimko wakati wa tendo la ndoa, na kupunguza kasi ya uzee).

Sumu zikizidi mwilini mwanamke huzeeka kabla ya wakati na kupatwa na changamoto mbalimbali za kiafya ikiwemo: vimbe zinazo jipachika kwenye uzazi wa mwanamke, vidonda vya tumbo, … n.k.

Kwa yeyote anayehitaji hii program ya kuboresha na kuimarisha Afya yake Tuma neno AFYA kwenye whatsApp 0747138428 au piga 0747138428 usaidiwe haraka

04/02/2022

SABABU ZINAZOPELEKEA KUFIKA KILELENI MAPEMA AU KABLA, WAKATI WA TENDO LA NDOA:

-Tendo hili hutokea pale mwanaume anapo mwingilia mwanamke kimwili,na humchukua dakika moja ama mbili tu,kumaliza tendo, baada ya hapo hukoswa hamu ya kuendelea tena, na uume wake huwa legelege..
-Sababu nyingine ni kupania,kuwa na hamasa kupitiliza,kuwa na uoga na matatizo mengine ya kiseikolojia..
-Uwezo mdogo wa ngozi ya uume kuhisi au kupata mguso wakati wa tendo,na matatizo ya neva za mwili..
-Sababu nyingine ni uume kushindwa kusimama(erectile dysfunction) kutokana na kulegea kwa msuli wa pelvic floor muscle.
-Kiwango kidogo cha homoni,uzalishwaji hafifu wa kemikali kwenye ubongo(neurotransmitters)..
-Sababu zingine ni za kijenetiki,maambukizi hususani magonjwa ya zinaa,na matatizo ya vimbe katika mfumo wa uzazi wa mwanaume..

DALILI ZA KUFIKA KILELENI MAPEMA AU KABLA, WAKATI WA TENDO LA NDOA:

-Kumaliza mapema au kabla ya tendo,tatizo hili huweza kuwatokea hata wale wanaofanya punyeto,wana weza kufika kileleni mapema tu,lakini wakati huo huo kufanya punyeto ni sababu moja wapo ya tatizo..
-Dalili zingine ni,kuboreka,kughadhabika na uoga wa kumkalibia mwenza wako..
Tafiti zinaonesha kuwa kati ya wanaume watatu,mwanaume mmoja ana tatizo la kufika kileleni mapema au kabla, wakati wa tendo la ndoa!!

Hili tatzo kwa kweli linakosesha amani Sana, yaani usikubali kuliacha liwe sugu litakusumbua Sana, litakupatia stress Sana.

Tuma ujumbe neno AFYA JAMII kwenda WhatsApp number 0747138428

04/02/2022

PUNGUA BILA STRESS

Inawezekana kabisa kupungua bila stress, wala si lazima kushinda na njaa ndipo upungue. Sisi k**a Mbegafit tunapenda kuona watu wakifikia malengo yao ya kupungua bila kupitia msongo wa mawazo, kufikia lengo lako la kupungua anza taratibu kwa kubadili mfumo wako wa maisha hasa katika ulaji, zingatia kula vyakula ambavyo ni vizuri kwa kupungua, zingatia kupata muda wa kutosha wa kupumzika, epuka ulevi na jitahidi kupata walau dakika 30 za kufanya mazoezi kila siku.

Je upo tayari kubadili mfumo wako wa maisha kwa kufanya tuliyoshauri.

Nimekuandalia nzuri sana ambayo itakusaidia Kupunguza na na kuisha kabisa.

Wasiliana na Mimi kwa whatsApp au kupiga kwa namba 0747138428

02/02/2022

An EXCELLENT bathsoap 🔥
Hii ni sabuni ya kuoshea uso na mwili mzima yenye exclusive benefits kwenye ngozi
Kutokana na ingredients ilizonazo
Sabuni hii ukiogea mwili mzima
🌴Inaondoa uchafu kwenye vitundu vya ngozi with just 1 swap

🌴Ingredients zilizomo zinafanya QUICK HEALING of the skin - including acnes, rashes, allergic skin irritations, fungi, utango tango

🌴LEAVES YOUR SKIN MOISTURIZED - Inasafisha na kumoisturize at the same time

🌴Ni BEST kwa WATOTO WACHANGA - chemical free, fragrance free & haiharibu ngozi za watoto

🌴Great INTIMATE WASH for ladies - wash your Ms.P externally without getting yeast infections - clean & fresh smelling p***y 🔥

🌴Great BATHSOAP FOR MEN - inakata harufu ya jasho kali na kuclear ngozi bila hata kupaka mambo mengi
CALL ☎️+255 747138428

15/01/2022

HII PACKAGE NI NDOGO SANA INASAIDIA WATU WENGI KUONDOKANA NA YA NA

WASILIANA NAMI 0747138428

30/11/2021

KIBOKO YA KIBAMIYA.... NGUVU ZA KIUME ..... . Ni dawa ya kudumu yenye mchanganyiko wa dawa zaidi ya tisa ni maalumu kwa kutibu na kumaliza matatizo yote ya nguvu za kiume kwa asilimia100 % inatibu na kumaliza chanzo cha tatizo k**a ifuatavyo.

1⃣ kuwa na dhakar ndogo/fupi na nyembamba yaani kibamia

2⃣ Dhakar kusinyaa na kulegea wakati wa tendo

3⃣ Mishipa iliyolegea kwa kujichua nk

4⃣ Kuwahi kufika kileleni/kutoweza kuhimili katika tendo round nyingine kwa haraka

5⃣ Inarutubisha mbegu na kuziboresha

6⃣ Kuzipa speed mbegu ule uwezo wa KUOGELEA vizuru ( s***m mobility)

7⃣Ina balance HOMONI na kuimalisha misuli ya eneo lake husika

8⃣ Inakupa nguvu za kawaida MWILINI ( HUONDOA UCHOVU NA UVIVU)

9⃣ Inaongeza idadi ya mbegu za kiume

🔟 Inarutubisha mayai
NB: HAINA MADHARA NI LISHE NA MMEA SALAMA Epuka aibu hii tumia"

Tumia hii ndio kiboko yao Karibuni sana ofisini kwetu Wasiliana nasi kwa watsap +255 # 0747138428

Bonyeza link wattsapp👇

wa.me//255747138428

Men's Health Talk 29/11/2021

Men's Health Talk WhatsApp Group Invite

29/11/2021

UKIPIGA PUNYETO YAFUATAYO YATAKUWA MSHAHARA WAKO

👉Uume kusinyaa kila ukijaribu kubadilisha style au mtindo.

👉Uume kusimama kwa ulegevu baada ya kumaliza bao la kwanza.

👉Kupata bao lenye maumivu hasa kuanzia bao la pili na kuendelea.

👉Kukosa hisia kabisa baada tu ya kufika kileleni safari ya kwanza

👉Kuchoka sana baada ya kufanya mapenzi.

👉Uume kutosimama ukiwepo na mwenza wako lakini akiondoka unaona unapata hamu na uume unasimama vizuri.

👉Kufika kileleni haraka sana na baada ya kufika unashindwa kurudia tena.

👉Kushindwa kumuandaa mpenzi wako, kuhofia utafika kileleni kabla ya mchezo.

👉Kutoa mbegu hafifu hadi kusababisha kushindwa kumpa mkeo ujazuzito.

K**A UMEKUMBANA au UNAKUMBANA NA CHANGAMOTO K**A HIZO USISITE,

Tuma ujumbe neno AFYA JAMII kwenda whatsapp namba 0747138428 kweny wasap au piga simu usaidiwe mapema

Want your business to be the top-listed Beauty Salon in Dar es Salaam?
Click here to claim your Sponsored Listing.

Category

Telephone

Address


Victoria
Dar Es Salaam