SIRI ZA AFYA BORA

SIRI ZA AFYA BORA

Share

Tunatoa elimu, ushauri na tibalishe bora kwa wenye magonjwa mbalimbali au wanaotaka kujikinga na m

30/09/2022

Watu wengi wamekuwa wakisumbuliwa na matatizo ya mifupa haswa Nyonga, Mgongo, na Magoti bila kupata suluhisho lakudumu

Wameishia kuchomwa sindano na kutumia dawa za kuchua ,na dawa za maumivu Ila tatizo linabaki palepale

Ukweli nikwamba huwezi kupona kwa kutumia njia hizo kwakuwa haziondoi chanzo Cha tatizo Hilo

Ili upone lazima utumie virutubisho maalumu kwa ajili ya kuondoa chanzo Cha matatizo ya mifupa K**a kukosa uteute gauti au uric acid

Tumewasaidia watu wengi kuondokana na changamoto hizi kupitia tibalishe zetu. Wasiliana nasi tuweze KUKUSAIDIA sasa kwa kupiga
0752 805 036

!
Kwa ajili ya kuadhimisha sikukuu ya Maulid tumeweka punguzo kabambe la bei kwa tiba hizi. Offer hii itaanza Jumatatu ya tarehe 3/10/2022 na kuisha Ijumaa ya tarehe 7/10/2022. Usikubali kupitwa na ofa hii kabambe.

30/09/2022

Watu wengi wamekuwa wakisumbuliwa na matatizo ya mifupa haswa Nyonga, Mgongo, na Magoti bila kupata suluhisho lakudumu

Wameishia kuchomwa sindano na kutumia dawa za kuchua ,na dawa za maumivu Ila tatizo linabaki palepale

Ukweli nikwamba huwezi kupona kwa kutumia njia hizo kwakuwa haziondoi chanzo Cha tatizo Hilo

Ili upone lazima utumie virutubisho maalumu kwa ajili ya kuondoa chanzo Cha matatizo ya mifupa K**a kukosa uteute gauti au uric acid

Tumewasaidia watu wengi kuondokana na changamoto hizi kupitia tibalishe zetu. Wasiliana nasi tuweze KUKUSAIDIA sasa kwa kupiga

0752 805 036

19/09/2022

DALILI ZA KUWEZA KUKUJULISHA KUWA VIUNGO VINASAGANA NI K**A IFUATAVYO

KWENYE MAGOTI
✔️magoti kushindwa kujikunja
✔️Maumivu kwenye magoti
✔️kushindwa kupanda ngazi kwa urahisi
✔️kusikia milio ya mifupa kugusana kwenye magoti

KWENYE MGONGO/UTI WA MGONGO
✔️maumivu kwenye mgongo
✔️kushindwa kuinama
✔️kusikia maumivu makali wakati wa kuinama
Kusikia ganzi kwenye mapaja au miguuni.

KWENYE BEGA(SHOULDER JOINT)
✔️kushindwa kunyanyua mkono
✔️kusikia maumivu makali kwenye bega

19/09/2022

KIBOKO YA MATATIZO YA MIFUPA NA VIUNGO
Watu wengi wamekuwa wakisumbuliwa na matatizo ya mifupa haswa Nyonga, Mgongo, na Magoti bila kupata suluhisho lakudumu

Wameishia kuchomwa sindano na kutumia dawa za kuchua ,na dawa za maumivu Ila tatizo linabaki palepale

Ukweli nikwamba huwezi kupona kwakutumia njia hizo kwakuwa haziondoi chanzo Cha tatizo Hilo

Ili upone lazima utumie virutubisho maalumu kwa ajili ya kuondoa chanzo Cha matatizo ya mifupa K**a kukosa uteute gauti au uric acid

Wasiliana NASI tuweze KUKUSAIDIA
0752 805 036

Photos from SIRI ZA AFYA BORA's post 19/09/2022

Hili ni tatizo linaloathiri viungo linalotokanana umri. Tatizo hili huathiri viungo na baadae huathiri mfupa/mifupa.
🍇 Hutokea baada ya gegedu (cartilage) kulika kwenye viungo pia uteute kuisha.
🍓 Huathiri viungo mbalimbali k**a vile pingili za ute wa mgongo, nyonga, magoti n. k

1. Viungo ni muunganiko kati ya mifupa miwili (Mfupa na mfupa)
2. Katikati ya viungo kuna gegedu (cartilage), hii ni plastiki ya asili inayozuia mfupa na mfupa visigusane kwenye viungo.
3. Pia kwenye viungo kuna uteute unaoitwa synovial fluid
4. hutokea pale ambapo gegedu (cartilage) imelika na uteute umepungua kwenye viungo.


1. Virutubisho vinavyosaidia kuimarisha gegedu vinapopungua mwilini mfano glucoseamine
🍊 Mara nyingi virutubisho hupungua kwa sababu ya umri unavyozidi kwenda
🍊 Inasemekana mtu akifikisha miaka 30 mwili hushindwa kuendelea kutengeneza virutubisho vinavyotengeneza gegedu (cartilage)

Sababu zinazoongeza kasi ya kutokea kwa osteoarthritis
1. Uzito uliopindukia
2. Historia ya familia
3. Ajali
4. Kutumikisha viungo kupita kiasi mfano wanamichezo, wana mazoezi n. k


Yafuatayo ni yanayowafanya watu wengi waendelee kusumbuliwa na matatizo ya mifupa na maungio:
1. Watu wengi wanatumia dawa za maumivu
👉Dawa za maumivu hupooza/hutuliza maumivu kwa muda tu na baadae maumivu hubakia palepale kwa sababu hazisaidii kuongeza uteute wala gegedu (cartilage)
2. Watu wengi wanafanyishwa mazoezi
👉 Mazoezi pia huwa yanawasaidia watubkwa muda mfupi sana na baadae shida inajirudia pale pale.
👉👉 Kwa hiyo watu wengi ambao wana shida ya viungo kulika na kusagana huishia kufanyiwa upasuaji wa viungo kwa gharama kubwa sana.

DALILI ZA VIUNGO KUSAGANA
1.
🍇 Maumivu kwenye magoti
🍇 Magoti kushindwa kujikunja
🍇Kushindwa kupanda ngazi kwa urahisi
🍇Kusikia milio ya mifupa kusagana kwenye magoti
2. /uti wa mgongo
🥕 Maumivu kwenye magoti
🥕Kushindwa kuinama
🥕Kusikia maumivu makali wakati wa kuinama
🥕Kusikia ganzi kwenye mapaja au miguuni
3. (SHOULDER JOINT)
🍅kshindwa kunyanyua mkono na kusikia maumivu makali kwenye bega.


👉👉👉 Ikiwa unasumbuliwa na tatizo hilo basi habari njema ni kuwa suluhisho lipo. Tunavyo virutubisho ambavyo vitakusaidia kuondoa tatizo hilo kwa haraka. Virutubisho hivi vinafanya kazi zifuatazo pasipo hata mgonjwa kuhitaji kufanyiwa upasuaji ambao ni gharama kubwa sana.
🍓 Vinatengeneza gegedu, kurejesha ute ute (maana imetengenezwa kwa glucoseamine na chondroitin ambavyo ni virutubisho vinavyosaidia kurejesha gegedu na kurejesha uteute)
🍓Kuimarisha mifupa na kutibu majeraha ya ndani.
Usikubali kuendelea kuteseka wakati suluhisho la uhakika lipo.
🍓Vinawezesha mzunguko wa damu na kuondoa hali ya ganzi na viongo kuwaka moto.

Kwa ushauri zaidi na tiba juu ya tatizo hili usisite kuwasiliana nasi kupitia:
0752 805 036

23/07/2022

Habari ndugu mpendwa.
Karibu sana katika ukurasa huu ambapo utapata elimu kuhusu magonjwa mbalimbali na jinsi ya kuyatibu kwa kutumia tibalishe zilizotengenezwa kwa virutubisho vya asili (SUPPLIMENT) ili kutibu maradhi hayo.

Ikiwa unasumbuliwa na mojawapo ya changamoto ambazo dawa zake zipo basi tuweza kuwasiliana ili kuzipata tiba hizi. Yawezakuwa wewe hausumbuliwi na hata mojawapo ya matatizo hayo lakini unae ndugu, rafiki au jirani ambaye anasumbuliwa, itakuwa vyema ikiwa utampatia taarifa juu ya uwepo wa dawa hizi nzuri ambazo zinatibu kwa uhakika na kuleta matokeo mazuri.

TIBALISHE ZA UHAKIKA ZA KUTIBU MAGONJWA YAFUATAYO ZINAZOPATIKANA
1. Tatizo la Hedhi kwa wanawake (Hormone imbalance)
2. Uvimbe kwenye kizazi/Tatizo la kizazi
3. Tatizo la macho
4. Miguu kuwaka moto na viungo kufa ganzi
5. Moyo kutanuka
6.Tezi dume
7. P. I. D
8. Bawasiri
9. Mifupa na viungo
10. Vidonda vya tumbo
11. Mgonjwa wa ini
12. Gauti
13. Thyroid (Goita)
14. Watoto hamu ya kula
15. Uzito
16. Saratani
17. Matatizo ya kusikia
18. Masundo sundo kwa upande wa wanawake (Uchafu / mapele)
19. Kinywa kutoa harufu mbaya.
20. Kuongeza kinga ya mwili
21. Kiharusi (Stroke) kupooza mwili / kiungo
22. Tonsis
23. Tumbo kujaa Gesi
24. Kisukari
25. Pressure ya kupanda na kushuka
26. Kisukari cha kupanda
27. Sukari ya kushuka
28. Sicle Cell
29. Ngozi kukosa uzuri (makunyanzi, mapele, chunusi n.k)
30. Mimba kuharibika/ kukosa uzazi mwanamke
31. Uchovu/ stress
32. Punyeto kwa wanaume
33. Punyeto kwa mwanamke
34. Ukosefu wa nguvu za kiume
35. Moyo mpana au shambulio la moyo
36. Figo kufeli
37. Ganzi au viungo kuwaka moto
38. Uke mkavu
39. Kupunguza uzito, mafuta na nyama uzembe mwilini.

Tiba za uhakika kwa magonjwa hayo yote zinapatikana. Karibu ili tujenge afya maana MAISHA NI AFYA NA AFYA NI MAISHA

Mawasiliano:
0752805036

Want your business to be the top-listed Beauty Salon in Dar es Salaam?
Click here to claim your Sponsored Listing.

Category

Telephone

Website

Address


Dar Es Salaam
2222