Dr. Abou
Tunasaidia kutatuwa matatizo ya kiafya kwenye uzazi, maradhi k**a presha, moyo, figo na mengineyo.
09/04/2023
*_My brother and sister, please we kindly request you to dress up an orphan and make him happy like your children are happy on Eid, remember he didn't like being an orphan, he didn't like being lonely, he didn't like being poor, he didn't like being mean, if you ignore him and despise him today, remember that your children may find themselves orphans tomorrow. give happiness today so that yours will be happy tomorrow_*
*_Remember that today is for him and tomorrow may be for you_*
*_PLEASE MAKE YOUR DONATION THROUGH OUR FOLLOWING NUMBERS:_*
_*M-PESA: 0743339433*_
_*TIGO PESA: 0712472414*_
_MAKE SURE THE NAME IS :AMORA SLEYYUM KHAMIS_
🔻🔻🔻🔻
_BUILD YOUR HEREAFTER WITH OUR AWAKIM INSTITUTE_
🔻🔻🔻
_Gratitude_
🔻🔻
_*UCHAWI*_
_*AINA ZA UCHAWI*_
🔻🔻
_*9️⃣UCHAWI WA KUVUNJA NDOA*_
🔻🔻🔻
_Uchawi huu umekuwa ni Uchawi Hatari sana na umeenea sana katika jamii na mbalimbali ,kiasi kwamba leo utakuta bint Mrembo ana kila Sifa ya kumfanya awe kwenye ndoa , lakin haolewi wala hakuna hata Mtu anaebisha hodi kwa ajili ya kumposa , halikadhalika mwana wa kiume nae hali ni hiyo hiyo Utakuta ana kila kitu lakin kila anapokwenda kuposa hukataliwa na kurudishwa posa yake, vijana wa watu wamejawa na simanzi , huzuni na kukata tamaa pia . Lakin pia ikiwa k**a ataolewa basi hatadumu Kwenye huyo ndoa atajikuta anaachwa bila hata sababu za Msingi , hivi ndivyo hali ilivyo katika jamii na watu wengi leo._
_Sasa hebu tuone unakuwaje huu Uchawi : Mara nyingi Uchawi huu hutokea pale mtu anapokuwa na chuki zake na roho mbaya na husda kwa mtu fulani ,humuendea mganga khabithi na kumtaka amroge na kumfunga kabisa binti fulani ili asiolewe au Kijana fulani asioe na badala yake azeekee kwao na kujikuta anatumiwa na kuachwa hapo au k**a itabahatika kuoa au kuolewa asiweze kudumu Katika hiyo Ndoa. Hapo sasa mganga (Mchawi) ataomba jina la huyo anaetakiwa kurogwa pamoja na jina la mama yake na kisha atahitaji pia aletewe moja ya athari zake k**a vile nguo, nywele, ukucha , unyayo , mate, n.k) hapo mchawi hutengeneza Uchawi na kumuwakilisha Jini maalum au kundi la Majin kwa ajili ya kazi hiyo , nae huyo Jini au Majini watakwenda Moja kwa Moja na kuketi kwa bint au Kijana huyo na kumuingia Katika Mojawapo ya hali hizi zifuatazo:_
_1️⃣Ima amuingie Mwanamke na kumfanya aone dhiki kwa kila mume anaekuja kumposa._
_2️⃣Na ima (mposaji ) asiweze kuingia kwa sababu ya Uchawi wa kuzuga huko nje , Mwanaume kiasi kwamba mwanaume huletewa picha ya yule Mwanamke na Kuambiwa kuwa ni mbaya, na iakamtia wasiwasi juu ya hilo na hali hii pia hutokea kwa Mwanamke kumuona mposaji kuwa ni mbaya hamfai na Kujikuta anakataa kuolewa._
_Sasa hapo utaona kila mwanaume anayekuja kumposa Mwanamke huyo hukataliwa pasina sababu na hata k**a mwanzo atakubali lakin baada ya masiku hukataa hata k**a mahar itakuwa imekwisha tolewa pia na hii hutokana na kutiwa wasiwasi na Shaytwan._
🔻🔻🔻
_Pia Uchawi unapokuwa umezidi na kukomaa utamkuta mwanaume anayekwenda kumposa Mwanamke tangu anapoingia Katika mlango wa nyumba ya anayeposwa husikia dhiki kubwa na maisha anayaona giza usoni mwake k**a kwamba yupo gerezani na akitoka harudi tena._
_Na ikumbukwe kwamba Katika hali hiyo Jini humsababishia Mwanamke maumivu ya kichwa Katika vipindi tofuati :_
_🔹 wakati wa hofu nyingi._
_🔹Wakati wa ghadhabu ._
_🔹 wakati wa mughafala mwingi._
_🔹 wakati wa kufanya mambo ya shahawati_.
🔻🔻🔻🔻
_*DALILI ZA UCHAWI HUU*_
_🔹 Kuumwa na kichwa kisichosikia dawa hata k**a utatumia dawa gani utakuta kinapoa na baada ya muda kinarudi tena._
_🔹 Kuhisi dhiki kubwa Moyoni hasa baada ya alasir Mpaka katikati ya Usiku._
_🔹 Kumuona mposaji Katika mandhwari na muonekano mbaya._
_🔹 Kuwa msahaulifu sana pamoja na kuwa mtu mwenye kufikiri sana ._
_🔹 Kuweweseka usingizini pamoja na kuwa na hamaniko jingi._
_🔹 Wakati mwingine Kuhisi maumivu makali Katika utumbo._
_🔹Kupata maumivu makali Katika pingili za chini ya uti wa mgongo.n.k_
🔻🔻🔻
_Tuishie hapa kwa leo na Tukutane tena panapo majaaliwa yake Allah kesho , mwenye swali au ufafnuzi zaidi anakaribishwa inbox._
*_Na kwa msaada zaidi Tupigie kwa namba Zetu zifuatazo +255685366665 Dr Abuu Fawzan au +255789811282 Maalim Msabah._*
🔹🔹🔹
27/11/2020
Watoto wetu wakipata sadaka ya chakula.
Allah awataqabalie wote waliotoa sadaka zao
16/06/2020
مشروع توزيع الطعام على الأيتام ...... بإشراف مؤسسة فقير لرعاية الأيتام والأرامل...؟Faqiirun Orphance ikitekeleza kazi zake
21/05/2020
21/05/2020
Hizi ndizo kazi za Faqiirun orphans and widows care,Allah awabaarik na kuwahifadhi.aamin
FAQIIRUN ORPHANS AND WIDOWS CARE.....NI TAASISI INAYOFANYA KAZI KATIKA SUALA LA KUTOA MISAADA MBALIMBALI KWA MASIKINI, MAYATIMA NA WAJANE NA WOTE WANAOISHI KATIKA MAZINGIRA MAGUMU.
Click here to claim your Sponsored Listing.
Category
Contact the business
Website
Address
Dar Es Salaam
