AUNT GRACE
NAWASAIDIA TIBA NA USHAURI JUU YA AFYA YA BABA MAMA NA MTOTO Piga/Whatsapp wa.me/+255621656360
Usisubiri kuzaa mtoto anashida za ukuaji Anza kumpa Afya akiwa Tumboni kwa usalama wa baadae
Haya ni madhara ya upungufu wa Vitamin D na Calcium kwa wajawazito na watoto, kwa ufupi na kwa uelewa rahisi:
π€° Kwa Wajawazito
Upungufu wa Vitamin D
β’ Kuongezeka kwa hatari ya shinikizo la damu la mimba (pre-eclampsia)
β’ Kuzaa mtoto njiti au mwenye uzito mdogo
β’ Maumivu ya mifupa na misuli, uchovu wa mara kwa mara
β’ Kinga ya mwili kushuka (maambukizi kirahisi)
β’ Mtoto tumboni kukosa ukuaji mzuri wa mifupa
Upungufu wa Calcium
β’ Maumivu ya mifupa, miguu na meno kudhoofika
β’ Hatari ya osteoporosis baadaye
β’ Mishtuko ya misuli (cramps) hasa miguu
β’ Kuongezeka hatari ya shinikizo la damu la mimba
β’ Mtoto kuchukua calcium kutoka kwa mama β mama kudhoofika zaidi
πΆ Kwa Watoto
Upungufu wa Vitamin D
β’ Rickets (mifupa kuwa laini na kupinda)
β’ Kukua polepole (urefu na uzito)
β’ Kuchelewa kusimama, kutambaa au kutembea
β’ Maambukizi ya mara kwa mara (kinga dhaifu)
β’ Maumivu ya mifupa
Upungufu wa Calcium
β’ Mifupa na meno dhaifu
β’ Meno kuchelewa kutoka au kuharibika mapema
β’ Mishtuko ya misuli
β’ Ukuaji duni wa kimwili
β οΈ Dalili za Onyo
β’ Maumivu ya mifupa/mgongo
β’ Miguu au mikono kupinda kwa mtoto
β’ Kuchoka kupita kiasi
β’ Mishtuko ya misuli
β’ Meno dhaifu au kuharibika haraka
β
Kinga na Ushauri
β’ Kula vyakula vyenye calcium: maziwa, mtindi, jibini, samaki wadogo (dagaa), mboga za majani
β’ Pata mwanga wa jua wa asubuhi (dakika 15β30)
β’ Fuata ushauri wa mtaalamu kuhusu virutubisho (supplements) hasa kwa wajawazito na watoto
β’ Hudhuria kliniki za mara kwa mara za mama na mtoto
Wasiliana na Aunt Grace kwa +255621656360 kupata calcium na vitamin D sahihi kwako na kwa mtoto wako.
Afya ya mtoto inaanza na Afya ya wazazi.
Karibu tuzungumze pamoja kuhusu Afya ya uzazi pamoja na mtoto ili kuondoa Changamoto za Ukuaji wa watoto kuanzia Tumboni Mpaka anakua
Matatizo ya macho Jua za Ndani kabisa kwenye Ubongo kunakoleta taarifa kwenye jicho.
Kinachoona sio jicho ni Ubongo
Ili Kutibu tatizo la macho Tibu chanzo kikuu ambacho ni Ubongo, mishipa ya Fahamu na jicho lenyewe.
Miwani sio suluhisho la tatizo bali huua Zaidi macho ya mtoto wako
Mpunguzie mtoto wanga na anza kumpikia hivi
Unapokua Mjamzito mtoto anahitaji Madini mengi sana ili akue vizuri miongoni mwa Madini hayo ni CALCIUM kwaajili ya kuunda vizuri Mifupa ya mtoto ili akizaliwa awe na Afya bora na akue vizuri.
πΊπΈ
Maisha yanaleta maana pale unapoona wengine K**a Ndugu na kuwafariji wanapopitia changamoto.
Mungu awape tumaini kila mzazi mwenye mtoto mwenye Changamoto na Alete uponyaji kwa mtoto/watoto na familia kwa ujumla.
NAWAPENDA
Matatizo ya macho kwa watoto yamekua ni makubwa sana na imepelekea watoto wadogo kupata shida ya uoni hafifu na wengine kuwa na shida ya kutoa tongotongo muda mwingi, wengine maumivu ya kichwa yasiyo komaa, wengine kushindwa kuhimili Mwanga na mengine mengi.
Habari njema ni kuwa mtoto wako anaweza kupona kabisa tatizo la macho na kuwa Afya Nzuri ya macho na uoni.
Nipigie kwa +255621656360 kupata product kwaajili ya macho ya mtoyo wako umuokome na kuvaa Miwani
05/11/2025
Taifa lala nakulilia, Nakuombea Amani katika mioyo yetu. Hatujazoea Haya Ila Mungu umeamua tujifunze kwa lugha ngumu ya kuumiza, lugha yakutisha, lugha ya majonzi.
Nchi yangu Rehema Za Mungu zikae kwako Tunaomba toba pale tulikosea, Tunaomba faraja pale tulipoumia, Tunaomba Amani pale palipojeruhika. Ndugu zetu waliotangulia mbele za haki wapumzike salama, watoto wetu, Vijana wenzetu, wazazi na wazee wetu damu zao zinene mema juu ya nchi yetu.
Nakutakia faraja ya kweli kila uliyepoteza Mungu Asikuache kwenye kipindi hiki kigumu
Pokea Hug, Upendo na Kujali toka kwa Aunt Grace
Love you all
Click here to claim your Sponsored Listing.
Contact the business
Telephone
Website
Address
Dar Es Salaam
