Muuguzi mstaafu

Muuguzi mstaafu

Share

daktari wa wanawake
wa.me/+255653493391
afya yako, jukumu letu

03/04/2025

📌JIFUNZE!! TAFAKARI

24/03/2025

📌Je unachangamoto ipi kati ya hizi?? Tafadhali wasiliana nami kwa tiba zaidi

24/03/2025

📌TATIZO LA GOTI KUSAGIKA!! Tatizo hili linatibika bila shida yeyote!! Lakini unaposubiri na kuchelewa kutibu tatizo unafanyiwa upasuaji!!

11/12/2024
13/05/2024

FAHAMU KUHUSU UGONJWA WA PUMU YA NGOZI ( ECZEMA )
0764577237

PUMU YA NGOZI ni Ugonjwa wa NGOZI unaosababisha kuvimba kwa NGOZI( Inflammation ).
Hii huambatana na NGOZI Kuwasha, Kuwa Nyekundu, Vipele na Mabaka.

NINI KINASABABISHA PUMU YA NGOZI?
PUMU ya NGOZI husababishwa na Msh*tuko wa Kinga ya Mwili( hypersensitivity ) na Ngozi ya Mwili. Kuna Uhusiano wa PUMU ya NGOZI na Magonjwa k**a Asthma, Mafua, Msongo wa Mawazo pamoja Kurithi ( Vinasaba )

DALILI ZA PUMU YA NGOZI.
Dalili Kuu Tatu ni:-
1. Ngozi kuwa Nyekundu
2. Ngozi Kuvimba na Kupasuka
3. Ngozi Kukauka pamoja na Muwasho.
Mara nyingi UGONJWA huu huambatana na Magonjwa ya Njia ya hewa k**a Asthma( Atopic dermatitis ) au baada ya kukutana na kitu kinachosababisha Msh*tuko wa Kinga ya Mwili na Ngozi. Mfano Kipodozi, Kemikali nakadhalika.

PUMU YA NGOZI KWA WATOTO.
Asilimia 8 Mpaka Asilimia 18 ya WATOTO wote huathiriwa na Ugonjwa huu. Hii huambatana na mabadiliko ya Hewa na Magonjwa ya Mfumo wa Hewa mfano Mafua na Asthma .
Mara Nyingi Ugonjwa huu hupotea Ukubwani baada ya Matibabu.

CALL/WHATSAPP

0764577237
゚

Want your business to be the top-listed Beauty Salon in Dar es Salaam?
Click here to claim your Sponsored Listing.

Category

Telephone

Website

Address


Ilala
Dar Es Salaam
0000